HIVI NDIVYO JK:COMEDIAN ALIVYOIGIZA SAUTI ZA MARAIS WA TANZANIA/ PAMOJA SAUTI YA BABA DIAMOND

  Рет қаралды 179,225

Wasafi Media

Wasafi Media

4 жыл бұрын

#wasafi #bigsundaylive

Пікірлер: 133
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 3 жыл бұрын
Mungu awarehemu wote waliokufa humu, zaidi mzee magufuli.
@TALLUBOY
@TALLUBOY 4 жыл бұрын
Dah saut ya President Magufuli kwa sasa Upo nayo vizl sana verry clier Kaka umeuwa sana sana upo vzl
@harunajuma8836
@harunajuma8836 4 жыл бұрын
kazi nzuri ubunifu mkubwa hongera sana uongozi wa wasafi niwashauri tu ukumbi uwe mkubwa wasiwe wanahudhulia wanachuo tu na wengine
@somoehussein7948
@somoehussein7948 4 жыл бұрын
kakangu una kipaji walahi sauti ya magu na babake diamond umepatia sana
@merynjau5614
@merynjau5614 4 жыл бұрын
Kah! Noma na nusu aseee✌️
@Mjingafaki
@Mjingafaki 4 жыл бұрын
Watu wa Tanzania ni wagumu sana kucheka 😂😂😂😂😂😂😂😂
@Mjingafaki
@Mjingafaki 4 жыл бұрын
@Change Mindset 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ahahahahaaaa nooooooh naongea ukweli
@fidurashidi5781
@fidurashidi5781 4 жыл бұрын
Sio poa, maisha yashatupiga cheko litoke wapi!? 😂😂😂
@maverickcreativesolutions8285
@maverickcreativesolutions8285 4 жыл бұрын
tumekua makatuni tosha ndo maana haha
@Mjingafaki
@Mjingafaki 4 жыл бұрын
@@maverickcreativesolutions8285 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@chamblainreuben7431
@chamblainreuben7431 3 жыл бұрын
Ukiona ivyo awajachekeshw bd
@abdulwalumi3467
@abdulwalumi3467 4 жыл бұрын
Salute imetixha
@raphaelkanoni3453
@raphaelkanoni3453 4 жыл бұрын
Bonge la show Sema hao Audience inabidi waelekezwe na wapewe Darasa jinsi ya kutoa applause 👏. Na inabidi wawe active namna Fulani yani wamepoa Fulani. Natumaini mtatoa Darasa
@honestfinancialsolutionltd6960
@honestfinancialsolutionltd6960 4 жыл бұрын
Saut ya JPM umeipatia mkuu keep it up
@whatif..6961
@whatif..6961 4 жыл бұрын
Dudu la yuyu🤣🤣🤣
@lordsmenas3267
@lordsmenas3267 4 жыл бұрын
Leten Baraka Magufuri
@ShawnBeatz
@ShawnBeatz 4 жыл бұрын
Editor kazngua makofi na vicheko haviendani na tukio lenyewe
@islamsefu3394
@islamsefu3394 3 жыл бұрын
Jamaa anamuezeaga kikwete sana kuliko watu
@rubensamson8681
@rubensamson8681 4 жыл бұрын
du jamaa noma sana
@mossesmtundi9782
@mossesmtundi9782 4 жыл бұрын
Dudu la yuyu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@untouchboymsafi1788
@untouchboymsafi1788 3 жыл бұрын
Vey talented 🔥🔥 🔥
@avelinamalima7036
@avelinamalima7036 4 жыл бұрын
Talented
@aminathaaibrahim3426
@aminathaaibrahim3426 4 жыл бұрын
This iz more than talent hongeraa sana
@lewismpangala927
@lewismpangala927 4 жыл бұрын
Good luck bro your de best
@hajikishuwa1078
@hajikishuwa1078 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Apo kwa dingi mond kmk necheka ka msenge umeuwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mu-crzymahez9229
@mu-crzymahez9229 4 жыл бұрын
noma sana
@KINGriiskWorld255
@KINGriiskWorld255 4 жыл бұрын
Team #wasafi Kijana wenu nahtaj support yenu pia Naomba ckiliza my single trap music na naomben subscribe channel yetu pendwa 👇👇👇👇👇 kzbin.info/www/bejne/rouqqJ2In7Nnjc0
@nelsonwolden6878
@nelsonwolden6878 4 жыл бұрын
Iv kiingilio huwa bei gani? Na huwa wanafanyia wapi? Natamani siku na mm niwepo ila cjui utaratibu jamani nisaidieni
@simplissamba1943
@simplissamba1943 4 жыл бұрын
@Change Mindset namna ya kupata huo mwaliko inakuwaje
@alexkazimoto7059
@alexkazimoto7059 4 жыл бұрын
@@simplissamba1943 hii nikwawanachuo mara nyng
@simplissamba1943
@simplissamba1943 3 жыл бұрын
@@alexkazimoto7059 kama nilishamaliza siwez ingia piah
@yerikokisoma236
@yerikokisoma236 3 жыл бұрын
Ni wana chuo tu apo UDSM sana
@annaanyosisye8682
@annaanyosisye8682 2 жыл бұрын
Nakumbuka uwepo wako jpm 😭😭😭😪😪jebedali wa Tz🇹🇿🇹🇿
@shebynizedaudi336
@shebynizedaudi336 4 жыл бұрын
Uko vzl sana bro
@jumaally5006
@jumaally5006 4 жыл бұрын
Anajua sana mwamba
@daudimasano5326
@daudimasano5326 2 жыл бұрын
Ure very talented make more effort
@francodesus9519
@francodesus9519 4 жыл бұрын
Spot on
@joshuapeter6967
@joshuapeter6967 4 жыл бұрын
Sound system haiko sawa mawimbi chenga tupu
@dapillar5440
@dapillar5440 4 жыл бұрын
Wow. Show amazing. Big up to Big Sunday live. Halla
@saidikikoma6579
@saidikikoma6579 3 жыл бұрын
Baba yake diamond😁😁😁😁
@unjubinbadiru5854
@unjubinbadiru5854 3 жыл бұрын
Safi brother shafiiii
@peterdaniel3162
@peterdaniel3162 4 жыл бұрын
Nice👏👏
@mussdossantos6472
@mussdossantos6472 4 жыл бұрын
Am the First one
@jumamofu9573
@jumamofu9573 4 жыл бұрын
Noma
@z.shondezshonde5663
@z.shondezshonde5663 4 жыл бұрын
Hahahahaaaa kwakwel hiki ni kipaji
@charlesroben1666
@charlesroben1666 4 жыл бұрын
Jamaa ametisha sana
@anoldmedia6036
@anoldmedia6036 4 жыл бұрын
I like it
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 4 жыл бұрын
Ubunifu wa kizaaazi kabisa
@ramakhan5882
@ramakhan5882 Жыл бұрын
Amazing
@amanromward207
@amanromward207 4 жыл бұрын
Tuwekeen nzima banaaa
@issahmtv9853
@issahmtv9853 4 жыл бұрын
Mnazingua... Kipindi hata mwezi hakina Kimeanza kupoteza ubora Media Inaedit Saut na makofi ya Audiance utopolo mtupu
@allymorata9452
@allymorata9452 4 жыл бұрын
We unaangalia kipindi au makofi au we makofi yakiwa hayaendani yanakusaidia nini
@boryzozo5683
@boryzozo5683 4 жыл бұрын
Yanga
@VyuoTanzania
@VyuoTanzania 4 жыл бұрын
Mnazingua na hizo sauti za kuEdit, watu hawawezi kucheka then wanyamaze kwa pamoja. Inatoa Ladha Halisi. Bofya picha yangu hapo juu kusubscribe KZbin channel yangu. #ahsante🙏
@VyuoTanzania
@VyuoTanzania 4 жыл бұрын
@Change Mindset shukrani kaka, Huna Elimu ya Technology siwezi kubishana na wewe ila wale walionielewa wanajua ni nini namaanisha and by the way USIWE NA MIHEMUKO kwa Mwanaume Mwenzio. #UtageuzwaKisusio
@johnmophat5300
@johnmophat5300 4 жыл бұрын
🤣
@bruceclassic7127
@bruceclassic7127 4 жыл бұрын
Jamaa kauuaaa🤣🤣🤣🤣
@user-jh3yu7wl9r
@user-jh3yu7wl9r 8 ай бұрын
❤❤
@emmanuelsiboth9180
@emmanuelsiboth9180 4 жыл бұрын
Sound mbovu sana kabisa...
@sidaryotv8821
@sidaryotv8821 4 жыл бұрын
Nice
@frankatilio4377
@frankatilio4377 4 жыл бұрын
Oyooo
@bonifaceteodol4487
@bonifaceteodol4487 4 жыл бұрын
Good luck
@norbertmigele7807
@norbertmigele7807 4 жыл бұрын
Hiyo sauti ya Rwakatale umeuaaaa
@chiefdarwizziy9518
@chiefdarwizziy9518 4 жыл бұрын
Mkn 🔥 🔥 mkn 🔥 🔥 xanaaaaaaaa
@omarihamisi2186
@omarihamisi2186 4 жыл бұрын
Soma iyooo
@davidmalachi882
@davidmalachi882 4 жыл бұрын
Good
@elishachenya5341
@elishachenya5341 4 жыл бұрын
Duhhh cyo kivleeeee lakn kwa mbal sana
@utamuwaleo1970
@utamuwaleo1970 4 жыл бұрын
noma sana
@Noah-se3ni
@Noah-se3ni 4 жыл бұрын
😁😁😁❤🔥🦁
@samsonjohn4917
@samsonjohn4917 4 жыл бұрын
Safi
@jisamjoseph4558
@jisamjoseph4558 4 жыл бұрын
Hizi Mic mnavyozisogeza mdomoni sijui hata tahadhari mnachukuaje
@Mr_Highlights360
@Mr_Highlights360 4 жыл бұрын
Kwenye send off hukuwepo??
@Balozikijana25
@Balozikijana25 4 жыл бұрын
Hakuna Corona tz wewe
@franktafu9209
@franktafu9209 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@tjking7960
@tjking7960 4 жыл бұрын
Shoo kali
@OmegaThreads
@OmegaThreads 4 жыл бұрын
Kuna vicheko vya uongo humu hakuna uhalisia
@sweetmama6885
@sweetmama6885 4 жыл бұрын
Jamani huyu kaka hadi amenenepa😁. Kweli pesa sabuni ya moyo na mwili. Khaaa....!
@mu-crzymahez9229
@mu-crzymahez9229 4 жыл бұрын
htre uyu bna
@kiulajoshua6029
@kiulajoshua6029 4 жыл бұрын
Mwanaaaa
@elsabio11
@elsabio11 3 жыл бұрын
Sauti haiskiki vzr
@gracepaulo7354
@gracepaulo7354 3 жыл бұрын
Yaan ww ni balaaa
@roseeliasi4339
@roseeliasi4339 4 жыл бұрын
Jamani Tanzania Kuna watu Wana vipaji sio poa
@frankatilio4377
@frankatilio4377 4 жыл бұрын
Ni yeye
@Chimamy5242
@Chimamy5242 3 жыл бұрын
Hapo kwa baba ake mondi😂😂😂
@evaristmrope
@evaristmrope 4 жыл бұрын
Hahahaha 🤣🤣🤣
@sammysamia7534
@sammysamia7534 3 жыл бұрын
👌👌👌🤣🤣🤣🤣uko kibokoo
@benjamininyambaso5041
@benjamininyambaso5041 4 жыл бұрын
hahhaaa
@kishimbamusic5116
@kishimbamusic5116 4 жыл бұрын
Huyu sauti yake huwa inafanana Sana nag Kikwete
@frankchief2032
@frankchief2032 4 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 hatarry san
@MZIZE
@MZIZE 4 жыл бұрын
JK Comedian Umeishaaaa
@salhanshimirimana7521
@salhanshimirimana7521 4 жыл бұрын
😁😁😁😁
@surelove9682
@surelove9682 4 жыл бұрын
Kpaji cha hli ya juu
@fabianndimanya2055
@fabianndimanya2055 3 жыл бұрын
Comedy za kwenye stage wanaoweza ni Wakenya pekee
@Ciphalee
@Ciphalee 4 жыл бұрын
N0maaa sanaa
@AmCool_
@AmCool_ 4 жыл бұрын
Ila huyu jamaa......
@franklugalamila3577
@franklugalamila3577 4 жыл бұрын
we jama fundiii
@ramadhanyusuph7633
@ramadhanyusuph7633 4 жыл бұрын
KONDE BOY JESHIIIII WEKENI NGOMA ZAKE TUBULUDIKE
@hkfreeboy9533
@hkfreeboy9533 4 жыл бұрын
Noumah 🤣🤣🤣
@blues4life633
@blues4life633 4 жыл бұрын
Og
@salmacharles6539
@salmacharles6539 4 жыл бұрын
Mmepoa ka kipolo cha juzi
@davido-scooper9471
@davido-scooper9471 3 жыл бұрын
Hatar san
@henrymulengera
@henrymulengera 4 жыл бұрын
Safi sana angalia na hii anaigiza saut ya maraisi wote hadi kicheko bonyeza link hiyo kzbin.info/www/bejne/qWaVpHhqfduBnac
@idelphoncefrolian9067
@idelphoncefrolian9067 4 жыл бұрын
Hao Audience wanazingua wanaboa wameboaaaaaa sanaa watangazaji wako vizuri sema wanachuo hawa wa kizazi cha Corona hawa wanazinguaaaaa hahahahahahhahah
@kiulajoshua6029
@kiulajoshua6029 4 жыл бұрын
😂
@farahanrama6137
@farahanrama6137 4 жыл бұрын
katisha
@madaisaide6971
@madaisaide6971 4 жыл бұрын
Kkkkkkk
@tjking7960
@tjking7960 4 жыл бұрын
Jaman tucheki nahii nihatar bonyeza linck usisahau kusubscribe kzbin.info/www/bejne/f2apeIKMn5J1eMk
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kingcicero1708
@kingcicero1708 4 жыл бұрын
🇲🇿🇲🇿🇲🇿❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@aishaaisha2957
@aishaaisha2957 4 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆😆
@jacksondenga7930
@jacksondenga7930 4 жыл бұрын
Munafic
@akilalitv5791
@akilalitv5791 4 жыл бұрын
Hahahahaha uyu jamaa ana Chekesha gusa Link hii kzbin.info/www/bejne/pXeWZaJ5a86Fm9E
@Mjingafaki
@Mjingafaki 4 жыл бұрын
Ushanenepa asaiv huwezi kuigiza tena saut za waheshimiwa😂😂😂😂😂😂😂 nenda jimu ukonde koo lirud kwenye hali yake
@Mjingafaki
@Mjingafaki 4 жыл бұрын
@Fatherjaytz 😂😂😂😂😂😂kweli kabisa
@abbasmohamed5066
@abbasmohamed5066 4 жыл бұрын
dah kwel kbs
@Mjingafaki
@Mjingafaki 4 жыл бұрын
@@abbasmohamed5066 😂😂😂😂😂😂😂umeona ee
@abuuabuuamed5366
@abuuabuuamed5366 4 жыл бұрын
Jamaa Ni ataliii Sana uyu
@samwelntevi9620
@samwelntevi9620 4 жыл бұрын
Wasafi Media mmezingua hiii ni talk show si mnarecord live hizo sound effects mmeweka za nn za makofi na watu kucheka then hata haziendani na matukio kuweni makini msipoteze ubora wenu pia huyo mtu anaeswitch hizo camera awe anaenda na matukio pia hata camera inayoshoot audience isiwe shot moja tu wide mchanganye na shot mbali mbali za watu ili kipindi kivutie.Mr Director
@josephlwagi9370
@josephlwagi9370 3 жыл бұрын
Huyu jamaa kapoteza saut za hao alio waigiza....kama una ungana na mm nipe like sang
@nicksonisaya6550
@nicksonisaya6550 9 ай бұрын
Pole we ndio hujui sauti
@boryzozo5683
@boryzozo5683 4 жыл бұрын
Qsm
@sidaryotv8821
@sidaryotv8821 4 жыл бұрын
Nice
@jeremiahmasunzu3437
@jeremiahmasunzu3437 4 жыл бұрын
Sauti ya Jk unauwaga mjomba....😃😃😃
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 35 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Huyu ndiye JK COMEDIAN Uso kwa Uso na Raisi Jakaya Kikwete - SUBSCRIBE
4:43
JK Comedian Official
Рет қаралды 16 М.
TxDullah alivyonogesha uzinduzi wa Cheka Plus TV
5:51
Azam TV
Рет қаралды 109 М.
BARAKA MAGUFULI AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU,AWAITA WABUNGE
6:30
Global TV Online
Рет қаралды 492 М.
JK COMEDIAN ALIVYOJIFANYA KIKWETE NA KUMPIGIA DOGO JANJA
10:01
Millard Ayo
Рет қаралды 282 М.
JOL MASTER | MOVIE YA YESU KWA KISUKUMA
12:08
Cheka tu
Рет қаралды 389 М.
HUWEZI AMINI: ALICHOKIFANYA JK COMEDIAN, KAMA HAYATI MAGUFULI
6:27
Alichokifanya TX DULLAH kwa YOMBO MSUKUMA DODOMA ni Balaa
8:35
Kimonga Pro
Рет қаралды 127 М.
Would you recognize your soul mate by smell?
0:14
Den Done It
Рет қаралды 13 МЛН
Gymrat CAT is a CHEATER?! 🙀 #kitten #cat #cute #aicat
0:45
Stunning Cat Stories
Рет қаралды 26 МЛН
Приятного аппетита 🤣
0:15
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 9 МЛН