Mchekeshaji Oscar Nyerere leo Septemba 19, 2022 wakati akizungumza kwenye Kongamano la sita la uwezeshaji wananchi kiuchumi ambapo hufanyika kila mwaka kuanzia mwaka 2015/2016.
Пікірлер: 22
@andrew29468 Жыл бұрын
Jamaa anajua,anampatia sana mwl Nyerere Nimecheka sansaasss
@DolikasiYusufuАй бұрын
❤❤❤
@innocentoder8481 Жыл бұрын
Kakaa Mimi ni role model waweza mipaa support niwee kam wew
@heraldloshi1864 Жыл бұрын
Asante kwa kumfufua Mwalimu.
@andrewkilave3532 Жыл бұрын
Jamaa anajua sanaaaaaa
@erickwafura8134 Жыл бұрын
Happy k
@omarikibwanga Жыл бұрын
Safiiiiiii
@georgenorasco1705 Жыл бұрын
Raha saaaana
@georgenorasco1705 Жыл бұрын
Hii nchi hii daaaa
@ramadhansalumu405 Жыл бұрын
Hii ikae kwenye to 10..umeuwa
@esaumahundi56478 ай бұрын
Huyu jamaa ni hataii anaingiza kama mzee nyerere hakuna mwingine wa kumfikia
@arnoldnyambuti53478 ай бұрын
I love Tanzania . Sell me land I invest
@rahmahersi6584 Жыл бұрын
Dhuuu!!!! Mbona raha????
@victormtani71707 ай бұрын
Talanta jamani Oscar Nyerere inabidi hicho kipaji ukiwekee pia Fungu la kumi ili isije nyakuliwa na shetani
@rahmahersi6584 Жыл бұрын
Vituko...mdogo wake Mwalimu ama vipi????
@alfredcharles8029 Жыл бұрын
Kipaji hicho utafikiri kitu OG
@georgemtui5204 Жыл бұрын
Ongera mkuu
@epimackjohn6354 Жыл бұрын
Hamna cha maana hapa
@realramjen3270 Жыл бұрын
Baraka Magu Yuko wapi ndugu waandishi
@Chemba67 Жыл бұрын
Baraka kila anaposimama machozi ya watu hudondoka hivyo busara imeona asisimame mara kwa mara , alisimama siku ya kumbukumbu ya mzee wetu
@raphaelngulo1293 Жыл бұрын
Looo amakweli MUNGU nimkuu sana awapae watu wake karama huyu jamaa anaweza kuigiza sauti