Uchaguzi huenda ukawa mbaya kuliko wakati wa kupitishwa bila kupingwa....kumeanza kuchangamka mmm! Ugali mbaya sana
@hamisimuhunzi79162 ай бұрын
poleni sana makamanda
@acariusamos62282 ай бұрын
Pole sana makamanda people's
@duniakidogo85162 ай бұрын
Wapo wale wa CCM waliosema kama wapo watu <a href="#" class="seekto" data-time="389">6:29</a> wanaomkosoa mama watapotezwa. Ànzeni nao hao
@Abdul-oc1ul2 ай бұрын
Kwn polisi wako mitaani nyongeni na familia zao
@sagandamalechampullo6592 ай бұрын
POLENI SANA MAKAMANDA, TUPAZE KELELE
@jescageorge-fv8yt2 ай бұрын
Polen sana mkamanda
@AlfredMatemu2 ай бұрын
Wanaosema maigizo siku wakitekwa watayaona hayo maaigizo
@TomasiklistophaMwinuka2 ай бұрын
Poleni sana makamanda wetu
@Uhuru12342 ай бұрын
Polisi wanashida gani nchi hii jamani?
@sagandamalechampullo6592 ай бұрын
CCM WANESHA SEMA JESHI LA POLISI WASIWAINGILIE WAKIANZA KUWAKAMATA NA KUWAPOTEZA,
@jumakisailo84962 ай бұрын
Jamani serikali ya ccm hivi kwanini Kila ikifika uchaguzi Hali inakuwa hivi tatizo ni nini..!!? Tuseme ni uwoga wa kupoteza madaraka au kuna nini hasa..? Jamani sisi wananchi tumechoka na haya matukio yanayoibuka Kila uchaguzi unapofika. Hofu inatanda kwa sisi wananchi na kibaya zaidi serikali ya ccm na jeshi letu la polisi wanakuwa kimya hawasemi chochote . Binafsi nakerwa sana na haya matukio ila sina jinsi kwa vile mimi ni mnyonge. Ewe mwenyeeZimungu sikia kilio chetu sisi wanyonge na ufanye kitu kwa hawa wanaofanya matukio wananchi tuwe na Amani.
@elbaricktv16322 ай бұрын
Serikali hii Haina tofaut na Ile nyingine
@raymondnlelwa4272 ай бұрын
Hivi polisi wameishiwa mbinu kabisa kupambana na uhalifu hadi wanateka watu na kuwapoteza. Warudisheni hao watu mliowateka vinginevyo Mungu anakwenda kuwaharibu muda mfupi ujao. Nawatahadharisha kwamba mnaenda kuharibiwa kwa aibu na mtakiri kwa ulimi wenu kuwa ninyi ndo wapotezaji wakubwa wa watu nchi hii. Ninyi mtakuwa kama mashetani sasa!!!
@mariaanthoniangowi93762 ай бұрын
Kaka hizo no mbina za kutisha Wana chama semi na Wananchi Kwa ujumla Ili waogope nawashindwe kupitia kura. Lakini nose me tu, serekali ya Samia inatisja kilo última na ubiko
@raymondnlelwa4272 ай бұрын
Andika ujumbe vizuri basiii
@JekobuNgwara2 ай бұрын
Jamani tuwatafute izilaeli
@EliaHiluka2 ай бұрын
Nini kifanyike kama wanaotekwa ni wapinzani tu kwanini ccm hawatekwi
@JacksonMartin-pb2vq2 ай бұрын
Sasa brother mbona ujasema kama mlienda polisi kuuliza wewe unakimbilia kutoa taarifa sasa wametekwa wakati unajua walipo
@estachengula39022 ай бұрын
Raisi tusaidie tunaishi kwa hofu sana wewe mkuu wetu Samia tunakuomba haya yasitoke
@maryamabdullah91692 ай бұрын
Mama hana msaada maana keshawaambia Majeshi wajipange na Uchaguzi wa Mwakani kwa hio wamekusudia vibaya
@ThomasAlute2 ай бұрын
Mkuu wa polisi wa Tanzania ni shida yaani hafanyi kazi yake kwa weledi
@EmanueliWildausoni2 ай бұрын
Nyie mnaosema ni maigizo nawaona ni machiz kwenye ziara ya makonda hamjaona mamia ya watu watu wametekwa subirn yawakute hv yule jamaa wacc aliyesema wakiwapotza wasiwatafute mbona haulizwi??
Alafu wapo wasiojitambua wanasema eti wanajiteka?! iv mtu anaweza jiteka na kujipiga Risasi?! mtu kama hujatekewa huwez jua uzito wake!
@yonassngonye37592 ай бұрын
Unondolism wa Chadema unaendelea
@HASSANWAZIRIGAO2 ай бұрын
Kwanza Temeke Hakuna Ngome ya Chadema Kule Nguvu ni Cuf ndio Mpinzani Mkuu wa Ccm hata Mkutano hamjai Acheni Uongo
@abbyadams86912 ай бұрын
Acha ujinga wewe watu yupo serious we unaendekeza uchawa na njaa yako. Hovyo kabsa
@zuchuNosha2 ай бұрын
We mbwa mwitu Marajó ya Bibi yako why unaongea upuuzi kwani kutweka watu Kila siku we huvisikiii? Acha ujinga wako hii watu wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu.au ingekutachi pindi babá yako ema mama nahisi ungeamini kwamba hivi tendo vipo
@MawazoKitumbo2 ай бұрын
Mbwa wewe ndoo mnahalibu nch
@JeradiMaulidi2 ай бұрын
Nyiechadima tumechoka nacelles kelelembakalini
@marcokaroje89802 ай бұрын
Wewe Mhehe kama angelikuwa ndugu yako au mwanachama wenu mbona nchi haikaliki jamani muwe na hofu ya Mungu kwa nini lakini hamjiamini shida uroho wa madaraka mmeshajua kutupiga sasa mnafikiri wakipata nafasi za uongozi watalipiza visasi na kufilisiwa huu ni ubinafsi kwelikweli
@zuchuNosha2 ай бұрын
We mbwa mwitu IPO siku atatekwa babá yako au mama yako we Kila siku watu wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu afu wewe, unaongea upuuzi kama huna chá kukoment kaa kimyaa chizi wewe
@maryhando2272 ай бұрын
Nyie itisheni maandamano nyie mtatekwa yote.
@JeradiMaulidi2 ай бұрын
Hivihinitazania au
@MohammedAwadh-gq9si2 ай бұрын
Mjue kuna shida chadema,mjitafakari IMA mnauhalifu na mnajificha kwenye chama,
@malikidaudi25172 ай бұрын
KAMA NI MHALIFU KWA NINI ASIKAMATWE ETI NI KIONGOZI WA CHADEMA ASIKAMATWE HATA KAMA NI MHALIFU NYIE MNATAKA KICK TUUU KWA WANANCHI ILI MHURUMIWE MPEWE KURA
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
CHADEMA TENA WAKO KWENYE MAIGIZO FILAMU INAENDELEA MPAKA 2030😢😢😢😢😢
@kazimilykulwa25162 ай бұрын
Nimaigizo sivyo hongera sana
@daudimchileg3072 ай бұрын
Kwamba wamejificha au, mbona kama nawe ndio hamna.