#freemanmbowe #chadema #ccm #free #dullysantz #santzmedia #wasafimedia #manara #cloudsmedia #simulizinasauti #history EMBU KIFUATILIE KISA HIKI KWANZA ALAFU NJOO KWENYE COMMENT TUANDIKIE MAONI YAKO • MAKALA ZA VIONGOZI🥂
Пікірлер: 40
@Santzmedia2 ай бұрын
SIMULIZI ZETU HUWA ZINATOKA KILA JUMAMOSI YA MWISHO WA WIKI " HAKIKISHA UMEBONYEZA NENO LA SUBSCRIBE KISHA UMEGUSA ALAMA YA KENGELE ILI USIPITWE NA SIMULIZI YEYOTE KWETU
@MwitaTvАй бұрын
Wewe ni Mtangazaji mzuri sana
@SantzmediaАй бұрын
Thenks 🤝
@benedictmrisho1800Күн бұрын
Historia nzuri ila panga kwa tarehe na matukio.ili usiruke ruke. Hongera kwa kujitahidi .
@mfalmekaitaba24252 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 na msichokijuwa huyu ndo aliyenifanya niipende CHADEMA mwaka 2005 na hadi leo mm ni Kamanda halisi wa CHADEMA na siwezi badirika.
@Santzmedia2 ай бұрын
Good kamanda
@drjbmsige4098Күн бұрын
Mbowe alikuwa na miaka 31 wakati chadema inaanzishwa
@danielbachuta15717 сағат бұрын
Miaka 19 ni 1980.. ungesema 29
@ashabushiri46102 ай бұрын
Ongera
@Santzmedia2 ай бұрын
👍
@user-oc3jf3ts5i2 ай бұрын
Hujui chochote! Gavana Bank kuu baada ya Edwin Mtei ni Charles Nyirabu! hitoria ya uongo na mapungufu mengi!
Bilikana Mbowe alikuwa miaka mingi sana alikuwa halipi kodi nchi usiseme kaonewa ni sheria
@Santzmedia2 ай бұрын
Kama utakuwa umetufuatilia Vizuri si dhanii kama kunasehemu tumefikili au kuhisi Ameonewa!!!?
@mfalmekaitaba24252 ай бұрын
Kama halikuwa halipii huo ni uzembe wa wakusanya kodi
@JackKanyigoАй бұрын
Kwa hiyo kama alikuwa halipi jibu ni kubomoa?..tumia akiri angalau za kwendea chooni
@MohamedRashid-py7roАй бұрын
@@JackKanyigo kwani nyumba ni yake
@HappyKitindi24 күн бұрын
@@mfalmekaitaba2425wazembe? 😂😂😂😂
@georgefesto84552 ай бұрын
Kilicho mtajirisha sana ni biashara haramu ya pembe za ndovu na madawa ya kulevya kama mirungi na bangi.
@Santzmedia2 ай бұрын
🤔😂😂😂
@upendoeliya93299 күн бұрын
Matako wewe
@deusntobi66822 ай бұрын
Miaka 19 duh!!
@Santzmedia2 ай бұрын
🤔
@charlesluanda9161Ай бұрын
Yaani mtu azaliwe mwaka 1961 halafu mwaka 1993 awe na miaka 19! Mbona Math is Mathing 😂😂😂😂
@user-tb8zb4rv6hАй бұрын
Anatafuta haki tabani? anatafutia tumbo lake na watu wake
@user-tb8zb4rv6hАй бұрын
Nadhani umesahau kutaja walipotuibia pesa za kigeni wakati wakiwa watumishi wa uma bank kuu ya Tanzania wakaiunguza gavana mtei nimrodi mkono mbowe
@user-rj2kt5qg5y2 ай бұрын
Mboe achia ngazi sasa
@Santzmedia2 ай бұрын
Mmh😥😥
@stanslausshayo71042 ай бұрын
wewe ni ccm
@Santzmedia2 ай бұрын
Why
@jeanbaraka10082 ай бұрын
Ndie mfanya siasa pekeeee nchini hapa
@Santzmedia2 ай бұрын
Kiukweli
@margarethpolepole74382 ай бұрын
Wanschama wake wamemchoka haiwezekani awe yeye kila siku na kuhusu klub ya bilcanas ilikuwa inaendeshwa na Baba yake na ilikuwa nightclub na ilikuwa mali ya Nhc yeye alikuwa mrithi tu aondoke tu wamemchoka kwanini analazimisha uongozi aondoke tu
@Santzmedia2 ай бұрын
@Margarethpolepole , Wewe NI Mtanzania wa kweli lakini jaribu kufuatilia ukweli wa mtu ,na usije ukalishwa sumu kuhusu mtu kwakuaminishwa kitu then ukamchukia mtu