Рет қаралды 2,215
Wiki iliyopita Rais Samia Suluhu alizindua rasmi safari za treni ya kisasa ya SGR kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma ambayo mbali ya ubora na uzuri wa mandhari ya ndani pia inasifika kwa kutumia muda mfupi wa safari ikilinganishwa na mabasi ya abiria.
Je, ujio wa usafiri huo unaathari gani kwa biashara ya mabasi ya abiria na una tija gani kwa wasafiri kwenye kutafuta unafuu wa nauli lakini kusafiri kwa muda mfupi?
Mjadala huu umewekwa mezani hii leo na hapa unachambuliwa ukiongozwa na Goodluck Paul na Hilda Phoya wakiwa na wageni wao.
Imeandikwa na @Sharifa Galimbe
Imehaririwa na @MosesKwindi