WIMBO HUU NI MMOJA KATI YA NYIMBO ZILIZO KATIKA ALBUM YAO IITWAYO "NAJIVUNIA IMANI YANGU"
Пікірлер: 538
@teddymarshal4005 Жыл бұрын
my dad asked the choir to sing this song on the day we paid our last wishes to my dear late mother....
@gladyscherotich50504 жыл бұрын
Huu wimbo ndiyo utaochezwa jumamosi siku kubwa kwangu siku ya harusi namshukuru Mungu Sana niombeeni na karibuni Sana
@malahimartine43974 жыл бұрын
Hongera Grady na Mungu akuongoze katika ndoa yako
@nswanalucheya57375 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana. Nengekuwa sijaoa, nigechagua wimbo huu na kwaya hii. Hongereni sana. Kutoka Zambia Kafue.
@chaulamkingatv45603 жыл бұрын
Nimeupenda
@csato94153 жыл бұрын
@NSWANA LUCHEYA, hata kama umeoa wewe pendelea kuusikiliza uwe kichocheo ktk kuimarisha ndoa yako, ni maneno kutoka kitabu cha WIMBO ULIO BORA, SURA YA 2 :8, 2:16, 5:9b, 4:1b, 1:15b, 5:11b, 5:II, 5:13b, 7:11, 7:12
@mariagorethshirima47425 жыл бұрын
Daa hii ngoma kiboko sana, Nimewapenda wote ghafla kama ujumbe wenu mmnaotoa aise. Mbarikie sana Wana Gaspar kwa kazi iliyotukuka Sana.. Mpendwa wa Nafsi yangu...
@victorjidinga97434 жыл бұрын
Wimbo umenigusa Sana kwa kweli na nitapenda uchezwe siku ya ndoa yangu...
@renataraymond89885 жыл бұрын
Hongereni naona vionjo vya Kingoni hongera Mr Nyoni Ubarikiwe kwa kazi nzuri.
@matildajoseph62445 жыл бұрын
Yani sichoki kuutazama wimbo huu,hongera sana waimbaji video imetulia sana, hongera mwanangu Laurian Nyoni kwa utunzi Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@ashleykevins98825 жыл бұрын
wimbo ulio na maneno mazuri ya kumfanya binti kukaza ndoa yake, wewe ni mzuri sana mpendwa wangu,
@witnessnjovu42495 жыл бұрын
Asante nyimbo nzuri sana wewe ni mzuri sana mpendwa wangu
@kassimourio68794 жыл бұрын
The way this song is marvelous why does not take more than 10mins... Those who sung it are really portraying the the words spelt out....meaning handsome and pretty as they are. They did justice for the song..congratulations!!! ...great work
@stephenerupe87823 жыл бұрын
i love how you guys look at each other in a romantic manner......wimbo mzuri sana,i would sing to someone in future
@sarafinasaid97583 жыл бұрын
wooooow
@johnndungu48385 жыл бұрын
Na ninyi ni wazuri sana wapendwa wangu na wimbo wenu mtamu sana, Sauti yenu nyororo na safi zaidi, Sikomi kuwasikiliza hata, na mwendelee kutupatia zaidi mkibarikiwa
@josephichechi72514 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana Wana HT na wanakwaya, itabidi ntafute mchumba Kati ya hao wanadada kutoka na sifa wanazomsifia mpendwa wao. Pengine atakuwa akiniimbia na Mimi katika nyumba yetu
@keihagweteddy87114 жыл бұрын
Thanks for the nice song .
@athanasiaanney58394 жыл бұрын
Huu wimbo mzuri yaani nausikiliza mda wote dah.. hongera kwenu
@josephichechi72514 жыл бұрын
@@athanasiaanney5839 yes, unagusa sana. Yani ni wimbo wenye message kuu
@athanasiaanney58394 жыл бұрын
Yaani wanaume wenye mpango wakufunga ndoa siku za karibuni huu wimbo unawafaa na kupigwa siku ya harusi zenu
@josephichechi72514 жыл бұрын
@@athanasiaanney5839 wakuolewa waliisha jamani.
@raymondkapwa69665 жыл бұрын
Hongeren sana Wanakwaya wa kwa wmbo mzuri na kwa video nzr, mmependeza kwa mavazi mazuri na yakuvutia, Mungu azid kuwabariki mdumu katka kumtumikia yeye kwa Nyimbo nzr za kumsifu Yeye ,Amina
@achiengokoth81125 жыл бұрын
This song is a blessing to me I used on my wedding day when entering the the church,
@nicholausmihayo46263 жыл бұрын
Well dressed
@janetjuma52035 жыл бұрын
Mbarikiwe sana wimbo ni mtamu sauti inavutia na nyi yi wenyewe khaki mnape ndeza sana
@ernestlufuta16652 жыл бұрын
Wimbo bora, waimbaji bomba, video bora. Hongereni sana wanakwaya kwa uimbaji wenu mzuri!
@okongostephenv54212 жыл бұрын
Well composed song. The message is powerful. Mungu azidi kuwabariki na utunzi wa nyimbo zaidi
@jarlathbyrne31462 жыл бұрын
Thanks for sharing this beautiful video. Such delightful singers, fantastic young men and women. Thanks again. Keep well Keep singing! Jarlath
@teleziasonga18212 жыл бұрын
Safi Sana mbarikiwe
@simbajeff96324 жыл бұрын
Nyimbo zote za HT ni nzuri sana,zinapendeza sana,mwatubariki na tungo safi na midundo
@simbajeff96324 жыл бұрын
@@HOLYTRINITYSTUDIOS Nyimbo zenu zinakosha sana
@ritahotieno4022 жыл бұрын
This song reminds me someone who was special to me, whenever we met he played it for me😢
@monicahmutuku71914 жыл бұрын
Hongereni sana. Wimbo mtamu sana. Sauti nyororo barikiweni sana. Mungu awazindishie baraka.
@valeriamgani4524 Жыл бұрын
Wimbo Mzuri Sana 💐 💐 hongereni
@matthieubarenga883 жыл бұрын
Toutes les chansons religieuses de tous les pays j'ai les adore . je les écoute régulièrement sur you tube.
@yosephandumbaro14253 жыл бұрын
Hongera Sana Kwa utume... A beautiful song in deed
@evanskiplagat61354 жыл бұрын
Tamu sana ....blessed naskisa al the way from Colombia very inspiring
@aquelinakanje21784 жыл бұрын
Leo wimbo huu umekuwa wimbo wa wiki kupitia Radio Maria Tanzania Hongereni sana
@charlesntakarutimana78203 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana lakini tutafakari yaliyomo Mungu awabariki sana
@erickchikira13975 жыл бұрын
very nice song....saut ya kwanza mnanivutia mnoooooooo
@joelngingo93355 жыл бұрын
Hongera Laurian Nyoni Hongereni Gaspar del Buffalo Hongereni Holly Trinity studios. Amazing video ina utulivu wa kikatoliki.
@rahimatanzani65095 жыл бұрын
Hongereni wanakwaya mungu naomba na mm nipe mpendwa wangu najua kwa mungu linawezekana mume mwema hutoka kwako baba uliye mbinguni
@PeterJohn-yh4vh7 ай бұрын
Safi sana uwepo wa mungu ndio unafanya hivyo mulivyo
@graysonjohn10805 жыл бұрын
Namwona cherestine masemla hongera sana Mungu awabariki maneno yanasikika sana
@jescatumaini98525 жыл бұрын
Kumwimbia Mungu ni raha sana!!! Nimetamani!!!!! Mungu awabariki
@faustinlyela35313 жыл бұрын
Tusali kwa nyimbo ya kwaya nami nilikuwa mwanakwaya wa parokia ya makole miaka ya 85 .from italy now
@pvenboy45424 жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya kwa kuimba wimbo mzuri wenye kuvutia
@nolaskoaloisi-jv6ov Жыл бұрын
Congratulations, Mungu azidi kuwatia moyo wa kuinjilisha kwa nyimbo.
@wilhardsambala54912 жыл бұрын
Asante kwa wimbo mzuri
@emmanuelsimeo96692 жыл бұрын
kwaya hii naipenda sana hongeleni sana kwa uinjilishaji
@samuelndungu96104 жыл бұрын
Lovely song indeed. Aki mimi ntahama Kenya nkuje Tanzania.
@mkamandye47905 жыл бұрын
Wimbo mzuri,video nzuri mno Mungu aendelee kuwabariki ktk utume huu
@chanhumbadispensary2828 Жыл бұрын
Dàah nyimbo nzurii sana Mungu awabariki sana
@juliuschacha12185 жыл бұрын
kwa kweli mmenibariki sana. Hongera kwa kazi nzuri.
@shaibuemmanuel55645 жыл бұрын
HT...hakika ninyi ni furaha nawapongeza sana wanakwaya kwa kazi hiyo nzuri Nimependa mpka nahisi utukufu na upako
@nicodemusongeri68554 жыл бұрын
Congrats mt. Gaspar this song is really sweet, love 4 sure may you have more knowledge of composing as such, be blessed
@okongostephenv54213 жыл бұрын
When God gives you humble and polite soulmate, nice inspirational song
@georgembugua68495 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana huo...hongera kwa sauti zenu nzuri
@marryjames13705 жыл бұрын
Nimeupenda sana wimbo,ongera
@timothikibhona6 ай бұрын
Wimbo huu niki upiga huwaga unani kosha sana❤❤
@olivermizengo75565 ай бұрын
😊
@lengwasingae37284 жыл бұрын
Jmn Mungu nijarie mume nfunge nae ndoa kansan tucheze wimbo huu
@fredetal6525 жыл бұрын
wimbo mtamu kweli. mungu awabariki zaidi
@victoriasiay42184 жыл бұрын
Wimbo Mzuri Mungu Wabariki sana Hongera na Mtunzi pia
@benjaminamri43293 жыл бұрын
Safi sana mmetisha mungu awabariki sana
@kasiabahati22075 жыл бұрын
kwa kweli mnavutia kwa kila wimbo jaman mungu awazidishie Mara dufu
@georginaanyango49514 жыл бұрын
Najivunia kuwa mucatholc mungu awajalie mema wanakwaya wacatholic
@tharcissekayumba34065 жыл бұрын
Na wimbo hii , naenda mbinguni , mungu apewe sifa sana.
@maryachuma34914 жыл бұрын
Thank you Lord for blessing of the sweet voices you gave them
@user-kq3mx4py6c Жыл бұрын
Hongeren sana mungu awabariki kwa kazi nzuri
@valemuhemuhe43153 жыл бұрын
Wimbo mtam Sana, nimeipenda na wanakwaya mmependeza
@ibrahimjackob39345 жыл бұрын
Wwe ni mzuri Sana'a mpendwa wangu !!! Nice song keep it up
@gladnesssidiu49223 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni awabariki Kwa kweli kwa Yesu raha
@dushimiyimanajean89793 жыл бұрын
Nawapenda sana wajilani wangu . Kwaujumbe wa nyimbo zenu
@florahmichael35404 жыл бұрын
Hongereni sanaaaaaaa kazi nzuri... Mungu azidi kuwabariki
@josephmulei77635 жыл бұрын
Really Blessing,MWENYEZI MUNGU na Azidi kuwabariki
@simonbukuru12015 жыл бұрын
Asanten kwa nyimbo nzur mungu awatie baraka daima
@albertosimplisti14165 жыл бұрын
Hongerni Sana wanakwaya mmeimba vizuri saaaaanaaaa, pia mmependeza sana mungu azidi kuwabariki
@deograthiaseslon35234 жыл бұрын
Honngereni kwa kazi nzuli mungu awabaliki
@dr.johnsonnyamohanga61475 жыл бұрын
Hongera sana wanakwaya kwa kazi nzuri ya bwana,mnilioifanya na mnayoendelea kumfanyia bwana!
Yaani Mungu awabariki abariki sana kazi nzuri daaah!,
@fredrichard51924 жыл бұрын
Halloow wew ni mzuri sana mpendwa wangu ee Bwana bless me
@stellasona92695 жыл бұрын
Hongereni Sana kwa kujitoa na kutumia muda wenu kwaajili ya Bwana!! Mbarikiwe Sana
@belindananjala88445 жыл бұрын
wimbo mzuri sana,nimewapenda na Mungu awabariki sana na azidi kuwamiminia baraka ili mzidi kumtumikia kwa nyimbo zingine tena
@janetpatrick5515 жыл бұрын
So nice keep it up
@lucaskulwa60745 жыл бұрын
mungu awatangulie kulitanganza neno la mungi
@rosinamutuku47074 жыл бұрын
Wimbo mzuri ufutia moyo kweli
@nesphorythiodoribaha-cj1py Жыл бұрын
Napenda huu wimbo
@emmanuellomnyak7 ай бұрын
still watching 31.12.2023
@ramadhanimakenzi21405 жыл бұрын
hongereni kwa wimbo mzuri
@williammgohele2365 жыл бұрын
Wimbo mzuri mungu awabariki mmependeza pia hongereni sana.
@happymaiga49634 жыл бұрын
Hongereni sana mnaimba kwa hisia kweli. Kweli Mungu wetu mi mziri sana
@kazaramavianne82205 жыл бұрын
Munapendeza sana.wimbo nzuri sana.
@veronicalulu58115 жыл бұрын
wooooooow
@nagagwanagagwa95915 жыл бұрын
Mbarikiwe mno mno, nitamwimbia Mungu siku zote maishani mwangu.
@jamesgachau2566Ай бұрын
Sauti tamu sana
@gervasvitus19255 жыл бұрын
Huu wimbo utawabariki watu kama washiriki ni Mke na Mme tofauti na hivo huwezi pata Baraka
@manenomassaka5 жыл бұрын
Mungu awainue katka kazi zenu nyimbo nzur kweli
@nancykaimuri79813 жыл бұрын
Wewe ni mzurii Sana.... love it walai
@hamzacabletv58503 жыл бұрын
Kijan aliyevaa miwani anatabsamu zuri ,na wimbo ni mzri ,wamefny vitendo vyot vnavyoendna wimbo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@marcelinamassawe1003 жыл бұрын
Hakika wamefanya vizur mno
@justinakalekana63443 жыл бұрын
Mmeimba vizuri wanakwaya mungu awabariki Sanaa
@dativambaga62065 жыл бұрын
Waooooh! Wimbo nzuri xana,mbarikiwe xana
@fortunatusmisana41504 жыл бұрын
Hongera Sana gasp makoleeeee Kama nawaona vileeeeee kipindi nikiwa apo CBF tukiwa wte hapo. Nitawalika Latina ndoa yangu ingawa wachache nawafahamuuuuu
@rajopro5 жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya kwa kazi nzuri. Nawapongeza pia HT kwa kiwango kikubwa cha Video hii... Mungu Azidi kuwabariki.
@benwabiblia5 жыл бұрын
Doooh mi niwapongeze sana Holy trinity studios kwa ubora ninaouona kwenye video na audio ya wimbo huu. Inanifanya niwaze au kuna ka "partnership" ka Rajo na Holy trinity, maana viwango hivi nimezoea kuviona kwa Rajo hahahaa. Mungu wetu mwema awabariki sana jamani
@isayakalinga64755 жыл бұрын
Naombeni mawasiliano yenu
@faustinemwamlima23345 жыл бұрын
@@HOLYTRINITYSTUDIOS mkuu naomba mawasiliano yenu tufanye kazi 0757052730
@vitusmtei22975 жыл бұрын
ongereni
@petermuganda37065 жыл бұрын
hakika
@jenithaheneriko42085 жыл бұрын
hongereni sana wapendwa kwa wimbo mzuri barikiwa sana
@miriamkessy75004 жыл бұрын
M,MEPENDEZA SANA WANA WA MUNGU, WIMBO M,MEIMBA VIZURI SANA , NOTA ZIMESIKIKA VIZURI MUNGU BABA AZI KUWAINUA KATIKA UTUME, CONGRATULATION
@miriamkessy75004 жыл бұрын
MSICHOKE KUMTAFUTA KRISTO ALIKO, KWANI HAKUNA ANALOWEZA MWANADAMU , BILA NEEMA ZA MUNGU
@alindadenice375 Жыл бұрын
Ongeraaa sanaaa umenibariki
@okongostephenv54212 жыл бұрын
Listening may 2022, good composed song
@josephkaniki3445 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana asanten sana Mungu azidi kuwainua
@josephinemtey70874 жыл бұрын
Nimeufuraia ni nzuri n.a. mnaimba vzuri
@innydawiggle80645 жыл бұрын
Waoooo amazing Mungu abariki kazi za mikono yenu ha2a kubwa
@victoronyiego36765 жыл бұрын
Wooooow! Wimbo ulio bora zaidi.
@dominicsomola4025 жыл бұрын
Nimeifurahia huu wimbo mzuri sana sana...nimeupenda...
@winniekoskei144 жыл бұрын
Be blessed a lot its a song with inspiration message