Mimi nampenda bisandra mdogo kapendza kava mtandiyo mweusi mungu akubariki
@halima238624 жыл бұрын
Wanafiki mmekomeshwa maana Daimond kamtumia picha sasa wambea wakome kufatilia Maisha
@izabelamuliwavyo6954 жыл бұрын
Good mama tee
@shifaazawadi44384 жыл бұрын
Wa tz mutachoka Sana kumufatilia Sana maisha ya zari na mutacho wabongo shida yenu nukuto kua na ufahamu
@susymuganda63264 жыл бұрын
Happy Father's day to him
@salhamrishoaish92924 жыл бұрын
Zariiii
@sarahogama95404 жыл бұрын
Eeee naona leo nikiatu tu ndio chaonyeshwa haahaa watanzania mtakoma umbea sawa
@aidaharuna55494 жыл бұрын
waandishi wa habari na nyinyi mpuguzage uongo mbona baba yake na zari tunamjua sana
@carolinetagro17604 жыл бұрын
💖💖💖🔥🔥🔥🔥❤❤❤
@dinahmutie1344 жыл бұрын
Happy father's day
@nellymasengo14194 жыл бұрын
Wewe unasema watu wamembaki midomo wazi lakini mimi sija Mbaki mdomo wazi naona ni kawainda tu
@leen27334 жыл бұрын
ati bahati ya kuzaa na Diamond! what rubbish
@mercyjoseph6874 жыл бұрын
You see, verry rubish.
@halima238624 жыл бұрын
Kwani mnapangia nini cha kufanya kwenye picha zake mwenyewe , mnajiuluza na. Majibu hampati????????
@gloiresumaili66334 жыл бұрын
Niambie bisi biana ende n diamond platnumz namke wake zari natamani warudiane ataleo
@jumajay84964 жыл бұрын
Nyinyi wabongo niwambea sana kwani niliazima baba au mtu yoyote akimtembelea awajulishe watu mtandaoni nyie vipi.
@athanaziakamana53004 жыл бұрын
Aliposita baba yake sio yakwekwunu ama munanungunika mwende politie munamufatilia sijui eti munamufakilia kwa nini
@MsAggie54 жыл бұрын
Kwani lazima baba ake akienda kumtembelea amweke mitandaoni? Umbea kazi labda baba hapendi mitandao! Kha jamani l
@halima238624 жыл бұрын
Mtajiuliza sana na majibu hamyapatiiiiiiiii
@gsmtzinfogsm86014 жыл бұрын
Ni wewe unajiuliza usituchanganye mwanaume mmbeya kama mwanamke
@marthadominick22124 жыл бұрын
Dunia mapito
@madinahuoniungoachenikumse79194 жыл бұрын
Wabongo mnamambo sasa inawahusu nn sasa kumpost ndo nn yaan wabongo tukitukanwa twaanza maneno. Eti aweka wazi mahisiano yake yakuwapi sasa.
@halima238624 жыл бұрын
Mbona ashawahi kumttuma Baba yake before???
@ibrahimmariam72524 жыл бұрын
Naona hukuona kama ka mpost baba tee!!!! Ju mumechelewa kutiya maneno yenu.
@djdj3urj884 жыл бұрын
Hamkosi ya kuongea
@safihunasingo19974 жыл бұрын
Jamani ndiyo maana tunaambiwa maneno mengi halafu mnasema Zari ametutukana. Kwa namba hii tutatukanwa sana. Sasa Zari katuma .jinsi alivyojisikia yeye na Baba yake leo watu wanasema kwanini katuma hivi! Duh wa Tz hatarwii Nawewe siumtumie Baba yako unavyojisikia? Acheni maneno