Afadhar Leo wale wa kuomba like hawaja fika sjui huwa wanapata ela nakeleka mimi 😏
@JudithSimiyu-ps7ee10 күн бұрын
😅😅😅
@user-ij2po2jw2f10 күн бұрын
Siwapendi wanataka like Kama ndo wameigiza😂
@user-po8ws7ob9b10 күн бұрын
@@JudithSimiyu-ps7ee😂😂pia mm wanakele sanaa 😏😏sijui wanaeda kuuza hizo like
@JudithSimiyu-ps7ee10 күн бұрын
@@user-po8ws7ob9b 😂😂😂😂
@FadhiliAlly-mb4sf10 күн бұрын
Wanakela xana hawa waomba like
@SaadffasellOmaan10 күн бұрын
Yani kuna malafiki washida na laha km tasha na hawa wapumbavu wezangu na mie Mashaallah wapo vizur sana nimewapenda bureeeee
@johariabdalla309910 күн бұрын
Jua limeaza kuwaka kwa kendy ❤😂😂🎉
@user-mx4bx2dt7x10 күн бұрын
Naomba
@SamwelyNyabenda-k5u10 күн бұрын
Jamani tunao amini kuwa ndoa ya khai na zuu haita vunjika weka like 👍👍👍🎉🎉🎉🎉
@Hapygideon10 күн бұрын
Candy nasania wanaota ndoto ya mchana😂😂😂😂,,natamani ukifika kwa Tasha ukutane na ngumi nzito Ili upotee nyumba,na wewe candy,rudisha hati afu tunakupiga chini😅😅😅😅
@SarahCharls10 күн бұрын
😅😅hapo Kwa Sania kunaswa ngumi napataman kweli kwel
@SaidSaleman-l7s10 күн бұрын
Me nipo na choko mahana ni wa kumuzi wayao wote gonga like apa❤
@Mwanajumahassan-tg3zg10 күн бұрын
Waooo move isishe jamani loo zuu pole aki kai nakuinea iman lakin subra ...chiko asituumizie Tasha wetu hebu ...❤❤❤❤busat tv hongera nyotee
@sifamaureen279210 күн бұрын
Bwana yesu asifiwe chiko😂😂😂😂😂 sema kuraaabwa
@sakina555010 күн бұрын
Da zuu pole sana 😢😢 Yaani chiko umenichekesha sana eti wewe ndo mke wangu 😂😂😂😂😂😂
@LuciaBukula10 күн бұрын
Wa 10 wap like Wana familia ya busati 😅😅😅
@Tynamnyilis982410 күн бұрын
Waooooo leo nimewah nipo 50 bora nipen like zangu😂😂
@MRS-g2m10 күн бұрын
Mwanamke ni km pesa ukiiangusha mwenzako ataiokota sasa chiko tulia ww hukujua mke ni km bati usipoligongelea misumari vizuri utalipata kwa jirani tulia kimekuramba uliamua kukaa na shida sai shida zimekurudia😂😂😂😂😂😂
@selestinakazuvi721310 күн бұрын
Chiko anatakiwa atulie kama Moja, awaache Mr Tasha na Zatiti wetu
@NeliaAmbele10 күн бұрын
Chiki na kendiii kula chumamaaa hichooooooo😂😂😂😂.kimewalambaaa🤪🤪🤪🤪
@ElishaClaude10 күн бұрын
Leo namba one. Likes plz
@MonicaElius-ck5vb10 күн бұрын
Anae Sona comment hii mungu ampe maisha marefu 🙏🙏🙏🙏🙏
@HilgathRamadhani-zh8ru10 күн бұрын
Na mim leo nipat lik hat moj jamn
@maria5514-u2g10 күн бұрын
Chiko yuko vizur ni mlevi mwenye kumbukumbu 😂😂
@user-si8ji2nw1c10 күн бұрын
Wee Wacha bwan😅😅
@RehemaJuma-cn5bi10 күн бұрын
A/alaikum jamani leo hakna anaemba like majab😂😂
@RachelJoseph-dy2jh10 күн бұрын
Jaman chiko kimemramba haswa😂😂 nawapenda sana busati tv
@JailosWed10 күн бұрын
Kai Linda sana ndoa Yako na zuuu huyo boss wako sio mtu mzuli sana na dunia hii watu hao wapo wengi sana .Hilo liwe fundisho kupitia mchezo huu asante
@SarahCharls10 күн бұрын
Kweli kabisa ata me nataman ailinde Ili mabic wajuwe wanaume wengine Wana msimamo nitafrah sana
@SarahCharls10 күн бұрын
Kilamba na mwerevu wenzio nawapenda saana yan❤❤
@GloriaNekesa-tz3ph10 күн бұрын
Kweli kabisaa bt hao wenye pesa kile wanataka lazima kitimie zuuuu wetu hapa nikumuombea tuu saana apate nguvu ningumu sana zuuu ajikaze tuu
@JoyceJastini10 күн бұрын
Namm mnipe like zangu nijue zinafaida gani mana kila comment ni yakuomba like
@franktodory10 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂uyu atakuwa chiko ushindi wa yanga mwaka huuuu
Ndoa ya zuu mbn inaanza changamoto ikiwa changa😢😢eeeeh na bado kendy anataka kujileta jamani msitukoseshee zuu wetu raha❤na ww kai ebu kuwa jasiri basi umpambanie mwenzio
@Alice-o5f10 күн бұрын
Teamo zatit nme leo naomb like jmn nmewh😂😂😂
@MathiasBoman-se8fz10 күн бұрын
Nampenda sana boss wa kai mimi ni shabiki wake san
@magdalenamwashiuya640410 күн бұрын
Bongo movie ya kwanza kuniteka ni hii house girl iko 🔥
@nancyg866410 күн бұрын
huyu doctor anaongea kama anasoma habari😂
@mamasalhat10 күн бұрын
Nimecheka namie yaani pua kazitanua kama ana fukuzia inzi macho sasa alivyo yatoa anavyo ongea kama anakata roho khaaaaaaaa
@nancyg866410 күн бұрын
@@mamasalhat 🤣🤣🤣🤣🤣
@elizabethkikoti726510 күн бұрын
@@mamasalhat😂😂😂😂JAMANI
@user-rr5wq6sg6c10 күн бұрын
@@mamasalhat😂😂😂
@user-oj5ro4fk2e10 күн бұрын
Jaman chiko wanichekesha leo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jaman shaka😂😂😂😂😂 chiko kimemramba ❤❤❤❤😂😂
@maria5514-u2g10 күн бұрын
Chisa sijamuona siku nyingi😂😂😂😂😂😂😂🙏
@levinaernest436410 күн бұрын
😄😄😄😄
@mercyassy546910 күн бұрын
Bozen kaboga😂😂😂Kafungiwa na masozii aliambiwa hakuna kutoka
@chunaamina87810 күн бұрын
Labda kashaenda marekani😂😂
@prettyney381210 күн бұрын
Yupo marekani 😂😂😂😂😂😂
@maria5514-u2g10 күн бұрын
@@mercyassy5469 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-wk5yv4um4m10 күн бұрын
Jameni bibi tunakuwamini hujahi kushidwa basi tunaomba usitimiee😢😢😢😢zuu tunampenda sana akiwa anendelea vzur
@user-gw3jh3lw4d10 күн бұрын
Mbona Chiko kimekuramba ilihali unatarajia kuitwa baba 😂😂😂😂😂😂ulikuwa ukijidai sana
@-kagerayetubw9jx10 күн бұрын
Aya sasa ndio mambo ❤❤❤❤
@fatfat909310 күн бұрын
Mapenzi yanachanganya wanaume na wanawake chiko kichakuramba zai nawe kaa makini na.boss ama nawe kikurambe Mr Tasha nawe kaza kamba kwa zatiti ma x wote wafe😂😂
Pati ya chiko ndefu sijapenda sasa zùu unamhukum kai kwa utabiri muacheni kai afurahie ndoa
@ElizabethOsimba-x6u10 күн бұрын
Jamani zuuu wetu,,,ndoa bado ni changa,,,kweli mapenzi yanauma😢
@HijaHassan10 күн бұрын
Namm nipo pamoja na mita taimugu awajarie waowane naisi zatiti atakua na furaaa
@AdelaLudovick-t1p10 күн бұрын
Naomba zatiti na Tasha waoane
@AminaKavuo-gj3oc10 күн бұрын
Wacheza na mapenzi yanauwa🎉🎉🎉zuuh hamewaza mupaka hakaumwa,, zuuh Kai uku kwa hajili yako
@user-oy4ew3tp6r10 күн бұрын
Jamani wanao umia na mapenzi shikamoo😂😂😂
@RebeccaPIUS-cw7xr10 күн бұрын
Weeee😅😅
@levinaernest436410 күн бұрын
😄😄😄😄
@AbdulRazak-wr3ld10 күн бұрын
Nyie hili Kai silipend Yan han msimamo😮
@SwaibatRamadhan10 күн бұрын
Kai nazu mungu awazidishie maisha marefu pamoja nawengine mnanikumbusha mbalisan mie nimeolewa sijatoka hata Saba zamwanzo changamoto zikaanza Ila mpaka sas namiez 8 kwenye ndoa yangu navumilia pambana tu my zuu😢
@bahatisimba10 күн бұрын
Jaman nilidhani ntakua wa kwanza doh
@nurumwinyi79610 күн бұрын
Penzi la tasha na zatti limeanza kua namisukosuko,upande huu chiko upande mwengine sonia,mungu atawashinda
@PeninaLazaro10 күн бұрын
👍👍👍naunga mkono sania kutokuludi kwa tash
@anniesylivester410010 күн бұрын
Kazi nzuri🔥..Ushauri haipendezi io sehemu ya Daktari na Kai 🥹 uyo Daktari kuongea nae akiwa kavaa izo gloves na mbaya zaidi kumshika
@user-uk7dx1yi7f10 күн бұрын
Ata mm sipendi zuu apitie shida tena ameipambania sana hiyo ndoa yake n wakat wakula matunda
@CarolineBosibori-r7r10 күн бұрын
Wacha niwatch before wa kuomba likes kuingia😂
@user-xv5ef5ow5e10 күн бұрын
😂😂😂😂 wamefika❤
@CarolineBosibori-r7r10 күн бұрын
@@user-xv5ef5ow5e 🤣🤣🤣
@Mwana85Mwana85-wz1ol10 күн бұрын
Zuu vp ten jamn mungu wang kiramba mchuzi n mpumbavu mwezake kai kai