Salam alaykum Maalim kidogo apaa vipi kuhusu mifupa ya uyuu mbuzi kuna masharti yoyote ambayo tunatakiwa tufukie hii mifupa ama vp baada ya kula nyama yake uyo mbuzi?
@Happy-be8hh3 жыл бұрын
someni na nyinyi mujue, mtume Aliulizwa na maswahaba wake kuhusu Aqiq akasema mimi sipendi aqiq, kisha akasema anaetaka kufanya afanye
@hajiwakili91596 жыл бұрын
Asante kwa kutudarsisha
@oyay28216 жыл бұрын
Swafii
@Happy-be8hh3 жыл бұрын
Mtume hakufanya hii
@bahashachembea69223 жыл бұрын
Je amekataza?
@fuadcuttah5789 Жыл бұрын
Alijifanyia alivyokabidhiwa utume (sina uhakika lakini ) tuzidi tusome