Kwanza walisema timu imeshajipata, mfano mshabiki GB alisema SIMBA ilishajengwa hakuna cha kuhitaji muda, kwa sasa hana hiyo habari, hamuoni ni MIHEMUKO?
@jackmabirangacharles939810 сағат бұрын
Mchungaji nenda Kanisani Mambo ya MPIRA ni Ya Shetani Mbona huongelei Penart ya Yanga halafu nakuomba nasema kasokee Ukocha halafu ndio Urudi kwenye vyombo vya Habari
@kasokawilliam10 сағат бұрын
Acheni kulala mikasana kwamba munawonewa, Kumbukani zanzibar mulikochifanya na azamu
@NgasaLuhamba10 сағат бұрын
Hamna timu timu libovu mnajipa faraja tu
@MussaRqjqbu10 сағат бұрын
Ndio shida ya kucheza na mabunga ambayo hata dhulma yanashangilia
@iddfundikira281710 сағат бұрын
Ateba alishikwa miguu wapi we liongo bwana mchungaji gani we wa hovyo na muongo.
@alexsakilu26507 сағат бұрын
Nyie Simba ni watu wa ajabu sana mnalalamika hata aibu hamna
@razacklazaro66788 сағат бұрын
Ulitaka achukue vip mpira miguun mwa ateba,Zaid ya alivyofanya
@fettiemaganza14845 сағат бұрын
Hyu mchungaji anafanana na magori au ndugu!? Afu mchungaji tafuta kanisa mpira hauna dini
@SalmaKimwaga8 сағат бұрын
😂😂😂😂
@BaruaniBakari4 сағат бұрын
Hayo.maneno.ya.mkosaji.mme.cheza na azam mme wafunga azam.magoli.ya of said mbona wenzenu wame tulia na msemaji wenu aka tamba sana kuwa.kuna watu washa anza.kulalamika mapema. Mbona mwalalamika.nyie tena
@frankphiri91329 сағат бұрын
Tengenezeni Timu wanasimba ateba alishikwa miguu na kipa kweli wewe ni mchumgaji au mi mchungaji wa ngombe?
@imraniqbal007654 сағат бұрын
Huyu sio mchungaji Mchungaji hatakiwa kua na mihemuko tunakuomba bwana mchungaji tunaomba pia tuelekezee marefa walichezesha mechi ya azam na simba kule zanzibar Ulikua wapi bwana mchungaji
@namfukamaismailna820310 сағат бұрын
Hivi simba akilalamika ndo TFF wanafikiria adhabu? Mbona vichekesho, wanashindwa kuelewa hii ni EMOTIONS tu, sababu hata marefa ulimwenguni hukosea ndo maana ya VAR, TFF msiingie mkengeni, hao wamechanganyikiwa na kufeli kwa UBAYA UBWELA 😂
@fettiemaganza14845 сағат бұрын
Mlifurahia of side mbili za azam mkafurahia penalty ya mchongo ya dodoma mkafurahia refa kupuliza filimbi baada ya coastal kuwa kwenye motion ya goli sa nyie mnataka mfurahi nyie tu😂😂😂😂
@mettanahonyo334510 сағат бұрын
Kolozidad vs Azam - Kolo alibebwa Kolozidad vs Dodoma - kolo alibebwa Kolozidad vs Coastal Union - Kolo alibebwa Tuanze kuongelea mechi hizo tatu alafu ndo tuje ya tarehe 19 October, 2024😅😅😅😅
@achillebanga24929 сағат бұрын
ulisema wewe ni mchungaji malalamiko ya nini tena
@jimmymnuano71656 сағат бұрын
Mchungaji mimi nimekushutukia kumbe wewe huwa unatafuta kiki si ulisema wewe usiku utauzunguuka uwanja na ushindi kwa Simba 100 kwa 100 vipi sasa ? Au ulizunguuka ili Simba ifungwe goli moja nini ?