Shkh shaafi mm Nakukubali kbx 100% Na ninanufaika kwa elimu yko shkh lngu
@Mbwera22 ай бұрын
Tunakupata vizuri kutoka hapa dubai mashalla habib
@hassanrangambo80072 ай бұрын
Mashaalla leta elimu sheikh tuelimike wanao taka mipasho waache watukane
@amadeomarsaide50232 ай бұрын
Wallahi ndugu yangu Abu jaafar umepatia
@RamadhanMgeni-gt1tu2 ай бұрын
Tuko pamoja mwalim
@ABDULLAOALI2 ай бұрын
Rahmatullah, au Rahmahu Allah
@rashidjuma91692 ай бұрын
Uko sawa sheikhe letu
@abdulkhaliqmuhammed4562 ай бұрын
Unapoandika HUU NDO MSIMAMO SAHIHI KUHUSU ARAFA, Unamaanisha waliokutangulia waliluwa hawajui msimamo Sahihi wa Afara?
@AhmadiKindimbo-gw4pl2 ай бұрын
Kwani nyinyi mnapotangaza kinyume na msimamo wake yeye hamsemi kuwa huu ndiyo msimamo sahihi mnasema kuwa hilo jambo Lina khitilafu?
@KhayratMansour2 ай бұрын
Ungejua msimamo sahihi juu ya Arafa kwanza Ushia ungeupisha mbaaali , haiwezekani hata siku moja kuwa Shia kwani Ushia ni upotevu .
@abdulkhaliqmuhammed4562 ай бұрын
Sub7aanaLLAAH Hao unao hakikisha vitabu vyao wanakhatari, Tunakushauri endelea na shughuli nyengine mambo ya mitandao yawache. Alafu endelea kufundisha watu Masomo hayo ya Tawheed na Sharia. Mengine yaache.
@user-he7bq7wq9i2 ай бұрын
Mwamba sana huyu jamaa.
@ABUUJAAFAR922 ай бұрын
Jaahil mkubwa hajawahi tokea duniani
@matendupiterngoge87072 ай бұрын
Hili senge Tena matako makubwa
@mustafahkapopwa-bi7yb2 ай бұрын
kijana mwenye elimu
@UB40X12 ай бұрын
Majusi piya wajua Arafah? 😂😂😂
@amadeomarsaide50232 ай бұрын
Ni Kweli ndugu yangu aache ujinga na ajibu hoja tuone ukweli wake uko wapi?😂😂😂 Miongoni mwa watu boxi tupu huyu namba moja
@assalaafiiabuusalafi2 ай бұрын
Huyo Hana kitu
@ABUUJAAFAR922 ай бұрын
Watu ni wawili wanaokuradd ,bachu,na abuu allman...ulivyomrongo baada ya kushindwa kujibu hoja unasingia huwezi kujibu watu wengi,,wengi wapi? Jibu hoja wacha ujinga
@allymahaba34252 ай бұрын
Tafuta ukweli sio ushabiki. Huyo Bachu na mwenzake hawatakusaidia kitu Siku ya Kiama. Acha kufuata mtu kama kipofu.
@ABUUJAAFAR922 ай бұрын
@@allymahaba3425 kipofu ni wewe unaefuata huyu mjinga
😂😂😂 shia umekimbia hoja za mashia wenzako naona sasa umekuja kwenye arafa ili kuwachanganya watu ,,alafu aqida yako ww nini
@khalidalsinany8932 ай бұрын
ولا تزكوا أنفسكم , تدعي أنك تدرس الناس علم العقيدة ، وفي الحقيقة لا تعرف شيئا عن العقيدة، أنت شيعي رافضي بعيدا عن تعليمات النبي صلى الله عليه و سلم. Wewe unajificha katika kivuli Cha kuwarradd mahabi, kumbe unafundisha watu ushia.
@mohdsheha82952 ай бұрын
Wakati anaongea Mtume kuhusu mwezi 9 alikuwa wapi na kuwaambia nani. Ila hakuna alosema arafa ni mwezi 8 au10 mm naona mwlm ungetulia tu sisi tutaendelea kuwaunga mkono kwenye kisimamo kwa kufunga na kuchinja siku moja
@Dairy-Mambrui12 ай бұрын
2020 na 2021 wakati wa corona kulikuwa maka hakuna hija jee uliunga mkono mahijaji gani na jee Saum ya Arafa ulifingaa?
@Dairy-Mambrui12 ай бұрын
2020 na 2021 wakati wa corona kulikuwa maka hakuna hija jee uliunga mkono mahujaji gani na jee Saum ya Arafa ulifungaa?
@abdulkhaliqmuhammed4562 ай бұрын
Fata msimamo wako waache na wengine na misimamo yao na ukitaka pia kuwaunga walioko arafa ungeenda kufungia arafa kisha ukarudi
@rashidjuma91692 ай бұрын
Ukitaka kujuwa majibwa wa kiwahabi tunaangalia kwenye kometi zako
@abdulkhaliqmuhammed4562 ай бұрын
Na ww pia coment yako watu washakuja wewe ni mtu gani
@rashidjuma91692 ай бұрын
Mawahabi kweli ni mafasiki Kila sampuli ya ufasiki wako nao kama kuwaita waislamu wenzao majina mabaya ikisikiya muislamu ameitwa jina baya juwa Alo mwiita ni waabi
@shabanihugo83322 ай бұрын
Huyo hana elimu
@ahmadSeif8602 ай бұрын
Toa ww tukuskie
@noorululaatv89732 ай бұрын
Lete vitu Mwamba
@khatwabhamid93982 ай бұрын
Sura yake imekosa nuru angejijua angeufyata
@AbdulkasimuDossa2 ай бұрын
غفر الله لك. Netanyahu Allah Amlaani, uso wake unang'aa jee yupo kwenye Haki.!
@mashaurimvungi22322 ай бұрын
Kafiri na ARAFA wapinawapi wewee Yahud
@MB-yq3ty2 ай бұрын
Unamtaja Abuu Daudi wa nini wakati yeye sio Shia.
@assalaafiiabuusalafi2 ай бұрын
Mwambieni ataje makafiri wenzake
@selemankishema57802 ай бұрын
Kaka kuna watu wakiongelea dini wanapata thawabu kila kitu lakini wewe kila ukiongea basi unajuchima madhambi muogope Allah
@ahmadmzoa742 ай бұрын
Ndo hivyo tena tuvumiliane. Mtume swalla LLAHU alayhi wassallam kazaliwa Makka,kafariki Madina. Hijja huwa Makka kwa tarehe ya Hijaz na si vinginevyo, ndo Ishakadiriwa,hata kama mtu anaumia avumilie tuuu...Hamna jinsi .Tunapoteza muda,Hijja iko Makka na kwa tarehe za Makka al Mukarrama. Ndo usubiri tena utafanyaje labda uende karbala.