No video

SHK ABDULQADIR ALIPOULIZWA KUHUSU ARAFA NI MOJA AU KILA NCHI NA ARAFA YAKE

  Рет қаралды 50,777

Riyadh Tv Online Znz

Riyadh Tv Online Znz

Жыл бұрын

#riyadhTvZnz #zanzibar

Пікірлер: 249
@shekhsamiudinonlinetv8272
@shekhsamiudinonlinetv8272 Жыл бұрын
Huyu ndo shekh wangu wa kumuiga mungu ampe umri mrefu
@abbashussein-hz4dr
@abbashussein-hz4dr Жыл бұрын
Namuomba Allah akuweke na akuhifadhi na kila shari na balaa za watu na majini akupe umri mrefu wenye kher nawe tupate kuelimika Ammyn🤲🤲🤲❤❤❤
@fahmymasoud1205
@fahmymasoud1205 Жыл бұрын
Allah akulipe,hakika hii ndio elimu ya kisalafy,sio kujiona bora kuliko wengine na kudharau wengine,,,,Allah akuhifadh sheikh
@iddswalehomar1323
@iddswalehomar1323 Жыл бұрын
Huyu bingwa hajazungumza kimrengo amezungumza ilimu ilivyo lau mashekh zetu wote wangekuwa hivi ingekuwa Bora zaidi lkn weengi niwale wa kupigania mirengo
@musakibwana4596
@musakibwana4596 Жыл бұрын
Tunagawanywa kiushabiki na mashekhe wanaotafuta dunia na umaarufu
@mundhirhassan2708
@mundhirhassan2708 Жыл бұрын
Kwaiyo unakubali laiti mashehe wote wangekuwa wajinga kwenye mas'ala ya mwezi kama huyu sio. Huu ni ujinga na hakuna kumepelekea kuongea uo ujinga ispokuwa ni kutokuwa na ílmu nalo. Na ndio maana wakasema wanachuoni "mjinga hawezi mjua msomi lakini msomi anamjua mjinga kwasababu kabla ya kuwa msomi alikuwa mjinga. Ndugu tafuta ílmu na ujue sio kumuona mtu anaongea ukajua kupatia, huyo kakosea kwa mujibu wa dalili za hadīyth.
@HamadAlly-ki8lr
@HamadAlly-ki8lr Жыл бұрын
Alichozungumza ni kwamba watu waifuate BAKWATA lakini yeye mwenyewe amesema nchi yetu ina uhuru sasa ndo tunatumia uhuru huo ili pale na UMOJA katika hili basi inabidi wenye mamlaka waseme mwenye haki ya kutangaza ni BAKWATA TU
@omariaman7818
@omariaman7818 Жыл бұрын
​@@mundhirhassan2708sheikh hakakosea ila kaongea kihekma kama umemsikia mwanzo kabisa kasema ni vyema kufata saudia arafah
@rashidbuzubona6577
@rashidbuzubona6577 Жыл бұрын
@@mundhirhassan2708 kayapime maneno yako ww muogope mungu hy shekh hana ilmu kweli ndo inswaafu ya ilmu kweli ndugu?
@mohamedlamimu
@mohamedlamimu Жыл бұрын
Jazakalllah khairan Sheikh! Sijapatapo kuona ahla sunna mwwnye hekima na busara nyingi kama wewe!
@m.othman866
@m.othman866 Жыл бұрын
Wallahi namkubali sana huyu Sheikh. Ana inswaaf na Khofu ya Allah. Allah amfhifadhi.. Anatumia kauli zote bila ubaguzi.
@MuhammadRajabu-uy9sz
@MuhammadRajabu-uy9sz Жыл бұрын
Shukrani Sana she
@user-yh5fu5lo9r
@user-yh5fu5lo9r 4 ай бұрын
Asalam alaykum sheykh wewe umesomea wap
@MuhidiniNassor
@MuhidiniNassor Ай бұрын
​@@user-yh5fu5lo9rkwenu
@abasinho1094
@abasinho1094 Ай бұрын
Anatiwa Abdulkakadeer ,kaka ake na kishk na ukoo unaotokana na Mtume Muhammad S A W..huyu ni msomi wa fatwha,al Qur'an wal hadidh....
@AhmedAlharithiy-sg5cq
@AhmedAlharithiy-sg5cq Ай бұрын
ما شاء الله بارك الله فيك يا شيخ استمر في نشر الوحدة والاعتصام
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Mashallah mashallah mashallah sharfu abdr qadir nakuelew vizr snaa,,Yan wew anajitahd sana kutogawa waislm,,Allah akulpe syo kam mashekh wengn wanawagawa waislm,,, Allah akulpe,,Kila la kher
@hamisisalimu6908
@hamisisalimu6908 Жыл бұрын
Mashallah shukran sana sheik wangu asalaam alaykum warahmatullahi wabarakat Alhabib, jazaaka Allah kheir
@binaamour318
@binaamour318 Жыл бұрын
Mash lwah mm huyu alhadal namkubali Sana majibu yke hayana mihemuko n elmu na maslah mbele y umma wa kiislamu baark Leah fyka huyu ndie sheikh asie na jazba ya kielimu
@ZuleikhaAbdallah
@ZuleikhaAbdallah Жыл бұрын
Kabla ya kuandika chochote nimepitia comments zote alhamdulillah nikakuta wengi wenye kuvutiwa na usulubu wa sheikh huyu alotumia katika maelezo yake. Ila pia la kusikitisha xikuwakosa wazee wa misimamo isiokua na elimu nao wakaandika utumbo wao wa kumdhihaki Sheikh Dah subhaaanallah kwa kweli kuwaridhisha watu wote ni ukomo ambao haujawahi kufikiwa MUNGU akuhifadhi sheikh nimevutiwa na mawaidha mazuri kabisa yenye inswaafu
@omarsuleiman9064
@omarsuleiman9064 Жыл бұрын
Kwakweli hyu shekhe yupo safi sana hapigi kelele Allah akuhifadhi
@abdulhida8291
@abdulhida8291 Жыл бұрын
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
@muhidinzuberi8708
@muhidinzuberi8708 Жыл бұрын
Wallah huyu nishekhe kweli Allah amjalie afya
@omarabedi1372
@omarabedi1372 Жыл бұрын
Allah akuifadhi tungepata masheik kama hawa ingekua rahasana akika allah akuifadh
@mansourmahseinal-amry2206
@mansourmahseinal-amry2206 Жыл бұрын
kuna kitu kinaitwa amana na ikhlas katika dini sheikh abdurkadir anamuongopa mola wake ana zingatia maslah ya umma na uisilamu mungu akujaze kheir آمين
@muhammadiabassi656
@muhammadiabassi656 Ай бұрын
حفظك الله ورعاك
@huseni9146
@huseni9146 Жыл бұрын
Mashaallh shukran jazakalah khairi shekh Allah akuhifadhi
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 Жыл бұрын
شكرا وجزاك الله خيرا وبارك الله فيك
@munic6686
@munic6686 Жыл бұрын
Jazakallahu khaira
@mariamthabit9773
@mariamthabit9773 Жыл бұрын
Maa'shaa Allah barakallah fiykum
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Unaeleweka vzr sana abdr qadir,, mana unaweka vitu sawaa,,syoo kama mashekh wengne wanatfta kujifny wamesoma snaa kulko wengne,,allah akuweke zaid,,,mana hupend kugawa waislm kwaa,, maswlaa ya hitirafu,, Allah akuhfz
@kassimhassan8426
@kassimhassan8426 Жыл бұрын
MashaAllah ust
@AshouHumaid
@AshouHumaid Жыл бұрын
Mashaaa Allah Tabaraka Allah hakika Sheikh umefahamisha kwa ufasaha yapasa kuzingatia kwa wenye hekma.Jazzak Allah khairan.
@maulidmnukwa3171
@maulidmnukwa3171 Жыл бұрын
Maashallah .... Haya ndio mambo ya Watu kujifunza kuwa sisi ni wadogo saana kuliko umri wa farqa baina ya maswala ya dini... Oneeni waislamu huruma masheikh kaeni chini yajadilini mambo kwa uadilifu na muwaunganishe waislamu maana khilafu ipo katika mambo
@sygtamks1643
@sygtamks1643 Жыл бұрын
Masha Allah kaongea pwenti
@abdililahahmed3095
@abdililahahmed3095 Ай бұрын
Kuna tofauti kubwa sana baina ya mtu aliyesomeshwa elimu na aliyejisomea, Sheikh Abdulqadri ana elimu fasaha sana tena ana ikhlasi kubwa sana.
@zahranahmed4263
@zahranahmed4263 Ай бұрын
MashaAllah maneno mazuri na iliobakia ni kufuata multi wa nchi na sote tuwe kitu kimoja hii ndio sawa
@hamadrashid5140
@hamadrashid5140 Жыл бұрын
Mashallah Allah akubarik sheikh
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv Жыл бұрын
MASHA ALLAH sharif 🇰🇪💚💚💚💚💚💚
@SekaMaster45
@SekaMaster45 4 ай бұрын
Upo sahihi Shekh Nimekupenda sana❤❤ Allah Akujaalie mwisho mwema Inshallah
@abdulsataribashiri8300
@abdulsataribashiri8300 Жыл бұрын
Uyu ndo Sheikh Sasa wallahi nd maana huwa namkubali sasa Very good point yaan hata ambaye Hana ilmu Ana elewaa safi sana sheikh
@AbuuAyman-nq6xk
@AbuuAyman-nq6xk Ай бұрын
لله درك ياشيخ!! أين الخطباء فيسمعوا ويأخذوا منك (واعتصموا بحبل الله جميعاولا تفرقوا)
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 Жыл бұрын
Sllah alupandishe cheo shekh na kukubali .naomba uwe ukituelimisha unapo kuwa na wasaa inshaalah .
@halimaa9367
@halimaa9367 Жыл бұрын
Shukran sana maneno yko mazur sana ❤
@mahdy011
@mahdy011 Жыл бұрын
Allah akubariki sheikh
@hutiswalehe2444
@hutiswalehe2444 Жыл бұрын
Allaah akurehemu shekhe,ww ni mwanachuoni wa kufaa kuckilizwa
@fahmiabdulla7690
@fahmiabdulla7690 Жыл бұрын
MASHAA ALLA
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh Жыл бұрын
Vema sheikh shukran
@jumamohamed4808
@jumamohamed4808 Жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@mohamedalimwangare
@mohamedalimwangare Жыл бұрын
Mashallah thuma Mashallah Alhamdulillah yaani maelezo yako wenye fahamu wakiyazingatia basi hakuna kuvutana wala kukejeliana wala kudharauliana na kuvunjiana adabu.
@nasrarichadi2278
@nasrarichadi2278 Жыл бұрын
Wewe ni mcha Mungu allah akupe afya njema na akupe umri mrefu
@user-cz6zt8dw7b
@user-cz6zt8dw7b Жыл бұрын
Maashaallah maashaallah
@zeitunMohammed
@zeitunMohammed Жыл бұрын
Mm nko wa kusema Kila mtu Ana Arafa kulingana na mwandamo.lakini Lau watu wangefwata anavyo sema huyu shekh hakuna mzozo kabisaaa.jazaakallah akhul fadhila
@user-yl8qv5lc6h
@user-yl8qv5lc6h Жыл бұрын
Masha Allah
@aninanichasi422
@aninanichasi422 Жыл бұрын
maashaallaah umesema kweli allaah akuhifadhi
@hassanfeiswal5454
@hassanfeiswal5454 Жыл бұрын
Shekh Allah akuhifadhi, umebakisha neno moja tu kusema ilitokea wakati wa maswahaba kukhitilafiana wakafunga shamu mapema kabla ya madina tab'an huko kweli ni kutofautiana kwa kuona siyo kuandama Hasha. Lakini katika kutofautiana huko Sham walifunga na kufungua pamoja, na Watu wa madina walifunga na kufungua pamoja. Haya ya nchi moja au mji mmoja kuwa na iddi mbili au kuwa na saumu wengine wana Idi hiyo Shekh Bila kuutafuta maeneo Ungeufahamisha umma kuwa ni Bid'a TENA ni Munkar. Allah akupeni wanazuoni wetu, Ujasiri katika kufikisha, maana kwa wanazuoni mtaulizwa siku ya kiama
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 Жыл бұрын
Una akili sana wewe mashaallah Allah akuruzuku hekima nabusara
@user-zg6qk8fu4g
@user-zg6qk8fu4g Жыл бұрын
Insha Allah Allah awalipe dungu zangu
@SuleimanBabu-yf9dp
@SuleimanBabu-yf9dp Жыл бұрын
mwenzi mungu akukinge na sharizawatu namajini
@JK-um6op
@JK-um6op Жыл бұрын
Kwa hakika shekhe kazungumza maneno ya busara Kabbisa hata huwezi kumwamuliya ni wa kikundi gani.. Allah atujaaliye hekma na busara sisi na viongozi wetu wa dini.. Baarak Allah feek ya sheikh wa ahsana Allahu ileyk..
@user-my2tf2xc9k
@user-my2tf2xc9k Ай бұрын
Shuklan sana kwa elimu nzuri sana shekh ombi langu tumia busara na elimu kama hii kukaa na viongozi wetu ili kuyajenga wambie sio tu haipendezi bali inaturudisha nyuma sana hatupigia hatua.pia kama kuna jambo la kutengeneza dini basi kaeni chini mashekh muyajenge maana kujibizana kwenye midia tunadhalilika
@user-bz1wl4si8j
@user-bz1wl4si8j Жыл бұрын
Wewe mzee una hofu ya Mungu Allah akuhifadhi...nafarijika sana na fatua zako kwa hakika wewe ni sheikh ila huyu kijana wako kishk anatuvuruga sana 😇 lakini tunamuombea dua kwa Allah amuongoze katika njia sahihi inshallah
@sikukuuchuo3093
@sikukuuchuo3093 Жыл бұрын
😂😂😂😂ety kijana wako
@SoudShuraim
@SoudShuraim 28 күн бұрын
Mdg wake,alf kishki sio shekhe
@hon.fahadijumalikwena1012
@hon.fahadijumalikwena1012 Жыл бұрын
Kuna jambo la kujifunza sheikh ametoa somo pana mno. Allah amuhifadhi
@mwaramimwarami1479
@mwaramimwarami1479 Жыл бұрын
Baaraka llahu fik
@harunatumba8447
@harunatumba8447 Жыл бұрын
Maashallah mashekhe kama hawa ndio tunaowahitaji katika dini na sio wale wanaovutia upande wanao amini wao
@HossamHossam-zs1hk
@HossamHossam-zs1hk Жыл бұрын
مشالله تبارك الله جزاك الله خير الجزاء يا شيخ
@makoyeghorofa1946
@makoyeghorofa1946 Жыл бұрын
J
@nasrarichadi2278
@nasrarichadi2278 Жыл бұрын
السلام عليكم يا شيخ أنا محي الدين من كهم شنيانغى تنزانيا أقر أني أحبك لله
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 Жыл бұрын
Nimeipenda sana hii
@swahibually8349
@swahibually8349 Жыл бұрын
Alhamdulillaahi rabbi l-aalamiin, Mawahabi naona mnaanza kuelewa kidogo kidogo MUNGU awajaalie muelewe kilichozungumzwa na Wanawachuoni Wacha Mungu,mngelifahamu hili tangu mapema wala kusingekua na mizozo
@jumahory859
@jumahory859 Жыл бұрын
Jazzaka llah kheri umefafanua kielimu na unatumia farsafa ya Aya nahadithi zamtume sw hivi ndivyo inavyotakiwa
@saidessry9942
@saidessry9942 Жыл бұрын
Baarakallahu fiika
@muhammadhussein3061
@muhammadhussein3061 Жыл бұрын
Maashaallah sheikh umetumiya hekmaa(busara ya Hali ya juuu) waislamu haipendezi kufarakanaa .
@kawiyamngoni4656
@kawiyamngoni4656 Жыл бұрын
Mashaallah shekhe wangu
@fahmymasoud3653
@fahmymasoud3653 Жыл бұрын
Mash Allah,elimu yenye taqwa,hii ndio elimu maana ina hofu ya Allah
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 Жыл бұрын
Sahihi kabisa
@athumanikadaika5817
@athumanikadaika5817 Жыл бұрын
Elimu na ucha mungu vikikaa pamoja athari yake ndo hii. Hakuna kutiana motoni wala kutoana peponi kwasababu ya hitilafu. Namuomba Allah akuthibitishe ktk waja wema wenyekufuatwa.
@muddypara5511
@muddypara5511 Жыл бұрын
Allah akuhifadhi
@rashidabasi7940
@rashidabasi7940 Жыл бұрын
Kishki ajifunze uadilifu kwa huyu Sheikh Allah ampe furaha dunai wa Akhera. NAPENDA SANA FATWA ZAKE WITH EVIDENC
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 Жыл бұрын
Moja ya masheikh nguli nchini👍
@abdullah-eq3lt
@abdullah-eq3lt Жыл бұрын
huyu ndio shekh aliepata elimu ya uchamungu
@abdallhabinmkasibayyat6657
@abdallhabinmkasibayyat6657 Жыл бұрын
Kiukweli tungekuwa na masheikh kama hawa kiukweli ni raha
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 Жыл бұрын
Mashekh jifunzeni kwake huyu shekh kaongeya vizuri dini yetu inatakiwa tupate mashekh kama hawa naamini wengi wangielekeya katika dini .Allah atuongoze .
@user-sn9nm1wu9j
@user-sn9nm1wu9j 4 ай бұрын
hiyo ndio dini shekh maahashallah uislamu umoja
@aljabery.binruz
@aljabery.binruz Жыл бұрын
Ww riadh Medio,tueleze unamanagani kusema msikize ndugu ya kishk.???tafathali fafanua
@jabirhussein4180
@jabirhussein4180 Жыл бұрын
Kaongea vizuri sasa mbona kishki anasema hakuna arafa mbili
@user-mi3cs9lc6y
@user-mi3cs9lc6y Жыл бұрын
Masha Allah mawahab kuwen na inswaaf si kila kitu ni kubisha .naam shekh huyu ni mwamba ktk elimu.
@user-ci5wm8fb1x
@user-ci5wm8fb1x Жыл бұрын
Unajua maana ya wahabi
@saba-gv3mj
@saba-gv3mj Ай бұрын
​@@user-ci5wm8fb1xtuambie ww mana ya wahabi ni nn
@saidessry9942
@saidessry9942 Жыл бұрын
@IbnuAlly-cg2gn pametajwa akhui Ili kujua nusus na Hadith kuna mambo mengi ya kuyasoma ndio mana nakuwa sina la kusema hapa kwasababu watu wengi hawayajui haya lakini kuelewa nusus na kujua kuzifanyia kazi ni jambo zito lazima upitie fani tofauti tofauti na hili linahitaji muda mrefu wa kusoma sio kujisomea kitabu kusoma darasani marhala marhala Kwa ufupi awamu nnas wawo juu yao ni kufuata wanavyuoni walivyosema na hili halikosi kutofautiana wijhatu nadhar ktk masaaili rai kwahio kila mtu afuate qauli anayoiona sahihi bila kumkufurisha mwenziwe wala kumuona ibada yake haitimii Na kufuata qauli ktk aqwali njia rahisi ni kupitia ktk madaaris islamia au madh habu Nafikiri maneno haya ni bora zaidi ktk kufahamisha kuliko kuanza kujadili riwaya na na makusudio ya nassi kitu ambacho watu wengi hawana ujuzi nacho au sio jukumu lao aslan wabaarakallahu fiik
@abuuanuwar4986
@abuuanuwar4986 Жыл бұрын
Safi sana kuanzia leo wewe ndo shekhe wangu
@user-mf3be5ej7z
@user-mf3be5ej7z Жыл бұрын
Aalimun minkibarul ulamaa
@lubuva708
@lubuva708 Жыл бұрын
Sheikh Yuko sahihi
@suleimanamlima6023
@suleimanamlima6023 Жыл бұрын
Ujumbe mzuri
@emmynoby9806
@emmynoby9806 Жыл бұрын
Anajua sna anahikma
@HamadAlly-ki8lr
@HamadAlly-ki8lr Жыл бұрын
Muwe mnasikiliza vizuri maneno ya wasemaji na kuyafahamu
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын
Ndyoo huyoo ndoo shekh mm huwaa namfatria snaaa,,yani hatak kujifnya kuwaa yy ndoo yy,, japokuwa ana elim kubwaa zaid,,
@ashurakabura7268
@ashurakabura7268 Жыл бұрын
Sheikh hujatwambia jibu je Arafat ni 1ao ni mbili ?
@muhammadiabassi656
@muhammadiabassi656 Ай бұрын
Ni kweli
@asmabawazir9239
@asmabawazir9239 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa maneno yako
@ahmadmzoa74
@ahmadmzoa74 Жыл бұрын
MAASHAALLAH Tabaraka LLAH,"Adalatul l-i'lmiya"
@user-ur6tj9dt5k
@user-ur6tj9dt5k Жыл бұрын
Kila la kheri shehe wangu
@mokitaa8750
@mokitaa8750 Жыл бұрын
MASHAALLAH
@mafiatv5479
@mafiatv5479 Жыл бұрын
hy ndo ajua hakki
@hassaniibrahim300
@hassaniibrahim300 Жыл бұрын
Asalaaam aleykum
@ttyyyyuuuuuu
@ttyyyyuuuuuu Жыл бұрын
*Arafah:* Ni pahali pako Maka panaitwa Arafah na hapo liko Jabali linaitwa Arafah au kwa kina jengine Jabal Arahma na mwaka mzima liko na pahala pako *Yaum Arafah:* Ni tareh tisa Dhul Hija ni siku inaitwa Arafah kwa wanao hiji wanatakiwa siku hio waweko pahala hapo ambapo panapoitwa Arafah, ni katika nguzo za Haji huko na waliokuwa hawahiji siku ya Arafah yaani tareh tisa Dul Hija ni suna kwao kufunga. Kuita tarekhe kwa kitendo au tokewo ni kawaida, kama vile Aam Al Fill (Mwaka wa tembo), yaum nahar (siku ya kuchinja,) ayam tashriq, ayam tasii, yawm tarwiya, ayam biydh, aam huzn n.k. *Vitu viwili tafauti baina pahala na tarehe na kila pahala pana tarehe yake haitangulizwi wala hairejeshwi* Haikuthibiti Kuwa Mtume (ﷺ) baada ya kuhamia Madina alikuwa akipeleka wajumbe Maka ili walete habari ya Mwandamo wa mwezi wa Maka ili na wao wafate Mwandamo wa Maka na wapate Arafat Moja, pamoja na Maka na pia haikuthibiti alipokuwepo Maka au alipohiji alikuwa akiwapeleka wajumbe wake katika Miji ya karibu kama Madina au Ttaif ili awape Waumini habari kuwa wafate mwandamo na Arafah ya Maka. Aliyekuweko katika nchi amabazo zimechelewa kuona mwandamo wa Mwezi basi si vibaya ikiwa atafunga siku ya tarehe nane ya Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya tarehe 9 ya Maka yaani ni siku ya Arafah ya Maka kisha akakamilisha kufunga siku ya Tarehe 9 ya nchi yake ambayo itakuwa ni siku ya Arafah kwake. Lakini muhimu asifunge siku ya yarehe 10 Dhul-Hijjah ya nchi yake ambayo ni siku ya Idi kwao.
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn Жыл бұрын
Ikiwa arafah ni pahala na ikiwa siku ya arafah ni mwezi 9 je haya mafungamano ya pahala na mwezi kwa sisi tusiokwenda hijja yametokea wap ata tuiite siku ya arafah? Ni sawa haikuthibiti kuwa mtme صلى الله عليه وسلم alikuwa akipeleka watu kutafuta habar za mwezi wa makka lakin je imethibiti alikuwa akizikataa habar za mwezi wa huko?
@user-lb2lx5bq6e
@user-lb2lx5bq6e Жыл бұрын
Aliziamini taarifa ila zilikuwa za sehemu hizohzo alizokuwa akikaa , haikuthibiti pia kuwa alipokea taarifa za masafa makubwa kama Tanzania na Saudia , kama ipo taarifa hiyo ya masafa hayo tuletee hy simulizi
@mohamedmnango3660
@mohamedmnango3660 Жыл бұрын
Huyu ni ulamaa mukhlis
@fakikombo7114
@fakikombo7114 Жыл бұрын
Kwani arafa ni ck ngapi?
@alkhalilmussa5633
@alkhalilmussa5633 Жыл бұрын
hongera sana
@madrasashoptvonline4175
@madrasashoptvonline4175 Жыл бұрын
Mashallah HIV ndio masheikh wanatakiwa wawe
@habibakhalfan1065
@habibakhalfan1065 Жыл бұрын
Watu_wanadharauliana_bila_ya_kumukhofu_Allah
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 Жыл бұрын
Huyu kweli ni msomi
@user-oc2xe8gm6b
@user-oc2xe8gm6b Ай бұрын
anaekima uyu shehe mashallah ajikwazi kwa,elimu aliokua nayo
@samirasaid7587
@samirasaid7587 Жыл бұрын
Issue sio kupendeza, tunataka dini inasemaje Aidha quran inasemaje shekhe tusaidie hivo
@kassimomar7589
@kassimomar7589 Жыл бұрын
Hii ndio mzur sio yule anae hukumu watutu tu
@hamadibausi9543
@hamadibausi9543 Жыл бұрын
Tatizo siku hizi watu wanafanya mambo kwa kutaka waonekanae wanajua zaidi bila ya kuanfalia athari za ria zao.
ARAFA NINI? SHORT CLIP, SHEIKH SHARIIF ABDULQADIR AL-AHDAL.
8:48
Kishki Online TV
Рет қаралды 2,3 М.
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 123 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 136 МЛН
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 45 МЛН
CHOCKY MILK.. 🤣 #shorts
00:20
Savage Vlogs
Рет қаралды 20 МЛН
Fatawa Za Ulamaa kuhusu siku ya arafa
10:31
Sheikh Mbarak Ahmed Awes
Рет қаралды 5 М.
SHEIKH MUHAMMAD IDDI AWAJIBU TENA WAPOTOSHAJI KUHUSU ARAFA.
34:03
BABDEO MILADU
Рет қаралды 86 М.
Funga Ya Arafa Ni Lini? / Shekh Mziwanda Akijibu Swali
1:45
DARSA TV
Рет қаралды 2,3 М.
HUU NDIO MSIMAMO SAHIHI KUHUSU ARAFA! DALILI HIZI HAPA!! SHAFII BASALIM AL-SALIMY
23:57
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 123 МЛН