Рет қаралды 8,344
Hii ni makala ya masaa mawili yenye simuliza nzito za mambo magumu aliyopitia Sheikh Mussa Kundecha katika harakati za kuipigania Dini ya Kiislamu Tanzania.Sheikh anaeleza mengi ambayo hajawahi yazungumza popote Kabla.
Tazama na tunaomba utupe maoni yako...Ahasante kwa kutazama.Usikae mbali mengi mazuri yanakuja.