Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 71
@yayananajota58386 ай бұрын
Ecuador one of dangerous place to be,, in Latin America fo long tyme,, frm Vanuatu we get u🇫🇯
@saumusalimuhassan24996 ай бұрын
MAKALA hizi sipendi kuzikosa kusikiliza, na msimuliaji nae Mashallah 💕
@malimanyanja5626 ай бұрын
Samaha dada naomba no yako
@sadamissa56876 ай бұрын
Fredric Bundala sky worker daah nakukubali sana toka nakua nakusikiliza bro Allah akuweke sana
@user-xl4uc5px9j6 ай бұрын
CNN ya Tz ni @simulizi na sauti hongera sana skywalker
@sonnyr18996 ай бұрын
Hawa jama wanapesa na kuepuka kuwa mtumwa sio jambo rahisi. Bank za nchi zao zinawategemea. Ukitaka kuwafahamu tazama tu Netflix kuna Series zao. Narcos. El chappo
@worldhappiness11816 ай бұрын
Huyu jamaa sio wa kawaida hata kidogo, sema kudos to rais, he is a Man
@user-eb7oi2bx6s6 ай бұрын
Fredy ww ni nyoko kwenye kutangaza sauti yako inatosha kufundishia chuo kikuu🔥🔥
@mohamedismail26626 ай бұрын
Fredric Bundala sky worker good work keep it up
@tiffanyakramJr8226 ай бұрын
Asanteee bro!🙏👏👏
@user-ng6ep3hi4c6 ай бұрын
Tatizo South America na latin America viongozi wa serikali wote mafia
@allahisone63866 ай бұрын
😁🤦😁
@starjay30526 ай бұрын
watu kama awa me ndio nawakubali ata kazi nafanya nae tu kiroho safi roho yake kama yangu tu
@stanastana31996 ай бұрын
Ausio
@edwardtrigga57016 ай бұрын
We una roho gani loser tu acha kuangalia sana movie
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Unajisifia kuwa na roho mbaya una akili kweli?!
@isdorchuvu62806 ай бұрын
Dawa za kulevya Ni sumu nenda kaangalie mtaani vijana wanavyoangamia , watu wanaouza dawa za kulevya hawastaili hata kuishi hawana tofauti na mchawi tu .
@johnrevocatus99556 ай бұрын
😂😂😂@@edwardtrigga5701
@hezronjoseph4056 ай бұрын
Ajichanganye tanzania, watu wapandishwe vyeo😮😮😮
@alzawahirabdallah22996 ай бұрын
Hao panya rodi wanawasumbuwa
@hezronjoseph4056 ай бұрын
@@alzawahirabdallah2299 nazani watu wasio julikana umewasahau🤔🤔
@bernardjustine65246 ай бұрын
Ungekua unaandika kama hii makala ni 360 maana nakikubali sana kipindi japo ni ngumu kujua kama hii ni makala 360 @simulizinasauti
@manjeonline17796 ай бұрын
He is cute 🥰 😢😢
@vibetz99916 ай бұрын
Yote Tisa,,,,,,, kumi Hizo nchi zina pisi Kali kmmmk
@wilsonmaduhu49216 ай бұрын
Mtu hatar sana huyo....
@FredMwamgogwa-td6ni6 ай бұрын
Hatari sana
@yohanadavid67246 ай бұрын
Ninafurai sana ninapo iona Makala 360, Makala yenye kujuza na yenye uchambufi yakinifu inanifanya nizidi kua shabiki na mfuatiliaji namba moja wa SNS.
@adolphmwangoje28876 ай бұрын
😂😂😂😂 wakina ado htli Sana
@user-qp8ud5me2t6 ай бұрын
asante kwa tarifa sky worker
@doricelugundiza48496 ай бұрын
Handsome🥰🥰🥰
@user-gg2yv6sz2l6 ай бұрын
Ulipotea Sana kaka
@bajosdamour23476 ай бұрын
Tumekua tumemiss hii kitu aisee😭😭
@awazioga18236 ай бұрын
Hao magereza ni timu yake fito yaani wote ni WA Moja
@user-oo3np9be8m6 ай бұрын
Sky unajua adi una keraaaa😂😂😂
@vibetz99916 ай бұрын
Nilimuona kigamboni anavuka pantoni
@ashurajengela39266 ай бұрын
Raisi wa iyo nchi haki ana kazi ngumu sana 😢😢😢
@GeorgeAkasha-zx2rj4 ай бұрын
Tatizo katiba zao zimamnyima mamlaka rais.Hao jamaa wasingesurvive kama sheria zao zingekua hazina loop of henle ndugu.
@user-wc5jc8vp6u6 ай бұрын
🙏🙏
@King_Of_Everything6 ай бұрын
👍👊✌️。
@emmanueljohn51626 ай бұрын
Serikal nzima iko kwny payroll yake....sio mafia sema anajua kula na serikali na kuilipa zaidi top bureucrats
@issanaseeb76996 ай бұрын
Natamani kuwa mafia Tz
@binyuraezbon-uq4tz6 ай бұрын
Hahahahahah
@kaditokenya68736 ай бұрын
Taarifa msomaji nampa maua yake lakini huyu mafia aletwe Kenya atanyooka tu
@binyuraezbon-uq4tz6 ай бұрын
Hahahahahah
@binyuraezbon-uq4tz6 ай бұрын
Mmeshindwa kuzuia waandamanaji mtawaweza hao ma mafia
@kaditokenya68736 ай бұрын
Kuandamana sio vita aje tu aone tulivyopinda si unaona waandamanaji wanadil na police lakini jesh haliingilii maswala ya kipuzi
Huwa napenda hawa jamaa sana,akina el chapo,pablo,el mayo.....wako wengi sana
@isdorchuvu62806 ай бұрын
Wewe endelea kuwapenda ,lakini si unajua madhara ya hicho wanachokiuza au ?? Nenda mtaani utaona mateja wanavyoangamia.
@babuafya34466 ай бұрын
dawa dogo tu wapitishe sheria ya kuwapiga risasi
@user-uo8xw9kr4b6 ай бұрын
Ata ukiua mmoja wengne wapo watoto wao pia wanarithi hio biashara jamaa zao man ni matajir kuliko hat serikal zao
@raphaelkaswahili3236 ай бұрын
Askari 3600 kwa mtu mmoja tu? Aaa weeee Tz hatuna huo ujinga huuliwi hadharani ila utapotea kimya kimya
@syntaxsaintezzer55476 ай бұрын
Weweeeee panya road tuh wanasumbua uku ! 😂
@raphaelkaswahili3236 ай бұрын
@@syntaxsaintezzer5547 wako wapi mpaka Sasa ? Alafu elewa Fito ni tukio la kitaifa ambapo shughuli zote ninasimama kwajili ya Fito 1 ,,,,,panya wako wanamalizagwa na mgambo pekee
@rithadonatus81106 ай бұрын
Jamani ni handsomee😅
@jumaabas68375 ай бұрын
Uzinziii tuuuu
@sadamissa56876 ай бұрын
Bongo wangeshamuua😅😅😅
@sanoureyaliwadoakaroyo16966 ай бұрын
Haoo Jamaa Ni Matajiri Hatarii Pia Wana Ukaribu na Wakubwa Serkalin Sio kma unavyo Fikiria Wewe
@yasminoluoch1696 ай бұрын
Bongo wako hawauliwi ng'o hawa ndo wabeba nnchi😂😂
@PeterMalima-fc4tf6 ай бұрын
Nyie mnawachukulia poa hao watu na wao Wana majeshi Kwa mfano Sinaloa cartel ya El Chapo Guzman Ina wanajeshi zaidi ya 4000 ilo ni genge tu la drugs lord na anawapata jeshini wanaochwa baada ya mafunzo anawasign kwenye genge na wanapewa mafunzo tena ya kijeshi na Wana silaa nzuri na hatari kuliko ata polisi na wanajeshi WA mexico,Kuna siku polisi walijichanganya kumkamata mtoto WA El Chapo,genge liliingia mtaani na kuanza kuua watu na kuchoma Mali za watu Hali iliyopelekea rais WA mexico kuwaamlisha polisi wamuachie
@FredMwamgogwa-td6ni6 ай бұрын
Weee hao jamaa wasikie tuu
@binyuraezbon-uq4tz6 ай бұрын
Yan ww unaona nchi yako ni moja kati ya nchi serious hahahaha unachekesha
@jeremiahmwanyanje50126 ай бұрын
jamani mnamsahau Esmael "El Mayo "Zambada makala yake Mwamba sana Zaid ya dolla ml 15 zimewekwa na US wakina Pablo na El Chapo tumezikia sana kiongozi tupe iyo mkuu tumeiomba sana