POLISI DSM YAWANASA WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA DSM

  Рет қаралды 125,266

Millard Ayo

Millard Ayo

5 жыл бұрын

Jeshi la polisi kupitia kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya kinawashikilia watu watatu wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya. Mkuu wa Kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Salim Kabaleke ameeleza mbele waaandishi kuwa walipokea taarifa kutoka kwa raia wema kuwa huko maeneo ya Mbezi Kwember Dar es salaam kuna nyumba ambayo imehifadhi mzigo wa dawa za kulevya zinazosambazwa katika maeneo mbalimbali ambapo baada ya kuweka mtego waliwakamata watu watatu akiwemo mlinzi wa nyumba hiyo.

Пікірлер: 255
@morganventure292
@morganventure292 5 жыл бұрын
Ukiwa unatafuta maisha huwez kuogopA jela!!! Ni sehem ya kujifunza
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 жыл бұрын
Pwenty
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 10 ай бұрын
Ni waanze kuwanyonga hawa mashetani !
@dronemiguel2230
@dronemiguel2230 5 жыл бұрын
Kama umesikia saa nane alfajir 😂😂😂tujuane
@smarty1064
@smarty1064 5 жыл бұрын
Dr One Minguel nadhani amewaiga waingereza na wamarekani ndo lugha yao, saa tisa usiku wanasema 3 in the morning
@calvinqatar4321
@calvinqatar4321 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@consumingfire1824
@consumingfire1824 5 жыл бұрын
Mambo ya kiintelijinsia, ya kiume hyo!
@roinajohnson9788
@roinajohnson9788 5 жыл бұрын
Hahahaa
@younggenious6376
@younggenious6376 4 жыл бұрын
unadha AM inaanza saa ngap?!!!
@samanthaali873
@samanthaali873 5 жыл бұрын
Hongera mweshimiwa ww muislam kweli malipo yako kwa Allah
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 5 жыл бұрын
KAZI NZURI MKUU SAFI SANA,KEEP IT UP JESHI LETEU LA POLISI.
@naamohamed9964
@naamohamed9964 5 жыл бұрын
Etiii walio kamatwa majina mmetaja tena kwa msisitizo kbs lkn anaetuma mmetajiwa lkn jina linahifadhiwa mhhhj
@franklwehela7595
@franklwehela7595 5 жыл бұрын
Kama shule ngumu tukalime tuu!!😄😄
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 жыл бұрын
Wenzio maboss we baki kucoment ushuwaini tu
@peterkyese4516
@peterkyese4516 5 жыл бұрын
Wakati huu was mjomba mnauza madawa kweli mnajipenda nyieee...doooh🙄🙄🙄🙄Bora mnge eenda mkalime
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 жыл бұрын
Bongo kesi za madawa----poa malizia
@hadija846
@hadija846 5 жыл бұрын
Hivi yule bosi wa biashara ya madawa ya kulevya aliekakamatwa magomeni lesi yake inaendeleaje? Na hao sio mabosi ni vibaruwa tu. Mabosi wapo serikalini na hao wakiwataja family zao zitatekwa na watu wasiojulikana Haahaaaahaaaaa hatari tupu ❌
@venstonvedasto
@venstonvedasto 5 жыл бұрын
Bongo hamna kumyongwa ingekuwa njee aiseee
@tatualbadri4131
@tatualbadri4131 5 жыл бұрын
Na uyo abaye una sema ushuguz una enderea ujue ni mkubw wa serkar uyo Ndio mahn amja mtaja tuna jua san
@hassanmirambo564
@hassanmirambo564 5 жыл бұрын
Tatu Albadri hebu mtaje wewe basi
@samuelmwakasungula178
@samuelmwakasungula178 4 жыл бұрын
Janana
@tiktokTviral
@tiktokTviral 5 жыл бұрын
HAO NI CHAMBO TU, WAKUBWA WENYEWE BADO. INASIKITISHA SANA HAO WANOONESHWA HAPA WAMECHOKA NA HAWANA HATA SURA ZA PESA.. ETI NDIO WANAITWA WAUZA MADAWA YA KULEVYA.. WAPI NA WAPI NYIEE.. TUONESHENI HAO WAKUBWA WAO AMBAO WANAWATUMIKISHA HAWA VIJANA..🔫🔪💣💉💊🚬
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 5 жыл бұрын
Ellysomeboy PLatnumz hadi umfikie muuza madawa THE DON SIO KAZI RAHISI ILA HAWA HAWA CHAMBO WATASAIDIA KUWATIKISA MADON NA WENGI WAKIONA HIVYO MADON HUKIMBIA NCHI
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 5 жыл бұрын
Ellysomeboy PLatnumz hahaha
@anelkaking9342
@anelkaking9342 5 жыл бұрын
Safi kabisa.kamata kambare sio dagaaa.
@hadija846
@hadija846 5 жыл бұрын
Harafu ni vijana wadogo sana wauza unga mabosi wapo serikalini hawa ni wafanyakazi wao ni vibaruwa tu. Na hawa wakubwa wao wakiwataja family zao zitatekwa na watu wasiojulikana
@dazuuhmd819
@dazuuhmd819 5 жыл бұрын
Kweli kabisa hao watawaonea tu
@khadijathani9064
@khadijathani9064 5 жыл бұрын
mie mwenyewe MTU akitaka tufanye nae kazi mie nipo tayari kwa haya maisha bora tu lawama na jela ila ule good time kidogo nimevurugwa
@jawadyrasheed6880
@jawadyrasheed6880 5 жыл бұрын
Khadija ww
@musasalim7042
@musasalim7042 3 жыл бұрын
hata mm niko tayar kufanya kaz ya madawa ya kuevya kwa mwenye dili hizo anichek
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 3 ай бұрын
Ebana si uwe Malaya tu
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 25 күн бұрын
Umeeleweka na litafanyiwa kazi.
@40kstore
@40kstore 5 жыл бұрын
Ukutakiwa kusema ni mwiisilamu,hakuna sababu
@myself4128
@myself4128 5 жыл бұрын
Lazima aseme
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
😄😄😄😄
@consumingfire1824
@consumingfire1824 5 жыл бұрын
mimi mkristo, lakin huyu jamaa ana kera, dini ya nn hapa, au dini ndo imewatuma waibe? hayo majina tu, huenda ata msikitini hawajawai kukanyaga. Acheni ushabiki wa chuki zidi makundi ya watu? Uloooooofaaa huo mzee. Menoo machafuuuu, hapo harufu tu yako ni madawa ya kulevya, unatakiwa ushikwe na ww
@40kstore
@40kstore 4 жыл бұрын
@Change Mindset hawatakiwi kusema wakristu pia,yaan haina haja ya kutaja dini,labda kama sijui sababu ya kutaja dini unisaidie jamaa
@40kstore
@40kstore 4 жыл бұрын
@@myself4128 kwasababu gani,tusaidie tusio jua,me sioni sababu ya kutaja dini
@user-xy8mh5id1l
@user-xy8mh5id1l 4 жыл бұрын
Da polen sana vijana
@robertdaud9894
@robertdaud9894 5 жыл бұрын
Hii biashara ilimshinda ad godfather wa madawa Escobar njoon tulime tutachelewa lakn tutatoka tu
@muhinasundi1439
@muhinasundi1439 5 жыл бұрын
Yap!
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 5 жыл бұрын
Robert Daud Kuna binadamu wameumbwa wabishi , hawaamini jambo mpaka liwakute , Awamu hii unga hauuziki , wangeuacha tu juu ya dali wakashika majembe wakalime uziguani huko Ha ha ha .
@snawtasnota6708
@snawtasnota6708 5 жыл бұрын
Escobar haikumshinda ila alijiharibia alivyojiingiza kwenye siasa kwasababu alivyokataliwa kugombania akaanza vita na serikali hilo ndo tatizo.
@pujimontanapachino4958
@pujimontanapachino4958 5 жыл бұрын
Kama umesiki Toyota Act gonga like 😂
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 5 жыл бұрын
Yaani hapo ishu ni kwamba kuna mwenzao ndo katoboa siri tuu. Na hii kitu haitakiwi muwe wengi kwenye mchongo.
@greatiq8234
@greatiq8234 5 жыл бұрын
So, mnaingiza pesa. Mnatajirika kutokana na kuharibu nguvu za mwili na akili za binaadamu wenzenu!? Poleni sana!
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Maskini mtu namuhurumia huyo mlinzi manake ye kazi yake ni kulinda jengo usiku kucha akiwa ame acha familia yake bila mlinzi. Kwa,mrazamo wangu wasinge muonyesha huyo mlinzi hadharani
@rukaiyasalim1019
@rukaiyasalim1019 5 жыл бұрын
Kabisaaa maana hapo hausiki na chochote kile InshaAllah M.Mungu atamsimamia
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
Kweli kabisa mlinzi hausiki kbs
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 жыл бұрын
Wamezulumiana ndo wametajana lkn b4 awajazulumiana walikuwa wanakula nakusaza
@mercypeter162
@mercypeter162 Жыл бұрын
Safi sana kazi nzuri
@sarahissike6182
@sarahissike6182 5 жыл бұрын
Rama weweeeee!!!! Baba alikusomesha kwa shida umekuja kumlipa kwa kuuza madawa jmn,so sad yani nimeumia sana kukuona apa, daaahh!!! Inauma sn kweli TAMAA MBAYA
@shafiisaidygongoro7181
@shafiisaidygongoro7181 4 жыл бұрын
Kwenye kutafuta dada
@tysonphilip2094
@tysonphilip2094 4 жыл бұрын
Bongo kweli ngumu vijana wadogo ndo jera inamuusu kiulaini pole sana dada
@missbartanzania688
@missbartanzania688 3 жыл бұрын
Ni harakati za kutafuta
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 10 ай бұрын
Na huyo mbwa shetani ni wa kunyonga tu Tanzania ianze kuwanyonga hawa mashetani kama Singapore wanaharibu sana ndugu zetu
@deadcrush
@deadcrush 5 жыл бұрын
Kwenye pevs....vv...vpc... hahaha!
@mwanamutemi
@mwanamutemi 5 жыл бұрын
Mkuu wa Kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Salim Kabaleke Allah atakulipa kwa kazi yako njema unayoifanya. Ni aibu kubwa kubwa sana kwa Muislamu yoyote kujihusisha na madawa ya kulevya, ikiwa pombe tu ambayo ni halali nchini lakini kidini yetu tukufu tumekatazwa na hatujihusishi kabisa itakuwaje hawa ndugu zetu waislamu ndio weko mbele mbele kuhusika na madawa haya haramu ??? Mzee Salim Allah akupe ujasiri na ulinzi mkubwa uweze kupambana nao vilivyo InshaAllah serikali nayo izidi kukuwezesha kufanya kazi hii muhimu sana kwa jamii nzima, HII NI KAZI YA MUNGU MUNAFANYA NA YEYE NDIE ATAKAE WALIP INSHAALLAH
@dedankimathi4087
@dedankimathi4087 5 жыл бұрын
Big fish hawapo hapo ongeza bidii mkubwa!!!
@user-rd7jt1vi5x
@user-rd7jt1vi5x 5 жыл бұрын
Hii biashara imepitwa na wakati vijana wenzengu tafuteni kazi nyingine lakini hamtaki kusikia kabisa sasa mumeona faida ya kutaka hela kirahisi bila hata kutoa jasho hii awamu ya tano ni nyingine huyu ni magu na cyo kikwete
@anelkaking9342
@anelkaking9342 5 жыл бұрын
Sure
@Daniel-ug6fi
@Daniel-ug6fi 5 жыл бұрын
hahaha aliesikia ACT badala ya IST like apa
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
Mwacha kamanda wangu jamani menoyake yana matatizo😁😁😁😁😁💃🏼
@saumukaisi3996
@saumukaisi3996 5 жыл бұрын
Watatuka tu jmn fahadi jmn mbona bado kijana mdg sn Fanya kz broo acha tamaa jmn😭mlinzi utapotea BABA
@priscasiame9179
@priscasiame9179 5 жыл бұрын
Hata hiyo pia kaz si wanapata hela
@husenimsumba8391
@husenimsumba8391 3 жыл бұрын
Duuu! Muheshimiwa tarehe hiyo,
@estherjohn953
@estherjohn953 5 жыл бұрын
Muachieni mlinzi ana atia akatafute kazi nyingine
@mohamedomar4037
@mohamedomar4037 5 жыл бұрын
Mheshimiwa una maana gani kusema alfajiri saa nane ungesema saa nane usiku sio saa nane alfajiri tufafanulie
@yotehery4368
@yotehery4368 5 жыл бұрын
Mungu awafanyieni wepec maboc wangu
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 4 ай бұрын
Ila mm Napenda hii kazi sijui kwann jaman🙌🙌
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 25 күн бұрын
Kazi gani hiyo fafanua
@shakurfaith
@shakurfaith 5 жыл бұрын
Unamuonyeshaje mlinzi mahali unapokaa? Hawa madogo walikuwa wazembe sana.
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 5 жыл бұрын
Prince Shaks La kushangaza wanauza madawa yote hayo alafu wanaishi kwa Mama ILALA BUNGONI . Mama kasema ndio wamo ndani , kawaamsha , wametiwa mikononi .
@shakurfaith
@shakurfaith 5 жыл бұрын
Inthenameoflove Ecoy, platoon 3 section 1. Op Magufuli! Ukiwa mjanja utaelewa. Ila bado nasema hawa madogo walikuwa wazembe
@shakurfaith
@shakurfaith 5 жыл бұрын
Chayo Gasperi naona bado wadogo wa akili na umri ndo mana wazembe. Tena unaishije kwa mama! Dah
@aureliabernadi4170
@aureliabernadi4170 5 жыл бұрын
Prince Shaks mama nae kiazi kwe
@aureliabernadi4170
@aureliabernadi4170 5 жыл бұрын
Mama nae kiazi kwelkwel
@norman4332
@norman4332 5 жыл бұрын
💥💥 NJOO UONE JINSI MTU ANAVYOVULIWA NGUO NA KUVALISHWA NYINGINE BONYEZA PROFILE PICHA YANGU HAPO KUSHOTO 👈
@rahjah5882
@rahjah5882 5 жыл бұрын
Hongera sana
@belamicheal3353
@belamicheal3353 5 жыл бұрын
Huyo mlinzi hana hatia yoyote
@adelphinusbikonya8534
@adelphinusbikonya8534 5 жыл бұрын
Huyo Fad kafanana sana na msanii SWEBE jamani
@susanraphael5894
@susanraphael5894 3 жыл бұрын
Jamani eeh Mungu tuhurumie
@japhetbarton8268
@japhetbarton8268 5 жыл бұрын
Hapo ndege wooote pwaaaaaa ni mbio tu
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 5 жыл бұрын
Sio Kesi hyo WANATOKA HAO UMEENDA KUWAKAMATIA KWAO WAMELALA
@oyay2821
@oyay2821 4 жыл бұрын
Kijana anatoa tumbo kumbe madawa
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 2 жыл бұрын
Jaman
@jamesgustav196
@jamesgustav196 5 жыл бұрын
Hv hii vita dhidi ya madawa ya kulevya itaisha kweli hapa bongo? Maana kila siku wanaokamatwa ni vibaraka na sio wakubwa wenyewe ambao laiti wangepatikana ingekuwa Bonge moja la breaking news hapa nchini! Mtandao wa ki intelijensia hapa kwetu bado sana, wacha tuemdelee kupiga picha tu hizo nyumba zao
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
True
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 10 ай бұрын
Tanzania mngekuwa mnanyonga wauza madawa ya kulevya hawa ni mashetani hawastahili kuishi!
@fetychina3273
@fetychina3273 3 жыл бұрын
Mh!watoto wadogoooo
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 5 жыл бұрын
Jamani kaka zangu mbona hiyvo jamani kz ziginee jamani achenii 😭🤔🤔
@sponsor7882
@sponsor7882 5 жыл бұрын
MBONA MSICHUNGUZE ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU.
@mohamedrajabu9055
@mohamedrajabu9055 4 ай бұрын
Washatambulika tia jela au ikiwezekana nyonga nyumba wapo wazee au watto mayatima waishi
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 5 жыл бұрын
mheshimiwa tunakupongezeni kwa juhudi zenu ila haina haja ya kusema mtu dini yake ni mwislam au mkristo.
@shaabanhaji2014
@shaabanhaji2014 5 жыл бұрын
Kwanini isisemwe???
@shaabanhaji2014
@shaabanhaji2014 5 жыл бұрын
Kwanini??
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 5 жыл бұрын
@@shaabanhaji2014 kwasababu mtu akifanya mabaya hayahusiani na dini yeyote.Dini zote zinakataza mabaya kuitwa ally au john ni majina tu na mtu anakuwa muumini kwa vitendo vyake vizuri na si kwa jina lake zuri.
@rukaiyasalim1019
@rukaiyasalim1019 5 жыл бұрын
@@abuyunusmohamed6961 Naaam
@ahmadmuhammadnguri1770
@ahmadmuhammadnguri1770 5 жыл бұрын
Kwa nn usimtaje au we pia unausika
@saidomar6806
@saidomar6806 4 жыл бұрын
Duuuuh nihatar madawa hapa Tanzania hatuyahitaji na hayana nafasi kamata hao na wakubwa wao wasakwe jinga sn sisi tunapambana na corona na madawa tena watusumbue.
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 Жыл бұрын
Kabla ya kutenda jiulize kitachotokea ukikamatwa.
@dinocastico8495
@dinocastico8495 4 жыл бұрын
Serikali inafanya vyema saana katika kupambana na vita hii' ni wakati sasa serikali kupanga kanuni na sheria maalum ili wapate wanacho stahili kisheria kulingana na uhalifu walio tenda. Ila utowaji wa maelezo juu ya kadhia hii na kutoa nukta ya upelelezi,. Ulivyo kuwa ukifanyoka hii ni hatari kwa usalama wa hao walio kamatwa kwanza. Busara itumike
@AwaziRajab
@AwaziRajab 4 ай бұрын
Hata Machawa Machawa Wachunguzwe Ivi Mtu Kuwa Mmbea Ndio Apate Hela Nyingi Uchunguzi Muhimu
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 5 жыл бұрын
Huyo ambaye hujamtaja ni mkristo ndio maaana umemuhifadhi
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 3 ай бұрын
Ingekua irani hao kwaheri laki hao hapa kwetu kesho wapo mtaani hao waumize watanzania
@gdesiandimbo5363
@gdesiandimbo5363 2 жыл бұрын
Maskini makonda unajipalia kuni
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 3 ай бұрын
Unajuaje wamesha ingiza kiasi gani hao
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 жыл бұрын
hongeren sana police na polen sana
@aboumsouth6498
@aboumsouth6498 5 жыл бұрын
Fahadi Rama machizi wangu tufanye kazi wanangu acheni hizo mambo😥
@kombokassim2369
@kombokassim2369 5 жыл бұрын
umechelewa kashaingia hatiani
@joachimchaula7254
@joachimchaula7254 4 жыл бұрын
Yan mungu awatangulie
@heyumi2340
@heyumi2340 3 жыл бұрын
shamim mwasha na mmeo mmewapeleka jela na hao wapeleken jela
@nackynyone5514
@nackynyone5514 5 жыл бұрын
Mnafanya kazi nzuri ila bangi mnaichoma tunaona mbona madawa ya kulevya hamfanyi hivyo
@asiasalimkapalato7463
@asiasalimkapalato7463 5 жыл бұрын
Mmemuone mlizi yy anuhusika nini sasa pumbavu zako
@daprince7545
@daprince7545 5 жыл бұрын
Bado kazi hujafanya apo umeshika vichuzi . Tafuta maboss wenyewe hao ndio tunatapa kuwaona kwa sura zao. Hii mambo ya madawa Kuna watu wako kwa serikali wanajua hii biashara hata hao ndio wausika wakubwa .
@jakamarymakame1587
@jakamarymakame1587 9 ай бұрын
Ndio
@zanzibarsmzenji
@zanzibarsmzenji 5 жыл бұрын
Hio pendera ya marekani hapo imekuaje? Nauliza tu.
@evancekimaro9774
@evancekimaro9774 5 жыл бұрын
Mapoyoyo tu haya
@danneismail5442
@danneismail5442 5 жыл бұрын
Kabisaa najiuliza na Mimi hapa Dubai UAE
@saintdope3813
@saintdope3813 5 жыл бұрын
Ukoloni mamboleo
@officialkamdudu
@officialkamdudu 5 жыл бұрын
sasa hayo madawa nyie hua mwisho wa siku mnayapelekaga wapi ?
@shankalimauno5786
@shankalimauno5786 5 жыл бұрын
navyojua hii awamu ya tano ya raisi magufuli si maisha mapya hayo gerezani. arafu wanaonekana vishada tajiri hapo ayupo
@eddojunior5378
@eddojunior5378 5 жыл бұрын
Yaan unakimbilia kuita media ili taarifa zisambae wakat wahusika hawajakamatwa
@mohdsalum3832
@mohdsalum3832 5 жыл бұрын
Mtihani wacheni mambo hayo
@khamisihaji2905
@khamisihaji2905 3 жыл бұрын
Sasa ulinzi anakosa gani au kamba inakatikia pambaya 2
@danielx8
@danielx8 5 жыл бұрын
Muachieni mlinzi
@goldboysun6635
@goldboysun6635 4 жыл бұрын
Huyo mtanzania uliyemfich jina ndo umtaje, hao unawadharirisha cz hawana hela, au mnasubir ten percent
@HASASON
@HASASON 5 жыл бұрын
Hivi mbona hii biashara imetawaliwa na maalshabibi sana? Tokea nimeanza kufuatilia hawa wafanyabiashara wa madawa wote ni maalshabibi
@aboudmsonde886
@aboudmsonde886 5 жыл бұрын
Unaweza kutoa ushahidi wa hilo unalo hiandika????
@teychriss3248
@teychriss3248 3 жыл бұрын
Kg 21 kitu gani kuzidi ile ton moja ya kilwa? Msiishie kutangaza tu hatua stahiki ziichukuliwe! Sio kesho tunawaona mtaani! 😉😉
@pioustrevol3468
@pioustrevol3468 8 ай бұрын
Mnachozingua Mbakamata Watu msiotaka wafanye lakini Manguli Wakuuza Izo Dawa Mnawaacha, Still Bd N Bullshit tu
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 10 ай бұрын
Wewe mkuu na sapoti yako Mtalipa hii Asala Au Utapata kwako na family yako tutaona 😭💰💵
@nickolatharwelamila776
@nickolatharwelamila776 Жыл бұрын
Miaka 24 anamiiki mjengo
@tysonphilip2094
@tysonphilip2094 4 жыл бұрын
Dooh kijana mdogo unaenda jera pole sana ila ndo life
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 5 жыл бұрын
Safi sana Kazi nzuri kitengo mmefanya
@ombenikisunga5059
@ombenikisunga5059 5 жыл бұрын
Mlinzi hana kosa
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 жыл бұрын
Jamani Selekari haitaki Mbona hamuelewi
@mercypeter162
@mercypeter162 Жыл бұрын
Huyu mlinzi hana hatia lakini maisha yake mmeyaweka hatarini kwa kuwasaidia upelelezi je?? Mnamhakikishiaje usalama wake???
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 5 жыл бұрын
Mwanamme aliekamilika hawezi kuingilia mambo yasiomuhusu ukiona mwanamme wa namna hiyo lazima anakasoro wewe ndio ulianza mimi sijakuandikia wewe kila mtu anaandika anavojisikia nakushangaa unarukia mambo yasokuhusu unawashwa pimbavu wewe katafute wa kukukuna acha na mimi nguruwe wewe
@amanimanase642
@amanimanase642 5 жыл бұрын
Mariam Faki mmmmmh vip tena
@khamismaulid6839
@khamismaulid6839 5 жыл бұрын
Bendera ya marekani kwann mbona nyie wazembe mno
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 5 жыл бұрын
Saizi halingum amna ajila vijana wana shawishika
@manasemwakilasa5931
@manasemwakilasa5931 4 жыл бұрын
Wanajiamini Sana aisee hawana hata was was
@tevintevin1884
@tevintevin1884 5 жыл бұрын
Mbona wote waislam sasa
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 4 жыл бұрын
Waliosikie kilo 21 point sitini na saba .. hesabu bhana
@minmaxc485
@minmaxc485 3 жыл бұрын
intelligence imeendaje kuhusu hii
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 4 жыл бұрын
M nawaombea mfungwe tabia mbaya mnaharibu binadamu wengine shenzi
@kenybenjiz7850
@kenybenjiz7850 3 жыл бұрын
Washapoteaaa hawa
@onyaman7336
@onyaman7336 5 жыл бұрын
Sasa mtaenda kuyachoma moto lini
@belamicheal3353
@belamicheal3353 5 жыл бұрын
Hata me najiuliza
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 4 жыл бұрын
Toyota a si ti duu tumesoma wapi,
@ramambongo4069
@ramambongo4069 5 жыл бұрын
Mlinzi anamakosa gan mnakosea
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
Kweli kbs
@zakayosilas6963
@zakayosilas6963 5 жыл бұрын
Bado hamjawakamata vigogo
@salummohdnyiga9760
@salummohdnyiga9760 5 жыл бұрын
Vigogo hawakamatiki
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 5 жыл бұрын
Swali je yamepitia wap waulizen
@abuumaryam1628
@abuumaryam1628 4 жыл бұрын
Kamateni mateja wote wako se pa kuuzia
@joachimchaula7254
@joachimchaula7254 4 жыл бұрын
Fahady na Rama sina La kusema Mungu awasaidie sana
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 10 ай бұрын
Hamna Mungu atawasaidia mashetani hao ni wa kunyonga tu
@saidasimba9979
@saidasimba9979 5 жыл бұрын
Hata pesa zilizojenga ni za unga ndo waliofanya watoto wetu mataila
@mohamedalaraimi6813
@mohamedalaraimi6813 5 жыл бұрын
Na kwani madawa ya kulevya yanakatazwa ee
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 115 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 6 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 25 МЛН
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 379 М.
Makonda Ataja Majina Mengine 65 ya Watuhumiwa wa Kuuza ‘Unga
10:39
Global TV Online
Рет қаралды 14 М.
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 115 МЛН