No video

Huyu ndiye Prophet Lovy Longomba, mpwa wa Awilo, alinunua kanisa lake la Marekani kwa TZS Bilioni 22

  Рет қаралды 75,369

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/c...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 387
@prestonkenyaofficial
@prestonkenyaofficial 8 ай бұрын
Dude has been nominated for Grammy as the best producer. LOVY IS BLESSED
@dorsandollah3384
@dorsandollah3384 8 ай бұрын
Mungu mm ni mwenye dhambi, nisaidie Mungu wangu 👐👐
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 8 ай бұрын
Njia za Mungu kamwe HAZICHUNGUZIKI.Do not comment negatively for something you do not know for sure😢😢
@johnjackson9665
@johnjackson9665 8 ай бұрын
Papaa Lovy my prophet since I saw you preaching in Tanzania on the night of wonder you are the wonderfully anointed Prophet gether with our Papaa Java, Iam now make a follow up on your page insta and you tube, I learn a lot the word of Lord Jesús through your preching
@evelinadodie9443
@evelinadodie9443 8 ай бұрын
Dunia iko mbali Mungu atupe macho ya kuona mbali
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 8 ай бұрын
Ok,Longombas two bro who had good vibes in their music chemistry but they work hard but Kenya was there base foundation.God is great
@kimah9855
@kimah9855 8 ай бұрын
Lovy na Christian tunajua😂😂😂❤️Sasa hana bro yake 😢It’s good to see Sasa ni mtu wa Mungu ❤❤❤
@abelsimfukwe8404
@abelsimfukwe8404 8 ай бұрын
Yes pastor LOVY GOD BLESS YOU MORE THAN MORE
@MohammedMohammed-uo5sk
@MohammedMohammed-uo5sk 8 ай бұрын
Thank I've seen them performing live in Kenya at mombasa show grounds as curtains riser for Mr Nice #Fagilia bongo and that time Mr Nice ndio kusema but look now #Lovy Longombas God has lifted him up to better the world.
@mikkello3590
@mikkello3590 8 ай бұрын
All these servants of God have the same encounter that leads them to serve God. They all encounter Jesus one on one
@stephenmwanzake
@stephenmwanzake 8 ай бұрын
❤Nampenda sana Pops. Jamaa amenyenyekea sana kutumiwa na Mungu, Jehovah ahimidiwe kwa hilo jambo. Maneno yananiishia, machozi ndo mengi, Ya furaha na kumshukuru Yeova
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 8 ай бұрын
😂😂pole sana
@sosbrayantbenjamin9701
@sosbrayantbenjamin9701 8 ай бұрын
​@@adaboychibu1659kwakwel mpe pole😂
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 8 ай бұрын
Unaota ndugu amka
@haruniaisha5905
@haruniaisha5905 8 ай бұрын
Utajiri na eshima viko kwa mungu 😍
@dianafinnes3248
@dianafinnes3248 8 ай бұрын
I honour the Annointing on you ,Papa Lovy,GodBless you 🙏🏽
@irakozesania1680
@irakozesania1680 8 ай бұрын
Mungu ni mukubwa
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 8 ай бұрын
Mwenye sikio na asikie ...Manabii wa uongo wamekuwapo Mathayo 24:24 na utawagundua kwa matendo yao mionekano yao Yakobo 2:26 ...ila tuwe makini na haya matamasha mnauzwa nafsi zenu mnaposhiriki madhabahu ya haw manabii ...
@ProphetRomly
@ProphetRomly 8 ай бұрын
Mungu asipowaokoa wewe waweza? Lini ushawahi waombea hao unaodhani wamepotea? Je, Ushawahi kufunga kumuombea mtu yeyote mbali na ndugu zako? Kama niliyoyasema jawabu ni hapana basi utubu na uanze kumtafuta Mungu Nawewe ukahubiri maana wote tumeagizwa kueneza habari Njema.
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 8 ай бұрын
@@ProphetRomly1 Wakorinto 14:33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.
@janenandi4095
@janenandi4095 8 ай бұрын
PROPHETIC Word FEARLESS Preacher UK 🇬🇧 IM IN AGREEMENT WITH YOU U PAPA LOVY : BLESSINGS ARE ONLY FROM GOD ; 👀 POA ; F FOREVER REMAIN BLESSED ; FOR THE MOUTH 👄 OF THE LORD HAS Spoken NO OTHERWISE ; IIM GLAD WE SPEAK 🗣️ SPEAK language AND FROM SAME COUNTRY ; I LOVE ❤️ KENYA 🇰🇪 KARIBU HOME 🏠🙏🏼❤️
@user-pq2vt8yz6p
@user-pq2vt8yz6p 8 ай бұрын
Wateule tuwe macho ni siku za mwisho,neno la Mungu linasema mtawatambua kwa matendo yao.Si kila mtu asemaye Bwana Bwana ataingia katika ufalme wa Mungu.
@MujuniKamugisha
@MujuniKamugisha 8 ай бұрын
Dunia hii maprophet kila kona watu wanadanganywa kwa sababu wamekosa maarifa Wakristo tafuteni sana kujua neno
@TabiaMwaisumo-ss7pz
@TabiaMwaisumo-ss7pz 8 ай бұрын
Tupe hilo neno tulijue lkn kama huna neno acha maneno luka 6:37 itakusaidia sana kuchunga kinywa chko
@francisprot5586
@francisprot5586 8 ай бұрын
Toa sababu na evidence, usiongee usivyo vijua. Be +ve
@Elllllllllllly
@Elllllllllllly 8 ай бұрын
Neno linasemaje??
@carolinederi5690
@carolinederi5690 8 ай бұрын
​@@TabiaMwaisumo-ss7pzZidi kusoma neno hyo verse moja haiezi kukisaidia coz hawa si watumishi wa Mungu wa kweli Yesu alichkiwa sana ukiona mtumishi yuapendwa jua ni wale kondoo ndan ya mbwamwitu
@MtazameKristoTv
@MtazameKristoTv 8 ай бұрын
Hallelujah 🙏 Men of God ❤❤❤
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 8 ай бұрын
Kafanana sana na AWILO MWENYEWE anzia kichwa mwili hadi sura
@Kelvinchristopher072
@Kelvinchristopher072 8 ай бұрын
Ivi na wewe mtangazaji unaamini kuwa hawa ni watumishi wa Mungu,ivi mnadhani mbinguni ni rahisi ivo kufika Mungu atusaidie sana😢😢
@florazacharia5982
@florazacharia5982 8 ай бұрын
Uwi we ndo hujui embu Kaa sikiliza mafundisho ya Prophet Lovy..afu muombe Mungu akuoneshe kweli yote. Mungu sio Mungu wa ma suti tu.. unawaza tattoo. Izo alichora kabla hajampokea Yesu. Ata waovu Yesu anawatafuta ukumbuke kesi ya Mtume Paul
@thescop1003
@thescop1003 8 ай бұрын
We nani alikuambia ni ngumu, mnajudge watu mionekano utafkili mlishaenda mkaongea na mungu mkarudi
@stainlesseducators699
@stainlesseducators699 8 ай бұрын
Acha uongo nani kakwambia ni ngumu? Mtu kwenda kwa baba yake ugumu upo wapi. Kama Mungu sio baba yako kweli itakuwa ngumu.
@viktamade
@viktamade 8 ай бұрын
​@@florazacharia5982 tattoo alichora muda sio mrefu wakati ameshaanzq huduma
@betty_900
@betty_900 8 ай бұрын
😂huezi elewa
@KhojaNasri
@KhojaNasri 8 ай бұрын
Nashukuru Mungu kuzaliwa muislam
@Nature-loverss
@Nature-loverss 8 ай бұрын
Pole sana
@kipleedy
@kipleedy 7 ай бұрын
Life is spiritual, kafara hutolewa... wachache sana wataelewa nilivyo sema.
@TheBossOdhis
@TheBossOdhis 8 ай бұрын
He is also a Kenyan Music Legend. Group yake na kake ilikua moto 🔥 sana miaka hio ya nyuma
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 8 ай бұрын
Sio wakenya hawana uhusiano na hiyo nchi isipokuwa wameishi Hawa jamaa ni wakongomani
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 8 ай бұрын
Ukisema ni wakenya basi baba yake awilo longomba naye ni mkenya
@TheBossOdhis
@TheBossOdhis 8 ай бұрын
@michaelthobias9967 wewe kwenda..he grew up in Kenya not Congo..you heard sky say ni Mkenya-Congo..Awilo ni mjomba wake..sio baba
@TheBossOdhis
@TheBossOdhis 8 ай бұрын
@michaelthobias9967 shida iko wapi...wameishi Kenya so he is a Kenyan Music Legend..
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 8 ай бұрын
​@@michaelthobias9967b4 ujibu kitu skiza kwa makini sawa hawa ni half kenyas half Congo
@contentprince9198
@contentprince9198 8 ай бұрын
Tutakuwepo sisi tuliobarikiwa n Mungu
@silviasaleh4667
@silviasaleh4667 8 ай бұрын
Lord have mercy, kanisa Lao nilagarama which it's not a lie but.....aprophet knows all his neighbors that's a good one.
@stevewanga957
@stevewanga957 8 ай бұрын
Yesu sura. Yake iko aje msanii ni msanii tu
@queennambeye1236
@queennambeye1236 8 ай бұрын
Lovy Longomba Mkubwa Amewai Kuishi Tanzania
@timetravellor5367
@timetravellor5367 8 ай бұрын
Duh ukristo umekuwa usanii na watu Wana sapoti
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 8 ай бұрын
Watoto wa Mungu jihadharini hizi ni nyakati za mwisho na kwa promotion zao huwa ni kubwa kwan Ibilisi hutumia nguvu ya media sana ila tusome Biblia ,Neno ni Kristo mwenyew Kwa Roho wake atawajulisha ukweli ..nuru na giza hazina hushitika 2 Wakorinto 6:14 ,1 Yohane 4:1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Leo hii imani ya rasta ya jamaica imaingia kwa manabii wa kanisani kwa kupotosha watu kwa kuibadili injili ya Kristo kwa kusema Samson alikuw na rasta wakati Samson alikuw na nywele ndefu na Mungu alitak kuonyesha utukufu wake pale kwenye nywele ya Samson...
@DavisMubake
@DavisMubake 8 ай бұрын
Niambie kwenye Biblia imeandikwa wapi mtu lazima akate nywele?
@CelestinMvungi
@CelestinMvungi 8 ай бұрын
Unampa ukubwa shetani kuliko Mungu. Don't you know that God work with those u don't even xpect
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 8 ай бұрын
@@DavisMubake mm sijasema habari ya kukata nywele ,rudia Tena kusoma vizuri ujumbe wa Mungu pia Mungu wetu sio machafuko kwa maana ya kubishana 1 Wakorinto 14:33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.
@clouartmichael7296
@clouartmichael7296 8 ай бұрын
Baba wa Mbinguni Hana ushirika na miungu mingine Soma Neno hapo 1 Wakorinto 6:14...hata watumishi wake aliowaokoa huwatumia ktk utukufu wake Kwa Mavazi ndio maana anasema vaeni nguo za adabu ,hasa sasa Mitume,manabii,waalimu,wainjilisti ,wachungaji ,maaskofu, hawezi kuwatumia katika mionekano ya kidunia maan Yeye anasema mssifatishe namna ya Dunia hii Warumi 12:2 ,1 Petro 3:3 ,pia hata mionekano ya nywele Yakobo 2:16 Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa...hizi ni Nyakati za mwisho wapo wengi wanakuja hata watakaovaa heleni na wewe utakuja kusema Mungu anamtumia mtu yoyote yule ...upo sahihi lakini sio Kwa watumishi wake aliowateua kumhubiri maana Yeye mwenyewe anakataza wanaume kuwa na mionekano ya Wana wa Ulimwengu huu kuwa makini sana na Jitahidi kusoma Neno na Roho akuongoze maana tunaambiwa tuishi Kwa roho na sio kimwili
@CelestinMvungi
@CelestinMvungi 8 ай бұрын
Hujasikiliza mafundisho yao, ila umewahukumu kwa mavazi yao Yohan mbatizaji alivaa na kula kama chizi na watu wote walimwona hvyo je ingekua leo si ungesema dini imeingiliwa. Kuna nabii wa Mungu pia alihubiri uchi kwa miaka 3 je huyo pia hakutumwa na Mungu. Yesu alisema hata msipomwamini yeye basi aminini kazi zake watu wanapona na mapepo yanatii je hao hawaponyi watu, mapepo hayatoki. Utasema wanatumia nguvu za giza ila Yesu alijibu swali hilo akisema ufalme uliogawanyika je si utaanguka wenyewe. So stop pointing fingers by judging things of the spirit with your mind.
@chalokalunde9429
@chalokalunde9429 8 ай бұрын
Manabii wa upande wa pili,Sawa. Sio wa Yesu mnazareti.
@HabilyTech
@HabilyTech 8 ай бұрын
Wahuni walioamua kujiita manabii
@EllyFredy
@EllyFredy 8 ай бұрын
Mungu atusaidie nabii kavaa mpaka kipini 🙏🙏ee mungu shughulika na hawa watu wanaopoteza kondoo wako
@mjkazidi1265
@mjkazidi1265 8 ай бұрын
Umeshasoma Biblia Historia ya Sauli alivyo waua wakristo baadae akawa Paulo....Mungu anaweza kumtumia mtu yoyote wakati wowote...Wengii wanadanganywa na muonekano wa mtu.
@farijala1
@farijala1 8 ай бұрын
​@@mjkazidi1265 Unajua Mtazamo wa Hivyo Ndio unaopelekea Ulimwengu Kila kukicha Unaangamia. Mema Hayatendi kiriho TU HADI muonekanoq
@barakaduma4888
@barakaduma4888 8 ай бұрын
Koma
@AsmaAmeir
@AsmaAmeir 8 ай бұрын
Duh bas nami nikimuona yesu tayar nakuwa nabii
@evemurugi3399
@evemurugi3399 8 ай бұрын
Wow we fallow each other tiktok and I didn't know he is a longomba
@salvatoryngowi7233
@salvatoryngowi7233 8 ай бұрын
❤❤❤
@martinjosephat4694
@martinjosephat4694 8 ай бұрын
Dah🎉🎉🎉🎉🎉
@user-mz3vu5jm5f
@user-mz3vu5jm5f 8 ай бұрын
Mwisho wa Dunia akuna. Mtumishi wa mungu apo
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 8 ай бұрын
Kabisa hao ni deval worshiper na uyo mwenyejiwao WA apa Tanzania
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 8 ай бұрын
Nyie wapuuz wote mliokoment BWANA NA AWASAMEHE
@akajoza4043
@akajoza4043 8 ай бұрын
Bwana yupi😂😂😂
@HansChuma
@HansChuma 8 ай бұрын
@@Churchofecclesia em naww amka acha kulala naww huyo bwana unaemuongelea angekuepo apo angekucha vibao
@wenawenawena3647
@wenawenawena3647 8 ай бұрын
Bwana which bwana where😂😂
@meshack3266
@meshack3266 8 ай бұрын
Bhanaa eee asiye amini asi Amin na anae Amin na amini
@elcharismaticohommeromanti748
@elcharismaticohommeromanti748 8 ай бұрын
Akuna kipia apo, ila vipofu wa imani ndo wata a mini awo ma nabii wauongo
@danielyjarome9439
@danielyjarome9439 8 ай бұрын
Hongera kwakuwa wewe ni mtakatifu uliye kamilika mwenye uwezo wa hata ya kutoa kasoro za wengine ila nakushauri tuu muda unaotumia kukosoa watu utumie muda huo kuchunguza maisha yako ya kiroho je uko sahihi ??
@isamazatv.115
@isamazatv.115 8 ай бұрын
Hahahha this is too much kabisa izi church nimajabu kabisa 😂😂😂😂😂
@gildasnyaki3812
@gildasnyaki3812 8 ай бұрын
Lovy is the genuine Prophet of God.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 8 ай бұрын
Ur dreaming wake up
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 8 ай бұрын
​@@KassimAlly-xp4dztulia ww hujui unachokiongea et ur dream stop foolishness
@minicooper9642
@minicooper9642 8 ай бұрын
@@Churchofecclesia sasa wewe kwa akili yako hao wanaweza kua mitume wa Mungu? Hebu acheni kumtania M.Mungu nyie jamani
@sammotv6920
@sammotv6920 8 ай бұрын
​@@Churchofecclesiahuna akili amkaa ulipolalar
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 8 ай бұрын
@@sammotv6920 wewe zako ndo uziamshe zakwetu zimeamka muda ndo maana tunasema cha ukweli, zako zimelala na zimetiwa giza kabisaa
@user-mk2bq6io1e
@user-mk2bq6io1e 8 ай бұрын
Ehhhhh niatari Dunia
@adriandanford208
@adriandanford208 8 ай бұрын
Mungu ndiye anajua walio wake ,😂😂😂
@bakarisaidi3022
@bakarisaidi3022 8 ай бұрын
Huyu hakumtoa broo wake kafara🤔Umaskini ni kitu kibaya sana lakini Mungu ndio anajua zaidi.Ukristo umekua biashara kubwa na biashara inayotajirisha rahisi sana,Muumini Maskini anazidi kua maakini na mchungaji anazidi kuwa Tajiri kisha anahubiri kua Tajiri itakua vigumu kuingia katika ufalme wa mbinguni na yeye ni Tajiri.
@noelyjonsi9741
@noelyjonsi9741 8 ай бұрын
Kabisaa
@fayverenah
@fayverenah 8 ай бұрын
How i wish picha za kina paul john na peter wote waliotembea na yesu mkaona muonekano wao😂i think those guys were looking more funny thsn prophet lovy longomba😂😂
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 8 ай бұрын
Welcome to TANZANIIA.. OUT Prophets we ❤❤❤uuu
@shebbythespyro5393
@shebbythespyro5393 8 ай бұрын
Ukristo una utatizo kweli
@yusafbayu7016
@yusafbayu7016 8 ай бұрын
Alhamndulillah kuwa muislam mana haya mambo yaku nunuwa kanisa ikiwa yako na sikiaga tu kwa wenzetu 😢😢
@queenmollel6739
@queenmollel6739 8 ай бұрын
Hahahaa yaani, ila hayana maana Cha muhimu ni kumpenda Mungu , muda mwingine pesa inaruhusu kama huna utanunua nini
@prosperreuben1724
@prosperreuben1724 8 ай бұрын
Kwahiyo ile misikiti iliyopo kwenye masheli ni ya nani kama haimilikiwi na mtu binafs
@goddyffmarsacha259
@goddyffmarsacha259 8 ай бұрын
Uislamu is a false religion
@minicooper9642
@minicooper9642 8 ай бұрын
@@prosperreuben1724 huwezi kusikia hata siku moja msikiti ni wa mtu Misikiti yote ni ya M.Mungu
@minicooper9642
@minicooper9642 8 ай бұрын
@@goddyffmarsacha259 mtu mwenyewe hujielewi sasa utauelewa Uislam Haya tambeni na mitume wenu marasta 😂😂😂
@GeorgeChitemo-kt8sw
@GeorgeChitemo-kt8sw 8 ай бұрын
Msiiwa ite watumishi wa Mungu kwakuwa mnachafua Imani ya ukristo hawa waabudu shetani kabisa aslimia miamoja
@danielyjarome9439
@danielyjarome9439 8 ай бұрын
Hongera kwakuwa wewe ni mtakatifu uliye kamilika mwenye uwezo wa hata ya kutoa kasoro za wengine ila nakushauri tuu muda unaotumia kukosoa watu utumie muda huo kuchunguza maisha yako ya kiroho je uko sahihi ??
@fayverenah
@fayverenah 8 ай бұрын
Mbona watu mko bitter na prophet lovy😂😂muonekano wake unawauma mbaya😂kama mnataka kumsikiza sawa kama hutaki pita ukienda😂😂😂
@leaherasto929
@leaherasto929 8 ай бұрын
Prophet Lovy anafundisha mafundisho mazuri sana
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 8 ай бұрын
Sadaka za bwana muhimu sana
@rosebullens5155
@rosebullens5155 8 ай бұрын
Wawwwl wellbethere son of Godfromkenya
@edchrisbeatz8976
@edchrisbeatz8976 8 ай бұрын
mungu akikuita ufanye kaz yake lazma akubadilishe kwanza sasa huwa wavaa vipini na kusuka sijui imekuwaje!!? 😢 so sad gyz bora kujisomea maandiko mwenyewe kuliko kusomewa haya ndo madhara na hawa ndo wanasababisha ukristo uonekane wa hovyo stupid😡
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 8 ай бұрын
Mavazi hayakupeleki popote dear
@luciasteven3314
@luciasteven3314 8 ай бұрын
Kitendo cha kubadrishwa tabia sio cha sku wala wiki wala mwezi aliemuokoa ndio atambadr siku had siku plz kua mpole
@veeJesus
@veeJesus 8 ай бұрын
Uezi kumtumikia Mungu kiukweli ukwel ukawa maskini. Hawa watumishi kama wewe ni mchanga kiroho unaangalia kwa macho ya nyama huwezi waelewa😊.
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 8 ай бұрын
Wewe ni mjinga kama wajinga wengine Paulo Petro Yohana mbona walikua maskini na walimtumikia Mungu kwa kiwango Cha juu zaidi na Bado wakabakia kua maskini why? Jitahidi kumjua Mungu Ili uyakwepe matapeli
@veeJesus
@veeJesus 8 ай бұрын
@@raphaelkaswahili323 we ndo mjinga wa mwisho lakin sio kosa lako. Kitabu cha matendo kinasema katika wale mitume hakuna aliekua na uhitaji maana yake nini wote walikua matajiri kwendraaaaaa uko kasome bible uko unataka watu wawe maskini ili nink kitokee akati Mungu tunaemwabudu ndo ameumba vitu vyote tena kwa ajili ya watoto wake. We vipi bwana
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 8 ай бұрын
Uwe tajiri? Ambae kuuona ufalme wa mbingu ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano, huyo yesu hakuna sehemu unaona yeye au watumishi wake wanajihusianisha na utajiri wa kidunia ila nyinyi tu watumishi wa kichaga na kiha ndio lazma muwe matajiri , amkeni nyie watoa sadaka mnaowapa watu utajiri nyie mkiwa hoi mnapanda daladala na vikwapa vinawanuka
@veeJesus
@veeJesus 8 ай бұрын
@@fahadfaraj6474 weweeee tunakua matajiri kwa ajili ya Mungu. Tunakua matajiri kwa ajiri ya ufalme. Huezi kuhubiri injili bile fedha na nyie mnaosema utajiri ni dhambi wanafki wa kubwa kwa nini huwa mnaamka ahsubuh mnaenda kufanya kazi ili nini. Mungu alimtajirisha Abraham kwa nn afanye hivyo wakati ni dhambi. Abraham alikua tajiri mnoooooooo. Vipi kuhusu Solomon kaombwa hekima kajiziwa na utajiri juu yake. Vipi kuhusu Ayubu tajiriiiii haijawahi tokea na wako kwenye biblia na walimjua Mungu vibaya mno. Hiyo fikra ya kusema utajiri ni dhambi nikwambie tu ni ya kipepo ili uwe maskini na biblia inaandika hakuna kinyonge kitakachoingia kwenye ufalme wa Mungu. Kuna sehemu biblia inaandika Mimi ni Mungu nikupae nguvu za kupata UTAJIRI. MUNGU WETU NI TAJIRI NA WATOTO WAKE TUNATAKIWA KUWA KAMA BABA YETU SIO NYIE MNAJIFANYA WA KIROHO MKITOKA KUOMBA KANISANI MNAANZA KUOMBA LIFT ZA MAGARI. KUWA TAJIRI LAKINI UTAJIRI HUO NI KWA AJILI YA MUNGU. JENGA MAKANISA ENEZA INJILI TOA HELA YA MAKONGAMANO SAIDIA WAHITAJI NK
@Officialkeeler
@Officialkeeler 8 ай бұрын
Kweli Kabisa umeongea point sana kama shetani anatajirisha kwann MUNGU asitajirishe watumishi wake
@aderanderwa7623
@aderanderwa7623 8 ай бұрын
TUJIANDAYE YESU KRISTO ANARUDI TUJITAKASE KUMLIPA KILA MTU UJILA WAKE TUWE MACHO MUNGU ATUFUNGUE MACHO TUONE HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO YESU KRISTO ANARUDI WAPENDWA
@Gabonfreeman
@Gabonfreeman 8 ай бұрын
God is my first one in my life
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 8 ай бұрын
Prophet Tb Joshua japo ni Muslim ILa namsikiliz kila siku ndio namwamin
@jamaldeenmakenga
@jamaldeenmakenga 8 ай бұрын
Prophet Tb Joshua, A freemasonry agent!!! What are you talking about?
@michilita2959
@michilita2959 8 ай бұрын
Mmmmmmm jamani hela inatafutwa
@adriandanford208
@adriandanford208 8 ай бұрын
Ukimwengu wa giza unapambana saana kuvuna nafsi za watu kuzipeleka kuzim
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
✌️👍👊.
@Dranka186
@Dranka186 8 ай бұрын
Kwa wenye akili 😮😮😮
@africa7479
@africa7479 8 ай бұрын
eee kanisa linanunuliwa ?
@issazalala4907
@issazalala4907 8 ай бұрын
Daaah watumishi full Rasta mix tatuu😂
@mbarouksattar5281
@mbarouksattar5281 8 ай бұрын
Lovy Longomba Senior Ni Kaka Yake Awilo Longomba,Alishawahi Kupigia Bendi Ya AFRISO.
@Kabwela776
@Kabwela776 8 ай бұрын
Ukiwa mwongo ni rahisi kuwa tajiri njoo na uongo wako leo umetokewa na Yesu anzisha kabisa bas umasikini umeuaga
@Mikael-xh4cp
@Mikael-xh4cp 8 ай бұрын
Hii ndio kitu inazidi kunidhihirishia kuwa europeans are very smart and will not tolerate such nonsense , vitu kama hivi havitokei huku because no one will tolerate everyone is busy hustling
@Odogwu9667
@Odogwu9667 8 ай бұрын
Bwana Yesu Asifiwe
@lujuomjanja2866
@lujuomjanja2866 8 ай бұрын
HAPO USA HAPO KUNA VITU VINGI SANA PALE........!!!
@badymedia9648
@badymedia9648 8 ай бұрын
biashara ya dini inahela kumaanina ,ila kwa wakristo ,waislam hata ubweke mpaka utoke povu , utaondoka mishipa ikiuma mia mbovu hutoiona 😂😂😂
@francisprot5586
@francisprot5586 8 ай бұрын
Tunaomba na ya Java
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc 8 ай бұрын
Mtumishi kavaa kipini puuan ni jambo jema haya sawa sina lakusema zaidi only God can judge his servants
@drsilo
@drsilo 8 ай бұрын
Ukiristo bn eti kanisa ni hali ndo inahusiana je na uunguu
@haridimpelengana1246
@haridimpelengana1246 8 ай бұрын
Haya misukule nendeni kwenye usiku wa maajabu mkapandikiziwe chip za ushoga. Mungu si mwendawazimu
@jayspermlewa7425
@jayspermlewa7425 8 ай бұрын
Wacheza porn wanaweka vipin puani na wanamatatuuu na ww mchungaj unaweka sasa nn tofaut yake na hao wahuni damn it this is shame as Christianity😢
@danielyjarome9439
@danielyjarome9439 8 ай бұрын
wewe chunga maisha yako ya kiroho je uko sahihi ??????? na njia zako pia sije siku ya kiama ikafika wale ulioona wakosaji kumbe ndio wako sasa na wewe umejaa dhambi. Muombe MUNGU akusaidia kuishi maisha matakatifu sio kukosoa watu wengine.
@abdulrahmankafuku3449
@abdulrahmankafuku3449 8 ай бұрын
Maskini kondoo wa mungu wanazidi kupotea 😢😢😢😢
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 8 ай бұрын
Mmoja wapo n wewe usiejielewa
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 8 ай бұрын
Mmoja wapo n wewe usiejielewa
@abdulrahmankafuku3449
@abdulrahmankafuku3449 8 ай бұрын
@@Churchofecclesia Mathayo 24:24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule. Mathayo 24:25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele. Mathayo 24:26 Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki. Mathayo 24:27 Kwa maana kama vile umeme utokavyo mashariki ukaonekana hata magharibi, hivyo ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
@abdulrahmankafuku3449
@abdulrahmankafuku3449 8 ай бұрын
@@Churchofecclesia Soma brother usipoteee kwa kukosa maarifaa
@salmabinyaga2357
@salmabinyaga2357 8 ай бұрын
​@@Churchofecclesiawe ndo hujielewi kenge wee
@fatumasalumu2869
@fatumasalumu2869 8 ай бұрын
Hakuna dini hapo
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 8 ай бұрын
And u know KISWAHILI 😂😂❤❤🎉🎉🎉
@gabziljohn9625
@gabziljohn9625 8 ай бұрын
Wez😂😂😂 chum kizito
@cmoshi7014
@cmoshi7014 8 ай бұрын
WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA. 😭😭😭😭😭😭😭
@DannyScorp-zq1sp
@DannyScorp-zq1sp 8 ай бұрын
polee tunakuombea upate maarifa
@cmoshi7014
@cmoshi7014 8 ай бұрын
Nakuombea wewe umtafute Yesu mwenyewe maana anapatikana ili uione mbingu. Yesu Anarudi nyie shobokeeni tu sijui nabii, mtume tutawaacha. Mtafute Mungu peke yako. Ubarikiwe
@happnesskatandula4189
@happnesskatandula4189 8 ай бұрын
I was there yesterday airport nikiwapokea nitaman nimguse Prof anibariki
@lakhaly19
@lakhaly19 8 ай бұрын
Akubariki kwan yeye ni mungu?
@subirahowen124
@subirahowen124 8 ай бұрын
😂😂 kazi ipo
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 8 ай бұрын
Itabidi niende uislamu jamani daah
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 8 ай бұрын
Karibu bila shaka ALAH JALAH JALAL akuongoze.
@drsilo
@drsilo 8 ай бұрын
Karibu na utajua km ukristo hamna kitu hamna pasta atakaezungumzia hili..lakn ktk hamn mtu atakaeichezea DINI njoo ktk din ya haki
@joniajohn4716
@joniajohn4716 8 ай бұрын
Don't get lost Yesu ndie njia ya kweli na uzima , pasipo Yeye hakuna atakae mbona MUNGU alie hai. Leo kubali umpokee Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako ingali neema ipo. Nenda katika kanisa linalohubiri neno la kweli na uzima....sio miujiza miujiza pekee haiwezi kukujenga kiimani. Ufundishwe neno la Mungu vizuri ili uweze kukulia wokovu. Ukikomaa kiroho na kiimani kama Neno la Mungu linavyoagiza upepo wa UONGO wa ibilisi na agents wake wakiwemo manabii wa uongo hautakuyumbisha kwa sababu utakua umejengwa katika misingi imara. Ndugu usipotee muslims and christians don't worship the same God unfortunately. Yesu ndie njia ya KWELI NA UZIMA that's it.
@Sheba4651
@Sheba4651 8 ай бұрын
### Yusto karibu kwenye Uislamu, huku kwetu mtu haamki asubuhi akawa nabii ama mtume, kubwa atakua sheikh tu, atowe mawaidha aseme na kunukuu ya Mungu muumba.
@faridithomas4859
@faridithomas4859 8 ай бұрын
Wakristo bwana
@mwami_the_don_
@mwami_the_don_ 8 ай бұрын
Tuwaombee kwa mungu hawa manabii wa uwongo kwakwer
@RoseMary-sw2ec
@RoseMary-sw2ec 8 ай бұрын
Aah nmemkumbuk sas lovy dah kumb kawa hv asee kabadlka san ngumu kumjua kam n yey aliekuw kwny kund la longombas
@Neema182
@Neema182 8 ай бұрын
WATU HUTOKEWA NA YESU FAKE PIA. (SHETANI HUJA KAMA MALAIKA WA NURU Mathayo 24:11 [11]Na manabii wengi wa uongo watatokea, na kudanganya wengi. 1 Yohana 4:1 [1]Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani. Mathayo 24:24 [24]Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
@basiribonga689
@basiribonga689 8 ай бұрын
Kwamba kanisa lina police station? Sawa bana
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 8 ай бұрын
Naknaga clip zake insta maneno mazur lkn jins alivyo sio ushuhuda kabsa pengne aliachana na mamb ya dunia ndy akaokoka tusimbeze
@haridimpelengana1246
@haridimpelengana1246 8 ай бұрын
Yesu akikuokoa anakubadilisha. Bado ana matendo na tabia za kiibilisi. Kuna roho nyingine iko ndani yake. I assume LGBT wako nyuma yake
@aloismwenda8975
@aloismwenda8975 8 ай бұрын
UKRISTO UNAHARIBIWA SANA, JINGA SANA, KWANI KUWA TAJIRI NI AJABU, UNAENDA CHUKUA ANOINTING ET YA UTAJIRI DAAA HAFU UMETOBOA PUA. NENDENI WAJINGA SANA HUKO.
@Boaz22
@Boaz22 8 ай бұрын
Bro sky, prophet sio mchungaji, ni Nabii😅😅
@Officialkeeler
@Officialkeeler 8 ай бұрын
Namuelewa sana huyu Jamaa
@muharamiesther5908
@muharamiesther5908 8 ай бұрын
Mwe Mwe Mweee🤔
@RojahKamalza-lw3ls
@RojahKamalza-lw3ls 8 ай бұрын
Mmeona hiyo pua lakin
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 8 ай бұрын
Hizo njia zao zinajulikana wawadanganye wenye udhaifu wa imani😢
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 8 ай бұрын
Mambo magum aya
@silasnatir7915
@silasnatir7915 8 ай бұрын
Nyinyi mnasema ni nabii lakini mwonekano mwao nikama wanamsiki2 wakidunia siyo watumishi wamungu alie ai
@andreauisso3225
@andreauisso3225 8 ай бұрын
Mana bii wauongoo washajua Tz kunahela zabure endeleeni kuwa tajirisha umesikia anaishii wapi huko marekani take care hizi ni nyakati za mwisho
@SharifaHayatta
@SharifaHayatta 8 ай бұрын
Usiukumu ukaja ukumiwa
@andreauisso3225
@andreauisso3225 8 ай бұрын
Soma maandiko matakatifu yanasemaje siyo maneno yangu wala sija muhuku mtuu, hizi ni nyakati za mwisho take care
@goddyffmarsacha259
@goddyffmarsacha259 8 ай бұрын
Huyu sio mcongo, huyu ni Mkenya 100% The Longombas
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 8 ай бұрын
Congolese
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 19 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 3,7 МЛН
Before VS during the CONCERT 🔥 "Aliby" | Andra Gogan
00:13
Andra Gogan
Рет қаралды 6 МЛН
Black Man SHOCKS Orthodox Jews by speaking Russian Yiddish
18:29
Frankie Light
Рет қаралды 4 МЛН
JINSI YA KUISHI  NA ADUI YAKO NA RAFIKI YAKO// SHEIKH OTHMAN MAALIM
29:11
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 19 МЛН