No video

🔴LIVE: HAJI MANARA ASHINDWA KUJIZUIA AMWAGA MCHELE YEYE NDIO ALINIANZA KUNICHOKOZA NA AKANIFUKUZA

  Рет қаралды 231,955

Vimba Media

Vimba Media

Күн бұрын

Share, Support, Subscribe!!!
Subscribe: UC-4fDfmsXy9hIcEmPKbARIQ
KZbin: / hzbtv
Twitter: / harakatizabongo
Facebook: / harakatizabongo
Instagram: / harakatizabongo
Google Plus: plus.google.co...

Пікірлер: 219
@MartinMlaponi-c3n
@MartinMlaponi-c3n 17 күн бұрын
Huyu karia anamaliza muda wake,juhudi zake za kuibeba Simba zimeshafeli,ndio maana alikufungia pasipo na sababu ,kumbe siku moja utakuwa juu yake.Mungu akuzidishe mazuri.Thanks.
@nahishakiyeassuman5541
@nahishakiyeassuman5541 2 жыл бұрын
Pole sana papa from France 🇨🇱
@mailonitz4901
@mailonitz4901 2 жыл бұрын
Ila. Huyu talented kwenye speech kama unampa hajielezee umfungi ata kama ameua
@carolinemasaki2020
@carolinemasaki2020 2 жыл бұрын
Tunakuelewa sana kaka yetu haji manara sisi wana udsm hakika si kila mtu anapenda mafanikio yako
@mariamissah9926
@mariamissah9926 18 күн бұрын
Pole haji uyo kalia uwa anachuki sana na Yanga na Leo naamin Mungu yupo nasi tunayafunga😢
@allysalumu8240
@allysalumu8240 2 жыл бұрын
Mwisho wa ubaya ni aibu Manara! Bado unazidi kuchafua sio safi kaka.
@karmalyshaft9742
@karmalyshaft9742 2 жыл бұрын
Anachafua kweli na hawa yanga wasipo angalia wataingizwa cha kike
@eddysimba6829
@eddysimba6829 2 жыл бұрын
Kwenye rizki kuna majungu sana mwacheni mwenzenu mungu kampa kipaji. Hizi chuki binafsi zinaboa.
@bonifassimon7909
@bonifassimon7909 2 жыл бұрын
Karia ana wivu mnoo
@nahanakadiri3969
@nahanakadiri3969 2 жыл бұрын
Tena ana wivu na chuki hafai
@janejoel2465
@janejoel2465 Ай бұрын
Halafu hajifichi anajionyesha tu, ila MUNGU yupo kila kitu kinamwisho
@kawembasaady2934
@kawembasaady2934 2 жыл бұрын
Pole kaka hayonimaisha muombe mungu atakusimamiya yeye ndie muweza kaka
@WilbrodNducha-wu4bg
@WilbrodNducha-wu4bg Күн бұрын
Acheni unafiki hamkuona kilichofanyika watu msipendezewe na ushabiki😂😂😂
@patrickmkunda3666
@patrickmkunda3666 2 жыл бұрын
Ana sanaa ya Ulumbi
@user-sp2pp9yl8g
@user-sp2pp9yl8g 20 күн бұрын
Mimi nakushauri Usiendelee Kumzihaki Mo Dewej Huna Hadhi nae Yule ni Mtu anaiongizia Taifa fedha Nyingi Kimsema Mo Unatukosea Simba wote wew Umemsema Mo ametambulisha familia yake Wewe huna Adabu
@nahanakadiri3969
@nahanakadiri3969 2 жыл бұрын
Mi nakuelewa xanaa haji izo chuki nazielewa!huyo rais hafai!haji ameongea Mambo ambayo kila mahali kwny kazi watu km uyo rais wenye vyeo kunyanyasa watu wa chini!adi haji anaamua kumropokea ujue amevumilia mengi Kama Ayo na atimae yamemfika kibinadaam lazma moyo uchoke rais mbayaaa
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 3 ай бұрын
Kuna Haji Sunday manara na stive Nyerere Hawa watu wanakitu kikubwa xana ndani Yao washabarikiwa na mwenyezi mungu chuki mnazowachukia zitawafikia pabaya xana 😢 Hawa ni talented
@dravioanjelomgulunde6332
@dravioanjelomgulunde6332 2 жыл бұрын
Ise hongera unapambana hatar unaweza kuja kuwa rais
@nahanakadiri3969
@nahanakadiri3969 2 жыл бұрын
Na icho ndio karia anachokiona kwa haji na Sasa anapanga kumshusha kabisa haji km haji anafaa anafaa tu ataaibika cku moja uyo karia akae akijua cheo ni zamana
@amulikemwaweza5370
@amulikemwaweza5370 2 жыл бұрын
Kumbe amewahi kukukemea mara nyingi siyo kwa sababu upo yanga bali ata ulipokuwa Simba,hivyo geuza ruga ya kusema kwa sababu ya wiki ya mwananchi
@aminaally8475
@aminaally8475 2 жыл бұрын
Hyo week ina nni cha mno hpo kakacrik 2 kuwa atafanyia wapi Tambo zake
@abdallahhuseinkabale7534
@abdallahhuseinkabale7534 2 жыл бұрын
Kwa sababu ni fundi wa kuzungumza wasipo kujibu huwa inaonekana kweli..
@devotharobert5420
@devotharobert5420 Жыл бұрын
Kwangu Mimi manala nili kupenda sana ukiwa Simba ulikua una hama sisha mashabiki wana itikia
@nahanakadiri3969
@nahanakadiri3969 2 жыл бұрын
Kwaiyo inaeleweka haji nimekusoma uyo rais ana chuki ya mda mrefu na wewe kimya kimya!lakn iko wazi iyo
@MgangaMasudi
@MgangaMasudi 10 ай бұрын
Acha ungo na wewe msenge nini
@mcyudasicqo9610
@mcyudasicqo9610 2 жыл бұрын
Maisha ndivyo yalivyooooooo
@MohamedHuseni-jc3hk
@MohamedHuseni-jc3hk Ай бұрын
Vp
@enockboidy4458
@enockboidy4458 2 жыл бұрын
Shida nikwamba unaweza ukawa kalibu na viongozi wakubw lakin ukataka kujikweza ndio shida we nimgonjwa wa akili
@elishanziku8725
@elishanziku8725 2 жыл бұрын
Viongozi wa Simba walishakushitukia, viongozi wa TFF walishakushitukia, bado UTOPOLO nao watakuchoka mie nipo paleeeee
@DignaEdger
@DignaEdger Ай бұрын
Ndio tutambue uonevu upo sana hasa mwenye madaraka kumuonea asiye na madaraka. Mungu tusaidie😢
@MketekeMnyamani
@MketekeMnyamani 2 күн бұрын
Acheni majungu huyo ni kiongozi Watford siyo simba
@makambokisawani
@makambokisawani 27 күн бұрын
Siku ya wananchi naomba nikuone live
@allymavunyila8549
@allymavunyila8549 2 жыл бұрын
bwwege huyo hajui kuomba radhi. kila anapokosea anaanza kutaka kuongea povu. yanga kueni makini siku akikosea atakuja tena kwenye midia kuyamwaga. hilo box tu
@OmaryMichombero
@OmaryMichombero Ай бұрын
Pole mkuu
@imamurashid512
@imamurashid512 2 жыл бұрын
We kalia kumbe wew kumas tu
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 жыл бұрын
2 Samweli 22: 6 Kamba za kuzimu zilinizunguka; Mitego ya mauti ikanikabili. 7 Katika shida yangu nalimwita BWANA, Naam, nikamlalamikia Mungu wangu; Naye akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake. *MATESO, AIBU, WASIWASI, HOFU NA TAABU VIKITUSHIKILIA, TUMTAFUTE BWANA, TUMLILIE, TUMLALAMIKIE NAYE ATASIKIA NA KUTUOKOA!!!*
@saladaniel9274
@saladaniel9274 2 жыл бұрын
Amen 🙏
@gubabumatege6904
@gubabumatege6904 Жыл бұрын
tunakumisi sana haji
@ramadhanipadon3577
@ramadhanipadon3577 2 жыл бұрын
Daah viongozi wa tff wanatakiw wajiangalie wasitumie vyeo vyao kuathirin Waliochini.
@HafidhAlly-vf5dy
@HafidhAlly-vf5dy Ай бұрын
Kweli .kk😊
@salimliemba3458
@salimliemba3458 2 жыл бұрын
Dah jamaa yani afanya wa Tanzania mazumbumbu kweli mpaka spitl ya mchongo dah
@user-xp4ru5yr1r
@user-xp4ru5yr1r Ай бұрын
Manara apo umekosea kumzungumzia rais wa TFF ungenyamaza tu huoni kama unaanzisha mambo mengine kaka?
@victorsanga2229
@victorsanga2229 2 жыл бұрын
Haji ni muongo sana tena sana
@nahanakadiri3969
@nahanakadiri3969 2 жыл бұрын
Haji hawezi kua muongo uongo inaeleweka mtu anapoongea na ukweli inaeleweka mtu anapoongea,izo ni chuki kwny kazi viongozi wengi wanakuaga nazo uyo rais ana chuki na haji na ameona haji anakubalika na uyo rais hajui maana ya icho cheo ni kikubwa anafoka foka nn Kama rais eti rais!kwaio karia kwanza mda mrefu na ujue mtu akikufata data xn na kukukera ikifikia mwsho wa uvumilivu unaamua acha iwe mby unamropokea tu ndio kilichotokea kwa haji!uvumilivu umemshinda haji nae akamropokea
@ericlowasa3097
@ericlowasa3097 18 күн бұрын
Hebu twambie wewe ukweli wako
@DignaEdger
@DignaEdger Ай бұрын
Nyie msikie tu. Kumuomba radhi mtu ambaye yeye anayetaka aombwe radhi ndio kakuko 11:25 ea. Ee Mwenyezi Mungu naomba mwisho Mwema.😢
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ukimfutilia mambo yake unaweza kufa mapema. Alitutukana Sana wanayanga kuwa wote hatuna akili isipokuwa Baba yake na Kikwete tu. Na alisema hawezi kuwa Yanga labda akiwa Amaiti. Simba wamelifukuza likaletwa na GSM leo ndio haya linashida linatukana watu. Walifunfie maisha mrudisheni NUGAZI wetu.
@kijanisaini5688
@kijanisaini5688 2 жыл бұрын
Makolo mnwa wewe kadanganye makolo wenzio c anakukera halafu una act ka litoto wakat watu tunaelew we likolo zilipendwa Kuma ww
@danielnyangasi8808
@danielnyangasi8808 2 жыл бұрын
Bro huyu jamaa ni msakatonge
@Userog254
@Userog254 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@user-mp6zd2ui7r
@user-mp6zd2ui7r 2 ай бұрын
Pole Haji
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 3 ай бұрын
Hapo manara anamsingizia Raisi wa Tff. Mimi nilikuwepo sijasikia hayo maneno machafu akiyatamka Raisi wa Tff. Huyu anatafuta kuwachonganisha yanga na Karia. Na hii ndiyo tabia ya manara.
@Itselars77
@Itselars77 2 жыл бұрын
Duu mungu akusaidie tu haji
@wilsongeorge1353
@wilsongeorge1353 2 жыл бұрын
Mnataka aende simba ndio mkaona mumfungie wajinga nyie ndio maana mpira wa tanzania unadorora . Rais wa Tff hana akili huyo tunajua ni mshabiki wa simba tunalifahamu hilo . Na ninavomjua manara mmechokoza wenyewe namiambieni kabsa mtateseka sna nyie machoko mmetibuwa wenyewe.
@yusufsong7993
@yusufsong7993 2 жыл бұрын
Jinga tu tu linajikweza jeuri
@SamsonMwambope
@SamsonMwambope Ай бұрын
Yes Hana eshima anataka aeshimiwe
@SamsonMwambope
@SamsonMwambope Ай бұрын
Uongozi wa kalia mpira wetu umekuwa sana
@PendoKweka-cg8cd
@PendoKweka-cg8cd 2 ай бұрын
Wanaotoa mawazo yao kwa kutoa hukumu dhidi ya manara, nadhani hatuhitaji mawazo yao.mpo wengi sana ambao hamumpedi manara .
@marywattamathias9252
@marywattamathias9252 2 жыл бұрын
Mtu Moja anaye pitia changamoto du polee
@francisibrahim9010
@francisibrahim9010 Жыл бұрын
Polesana manara
@SamsonMwambope
@SamsonMwambope Ай бұрын
Viongozi wapo ndiyo maana wametufikisha apa tulipo Kwa Sasa timu zetu zinafanya vizuri,tatizo mnaleta ushabiki kwenye ukweli
@anordymwenda6053
@anordymwenda6053 2 жыл бұрын
True
@user-mu3qn2ws5w
@user-mu3qn2ws5w Ай бұрын
Anna roho mbaya
@elishajusto1182
@elishajusto1182 10 ай бұрын
Broo nakuomba urudi nyumbani
@MeckMsea-cx1ct
@MeckMsea-cx1ct Ай бұрын
Wewe huna hekima ndo maana uliwai kumsema vikali mwandishi wa habari upandacho ndicho utacho kivuana
@mrajani786
@mrajani786 3 ай бұрын
Haji unakumbuka rais stafu kikwete katika harusi yako alikusi kutulia Na mimi nakuomba uende kwa mama samia akusaidia
@user-im6jx5pn9w
@user-im6jx5pn9w Ай бұрын
Bro manara mungu yupo nawe ,hiyo karia tff siyo yake Iko siku muda wake utapita ,aje atune uku mitaani mwema Sana hiyo kwanza anaichukia Sana yanga hatufai ,hafai kuwa kiongozi wa nje hata ndani ya familia anaubaguzi mkubwa saaana ,siku ambayo yanga inacheza akiwa yeye uwanjani anataka yanga ifungwe ,na hata Kama tutashinda mechi inakuwa ngumu Sana ,mtoheni apo hafai , mpira hauhendeshwi hivi ,
@eliashagai7920
@eliashagai7920 2 ай бұрын
Mdomo wako unakuponza unatumia vibaya ,kuwa na kiasi sio lazima uongee
@AlexMbagata
@AlexMbagata Ай бұрын
Mm nafikiria kuwa mkweli ni Jambo zuri huyu jamaa ni mkweli
@khamisihussein8777
@khamisihussein8777 2 жыл бұрын
Uyo presda Tff anachuki na yanga yetu eeh sawa baba lababa utajua hujui alah
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 Жыл бұрын
Tatizo lako ni kimbelembele chako. Ulipomwomba Kangi Lugora kuwa mgeni rasmi hukuwa na kibari cha Tff. Yule ni Waziri hawezi kualikwa na mtu baki bila kuishirikisha Tff. Uliyatafuta mwenyewe.
@mackerasmus3563
@mackerasmus3563 2 жыл бұрын
Mshikaji muongo muongo sana mzee wa kutunga mambo unalo hilo pambana na hali yakoooooooo muhuni mmoja tu manara
@musslwilla
@musslwilla 2 жыл бұрын
Shida ya haji ni kutaka kuona yeye sahihi kuliko wengine
@adaniathumani3382
@adaniathumani3382 2 жыл бұрын
Ukweli usemwe karia hafai kuwa raisi wampira hapa tanzania
@deusiyusuph8931
@deusiyusuph8931 2 жыл бұрын
kwasababu kamfungia manala
@nahanakadiri3969
@nahanakadiri3969 2 жыл бұрын
Adani umeonaee afai ana Roho mbayaaaa
@adaniathumani3382
@adaniathumani3382 2 жыл бұрын
@@nahanakadiri3969 kiongozi huwezi kuonyesha Kuw Ww unatiimu aangaliee mfano waraisi wajamhuri yatanzania hayati magufuli kwaweli bora hata oscaosca anafaa kuwa raisi wampira mana mpka Leo sijamuelewa yupo timu gani huyo ndoanafaa kuwa raisi wampira mana hana timu
@adamsonsimon189
@adamsonsimon189 2 жыл бұрын
Lakini karia ndo alikusamehe alivyopata urahis pili kipindi unatoka simba press zako unadai kisa umaarufu je ni kweli mo unamzidi umaarufu leo karia akuchukie kisa umaarufu wako kweli wakati crip inaonesha wew ndo ulikuwa mkali kwa picha tu
@NelsonMatambo-ob5zm
@NelsonMatambo-ob5zm 2 ай бұрын
Achana nao simba wachawi ndomana lana inawavaa sasaiv
@kuruthummuhsin870
@kuruthummuhsin870 2 жыл бұрын
Yaan ww baba ni mnafiki mnoooo
@hassanmasoud5602
@hassanmasoud5602 2 жыл бұрын
Ukimya wako ingekua dawa lkn kwa vile unaweza kuongea kuliko kila mtu ww nimuongo Kwa nn hukuyaongea napema haya?
@abdalahmsigwa5032
@abdalahmsigwa5032 2 жыл бұрын
Barbra ni genius
@NdakamaPeter-i8b
@NdakamaPeter-i8b Ай бұрын
Bakiza maneno
@salehhemed9388
@salehhemed9388 2 жыл бұрын
Always anajihisi anaonewa gere Who are you bana😆😆
@J4UPro
@J4UPro 2 жыл бұрын
Mind your business
@DjumaEvariste
@DjumaEvariste Ай бұрын
Rasmi siyo tetesi usajili yanga n'a Simba
@rahimkomba3149
@rahimkomba3149 2 жыл бұрын
Shirikisho la mpira wa miguu Tff mbele kwa mbele na mkimfunguria haji Manara basi na wale wariotenda makosa na mkawafungia na faini pesa juu nao muwafungurie sawa jmn haki kwa wote
@MwapololoMc
@MwapololoMc 2 күн бұрын
Gombea ulaisi wa tff chaguzi ijayo
@ClepineTeophil-ne2lk
@ClepineTeophil-ne2lk Жыл бұрын
Sawa
@browndz9966
@browndz9966 2 жыл бұрын
Ndugu uyo alikuweka kiporo maan upolo unapashwaaa
@hassanmasoud5602
@hassanmasoud5602 2 жыл бұрын
Wkt uliwadhalilisha waliokupa heshma aaaahhhhh bwana haji huna lako jambo tena utaharibu kila pahala ww
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 10 ай бұрын
Acheni kumpa fulsa huyu zeruzeru, tumechoka naye! Ni kichaa siyo mwenzetu Huyu mbwa koko.
@uklife5232
@uklife5232 2 жыл бұрын
Wasomali wanariho mbaya sana
@user-ek7tp2fg8t
@user-ek7tp2fg8t 4 ай бұрын
Manala amehaza kualibu yanga tena
@hamidumpiga6283
@hamidumpiga6283 10 ай бұрын
Uyo kidau mshamba tu najopo lake watatoka tu tff sio yao wala yababa zao
@Userog254
@Userog254 2 жыл бұрын
Hiyo press yako haipunguzi hukumu yako, nyundo 2 na milioni 20 ziko palepaleee🤣🤣🤣
@SamsonMwambope
@SamsonMwambope Ай бұрын
Huna eshima lazima ufokewe
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 2 жыл бұрын
Tatizo lako Manara unategemea porojo za majukwaa kukutetea lkn wenzako wanatumia sheria na kanuni zilizowekwa.
@amiriishengoma5016
@amiriishengoma5016 2 жыл бұрын
Genius
@azizially6114
@azizially6114 2 жыл бұрын
Acha uongo ulisha tuambia hujawahi kuwa simba sasa simba gani hiyo unayo izungumzia ww zeruzeru ufungiwe tu maisha
@edwinmhema3191
@edwinmhema3191 2 жыл бұрын
ivi kwa maelezo ya manara ugovi ulianza mwaka gani au Kuna nyuma ya pasia wanatuficha............. Mtu akushauti tu sijuwi Kama ni kweli
@user-nt6bh5zm8x
@user-nt6bh5zm8x 10 ай бұрын
Huyu ndio alikuwa msemaji na muhamasishaji hakuwahi kushika kispika na uwanja uliokuwa unakaa sio huyo Kuma anaebana sauti muimba tarabu
@salehhemed9388
@salehhemed9388 2 жыл бұрын
Kwahiyo ule msamaha umefuta?
@hassanmasoud5602
@hassanmasoud5602 2 жыл бұрын
WW ulimdhalilisha barbara kushaenda kumuomba radhi?? Haji bobo umekwisha tusalmie kazi yako iliyobaki nikufitińisha watu haji goyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@mujosmujobigwa5269
@mujosmujobigwa5269 2 жыл бұрын
Mpira wa Tz hauna viongozi , Bali una washsbiki wa timu zao
@user-mm6no9kp1s
@user-mm6no9kp1s 2 ай бұрын
Karia ni mjinga sio kionfozisafi fala sana
@SamsonMwambope
@SamsonMwambope Ай бұрын
Tff wanaakili sana awawezi kumjibu chizi anayetafuta umarufu Kwa lazima
@Userog254
@Userog254 2 жыл бұрын
Ulivyokosa busara ilibidi ufate hatua za sheria na mkalizungumze panapohusika, na co kuongea uongo mbele za watu, huruma za watu hazipunguzi hukumu yako boys ww
@sophiasaidy3914
@sophiasaidy3914 2 жыл бұрын
Huyu jamaa Kama unataka kumfunga usimpe nafasi ya kujitetea no talent mbaya Yani ni Makini na hasahau neno la mwanzo Ila haimaanixhi hajafanya kosa
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 2 жыл бұрын
Wewe umapotea soon anza kuandaa kutengeza mgahawa kama Shishi maana kinavhofwata wote wanaekudanganya watakuwacha.
@abedileite4725
@abedileite4725 2 жыл бұрын
Huyo rais wa Tff si mtutsi lkn! kwaiyo arudi kwao Rwanda!! Sijuwi somalia!!
@abdulkihanza5911
@abdulkihanza5911 2 жыл бұрын
Wanazitaka 20k walipe deni wanalodaiwa na Bay
@edwinmhema3191
@edwinmhema3191 2 жыл бұрын
Kichwa gani muwongo mkubwa kwani hapo huoni aibu kuyasema hayo wewe Kiki ,inakutesa
@neddon5822
@neddon5822 2 жыл бұрын
Kwan TFF inaongozwa na sheria za nchi ama FIFA?
@abdulkihanza5911
@abdulkihanza5911 2 жыл бұрын
Tulisha sema Karia hafai mtayaona mengi
@aminaally8475
@aminaally8475 2 жыл бұрын
Hzo Media zote kaziteka yye mbona tff ha2waoni wakisema na wao
@reginamluviji9405
@reginamluviji9405 2 жыл бұрын
Ila inasikitishaa ple lakin
@azizaally3839
@azizaally3839 10 ай бұрын
We Haji Manara tulia na maneno yako ihache Simba yetu😂
@ramaameir3035
@ramaameir3035 2 жыл бұрын
Nimependa sana uliposema japo kamchango wako kidogo ktk soka,nikweli uliitwa nani vile kipindi uganda wanatuachia ndugu zao?
@esterkimaro5681
@esterkimaro5681 2 жыл бұрын
Wew mujinga sahana manala
@abdukalembo788
@abdukalembo788 2 жыл бұрын
Hata kuandika kwenyewe hujui
Schoolboy Runaway в реальной жизни🤣@onLI_gAmeS
00:31
МишАня
Рет қаралды 3,7 МЛН
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 33 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 45 МЛН
What's the President NOT saying? New University funding model || The Wicked Edition
10:30
The Wicked Edition with Dr. King'ori
Рет қаралды 9 М.
Schoolboy Runaway в реальной жизни🤣@onLI_gAmeS
00:31
МишАня
Рет қаралды 3,7 МЛН