Natalia Mrembo na msomi aliyetumia Uzuri wake kuuza Juice mtaani kwa Mtaji wa Elfu Tano

  Рет қаралды 437,587

Vimba Media

Vimba Media

Күн бұрын

Пікірлер: 750
@evancechangae
@evancechangae 7 жыл бұрын
Safi sana mdada. Unajielewa sana Dada. Na warembo wengine kama wewe, waige mfano wako. Naamini utazidi kufanikiwa na unautumia urembo wako vizuri. Mungu akubariki kwenye shughuli yako.
@alphoncendagije7005
@alphoncendagije7005 6 жыл бұрын
Chapa kazi Dada. Nilichokipenda kwako tu ni kwamba unaonekana dharau hauna na uzuri wako ndo umeufanya kuwa mtaji wako.Congrats.
@cristinamrema5274
@cristinamrema5274 7 жыл бұрын
Ni kweli kabisa mungu ndiye kila kitu na ndugu wa damu awezi kukusaidia ila mtu baki ana weza kukusaidia na kufika mbali yani sister umeni gusa maisha yangu sana kwani wali mwengu awa ishiwi maneno na Kani fundisha kupigana zaidi kimaisha na ku songa mbele na kushinda kila aina ya vikwazo na majani na ku jiamini zaidi kwa kile unachofanya Hongera sana siste
@mariambogozo7819
@mariambogozo7819 5 жыл бұрын
daah nimekukubali Dada yangu
@sheilaobedy6771
@sheilaobedy6771 3 жыл бұрын
Nimekupenda sana dada naomba nitundishe na mimi japo aina moja tu hajui
@eunicekwamboka9073
@eunicekwamboka9073 4 жыл бұрын
Nakupenda bure dada Thanks for inspiring slayqueens Wafanyekazi kuomoka n polepole 😂 wakenya🇰🇪 mpooooo pitia hapo na like tukingoja kuomoka😜😜😂
@noorathadhary176
@noorathadhary176 3 жыл бұрын
Asante sana 4 being open wengine huficha kabisa mafaanikio yao bila kufaham kwamba hyo ni akiba ya manen tu bc may God help u in everything Love u so much ccy
@safiyasafiya1522
@safiyasafiya1522 6 жыл бұрын
Asante my sister natariy yani nimekupenda wallah uko vizuri pia nashukuru kwa kutuma fuzo wadada wezio kwa hili somo zuri ya kujichanganya katika utafutaji me napenda sana kuwa mfanya biashara mzuri pia naomba mungu adijalie ndoto zangu hili ziweze kutimia lnshallha panapo huai from oman then nikirudi uku nataka niige mfano wako love u
@reymzyramson5210
@reymzyramson5210 7 жыл бұрын
i real apriciate the lady daaaah yuko real sanaaaa na kweli anajielewa sio kama wengine wanaigiza tuuu
@janeombongi9736
@janeombongi9736 5 жыл бұрын
This lady is open..i like making friends with people who are real like her...most people fake alot
@siriyamwanamkemkakamavu
@siriyamwanamkemkakamavu 6 жыл бұрын
Mwanamke Mkakamavu, safi sana, very proud of you. Umeongea ukweli mtupu.
@gracemmanga6371
@gracemmanga6371 7 жыл бұрын
guuuuud sana my dada utabarikiwa sana kwakujitambua vizuri mno ukiwa mzuri lazima ujiheshimu
@hazelbrown4712
@hazelbrown4712 5 жыл бұрын
MashaAllah Big Up Sasa Dada.... Mwanamke anafaa kuchangamka kwa vyovyotr vile ilimradi anajipatia Pesa zake za Halali.. hii ndio Ndoto yangu na mimi nije kuwa na Fruit Parlour yangu Binafsi niwe na Bakery yangu maana nimesomea Baker nije kuwa na Caffee yangu... naamini ipo siku Ndoto yangu itatimia In Shaa Allah..
@berthafoya447
@berthafoya447 7 жыл бұрын
changamoto ndo njia ya kujifunz na ndiko njia ya mafanikio katika jihudi. hongera dada barikiwa sana
@keziahndunda6344
@keziahndunda6344 2 ай бұрын
Thank you for inspiring me as I start my hawking business you are beautiful, and I know am also beautiful I can do anything through Christ who strengthens me
@kelvinwainaina3744
@kelvinwainaina3744 7 жыл бұрын
Woow asante ,,,kila kitu.kinawezekana ni ukweli sitakata tamaa niko nyuma nakuja Mungu niwezeshe
@zuranamutebi1111
@zuranamutebi1111 5 жыл бұрын
Great ideas thanks
@magrethwezza1339
@magrethwezza1339 2 жыл бұрын
Yaani kanitia moyo Mungu ni mwema
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 7 жыл бұрын
Safi sana mrembo. Nimekupenda mpaka nakuchukia.❤❤ Mungu azidi kukupigiania maana amesema kwenye maandiko yake utakula jasho lako. Maneno ya Mungu hayapiti bila kutimia..
@salmaismail9425
@salmaismail9425 6 жыл бұрын
Asee we dada umenitia moyo mwenyewe natembeza juice naonekana maskini lakini naingiza pesa
@salmaismail9425
@salmaismail9425 6 жыл бұрын
Nadhalaulika sana
@tommyalpha9224
@tommyalpha9224 5 жыл бұрын
kwel bna
@tommyalpha9224
@tommyalpha9224 5 жыл бұрын
kwel bna
@kichunawayusuf6336
@kichunawayusuf6336 7 жыл бұрын
Masha Allah mola awepamoja nawe kipenzi ailinde biashara yako nawenye husdha chachu
@shakilashakila5142
@shakilashakila5142 2 жыл бұрын
I really like this lady 😍 congrats my dear..... life is not easy it's all about fighting & struggling and also your so inspiring ❤️ God bless u more 💕
@rizzy4604
@rizzy4604 2 жыл бұрын
Umenigusa moyo mrembo,God bless the work of ur hands💛
@sarahlithoqueen495
@sarahlithoqueen495 7 жыл бұрын
Mashallah mungu akuzidishie mrembo nmeipenda sanaa kazi yako
@miriammeela1210
@miriammeela1210 7 жыл бұрын
nimekupenda bure. mungu akubariki dada
@tinasalim5288
@tinasalim5288 7 жыл бұрын
What a touching and motivating story .May Allah bless your work.
@gracefrancos2705
@gracefrancos2705 6 жыл бұрын
am inspired.. Mwenyezi Mungu akujaalie zaidi Dada Natalia
@thebisadorychannel7574
@thebisadorychannel7574 4 жыл бұрын
You made me cry sweetheart😥 You are A Super Woman keep it going💝🤗
@abdubakar5428
@abdubakar5428 7 жыл бұрын
Welldone Natalia. you courageous and good example
@vendelinmassawemassawe3699
@vendelinmassawemassawe3699 7 жыл бұрын
dhaa asante sana nimejifuza mengi sana ubarikiwe sana
@shstell
@shstell 7 жыл бұрын
This woman it's very grateful, inside and out and very wise. However, i do not agree with the arguement that "woman depreciate more than men". A woman is always valuable to the society and no matter what age, she can do wonders. Society wants us to think that so that men can be exalted, but a man can age better physically, but a woman will gain more wisdom mentally. Woman who keep themselves up have proved to age well as well. Wisdom and knowledge are everything. Kudos to her though, inspiring story!
@justhere5905
@justhere5905 7 жыл бұрын
Shstell Mar thanks for clarifying that your words are amazing too
@cars9969
@cars9969 5 жыл бұрын
Women do depreciate very fast than men, it plain truth that people don't like to here it.
@zawadiabdul3834
@zawadiabdul3834 6 жыл бұрын
Nimekupenda Dada unamsimamo mnzuri sanaaa Good speach
@immahjunior3771
@immahjunior3771 5 жыл бұрын
Ur the very professional speaker congrats ww ni mfano mzurii wa kuigwa
@BahatiNdogosa
@BahatiNdogosa 2 ай бұрын
Ubarikiwe dada Mungu aendeleye kuku ongezea
@mariamkizenga1625
@mariamkizenga1625 5 жыл бұрын
Nice Dada natalia umenifungua akil sana, na nyie muwe mnafupisha matangazo cz matangazo yenu yanachosha kiukwel
@feliscuragi4779
@feliscuragi4779 4 жыл бұрын
Gorgeous lady inside out, 👏🏼 I've really been inspired, shukran
@jimmyjohn8184
@jimmyjohn8184 7 жыл бұрын
dadangu nimekupenda sana namna unavyopambana, safi saana. Mungu akufanikishe zaidi na zaidi, amen.
@rachaelmichael345
@rachaelmichael345 2 жыл бұрын
This woman is wow i like her , she's so inspiring, she's just like me.God bless u
@yunnahharry8088
@yunnahharry8088 5 жыл бұрын
You one in a million..., great job
@hatbtalveson6581
@hatbtalveson6581 6 жыл бұрын
Huyu dada kaniliza kwa kweli...!! Nimependa sana aseeh mwili unasisismka kiukweli,HONGERA KWA ULIPOFIKIA
@rahmakavuna6827
@rahmakavuna6827 6 жыл бұрын
Thank you so very much.. I'll thank you again and again.. You made me believe that I will soon make it!
@merjanewanjikum9565
@merjanewanjikum9565 3 жыл бұрын
Umenitia nguvu my sister God bless you alot
@marymulusha7850
@marymulusha7850 7 жыл бұрын
kutoka leo you are my role model...I have learnt alot from you😘😘
@mwajumaabeidy8137
@mwajumaabeidy8137 6 жыл бұрын
mary mulusha .me too.nimemkubali sana
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 7 жыл бұрын
barikiwa dada angu aisee mungu azidi kukupigania AMEEN
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 жыл бұрын
Hassanova junior ameen
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 7 жыл бұрын
azh zha yassin pamoja Sana wa mie
@elizaapend1848
@elizaapend1848 7 жыл бұрын
azh zha yassin p
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 жыл бұрын
Eliza Apend P
@haniphaathumani7554
@haniphaathumani7554 3 жыл бұрын
Asante umenipa nguvu ya kutokata tamaa nmekuelew san dada ake mungu akuzidishie
@zhnnnsafisanamweshimiawata1312
@zhnnnsafisanamweshimiawata1312 6 жыл бұрын
shukrani dada mim naomba niwemwanafuzi wako unipemarekezo
@tkvlogs3969
@tkvlogs3969 7 жыл бұрын
Wooooh beauty with the brain , Big up , i learn a lot .
@deboralazaro50
@deboralazaro50 5 жыл бұрын
nimekupenda bure dada hauko tofauti na mm sipendi vya kupewa
@humphreykarua5241
@humphreykarua5241 3 жыл бұрын
Hi Dada?in ni. Mahitaji gani ya kutengeneza juicesna mtaji ni sh ngapi?na aina gsni za juices ammbazo huuzwwa sana?asante H
@rizkimantasha5
@rizkimantasha5 7 жыл бұрын
ongera sanaaa na mungu akuzidishiee kila la kheri!!katika kaz ya mikono yakoo 👏Natar
@bernadethahassanmkandya86
@bernadethahassanmkandya86 7 жыл бұрын
Hongera sana Natalia! ujasiri wako ndiyo mtaji wako!
@kinandamahaza342
@kinandamahaza342 5 жыл бұрын
Hongera sanaa Dada. You are very bright one. We love girls like u
@felistasixbert3174
@felistasixbert3174 Жыл бұрын
Natalie love uu😭😭u inspire Mee jmn
@werubintalijuma3118
@werubintalijuma3118 5 жыл бұрын
masha Allah nimependa sana jitihada zako Dada Alia nivizuri umekua mfano wakuingwa na vijana wenzio.Mola akupe maarifa na Kheiri kwa kazi yako In sha Allah.
@NanceUlomi
@NanceUlomi 5 ай бұрын
Asante sana dada umenifungua niwe jasiri
@lucaschambika5437
@lucaschambika5437 4 жыл бұрын
A strong hero of herself...i like dat!!
@mariamhussein7620
@mariamhussein7620 2 жыл бұрын
Well hata mimi namaliza degree yangu ya kwanza but target yangu ni kubobea kwenye biashara ya Chakula and I believe I will make it asante sana dada umenimotivate and I won't give up
@neemashabani1589
@neemashabani1589 2 жыл бұрын
Tunafatilia interview ya Natalia 2022 gonga like ...
@malaikamartin6559
@malaikamartin6559 7 жыл бұрын
asante Sana.. nlikwsha Kata tamaaa ila nainuka Rena. God bless you dear.
@fatmajuma8889
@fatmajuma8889 7 жыл бұрын
Sister imenitouch story yako Ya maisha .Mwenyezi Mungu azidi kukubariki 🙏
@zawadiabdul3834
@zawadiabdul3834 6 жыл бұрын
Wasichana wengi Warembo hawapendi kujituma kanzi kudanga big up
@paulinasamwel3975
@paulinasamwel3975 2 жыл бұрын
Ahsante san dada angu kwa ushauli mana kunabinadam mwengne wapot kwaajol ya kukatisha tamaa
@stellamwanika5317
@stellamwanika5317 3 жыл бұрын
Zanana nimependa majibu yako hongera sana,🙏🙏🙏🙏
@husseinhamidu2116
@husseinhamidu2116 5 жыл бұрын
Utafika mbali Sana, nimejifunza ki2 kwako sister thank you
@g-spack
@g-spack 4 жыл бұрын
Natalia God bless u your an inspiration to all those young ladies who think bleaching and being socialites is the only thing that can make them money...your life story is amazing
@joyblessedtv
@joyblessedtv 6 жыл бұрын
Asante kwa kunitia Moyo stay blessed keep moving.
@VimbaMedia
@VimbaMedia 6 жыл бұрын
+Joyce Blessed bless
@masakivlogs
@masakivlogs 7 жыл бұрын
Very strong woman,hongera sana dada keep it up
@mangalamlala3516
@mangalamlala3516 5 жыл бұрын
I just love her😍💖💖
@ommythegreatblog7040
@ommythegreatblog7040 7 жыл бұрын
you are hero sister....you teach me ways to go forward
@gladneskuziganika8992
@gladneskuziganika8992 5 жыл бұрын
Hongera Dada
@theresiagreyson9606
@theresiagreyson9606 2 жыл бұрын
So inspiring woman, bravo👏
@navongelysrlynsozsye8494
@navongelysrlynsozsye8494 7 жыл бұрын
God bless you NATALIA...U REAL DESERVONG SIS... GOD IS EVERYTHING.!
@imeldanoel2827
@imeldanoel2827 7 жыл бұрын
Sio siri umenitia nguvu ya mafanikio, sasa utakuwa role model wangu. Hongera sana dada
@janetmunyirich9429
@janetmunyirich9429 7 жыл бұрын
she's so inspiring! use what you have, i love that. + that juice looks so fresh 😋
@NinaTayarii-be9ij
@NinaTayarii-be9ij 4 ай бұрын
Hongera Natalia uko vizuri sana
@cookwithflozzy2763
@cookwithflozzy2763 7 жыл бұрын
Good job....uv got such a strong spirit..big up
@teddyinbloom
@teddyinbloom 5 жыл бұрын
Daaaa.....Am a form three student.... Sister umeni inspire kichiiiziii....
@renatusernest6285
@renatusernest6285 6 жыл бұрын
Congratulation Dada umepigaa hatuaa ni mfano wa kuigwaa Mungu na akubariki
@mbushimbushi1524
@mbushimbushi1524 6 жыл бұрын
Daaaah Dada asanteeee sanaaa kwakunipa ujasir wa ajabuu
@milembesaguda631
@milembesaguda631 5 жыл бұрын
safi sana dada
@mariamamir8986
@mariamamir8986 7 жыл бұрын
Natalia mwenyezi mungu akubariki kwaushauri wako,kunakitu umenia nguvu nakunitia moyo ilinipambane.😭😭😭😘😘😍😍
@halimamohamedy3571
@halimamohamedy3571 7 жыл бұрын
ma sha Allah dad nimekupenda mpk bac na nimejifunz kitu kutok kwako mwenyez mung akuongoze zaidi
@israeljoseph3438
@israeljoseph3438 6 жыл бұрын
Ahsante dada umenipatia motivation ....vzr sna big up
@wardeeswai716
@wardeeswai716 3 жыл бұрын
Am proud of you sister umenishawishi kitu tena haswa sisi wasomi halafu ni warembo tunatakiwa tujiamin
@consolataaloycemgumba3735
@consolataaloycemgumba3735 7 жыл бұрын
you are my hero stand strong
@ngwandungussa8180
@ngwandungussa8180 Жыл бұрын
Saf sana dada toa elimu kwa wanadada wanaolizunguka waachane na mengine waangalie maisha yao yataendaje .
@joyceisack5930
@joyceisack5930 5 жыл бұрын
Zanana nimekupenda bure hakika umenishawishi sana
@nshimirimanadjamilla7270
@nshimirimanadjamilla7270 3 жыл бұрын
Ok 👌 shukran
@fransiscarwillaasinta6008
@fransiscarwillaasinta6008 7 жыл бұрын
nimekupenda sana dada pitiliza mpaka malengo Mungu akusaidie
@aristidearistidemutatuzi7801
@aristidearistidemutatuzi7801 5 жыл бұрын
Dada yangu salute kwa utendaji wako wakazi mungu akujaliye yani
@kamole3
@kamole3 7 жыл бұрын
Education is the key to life. the biggest support that she has is her education. Congrats sis.
@user-nf3iv3gf6u
@user-nf3iv3gf6u 3 жыл бұрын
Dada umenishawishi sana kuanzia leo stakaa nyumbn bila kujishughulisha asante dada❤
@rebecaalbertmillanzi5882
@rebecaalbertmillanzi5882 5 жыл бұрын
Watching it in 2019...uyu Dada anantia hasira ya kutafuta pesa
@arafamiraji3992
@arafamiraji3992 5 жыл бұрын
Nimekupenda sna dadangu pia umenifanya nami niamke kwa kwel duuhh hongera sna sna
@RonnieMchatta-pr5bd
@RonnieMchatta-pr5bd 6 ай бұрын
Safi sana dada keep it up
@abasimfaume1482
@abasimfaume1482 6 жыл бұрын
Wow, I like much dada. Ladies wanapaswa kuutumia urembo wao kwa fursa +ve mfano dada is a good example to be followed
@bbybye3135
@bbybye3135 7 жыл бұрын
very nice. ..am supporting you dada. ..you are great
@abumasoud1996
@abumasoud1996 7 жыл бұрын
asante dada angu kipenzi .Mungu atakusaidia.try kukaza kamba.tunakupa salamu hutoka uholanzi
@wambuijoseph5989
@wambuijoseph5989 3 жыл бұрын
Iron lady. ❤️I'm inspired. 🙌🙏
@farwatskitchen13
@farwatskitchen13 6 жыл бұрын
Real inspiration 👍
@SuperKibwana
@SuperKibwana 7 жыл бұрын
wazo zuri sana kwa kweli. Hongera sana Mdada. Na ni changamoto kwa wengine
@willingmuriithi4579
@willingmuriithi4579 5 жыл бұрын
Waooow!so inspiring,,,may God bless u,,,nmejifunza mengi
@muhammadmwinyi3225
@muhammadmwinyi3225 7 жыл бұрын
hakika kila kitu kina changamoto zake,big up dadangu,Mungu akubariki.
@alicefriday4056
@alicefriday4056 6 жыл бұрын
Nimekupenda sana hongera
@evelyneernest8854
@evelyneernest8854 5 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA DADA ASANTE KWA KUTUSAIDIA PIA
@muchiameir7416
@muchiameir7416 6 жыл бұрын
Hongera Dada, unatuinspire sana watanzania pamoja na walisoma.
@muchiameir7416
@muchiameir7416 6 жыл бұрын
Yaani nimecomment kabla haujalia....yaaani mhhm, kweli tusikate tamaa...
@dianaahdarlingkenya7616
@dianaahdarlingkenya7616 7 жыл бұрын
great Job Beautifully hard work pays keep it up God bless u
@munirmuhamed5908
@munirmuhamed5908 7 жыл бұрын
Nothing Came Easy!!! Girl You Inspired Me"
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,1 МЛН
Хасанның өзі эфирге шықты! “Қылмыстық топқа қатысым жоқ” дейді. Талғарда не болды? Халық сене ме?
09:25
Демократиялы Қазақстан / Демократический Казахстан
Рет қаралды 329 М.
MREMBO AMESOMA MASTERS MAREKANI ILA ANAUZA MAKANDE MWANZA
18:47
Millard Ayo
Рет қаралды 597 М.
MASHINE YA JUICE YA MIWA , HII NDO MASHINE BORA YA JUICE YA MIWA
3:22
Tanzania Kilimo digital Tv
Рет қаралды 5 М.
VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA BIASHARA
16:16
Jenifer Jovin
Рет қаралды 38 М.
KAZI NI KAZI | Msomi wa chuo kikuu aliyeamua kuuza matunda
24:29
Uongozi wa Tabora united  watoa MAUMAINI yajayo yanafurahisha
10:13