Safi sana mdada. Unajielewa sana Dada. Na warembo wengine kama wewe, waige mfano wako. Naamini utazidi kufanikiwa na unautumia urembo wako vizuri. Mungu akubariki kwenye shughuli yako.
@alphoncendagije70056 жыл бұрын
Chapa kazi Dada. Nilichokipenda kwako tu ni kwamba unaonekana dharau hauna na uzuri wako ndo umeufanya kuwa mtaji wako.Congrats.
@cristinamrema52747 жыл бұрын
Ni kweli kabisa mungu ndiye kila kitu na ndugu wa damu awezi kukusaidia ila mtu baki ana weza kukusaidia na kufika mbali yani sister umeni gusa maisha yangu sana kwani wali mwengu awa ishiwi maneno na Kani fundisha kupigana zaidi kimaisha na ku songa mbele na kushinda kila aina ya vikwazo na majani na ku jiamini zaidi kwa kile unachofanya Hongera sana siste
@mariambogozo78195 жыл бұрын
daah nimekukubali Dada yangu
@sheilaobedy67713 жыл бұрын
Nimekupenda sana dada naomba nitundishe na mimi japo aina moja tu hajui
@eunicekwamboka90734 жыл бұрын
Nakupenda bure dada Thanks for inspiring slayqueens Wafanyekazi kuomoka n polepole 😂 wakenya🇰🇪 mpooooo pitia hapo na like tukingoja kuomoka😜😜😂
@noorathadhary1763 жыл бұрын
Asante sana 4 being open wengine huficha kabisa mafaanikio yao bila kufaham kwamba hyo ni akiba ya manen tu bc may God help u in everything Love u so much ccy
@safiyasafiya15226 жыл бұрын
Asante my sister natariy yani nimekupenda wallah uko vizuri pia nashukuru kwa kutuma fuzo wadada wezio kwa hili somo zuri ya kujichanganya katika utafutaji me napenda sana kuwa mfanya biashara mzuri pia naomba mungu adijalie ndoto zangu hili ziweze kutimia lnshallha panapo huai from oman then nikirudi uku nataka niige mfano wako love u
@reymzyramson52107 жыл бұрын
i real apriciate the lady daaaah yuko real sanaaaa na kweli anajielewa sio kama wengine wanaigiza tuuu
@janeombongi97365 жыл бұрын
This lady is open..i like making friends with people who are real like her...most people fake alot
@siriyamwanamkemkakamavu6 жыл бұрын
Mwanamke Mkakamavu, safi sana, very proud of you. Umeongea ukweli mtupu.
@gracemmanga63717 жыл бұрын
guuuuud sana my dada utabarikiwa sana kwakujitambua vizuri mno ukiwa mzuri lazima ujiheshimu
@hazelbrown47125 жыл бұрын
MashaAllah Big Up Sasa Dada.... Mwanamke anafaa kuchangamka kwa vyovyotr vile ilimradi anajipatia Pesa zake za Halali.. hii ndio Ndoto yangu na mimi nije kuwa na Fruit Parlour yangu Binafsi niwe na Bakery yangu maana nimesomea Baker nije kuwa na Caffee yangu... naamini ipo siku Ndoto yangu itatimia In Shaa Allah..
@berthafoya4477 жыл бұрын
changamoto ndo njia ya kujifunz na ndiko njia ya mafanikio katika jihudi. hongera dada barikiwa sana
@keziahndunda63442 ай бұрын
Thank you for inspiring me as I start my hawking business you are beautiful, and I know am also beautiful I can do anything through Christ who strengthens me
@kelvinwainaina37447 жыл бұрын
Woow asante ,,,kila kitu.kinawezekana ni ukweli sitakata tamaa niko nyuma nakuja Mungu niwezeshe
@zuranamutebi11115 жыл бұрын
Great ideas thanks
@magrethwezza13392 жыл бұрын
Yaani kanitia moyo Mungu ni mwema
@damariszuckschwert94897 жыл бұрын
Safi sana mrembo. Nimekupenda mpaka nakuchukia.❤❤ Mungu azidi kukupigiania maana amesema kwenye maandiko yake utakula jasho lako. Maneno ya Mungu hayapiti bila kutimia..
@salmaismail94256 жыл бұрын
Asee we dada umenitia moyo mwenyewe natembeza juice naonekana maskini lakini naingiza pesa
@salmaismail94256 жыл бұрын
Nadhalaulika sana
@tommyalpha92245 жыл бұрын
kwel bna
@tommyalpha92245 жыл бұрын
kwel bna
@kichunawayusuf63367 жыл бұрын
Masha Allah mola awepamoja nawe kipenzi ailinde biashara yako nawenye husdha chachu
@shakilashakila51422 жыл бұрын
I really like this lady 😍 congrats my dear..... life is not easy it's all about fighting & struggling and also your so inspiring ❤️ God bless u more 💕
@rizzy46042 жыл бұрын
Umenigusa moyo mrembo,God bless the work of ur hands💛
@sarahlithoqueen4957 жыл бұрын
Mashallah mungu akuzidishie mrembo nmeipenda sanaa kazi yako
@miriammeela12107 жыл бұрын
nimekupenda bure. mungu akubariki dada
@tinasalim52887 жыл бұрын
What a touching and motivating story .May Allah bless your work.
@gracefrancos27056 жыл бұрын
am inspired.. Mwenyezi Mungu akujaalie zaidi Dada Natalia
@thebisadorychannel75744 жыл бұрын
You made me cry sweetheart😥 You are A Super Woman keep it going💝🤗
@abdubakar54287 жыл бұрын
Welldone Natalia. you courageous and good example
@vendelinmassawemassawe36997 жыл бұрын
dhaa asante sana nimejifuza mengi sana ubarikiwe sana
@shstell7 жыл бұрын
This woman it's very grateful, inside and out and very wise. However, i do not agree with the arguement that "woman depreciate more than men". A woman is always valuable to the society and no matter what age, she can do wonders. Society wants us to think that so that men can be exalted, but a man can age better physically, but a woman will gain more wisdom mentally. Woman who keep themselves up have proved to age well as well. Wisdom and knowledge are everything. Kudos to her though, inspiring story!
@justhere59057 жыл бұрын
Shstell Mar thanks for clarifying that your words are amazing too
@cars99695 жыл бұрын
Women do depreciate very fast than men, it plain truth that people don't like to here it.
@zawadiabdul38346 жыл бұрын
Nimekupenda Dada unamsimamo mnzuri sanaaa Good speach
@immahjunior37715 жыл бұрын
Ur the very professional speaker congrats ww ni mfano mzurii wa kuigwa
Wooooh beauty with the brain , Big up , i learn a lot .
@deboralazaro505 жыл бұрын
nimekupenda bure dada hauko tofauti na mm sipendi vya kupewa
@humphreykarua52413 жыл бұрын
Hi Dada?in ni. Mahitaji gani ya kutengeneza juicesna mtaji ni sh ngapi?na aina gsni za juices ammbazo huuzwwa sana?asante H
@rizkimantasha57 жыл бұрын
ongera sanaaa na mungu akuzidishiee kila la kheri!!katika kaz ya mikono yakoo 👏Natar
@bernadethahassanmkandya867 жыл бұрын
Hongera sana Natalia! ujasiri wako ndiyo mtaji wako!
@kinandamahaza3425 жыл бұрын
Hongera sanaa Dada. You are very bright one. We love girls like u
@felistasixbert3174 Жыл бұрын
Natalie love uu😭😭u inspire Mee jmn
@werubintalijuma31185 жыл бұрын
masha Allah nimependa sana jitihada zako Dada Alia nivizuri umekua mfano wakuingwa na vijana wenzio.Mola akupe maarifa na Kheiri kwa kazi yako In sha Allah.
@NanceUlomi5 ай бұрын
Asante sana dada umenifungua niwe jasiri
@lucaschambika54374 жыл бұрын
A strong hero of herself...i like dat!!
@mariamhussein76202 жыл бұрын
Well hata mimi namaliza degree yangu ya kwanza but target yangu ni kubobea kwenye biashara ya Chakula and I believe I will make it asante sana dada umenimotivate and I won't give up
@neemashabani15892 жыл бұрын
Tunafatilia interview ya Natalia 2022 gonga like ...
@malaikamartin65597 жыл бұрын
asante Sana.. nlikwsha Kata tamaaa ila nainuka Rena. God bless you dear.
@fatmajuma88897 жыл бұрын
Sister imenitouch story yako Ya maisha .Mwenyezi Mungu azidi kukubariki 🙏
@zawadiabdul38346 жыл бұрын
Wasichana wengi Warembo hawapendi kujituma kanzi kudanga big up
@paulinasamwel39752 жыл бұрын
Ahsante san dada angu kwa ushauli mana kunabinadam mwengne wapot kwaajol ya kukatisha tamaa
@stellamwanika53173 жыл бұрын
Zanana nimependa majibu yako hongera sana,🙏🙏🙏🙏
@husseinhamidu21165 жыл бұрын
Utafika mbali Sana, nimejifunza ki2 kwako sister thank you
@g-spack4 жыл бұрын
Natalia God bless u your an inspiration to all those young ladies who think bleaching and being socialites is the only thing that can make them money...your life story is amazing
@joyblessedtv6 жыл бұрын
Asante kwa kunitia Moyo stay blessed keep moving.
@VimbaMedia6 жыл бұрын
+Joyce Blessed bless
@masakivlogs7 жыл бұрын
Very strong woman,hongera sana dada keep it up
@mangalamlala35165 жыл бұрын
I just love her😍💖💖
@ommythegreatblog70407 жыл бұрын
you are hero sister....you teach me ways to go forward
@gladneskuziganika89925 жыл бұрын
Hongera Dada
@theresiagreyson96062 жыл бұрын
So inspiring woman, bravo👏
@navongelysrlynsozsye84947 жыл бұрын
God bless you NATALIA...U REAL DESERVONG SIS... GOD IS EVERYTHING.!
@imeldanoel28277 жыл бұрын
Sio siri umenitia nguvu ya mafanikio, sasa utakuwa role model wangu. Hongera sana dada
@janetmunyirich94297 жыл бұрын
she's so inspiring! use what you have, i love that. + that juice looks so fresh 😋
@NinaTayarii-be9ij4 ай бұрын
Hongera Natalia uko vizuri sana
@cookwithflozzy27637 жыл бұрын
Good job....uv got such a strong spirit..big up
@teddyinbloom5 жыл бұрын
Daaaa.....Am a form three student.... Sister umeni inspire kichiiiziii....
@renatusernest62856 жыл бұрын
Congratulation Dada umepigaa hatuaa ni mfano wa kuigwaa Mungu na akubariki
@mbushimbushi15246 жыл бұрын
Daaaah Dada asanteeee sanaaa kwakunipa ujasir wa ajabuu
@milembesaguda6315 жыл бұрын
safi sana dada
@mariamamir89867 жыл бұрын
Natalia mwenyezi mungu akubariki kwaushauri wako,kunakitu umenia nguvu nakunitia moyo ilinipambane.😭😭😭😘😘😍😍
@halimamohamedy35717 жыл бұрын
ma sha Allah dad nimekupenda mpk bac na nimejifunz kitu kutok kwako mwenyez mung akuongoze zaidi
@israeljoseph34386 жыл бұрын
Ahsante dada umenipatia motivation ....vzr sna big up
@wardeeswai7163 жыл бұрын
Am proud of you sister umenishawishi kitu tena haswa sisi wasomi halafu ni warembo tunatakiwa tujiamin
@consolataaloycemgumba37357 жыл бұрын
you are my hero stand strong
@ngwandungussa8180 Жыл бұрын
Saf sana dada toa elimu kwa wanadada wanaolizunguka waachane na mengine waangalie maisha yao yataendaje .
@joyceisack59305 жыл бұрын
Zanana nimekupenda bure hakika umenishawishi sana
@nshimirimanadjamilla72703 жыл бұрын
Ok 👌 shukran
@fransiscarwillaasinta60087 жыл бұрын
nimekupenda sana dada pitiliza mpaka malengo Mungu akusaidie
@aristidearistidemutatuzi78015 жыл бұрын
Dada yangu salute kwa utendaji wako wakazi mungu akujaliye yani
@kamole37 жыл бұрын
Education is the key to life. the biggest support that she has is her education. Congrats sis.
@user-nf3iv3gf6u3 жыл бұрын
Dada umenishawishi sana kuanzia leo stakaa nyumbn bila kujishughulisha asante dada❤
@rebecaalbertmillanzi58825 жыл бұрын
Watching it in 2019...uyu Dada anantia hasira ya kutafuta pesa
@arafamiraji39925 жыл бұрын
Nimekupenda sna dadangu pia umenifanya nami niamke kwa kwel duuhh hongera sna sna
@RonnieMchatta-pr5bd6 ай бұрын
Safi sana dada keep it up
@abasimfaume14826 жыл бұрын
Wow, I like much dada. Ladies wanapaswa kuutumia urembo wao kwa fursa +ve mfano dada is a good example to be followed
@bbybye31357 жыл бұрын
very nice. ..am supporting you dada. ..you are great