2024Nimekuja kuangalia hii Hongera Sana broo umenifanya nizidi kujiamini na Mawazo yangu kuyatendea haki🎉
@fortchiyanda52737 жыл бұрын
This guy has a very bright future
@rachelissa1156 жыл бұрын
Waooooooh umenifanya nijiamini sana katika biashara yangu
@ceciliasenya90676 жыл бұрын
Hongera sana kaka,ndio wakati wa vijana tuamke tujiajiri 👏
@adrianashyko27816 жыл бұрын
From banker to business man....alright motivation kibao hapa
@hosianakibona6596 жыл бұрын
good interview, good video quality, good voice quality. to much Ad sense Adds. but am satisfied and Already subscribed
@RonnieMchatta-pr5bd11 ай бұрын
Nice very good keep it up
@daudm15587 жыл бұрын
...nimependa..bro hiyo issue.. maamuzi safi
@margarethsaumu5602 Жыл бұрын
Hongera sana kwa kuweza kusimamia ndoto zako. Nimepata kiti kutoka kwako. Mungu akuinue zaidi.
@alimngwalivuai35187 жыл бұрын
aisee umetisha san na umetutia moyo kwa sisi tusio na ajira. mungu atatusaidia inshalla
@cpson6657 жыл бұрын
Ume inspire bro.. Mungu akubarik
@b.a.m62435 жыл бұрын
Nothing impossible ,,,,,, daaah amazing.
@jimmymarwamatjr4916 жыл бұрын
I got u bro Makoye
@zainabugirwana68957 жыл бұрын
unamaamuzi mazuri umenifurahisha I like it wewe mkali Halipingiki mwenyezimungu akujalie
@kingyehoshafatitvbornerys24966 жыл бұрын
Duuuh hatar sana kaka.....yaani nimekupata hadi nahisi presha nangu inashuka maana umeniamshia mzuka wa kuendelea kupigania ndoto zangu❤❤
@charlesjohn51272 ай бұрын
Dah hongera san
@meddamunisi8896 жыл бұрын
Asante kaka Mak be blessed
@faithmutho64006 жыл бұрын
Nimependa sana kaka,,,, nina maswali kadhaa ningependa kumuuliza, nitampataje kupitia simu 😊😊😊.....
@azizayassin36237 жыл бұрын
cku zte biashara.inalipaaaa👍
@lucyauma29682 жыл бұрын
Hongera kaka umeniia moyo na nimejifunza ila naomba mtu akitaji kujifunza na na ya kutengeneza anakufikia vipi 🙏
@jonathankiula81237 жыл бұрын
Vema kabisa, hizi ndiyo habari sasa
@VimbaMedia7 жыл бұрын
Jonathan Kiula shukran sana
@kingotv31625 жыл бұрын
*Hakuna mafanikio pasipo elimu juu ya jambo unalolifanya, Hii ni App pekee iliyonifanikisha kuweza kuona na kuthubutu katika UJASILIAMALI na kuwa mjasiliamali bora,* Nimeamua kukushirikisha katika hili ili na wewe uwe mjasiliamali bora Install sasa kupitia link hii, play.google.com/store/apps/details?id=com.kilimo.na.ufugaji.mfxxfntqhnsotnqtjw *Nakutakia mafanikio mema*
@Contentcreators117 жыл бұрын
umeni inspire, ahsante
@lightnesssomi14427 жыл бұрын
hongera sana bro BT nyie watu wengine msiige biashara yake ila angalien mazingira yenu yanahitaji bidhaa gan mtatoka
@beckajurniour67967 жыл бұрын
Lightness Somi kama mazingira yanaruhusu unafanya mbona
@dibochi25114 жыл бұрын
Upo sahihi
@emeldapaul57966 жыл бұрын
Mungu akulinde Mak. gooo goo oo Mak
@RachelFanuel2 ай бұрын
Hongera kaka me pia naipenda sana hiyo biashara lkn
@annakessy60605 жыл бұрын
Hongera sana kaka umenipa moyo sana ✍
@anetikapami42287 жыл бұрын
Daa!! umenitya nguvu sana bro maana kuajiliwa nimechoka kabisaa.
@AmaniMpesha-dh5dj Жыл бұрын
Masha Allah nmejifunza kitu
@zulfajuma98975 жыл бұрын
big up brooo nmekuelew sn mpk najiulza kwnn hii video ckuiona mapema
@farajajoseph29712 жыл бұрын
Hongera sana
@raymrash7 жыл бұрын
Hongera sana kaka barikwa sana..nimejifunza kitu...asante pia HZB TV
@mayungamanjebe4395 Жыл бұрын
Asantee nimeipenda hii
@gablesladyfashionanddesign14096 жыл бұрын
I like mack for your decision
@arenemedard35356 жыл бұрын
Dah kaka ongera sana watu tunatoka external kuja Africa sana kuja kuchukua juice
@jainamalaika60485 жыл бұрын
Hongera sana bro mak
@fortunatekayuni55077 жыл бұрын
Wow Makoye i real like you. You're kind-hearted and God bless you always
@richardngendakumana28716 жыл бұрын
Daaa asanteni bro pakahivi nafikiriya kufanya vyashara ila naogopa sasa nifanyej
@salumucharles74194 жыл бұрын
Easy is not option Life is hard Sifa ya mfanya biashara ni kujitoa sadaka ukiferi usikate taaamaaa nyanyuka fanya unacho kipenda See you at the top blood
@ajeyfandhealthy88426 жыл бұрын
Brillient,focused,self confident in life bro big☝
@alexandrinadomaino10857 жыл бұрын
Daaah kaka you have inspired me.
@jelasnkoma42407 жыл бұрын
hongera kwa biashara ila umemuachishia Ajira mzee wa Mugachelele Qboy🤣😂😂
@michaelkadinde69466 жыл бұрын
Tunahitaji vijana Kama hawa wawe wahamasishaji kwa vizazi vijavyo hongera kaka 👍
@nyanzalakaporo25047 жыл бұрын
UME NI INSPIRE SANA NA MIMI NIPO MBIONI KUTOKA KUAJIRIWA NA KUJIAJIRI MWENYEWE SOON, MUNGU AIBARIKI KAZI ZA MIKONO YAKO BROTHER MAK NA PRODUCT YAKO IZIDI KUJUIKANA ZAIDI NA ZAIDI.
@sophiakaaya8290 Жыл бұрын
Umefanya vizuri sana Mungu akuzidishe
@agnessahia4154 жыл бұрын
Idea yako ni Kama yangu natamani Sana kudeal na juice na matunda tu Asante Sana kwa kunipa Mwanga japo nahitaji kujua napatia wapi mashine ambayo nitaanzia isiwe Bei kwabwa ambayo itanishinda
@wemamtotochanelyusuphomari82627 жыл бұрын
Dah hongera sana kaka
@emmanueljackob44147 жыл бұрын
Hongera kwa kupambana kaka Mungu akujalie ufike mbali na uendelee kuwa mfano kwa jamii
@ansyfalesy14576 жыл бұрын
Really Good.. Bro
@joyblessedtv6 жыл бұрын
keep it up bro am hongera naja naja
@katikirojuma68267 жыл бұрын
big up bro mak...
@bigbangtanzania19887 жыл бұрын
THE FOUNDER!!
@agathaphocus99383 жыл бұрын
Hongera kaka yangu kwa kazi nzur
@mbazingwazawadi64866 жыл бұрын
Hongera saana brother umeni inspire kiasi kwamba natamani nikutane na ww unipe ujuzi zaidi
@BigZhumbe7 жыл бұрын
Big up..Congrats
@emilydavidmdoe35526 жыл бұрын
Hongera sana,nimependa juhudi uliyonayo
@maduhundilanha74717 жыл бұрын
hongera sana kk
@januarypeter46557 жыл бұрын
umenitia moyo hata mm nimechoka kuajiriwa
@nyanzalakaporo25047 жыл бұрын
TUPO WOTE ATA MIMI NIMECHOKA SANA KUAJIRIWA. NAIMANI TUKI THUBUTU TUNA WEZA.
@anetikapami42286 жыл бұрын
January Peter, Kumbe tuko wengi tuliochoka kuajiliwa
@anetikapami42286 жыл бұрын
nyanzala kaporo, Umeonaeeee, yani mimi natamani leo kesho niwe na biashara yangu. kuajiliwa ni kama utumwa
@gosaizaka14956 жыл бұрын
+Aneti Kapami tuko wengi ambao tumechoka kuajiriwaa
@anetikapami42286 жыл бұрын
Gosai Zaka, umeonaee tena kama mimi ni shida
@noorenjohn51326 жыл бұрын
dah kweli hongera kuajiriwa inahitaji moyo
@calistashio27834 жыл бұрын
hongera kaka
@muniradaudi4404 жыл бұрын
Mashllah
@olaislukumay5717 жыл бұрын
Brother God bless you
@juliusapornaly72717 жыл бұрын
Very nice boy adaptable peson
@jamesgerald71927 жыл бұрын
good idea bro mungu akubariki
@lovenesstunzo64847 жыл бұрын
hongera sana bro
@jeninunu91776 жыл бұрын
well done kijana kama kwa unafanya biashara bori kwa manifaa kwako na wanuuzi kiafya
@yusuphrobert2907 жыл бұрын
iko poa sana broo; u r my model
@saumuhassan13657 жыл бұрын
Hongera sana kijana kwa mafanikio yako, umenipa moyo.
@hadijahadijictori90116 жыл бұрын
duuh nimeipenda hii
@pendosamburu75803 жыл бұрын
Naomba naomba zako
@jumahemed75464 жыл бұрын
Kaka nmkkbal sana Allah atusaidiie namie nataka unipe fikra nitoke kimaisha
@kato_tz7 жыл бұрын
Duh bro ujue Mungu anakuona, Yaani najiona kama nikaache kazi kesho, But ngoja nivute kamuda kidogo aisee maaana hakuna namna hapa ni kujiajiri tu
@queenkimambo61346 жыл бұрын
adolph emmanuel 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@aliceshija31232 жыл бұрын
Saf sana kk mm mwenyewe natengeneza juice nitakuja kuchukua ujuzi mwingine
@tktz54506 жыл бұрын
nimeipenda hii big up ,i wish to meet with u!
@kisalaTV6 жыл бұрын
Asante kwa ushauri wako🙏
@rostamaziz67347 жыл бұрын
hongera kk
@allyrutunga44527 жыл бұрын
umeniongeza inspiration
@kuchibengkuchibeng38957 жыл бұрын
Branch moja I we mbez beach tafadhali..tunapenda juice zako
@linnetmbotto72127 жыл бұрын
Wow Hongera sana kaka
@shifaaal-baity45035 жыл бұрын
Hongera makoye
@nurdinibrahim85465 жыл бұрын
Tshaaa san maki juicee
@hemedtimbulo95457 жыл бұрын
Thx bro umenifungua
@sitihassan94394 жыл бұрын
Bigup
@roserose91086 жыл бұрын
Asante sana kaka kwa ushauri wako mzuri
@mashashijumanne47917 жыл бұрын
Akili yako n kubwa xana bro. Hongera xana. wew una kitu cha ziada zaidi ya hiyo Mak Juice; just keep it up. Ningependa nipate namba yako ili nifike kwa Mak Juice kirahisi.
@hamisimumba7647 жыл бұрын
uko wap kaka
@kiherisebastian71987 жыл бұрын
Ongera Sana kaka umethubutu
@sifaelcharles53477 жыл бұрын
an inspiration brother... tisha sana!
@magdalenamadusa4407 жыл бұрын
Hongera kaka nimejifunza kitu
@nasrijuma5933 Жыл бұрын
Je unaweka kitu gani ili juice isiharibike?
@hamisihamisisaidi88326 жыл бұрын
Ahsante brother ntafanya k2
@saidabdallah31937 жыл бұрын
Vijana mia kama hawa, ajira mia mtaani!
@jumalipongo96107 жыл бұрын
Nimeipenda na nimejifunza kitu
@patricktakawira21474 жыл бұрын
Am sooo inspired brother.....I must do something to up my game
@nchambipeter57237 жыл бұрын
Hongera kaka
@mallvanapeter30426 жыл бұрын
Hongera xna broo
@yohanajeremiahliku31586 жыл бұрын
Unaushauri mzuri sana braza
@emmanuelpaul2995 жыл бұрын
sorry broo naomba nikuuliz kitu hv ulianza na ile mashine kubwa ya juice au ulikuw unatumia tu fridge wakat wa unaanza??