IBADA YA MAZISHI ASKOFU EVARISTO CHENGULA IMC

  Рет қаралды 39,213

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

Күн бұрын

Пікірлер: 57
@jackemanuel4697
@jackemanuel4697 5 жыл бұрын
Mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu askofu evaristo marcus chengula amina
@daudimitimingi6950
@daudimitimingi6950 6 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina
@christophercravery102
@christophercravery102 6 жыл бұрын
Rahaa ya milele umpe ehee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani Amina
@franciscakimbe8124
@franciscakimbe8124 4 жыл бұрын
pumzika kwa amani our bishop
@lucyjohn7904
@lucyjohn7904 5 жыл бұрын
Da alinipatisha kipaimara askofu wangu huyo
@stanslausnyaulingo5922
@stanslausnyaulingo5922 6 жыл бұрын
kazi ya mungu haina makosa
@rosemvamba4400
@rosemvamba4400 6 жыл бұрын
Apumzike kwa aman Askofu wetu
@gracearusa9052
@gracearusa9052 6 жыл бұрын
Tujiombee wenyewe yake yameisha n mm na ww
@elizamatilia372
@elizamatilia372 6 жыл бұрын
MUNGU WETU NI MWEMA SANA NDIO MAANA WOTE TUKO TUNAISHI NA KUVUTA PUMZI UPENDELEO HUWABARIKI WENYE DHAMBI NA WASIO NA DHAMBI
@pascallyimo5106
@pascallyimo5106 6 жыл бұрын
Mnaoandika maneno yasiyofaa humu,acheni mara 1,watu tuko kwenye majonzi,hayo ya sijui wafu kuzikwa kanisani,sio mahala pake,kama ulitaka ufafanuzi ungeuliza wakati mwingine na kwa watu husika...lkn pia hujalazimishwa kusali roma,kama unaona roma wako tofauti kasali kwingine,makanisa yako mengi tu.
@johaneshaule4378
@johaneshaule4378 5 ай бұрын
Unakuta Babu yake kazikwa na ngozi
@haulevincent8824
@haulevincent8824 6 жыл бұрын
Huu ni ubatili ndugu zangu katika Imani ya haki...
@suzanafabian6659
@suzanafabian6659 6 жыл бұрын
kwani VIP ww.?
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 6 жыл бұрын
Ubatili unatoka wapi?kaburi la Petro mtume liko ndani ya kanisa la mt.Petro pale Roma chini ya kiti cha papa.
@المهلهلالحراصي
@المهلهلالحراصي 5 жыл бұрын
Muulizeni yy alitaka akazikwe nyumbani kwake au vip mbona haeleweki huyu kaka mtu ameshazikwe ameshazikwe sasa yy anataka nn huku kwenye media aende akafufue basi akamzeke anapotaka yy
@cosmasmpwage3155
@cosmasmpwage3155 6 жыл бұрын
Ila sio kwa kuzikwa kanisani.... Yesu rudi mapema utufafanulie 😩
@henricokanogu2223
@henricokanogu2223 6 жыл бұрын
Ulitaka azikwe wapi nyumbani kwako
@rainermsafiri343
@rainermsafiri343 6 жыл бұрын
Hujielewi Wala hujui imani ya kanisa na hutambui mafundisho ya kanisa ila unaelewa dini biashara
@josephsiwila4551
@josephsiwila4551 5 жыл бұрын
Ulitaka tuzike chumbani kwako! Acha imani za watu
@jovinarybwoma7307
@jovinarybwoma7307 6 жыл бұрын
Apumzike kwa amani
@margareosoro1875
@margareosoro1875 5 жыл бұрын
May your soul rest in peace
@komanyavitalis4085
@komanyavitalis4085 6 жыл бұрын
Baki na imani yako nami nibaki na imani yangu ya kanisa takatifu katoliki la roma.Nyie mnaobeza endeleeni na makanisa yenu ya kudandia pasipokujua lolote na kukalili mistari ya biblia kwakutokujua maana yake.Tusichoshane kabisa.😉😉
@madolaclassic9247
@madolaclassic9247 6 жыл бұрын
Nyinyi mnaosema kuzikwa kwenye nyuma ya Mungu ni dhambi nani aliyekwambia? Kama alikuwa anafanya kazi ya Mungu ni dhambi kuzikwa kwenye nyumba ya mungu? Nyinyi sio watoliki, hamjashiba imani.Haya mafundisho ya kisasa ya medhehebu yaliyoanzishwa na watu, yanawapoteza!
@saramduma2158
@saramduma2158 6 жыл бұрын
apumzike kwa peace
@haulevincent8824
@haulevincent8824 6 жыл бұрын
Kumbuka kuna sala ambazo ni chukizo kwa Mungu na acheni kuzifanya sheria kuwa rahisi hivyo.
@frankmwajombe6681
@frankmwajombe6681 6 жыл бұрын
Huyu anayejiita mkatoriki halafu hajui taratibu za kikatoriki hana sababu ya kuwa kwenye kanisa la kikatoriki yafaa aende huko kwenye maksnisa ya mafuta ya upako mtadanganyika sana mpaka mkome
@traudkamugisha8051
@traudkamugisha8051 6 жыл бұрын
Wewe unaesema ni mkatoliki wewe sio mkatoliki taratibu za kanisa huzijui wala haikuusu watasali wanaotambua hilo, Kanisa katoliki linamisingi yake wewe unaeropoka sali hukohuko kwao pilipili usiokula yakuwashia nini??
@suzanafabian6659
@suzanafabian6659 6 жыл бұрын
mjinga gani tena kaalibu
@pascallyimo5106
@pascallyimo5106 6 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba
@haulevincent8824
@haulevincent8824 6 жыл бұрын
Tumsifu Yesu kristo Mm nina swali hivi ni kwanini na kwasababu ipi inayofanya Mtu mfu azikwe ndani ya kanisa la Mungu. Ikiwa yeye alishasema Nyumba yangu ni Nyumba ya sala sasa kwann Askofu azikwe ndani na wala sio nje ya kanisa? Je sala hizo zitakua haki kwa Mungu?
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 6 жыл бұрын
Askofu ni mali ya jimbo lile analolitumikia kutakatifuza na kubariki.Na lile kanisa kuu kilimo kiti cha kiaskofu Cathedral ni ishara ya jimbo zima.Hivyo anapokufa mhashamu huyu sharti azikwe ndani ya kanisa lile kuu linalowakilisha jimbo zima.Aidha hii haijaanza leo,juu makaburi ya mitume wa Yesu kuna makanisa.Mfano kanisa la mtakatifu Petro,nk.Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huo nitalijenga kanisa langu.Sasa sala ya imani inatufundisha kusadiki maneno yote linayosadiki na linayofundisha kanisa takatifu la Roma.Kama husadiki unatakiwa kwenda kungineko.Asante.
@haulevincent8824
@haulevincent8824 6 жыл бұрын
@@daudimaembe3360 hata wewe pia ni mali ya kanisa na ndio maana unazikwa na kanisa hakuna asie mali ya kanisa kuna baadhi ya mambo ni ya kuongea walipita mitume na manabii wenye heri lakini kwa majibu yako sio sawa kubali ukweli tu..
@suzanafabian6659
@suzanafabian6659 6 жыл бұрын
umekusudia.nenda....katafute pesa kwa njia ya udanganyifu.mnajiita wachungaji.kumbe utapeli tu
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 6 жыл бұрын
+Haule Vincent Mimi nasadiki kwa kanisa takatifu katoliki la mitume,nasadiki na mambo yake yoooote na siwezipinga chochote kile kinachofundishwa nalo.Kama kuna mahali sielewi nitakwenda kuuliza kwa mababa wa kanisa watanielewesha nitaelewa siyo kufunzwa mtu asiyeelewa chochote.
@florentinamapambaon48
@florentinamapambaon48 6 жыл бұрын
Kuongezea kwa comments nyingine, kwa kurejea mantiki yako ya kwamba Yesu alisema "nyumba yake ni nyumba ya sala" kwa wakatoliki mazishi ni sala pia. Maana tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya Maisha aliyompa ndugu yetu, tunamsihi ampokee katika makao alomwandalia, na tunamuomba Mungu pia atujalie kutambua ufupi wa Maisha yetu hapa duniani.
@haulevincent8824
@haulevincent8824 6 жыл бұрын
Mm ni mroma lakini kwa haya mm siwezi kusali kanisa lililo na wafu ndani yake.....muhubiri asema aliekufa amekufa na vitu vyake vyote na wala haki chini ya jua sasa sisi twafanya machukizo yalio makuu kwa mbele za Bwana
@sixmundnjuyuwi9121
@sixmundnjuyuwi9121 6 жыл бұрын
nenda kaxali unakoona wew wako xahh kwan nan kakulazimixha uxali Roma na hujui uliambiwa kanixa ni imn ya mtyu
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 6 жыл бұрын
Uzuri kanisa katoliki halijawahi kumlazimisha mtu kulifuata.Kama unaona askofu kuzikwa kanisani ni kero,heri utoke ukasali unakojua.Mimi napenda mtu anayependa kuuliza kwamba,kwa nini maaskofu wa kanisa katoliki huzikwa kanisani?Huyo kidogo ana akili.
@haulevincent8824
@haulevincent8824 6 жыл бұрын
@@daudimaembe3360 acha kuzunguza vitu ambavyo sivyo sasa maana ya juu wa mwamba huu nitalijenga kanisa kwahio ndio azikwe ndani ukatoliki sio u Mungu na hata ukisoma biblia Mungu anakataza juu ya mafundisho ya Mwanadam sasa baadhi yake ndio hayo sasa kama ni mali ya jimbo wakifa maaskofu mia watazikwa wap? Hali sio ukatoliki hali ni juu ya sheria zilizo wekwa na viongozi wa kikatoliki ambazo huju kizifuta nyinginezo sio haki kuzika ndani Ya Nyumba ya sala Yesu kristo ambae ndie Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuzikwa hekaluni wala Yohana wala petro wala paulo...
@haulevincent8824
@haulevincent8824 6 жыл бұрын
@@sixmundnjuyuwi9121 ndio nitasali kwani sala sio mpaka unione wewe bali Mungu wangu ndio anajua lakini kumbuka makatazo ya biblia na sio uishi kwa ubishi soma sana biblia tena sana....
@suzanafabian6659
@suzanafabian6659 6 жыл бұрын
umekunywa viroba....kapambane na hali yako.
@ngaizaclavery6078
@ngaizaclavery6078 6 жыл бұрын
apumzike kwa amani
ASKOFU KASSALA "PadreTimothy Nyasulu alikuwa pacha wangu Seminari"
8:11
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 1,9 М.
MISA YA MAZISHI YA  ASKOFU ISUJA JIMBO KUU DODOMA
57:17
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 48 М.
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
Quando eu quero Sushi (sem desperdiçar) 🍣
00:26
Los Wagners
Рет қаралды 15 МЛН
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
Moses, Jonah, Noah & Daniel - NON-STOP - The Beginners Bible
1:42:12
The Beginners Bible
Рет қаралды 3,5 МЛН
PART 1 | Mhashamu Antony Banzi | Historia yake | Uliza Ujibiwe
11:40
Think Fast, Talk Smart: Communication Techniques
58:20
Stanford Graduate School of Business
Рет қаралды 44 МЛН
Mazishi ya Askofu Timanywa
13:21
Kapotive Video Production
Рет қаралды 7 М.
NISHIKE MKONO
6:50
ADONAI CHOIR K.K.K.T MAGUGU
Рет қаралды 2,3 М.
MH. CHALAMILA ALIVYOWAFARIJI WAOMBELEZAJI KWENYE MSIBA WA PADRE NYASULU
12:52
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 2,3 М.
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН