HUNA UNACHOKIJUA KUHUSIANA NA RASTAFARIAN USIFUATE MKUMBO HAO NI WAPUUZI TU HAWA RASTA UJIKUTA KUCHUKUA NA KUINYAMBUA BAATHI YA MISTARI YA BIBILIA NDIO UJIULIZE HUYO HAILE SELASIE ALIFANYA NN CHA MAANA?? AMBAPO WAO WANAAMINI KATIKA SAMSONI KUA NDIO NABII WAO
@officialkishomonster38313 жыл бұрын
@moziidavchonchi. Huelewi chochote
@kofikwabena57853 жыл бұрын
What country is he from?
@laxbtz9096 Жыл бұрын
Tanzaniq
@laxbtz9096 Жыл бұрын
Tanzania
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
More fire more water
@danymsinga70485 жыл бұрын
Duh aisee hii nouma
@daudvedasto98095 жыл бұрын
Haile Selassie Jah
@djumadjumbe69075 жыл бұрын
Rasta fari ❤
@r14kgroup683 жыл бұрын
Amani iwe juu yao
@emmanyuelokabefu56995 жыл бұрын
niçe
@fredjohntanzania38815 жыл бұрын
HAKUNA WATU WAPUMBAVU KAMA WAISLAMU... HAPA WANAWAAMBIA WENZAO KWAMBA NIMAKAFIRI.. LAKINI WAO WANAFUGA MAJINI NAKUWAOMBEA WATU ALBADILI PUMBAVU
@muhammedrashidy28235 жыл бұрын
Fredy John Waifakara hewala bwana,waislamu wote wapumbavu .
@maginajuma38895 жыл бұрын
Hizo ni laana,uzidi kulaaniwa ndo ningekuwa askari wa motoni ningeuchoma mdomo wako
@gloriousnp5 жыл бұрын
Duh, mm Mkristo but this is one of the dumbest comment ever 😏😏😏 Hivi ni lazima kucomment kwenye mitandao kila mtu ajuwe ufahamu wako ulivo mdogo?? Watu kama nyinyi ndo mnahaaribu hii SAYARI I pity you Fred
@ramadhanimandoa40585 жыл бұрын
Hakika dini ya kweli mbele ya mwenyezimungu ni uislamu tu.
@QtiliaNchimbi-qi4tc10 ай бұрын
Nahitaji kujiunga nanyie
@HanceBarinaba3 ай бұрын
Naitaji kujiunga na marasita
@قاسممحمد-ص5ت5 жыл бұрын
Kulingana na hali halisi hawa ni makafir
@massive17655 жыл бұрын
Hata wewr kafir ma inajijua unavyotebda dhambi bwege wewe
@ismailbuchwa3985 жыл бұрын
Wengi waweza kutokuwaelewa na kudhani bangi lakin hawa wajama wanajielewa zaidi unavyo fkiria na hio rastafare ni dini kama dini zingine inamisingi yake na. Katika misingi yake ibada zafanyiwa kwenye mabustani kwaio mtu kabla huja soma kunako wao huwezi ukawaelewa
@moziidavchonchi33385 жыл бұрын
NAFAHAMU VIZURI KUHUSIANA NA RASTAFARIAN NI WAPUUZI TU
@salimkhamis36385 жыл бұрын
Akili zao zipo kama zilivyo hizo nywele zao
@قاسممحمد-ص5ت5 жыл бұрын
Ismail Buchwa na ww miongon mwao bila shaka
@irunguwachomba72463 жыл бұрын
Imani ya ukweli ndio hiyo sasa
@rajabkassim45725 жыл бұрын
niaje mzee baba xana2
@makariospeter94475 жыл бұрын
YESU KRISTO NDIYE NJIA, KWELI NA UZIMA. kila mtu ni lazima aamini DAMU yake ili asafishwe dhambi zake. bila hivyo no pepo. usichelewe. alikufa akafufuka.Yu hai.
@emiliankomba52175 жыл бұрын
Kwahyo wasingekuja wazungu Africa huyo yesu ungemfahamu VIP,na kama pepo kupitia kwa yesu VIP kuhusu mababu zetu waliokufa kabla ya ujio wa wazungu na dini,inamaana wote wapo motoni!?vip kuhusu huko India, china,Japan,Jamaica, Russia,Ethiopia,Vietnam,Korea kaskazini,,inamaana hao wote wataenda motoni?sababu kule hawana yesu ila wanaimani juu ya uwepo wa Mungu/Miungu!;hii ndio Africa ambayo wazungu walitumia dini na elimu kuwabrainwash watu weusi, wao sasa wanaishi maisha tofauti huku sisi makanisa walotuletea yanakosa had pesa ya kumlisha paroko,hii ndio Africa ambayo elimu ya mkoloni had sasa inaonekana ni ukombozi wa watoto ili waishi maisha mazuri huku idadi ya madarasa ikiwa kubwa na kijana anahitimu chuo bado anakula kwa baba,,hii ndio Africa ambayo wazungu wameifanya kama kijiji cha kutalii na wanakuja watakavyo huku ww hata hutarajii kwenda ulaya na huna ndoto yakwenda,,hii ndio Africa ambayo hata wazungu wenyewe hawafikirii na hawawez kuongozwa na Papa mtakatifu,,hii ndio Africa ambayo wazungu huamini ss ni kizazi cha laana cha yule kijana aliyechungulia nyeti za baba yake na akalaaniwa huku yule aliyemfunika baba yake ni mweupe ambaye ndio wao,,hii ndio Africa ambayo ss tunaamini ukizika kadiri ya imani za carismatiki hupaswi kwenda kujengea kaburi la mpendwa wako wakati huko ulaya makaburi yao hupigwa hadi deki,!jitahid sana usome agano la kale,,na jitahid sana uelewe mistari miwili kwenye biblia ambayo ni,,"WATU WANGU WANAHANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA,,,"wapili ni "MSHIKEN SANA ELIMU NA USIMWACHE AENDE ZAKE" ila hapa hujaambiwa elimu gani,sio hyo elimu ya videsa vya kikoloni bali ni elimu yenye riba na ukombozi kwa maisha yako;asante mchango wangu ndio huo 0744830801
@KhamiskaiKaikhamis-e4wКүн бұрын
Kumamazenu
@abrahmanwajih42245 жыл бұрын
du! nishidda
@zenamtembezi492110 ай бұрын
Idum ailele
@anthonyfaru99085 жыл бұрын
Sio tigo pesa, mara m pesa haaa wahtaji sadaka wapo mtaani bana
Ukiitaka zaburi soma qur-an tu hapo utaipata mana qur-an ndo kila kitu
@makisjeremiah2885 жыл бұрын
@@issamohammed5728 acha kupotoshwa wewe katika historia ya hii dunia hakuna watu wanaotunza kumbukumbu kama wayahudi.Huyo aliyekuambia wayahudi waliipoteza zaburi kamuuliza hiyo Koran iliipata wapi zaburi kwa wayahudi au kwa waarabu? tena muulize aliyeiandika zaburi ni nani?
@karisaanderson72465 жыл бұрын
@@issamohammed5728 ww waumwa, uislamu umekufanya pumba! hivi wafahamu qur'an imeagiza waislamu kuwauliza wayahudi lolote katika dini wasiloelewa?!
@officialkamdudu5 жыл бұрын
wanatumia kitabu gani ktk ibaada zao hawa jamaa ?
@dalali_professionalwa_dodo83305 жыл бұрын
Wanatumia zaburi
@johnchale9395 жыл бұрын
Holy piby
@iungwadeogratius78935 жыл бұрын
Hawa ndo maana hawana hata kanisa kweli aiseee akil ni nywele wenzao walikuwaga wanatoa vi2 vya asil pesa haikuwepo tuone basi kama vyakula vitajenga hyo kanisa yao
@emmanuellukemachage30895 жыл бұрын
Educate yourself halafu urudi ku-comment.
@anthonyfaru99085 жыл бұрын
Iungwa Deogratius peleka sadaka yako kwa bulldoza au mtumie tigo pesa haaaa wahtj sadak wapo mtaani bana huo ndo ukweli
@verynicesamwel33125 жыл бұрын
Palipo na Mmoja au wawili Mungu yu katikati yenu we kichwa maji una amin Mungu yuko kwenye Majengo tu ndio maana sadaka zenu zinanunua magari na ma wig ya wake za wachungaji wenu bomboclaaat
@saidbanga5 жыл бұрын
Bangi hizi mmhhhh haya
@testmyphone13055 жыл бұрын
na bangi haikosekani hapo
@issamohammed57285 жыл бұрын
Motoni tu atakae kufa kinyume nauisilamu basi jamii itambue huyo ni motoni tu mana funguo ya pepo ni LAA ILAHA ILLA LLAH
@daviddavid-gq8zp5 жыл бұрын
Issa Mohammed !Siyo kweli!
@issamohammed57285 жыл бұрын
@johnson john tena mwenyeo unatetea upumbavu dini yakweli ni moja tu LAA ILAHA ILLA LLAH hizo nyengine zote ni uzushi tu wawatu ndomana ukaona dini zote katika majumba yaibada wanaingia naviatu lkn dini ya uislamu inasema vua viatu hio nisehemu takatifu angalia nabii musa pale alipokua mlima sinai Mungu alimwambiaje Ewe Musa vua viatu vyako kwahakika upo katika sehemu takatifu rasta huo ni uzushi wenu
@issamohammed57285 жыл бұрын
Haiwezekani katika nyumba yaibada kuingia naviatu hicho nikithibitisho tosha kua hizo si nyumba zaibada ya Mungu wakweli alie mmoja yeye hakuzaa wala hakuzaliwa wala hakuna anacho fanana nacho huyo ndo Mungu wakweli hali hanywi halali wala haendi choo huyo ndo Mungu wakweli ukisema yesu Mungu tutakwambia muongo mkubwa yesu nikama mm naww anakula nakunya ukisema yeye ni mtume wa Mungu kwa wana wa Israel tutakwambia umesema kweli
@issamohammed57285 жыл бұрын
@johnson john uislamu unasema ivi dini yakweli kabisa mbele ya Mungu ni uislamu nayoyote atakae fata kinyume na uislamu huyo atakua kaaamua tu kufata kwamatamanio yake mana haitakiwi kulazimishana katika dini lkn mtu kama anataka salama bc nilazima awe muislamu tu mana ndo dini Teule ya Mungu
@issamohammed57285 жыл бұрын
@johnson john kwani kaka kejeli gani nimetumia kwa resta marafiki niko nao nakaa nao wananambia yesu Mungu namm nawaambia mbona yohana 8:40 yesu anasema lkn sasa mnatafuta kuniuwa mm mtu nilie tumwa na Mungu hapo uungu wa yesu uko wapi ukiwauliza swali hilo wanashindwa kujibu wanasema tuachane naishu zadini
@fakiswalehe97855 жыл бұрын
Nyie nyote msipo badilikA mwaenda motoni
@gloxlox45735 жыл бұрын
Faki Swalehe Hakuna moto wala pepo
@phideliswairimu1185 жыл бұрын
ukwelii hii ni upuzii..moto iko kali sana kwanza
@أبوفيصل-د3ش5 жыл бұрын
Sasa Mbona Wanasoma Biblia zilizoandikwa Na Wazungu na Kutafsiriwa kwa Kiswahili,Hii Imani kwa kweli Haina Mashiko kabisaaa Ni Tunaweza Kusema Ni Moja ya Dhehebu la Ukristo tu
@anganilemichael22835 жыл бұрын
Sasa wewe unajua kua upo sahihi na dini yako acha kejeli ndugu
@أبوفيصل-د3ش5 жыл бұрын
@@anganilemichael2283 Sio kejeli ila tunasema tukiwa na ushahid,Kwan wew umewaona wanasoma kitabu gani hapo???Au na wew Mbu mbu kama Wao???
@kabhikachambala33925 жыл бұрын
Unatumia matako kufikili. SIO KILA ANAETUMIA BIBLIA NI MKRISTO NA SIO KILA ANAETUMIA QURAN NI NWISILAMU. huna mantiki ktk kujadili vitu
@kabhikachambala33925 жыл бұрын
Kuhusu kuandikwa na mzungu sio tatizo kama ingekuwa kweli kwani hata quran imeandikwa na mwarabu. Sijui unatoa wapi fikra kwamba ikiandikwa na mzungu sio halali na ikiandikwa na mwarabu ni halali? .
@أبوفيصل-د3ش5 жыл бұрын
@@kabhikachambala3392 Biblia Kuandikwa na Mzungu(Kwa Kingereza) hili ni Kosa Kubwa sana Kwani Nyie Mwasema Kuwa Ni maneno ya Yesu,Hasa Ni wap na Wap Na Yesu Hakuwa Mzungu. Kuhusu Quraan Kuandikwa na Mwarab ni Sawa Tena Sahihi kabisa Kwani Imeandikwa Kwa Lugha Yake ya Asili na Mtume Mohammad alikuwa ni Mwarabu. Halafu Wakristo ni Nani aliyewaroga Hiv Hata Ufahamu hamna Huwez Kulinganisha Maneno ya Mungu na Maneno ya Wanadamu kama Akina Paulo na Wenzie ambaoTunaskia Majina Tu lakin Watu wenyew hawajulikan,hamuwajui baba zao kama Mathayo,Marko,Yohana,Luka.????
@luqmanmohamedy38605 жыл бұрын
wehu hawajielewi
@kadyuwegeyetv53105 жыл бұрын
Kwa kipi Sasa fafanua nijue Kama kweli na wewe Ni mzima
@phideliswairimu1185 жыл бұрын
🤣🤣🤣 kuna mapepo behind yakuwapotosha
@LUPPER.5 жыл бұрын
Ila kumbuka wanakusanya sadaka zao wenyewe na kupeleka kwa wahitaji