Ibada ya waumini wa imani ya Rasta

  Рет қаралды 70,951

DW Kiswahili

DW Kiswahili

Күн бұрын

Пікірлер: 97
@richardpastor5286
@richardpastor5286 3 жыл бұрын
Holy piby wapi inapatikana nashida nayo
@jamaliddiin9357
@jamaliddiin9357 5 жыл бұрын
allah awaongoze ,njia ya hqq
@officialkamdudu
@officialkamdudu 5 жыл бұрын
kwa hio na hawa ni waislam ?
@ladymjema9595
@ladymjema9595 2 жыл бұрын
My favorite ♥️
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 5 жыл бұрын
LOVE THAT'S WHAT WE NEED
@official_gboygeorge4931
@official_gboygeorge4931 2 жыл бұрын
Mo bless
@mtoamakavu6710
@mtoamakavu6710 6 жыл бұрын
respect rasta
@muuzakahawa6663
@muuzakahawa6663 5 жыл бұрын
Safi sana
@valeliusdiockiles4506
@valeliusdiockiles4506 5 жыл бұрын
nimeipenda
@sketadre1981
@sketadre1981 Жыл бұрын
One love
@martinmtami
@martinmtami 4 жыл бұрын
Amani na Upendo. Rastafari🙏🏿
@williamalex4792
@williamalex4792 5 жыл бұрын
Hiyo ndiyo imani halisi
@moziidavchonchi3338
@moziidavchonchi3338 5 жыл бұрын
HUNA UNACHOKIJUA KUHUSIANA NA RASTAFARIAN USIFUATE MKUMBO HAO NI WAPUUZI TU HAWA RASTA UJIKUTA KUCHUKUA NA KUINYAMBUA BAATHI YA MISTARI YA BIBILIA NDIO UJIULIZE HUYO HAILE SELASIE ALIFANYA NN CHA MAANA?? AMBAPO WAO WANAAMINI KATIKA SAMSONI KUA NDIO NABII WAO
@officialkishomonster3831
@officialkishomonster3831 3 жыл бұрын
@moziidavchonchi. Huelewi chochote
@kofikwabena5785
@kofikwabena5785 3 жыл бұрын
What country is he from?
@laxbtz9096
@laxbtz9096 Жыл бұрын
Tanzaniq
@laxbtz9096
@laxbtz9096 Жыл бұрын
Tanzania
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
More fire more water
@danymsinga7048
@danymsinga7048 5 жыл бұрын
Duh aisee hii nouma
@daudvedasto9809
@daudvedasto9809 5 жыл бұрын
Haile Selassie Jah
@djumadjumbe6907
@djumadjumbe6907 5 жыл бұрын
Rasta fari ❤
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 жыл бұрын
Amani iwe juu yao
@emmanyuelokabefu5699
@emmanyuelokabefu5699 5 жыл бұрын
niçe
@fredjohntanzania3881
@fredjohntanzania3881 5 жыл бұрын
HAKUNA WATU WAPUMBAVU KAMA WAISLAMU... HAPA WANAWAAMBIA WENZAO KWAMBA NIMAKAFIRI.. LAKINI WAO WANAFUGA MAJINI NAKUWAOMBEA WATU ALBADILI PUMBAVU
@muhammedrashidy2823
@muhammedrashidy2823 5 жыл бұрын
Fredy John Waifakara hewala bwana,waislamu wote wapumbavu .
@maginajuma3889
@maginajuma3889 5 жыл бұрын
Hizo ni laana,uzidi kulaaniwa ndo ningekuwa askari wa motoni ningeuchoma mdomo wako
@gloriousnp
@gloriousnp 5 жыл бұрын
Duh, mm Mkristo but this is one of the dumbest comment ever 😏😏😏 Hivi ni lazima kucomment kwenye mitandao kila mtu ajuwe ufahamu wako ulivo mdogo?? Watu kama nyinyi ndo mnahaaribu hii SAYARI I pity you Fred
@ramadhanimandoa4058
@ramadhanimandoa4058 5 жыл бұрын
Hakika dini ya kweli mbele ya mwenyezimungu ni uislamu tu.
@QtiliaNchimbi-qi4tc
@QtiliaNchimbi-qi4tc 10 ай бұрын
Nahitaji kujiunga nanyie
@HanceBarinaba
@HanceBarinaba 3 ай бұрын
Naitaji kujiunga na marasita
@قاسممحمد-ص5ت
@قاسممحمد-ص5ت 5 жыл бұрын
Kulingana na hali halisi hawa ni makafir
@massive1765
@massive1765 5 жыл бұрын
Hata wewr kafir ma inajijua unavyotebda dhambi bwege wewe
@ismailbuchwa398
@ismailbuchwa398 5 жыл бұрын
Wengi waweza kutokuwaelewa na kudhani bangi lakin hawa wajama wanajielewa zaidi unavyo fkiria na hio rastafare ni dini kama dini zingine inamisingi yake na. Katika misingi yake ibada zafanyiwa kwenye mabustani kwaio mtu kabla huja soma kunako wao huwezi ukawaelewa
@moziidavchonchi3338
@moziidavchonchi3338 5 жыл бұрын
NAFAHAMU VIZURI KUHUSIANA NA RASTAFARIAN NI WAPUUZI TU
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 5 жыл бұрын
Akili zao zipo kama zilivyo hizo nywele zao
@قاسممحمد-ص5ت
@قاسممحمد-ص5ت 5 жыл бұрын
Ismail Buchwa na ww miongon mwao bila shaka
@irunguwachomba7246
@irunguwachomba7246 3 жыл бұрын
Imani ya ukweli ndio hiyo sasa
@rajabkassim4572
@rajabkassim4572 5 жыл бұрын
niaje mzee baba xana2
@makariospeter9447
@makariospeter9447 5 жыл бұрын
YESU KRISTO NDIYE NJIA, KWELI NA UZIMA. kila mtu ni lazima aamini DAMU yake ili asafishwe dhambi zake. bila hivyo no pepo. usichelewe. alikufa akafufuka.Yu hai.
@emiliankomba5217
@emiliankomba5217 5 жыл бұрын
Kwahyo wasingekuja wazungu Africa huyo yesu ungemfahamu VIP,na kama pepo kupitia kwa yesu VIP kuhusu mababu zetu waliokufa kabla ya ujio wa wazungu na dini,inamaana wote wapo motoni!?vip kuhusu huko India, china,Japan,Jamaica, Russia,Ethiopia,Vietnam,Korea kaskazini,,inamaana hao wote wataenda motoni?sababu kule hawana yesu ila wanaimani juu ya uwepo wa Mungu/Miungu!;hii ndio Africa ambayo wazungu walitumia dini na elimu kuwabrainwash watu weusi, wao sasa wanaishi maisha tofauti huku sisi makanisa walotuletea yanakosa had pesa ya kumlisha paroko,hii ndio Africa ambayo elimu ya mkoloni had sasa inaonekana ni ukombozi wa watoto ili waishi maisha mazuri huku idadi ya madarasa ikiwa kubwa na kijana anahitimu chuo bado anakula kwa baba,,hii ndio Africa ambayo wazungu wameifanya kama kijiji cha kutalii na wanakuja watakavyo huku ww hata hutarajii kwenda ulaya na huna ndoto yakwenda,,hii ndio Africa ambayo hata wazungu wenyewe hawafikirii na hawawez kuongozwa na Papa mtakatifu,,hii ndio Africa ambayo wazungu huamini ss ni kizazi cha laana cha yule kijana aliyechungulia nyeti za baba yake na akalaaniwa huku yule aliyemfunika baba yake ni mweupe ambaye ndio wao,,hii ndio Africa ambayo ss tunaamini ukizika kadiri ya imani za carismatiki hupaswi kwenda kujengea kaburi la mpendwa wako wakati huko ulaya makaburi yao hupigwa hadi deki,!jitahid sana usome agano la kale,,na jitahid sana uelewe mistari miwili kwenye biblia ambayo ni,,"WATU WANGU WANAHANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA,,,"wapili ni "MSHIKEN SANA ELIMU NA USIMWACHE AENDE ZAKE" ila hapa hujaambiwa elimu gani,sio hyo elimu ya videsa vya kikoloni bali ni elimu yenye riba na ukombozi kwa maisha yako;asante mchango wangu ndio huo 0744830801
@KhamiskaiKaikhamis-e4w
@KhamiskaiKaikhamis-e4w Күн бұрын
Kumamazenu
@abrahmanwajih4224
@abrahmanwajih4224 5 жыл бұрын
du! nishidda
@zenamtembezi4921
@zenamtembezi4921 10 ай бұрын
Idum ailele
@anthonyfaru9908
@anthonyfaru9908 5 жыл бұрын
Sio tigo pesa, mara m pesa haaa wahtaji sadaka wapo mtaani bana
@idrisasalum8013
@idrisasalum8013 5 жыл бұрын
Hhhhhhh 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@kyaro5945
@kyaro5945 5 жыл бұрын
HIM SELASIE Jah Rastafarian.
@qudratv9169
@qudratv9169 5 жыл бұрын
Sadaka ya bangi pia inaruhusiwa 😄😄😄
@andrewmagwila6219
@andrewmagwila6219 5 жыл бұрын
Sauti imekata
@testmyphone1305
@testmyphone1305 5 жыл бұрын
zaburi imetoka wapi wakati wayahudi waliipoteza
@issamohammed5728
@issamohammed5728 5 жыл бұрын
Ukiitaka zaburi soma qur-an tu hapo utaipata mana qur-an ndo kila kitu
@makisjeremiah288
@makisjeremiah288 5 жыл бұрын
@@issamohammed5728 acha kupotoshwa wewe katika historia ya hii dunia hakuna watu wanaotunza kumbukumbu kama wayahudi.Huyo aliyekuambia wayahudi waliipoteza zaburi kamuuliza hiyo Koran iliipata wapi zaburi kwa wayahudi au kwa waarabu? tena muulize aliyeiandika zaburi ni nani?
@karisaanderson7246
@karisaanderson7246 5 жыл бұрын
@@issamohammed5728 ww waumwa, uislamu umekufanya pumba! hivi wafahamu qur'an imeagiza waislamu kuwauliza wayahudi lolote katika dini wasiloelewa?!
@officialkamdudu
@officialkamdudu 5 жыл бұрын
wanatumia kitabu gani ktk ibaada zao hawa jamaa ?
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 5 жыл бұрын
Wanatumia zaburi
@johnchale939
@johnchale939 5 жыл бұрын
Holy piby
@iungwadeogratius7893
@iungwadeogratius7893 5 жыл бұрын
Hawa ndo maana hawana hata kanisa kweli aiseee akil ni nywele wenzao walikuwaga wanatoa vi2 vya asil pesa haikuwepo tuone basi kama vyakula vitajenga hyo kanisa yao
@emmanuellukemachage3089
@emmanuellukemachage3089 5 жыл бұрын
Educate yourself halafu urudi ku-comment.
@anthonyfaru9908
@anthonyfaru9908 5 жыл бұрын
Iungwa Deogratius peleka sadaka yako kwa bulldoza au mtumie tigo pesa haaaa wahtj sadak wapo mtaani bana huo ndo ukweli
@verynicesamwel3312
@verynicesamwel3312 5 жыл бұрын
Palipo na Mmoja au wawili Mungu yu katikati yenu we kichwa maji una amin Mungu yuko kwenye Majengo tu ndio maana sadaka zenu zinanunua magari na ma wig ya wake za wachungaji wenu bomboclaaat
@saidbanga
@saidbanga 5 жыл бұрын
Bangi hizi mmhhhh haya
@testmyphone1305
@testmyphone1305 5 жыл бұрын
na bangi haikosekani hapo
@issamohammed5728
@issamohammed5728 5 жыл бұрын
Motoni tu atakae kufa kinyume nauisilamu basi jamii itambue huyo ni motoni tu mana funguo ya pepo ni LAA ILAHA ILLA LLAH
@daviddavid-gq8zp
@daviddavid-gq8zp 5 жыл бұрын
Issa Mohammed !Siyo kweli!
@issamohammed5728
@issamohammed5728 5 жыл бұрын
@johnson john tena mwenyeo unatetea upumbavu dini yakweli ni moja tu LAA ILAHA ILLA LLAH hizo nyengine zote ni uzushi tu wawatu ndomana ukaona dini zote katika majumba yaibada wanaingia naviatu lkn dini ya uislamu inasema vua viatu hio nisehemu takatifu angalia nabii musa pale alipokua mlima sinai Mungu alimwambiaje Ewe Musa vua viatu vyako kwahakika upo katika sehemu takatifu rasta huo ni uzushi wenu
@issamohammed5728
@issamohammed5728 5 жыл бұрын
Haiwezekani katika nyumba yaibada kuingia naviatu hicho nikithibitisho tosha kua hizo si nyumba zaibada ya Mungu wakweli alie mmoja yeye hakuzaa wala hakuzaliwa wala hakuna anacho fanana nacho huyo ndo Mungu wakweli hali hanywi halali wala haendi choo huyo ndo Mungu wakweli ukisema yesu Mungu tutakwambia muongo mkubwa yesu nikama mm naww anakula nakunya ukisema yeye ni mtume wa Mungu kwa wana wa Israel tutakwambia umesema kweli
@issamohammed5728
@issamohammed5728 5 жыл бұрын
@johnson john uislamu unasema ivi dini yakweli kabisa mbele ya Mungu ni uislamu nayoyote atakae fata kinyume na uislamu huyo atakua kaaamua tu kufata kwamatamanio yake mana haitakiwi kulazimishana katika dini lkn mtu kama anataka salama bc nilazima awe muislamu tu mana ndo dini Teule ya Mungu
@issamohammed5728
@issamohammed5728 5 жыл бұрын
@johnson john kwani kaka kejeli gani nimetumia kwa resta marafiki niko nao nakaa nao wananambia yesu Mungu namm nawaambia mbona yohana 8:40 yesu anasema lkn sasa mnatafuta kuniuwa mm mtu nilie tumwa na Mungu hapo uungu wa yesu uko wapi ukiwauliza swali hilo wanashindwa kujibu wanasema tuachane naishu zadini
@fakiswalehe9785
@fakiswalehe9785 5 жыл бұрын
Nyie nyote msipo badilikA mwaenda motoni
@gloxlox4573
@gloxlox4573 5 жыл бұрын
Faki Swalehe Hakuna moto wala pepo
@phideliswairimu118
@phideliswairimu118 5 жыл бұрын
ukwelii hii ni upuzii..moto iko kali sana kwanza
@أبوفيصل-د3ش
@أبوفيصل-د3ش 5 жыл бұрын
Sasa Mbona Wanasoma Biblia zilizoandikwa Na Wazungu na Kutafsiriwa kwa Kiswahili,Hii Imani kwa kweli Haina Mashiko kabisaaa Ni Tunaweza Kusema Ni Moja ya Dhehebu la Ukristo tu
@anganilemichael2283
@anganilemichael2283 5 жыл бұрын
Sasa wewe unajua kua upo sahihi na dini yako acha kejeli ndugu
@أبوفيصل-د3ش
@أبوفيصل-د3ش 5 жыл бұрын
@@anganilemichael2283 Sio kejeli ila tunasema tukiwa na ushahid,Kwan wew umewaona wanasoma kitabu gani hapo???Au na wew Mbu mbu kama Wao???
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 5 жыл бұрын
Unatumia matako kufikili. SIO KILA ANAETUMIA BIBLIA NI MKRISTO NA SIO KILA ANAETUMIA QURAN NI NWISILAMU. huna mantiki ktk kujadili vitu
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 5 жыл бұрын
Kuhusu kuandikwa na mzungu sio tatizo kama ingekuwa kweli kwani hata quran imeandikwa na mwarabu. Sijui unatoa wapi fikra kwamba ikiandikwa na mzungu sio halali na ikiandikwa na mwarabu ni halali? .
@أبوفيصل-د3ش
@أبوفيصل-د3ش 5 жыл бұрын
@@kabhikachambala3392 Biblia Kuandikwa na Mzungu(Kwa Kingereza) hili ni Kosa Kubwa sana Kwani Nyie Mwasema Kuwa Ni maneno ya Yesu,Hasa Ni wap na Wap Na Yesu Hakuwa Mzungu. Kuhusu Quraan Kuandikwa na Mwarab ni Sawa Tena Sahihi kabisa Kwani Imeandikwa Kwa Lugha Yake ya Asili na Mtume Mohammad alikuwa ni Mwarabu. Halafu Wakristo ni Nani aliyewaroga Hiv Hata Ufahamu hamna Huwez Kulinganisha Maneno ya Mungu na Maneno ya Wanadamu kama Akina Paulo na Wenzie ambaoTunaskia Majina Tu lakin Watu wenyew hawajulikan,hamuwajui baba zao kama Mathayo,Marko,Yohana,Luka.????
@luqmanmohamedy3860
@luqmanmohamedy3860 5 жыл бұрын
wehu hawajielewi
@kadyuwegeyetv5310
@kadyuwegeyetv5310 5 жыл бұрын
Kwa kipi Sasa fafanua nijue Kama kweli na wewe Ni mzima
@phideliswairimu118
@phideliswairimu118 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣 kuna mapepo behind yakuwapotosha
@LUPPER.
@LUPPER. 5 жыл бұрын
Ila kumbuka wanakusanya sadaka zao wenyewe na kupeleka kwa wahitaji
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 34 МЛН
إخفاء الطعام سرًا تحت الطاولة للتناول لاحقًا 😏🍽️
00:28
حرف إبداعية للمنزل في 5 دقائق
Рет қаралды 83 МЛН
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
IBADA YA ASUBUHI (SOMO:IMANI) PASTOR MYAMBA
15:36
Pastor Myamba
Рет қаралды 1,3 М.
UKWELI KUHUSU IMANI YA RASTA NA MATUMIZI YA BIBLIA
9:10
Huheso Digital Tv
Рет қаралды 1,5 М.
A - Z Sakata la Ras Inno Mikononi mwa Polisi
44:20
The Chanzo
Рет қаралды 488
NDOA YA RASTA ILIVYO SHANGAZA WATU  / MCHUNGAJI WAO AGEUKA LULU
32:05
BANTU MEDIA TZ
Рет қаралды 10 М.
ROMA: Nilitabiri Mh Rais MAGUFULI atakuja kuwa.......
14:31
LilOmmyTV
Рет қаралды 531 М.
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 34 МЛН