Allah Akbar nlikuwa nauona tuu kumbe una faida hivyo mashaAllah
@safinabarusi22153 жыл бұрын
Wouw pongezi 👏... Je! Mimi ni mkristo na ningependa kujua kile kifungu ulitaja maana mimi naisoma Bibilia... From kenya
@fadhilaally41812 жыл бұрын
Mashaallah ni dawa nzuri sana na inamatokeo mazuri Kama unatafuta ujauzito
@harleynoor5816 Жыл бұрын
Matumizi ya muda gani?
@greatiq78352 жыл бұрын
Jazaaka Llahu Khayran. Allah akuhifadhi. Allah akuzidishie wema. Allah akupe Stara na Salama. Allah akukubalie kila Kheri uiombayo kwake na uwaombeayo wengine.
@bintkijangwa43053 жыл бұрын
Maa sha Allah Shukran sheikh wetu kipenz cha wengi Allah akupe umri mrefu furaha na amani akuondolee hasadi za waja wake
@suheilasuheilah2203 жыл бұрын
Mashaallah allah akubarikq tuzidi kupata faida kwa uwezo wa allah
@alkasusakram64813 жыл бұрын
Maasha allah asante sana allah akuhifadhi na akuoongizeee elimuuu
@alfajrtvtzonline93153 жыл бұрын
Amiiiin
@daulatibrahim77653 жыл бұрын
Masha Allah. Allah akubarik shekh ysf inshallah dawa zako iwe isbab ya kuponya maradh yetu bidhnillah
@alfajrtvtzonline93153 жыл бұрын
Amiiiin inshallah shukran
@ArafaSuleiman-db9pw6 ай бұрын
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi kw masomo mzr y miti hyo ndio tiba asili y kisunnah Ahsantum jazakah Allah kherain shekh
@jamillahmussa37753 жыл бұрын
JazakAllahu khairan kwa funzo ya tiba
@yusraabubakar Жыл бұрын
Jazakallah kheiran jaza wa ba'adal kheir jannatul firdaus,Amin
@Aminamuhamed Жыл бұрын
ALLAH akbaru ALLAH akbaru ALLAH akbaru YAA ALLAH Hakika kila jambo nikwa rehma zako Yaa rabiy 🤲☝️
@muhutatv82732 жыл бұрын
Asante kwa somo sheh, nipo makini nasomolako.
@shadiahborandi26873 жыл бұрын
Maahallah Allah akuripe kwa ilimu yako sheikh
@user-gd6pc8sq4y Жыл бұрын
Allah akubarik shekh vp kwa mwenye tatizo la kuharibu mimba
@TheresiaTemu-ye1lm5 ай бұрын
Asantee sana kwa elimu ubarikiwe sana huu mmea tunautumiaga sana kwa tumbo linalouma
@rayamussa89153 жыл бұрын
Mashallah Allah Jazakallah kheir
@mkenyaralida97263 жыл бұрын
Sory io ni ya sheikhe
@lesthermulagha66873 жыл бұрын
Asante Sana . Je mtu anayesumbuliwa na ngiri msaada.
@maryamkali95483 жыл бұрын
Jaazakallah kheri ln shaa Allah Allah atuwezeshe kuchangiya
@saeedsaeed73813 жыл бұрын
Masha Allah our beloved Swaahibu Al-Ashjar for dropping another unique lesson, BarakAllah feek ameen yarab🙏🙏🙏🙏
@faridalikumika98213 жыл бұрын
Masha allah
@elizabetherasto8 ай бұрын
Dawa ya vikanga
@davinkeruboda17012 жыл бұрын
Shukurani kwa somo nzuri
@binloufy4543 жыл бұрын
Maa sha allah
@mesalimsalim1469 Жыл бұрын
Shukran shekh mungu akujaze heri na baraka tele,Mimi mtoto wangu ana sick cell naimani hizo tembe zitamsaidia.
@safiyasafiya50143 жыл бұрын
Mashallah kuhusu uzazi nimejaribu shukran
@subiraibrahim81003 жыл бұрын
Masha Allah umepona
@rehematesha97992 жыл бұрын
Shukran shekhe
@hassanmjukuu8232 жыл бұрын
Allahu Akbar Allah bless you
@saopabanda86082 жыл бұрын
Translate to English
@HadijaRehanshaban7 ай бұрын
Masha Allah mwezimungu akujarie
@ASMAPULAMBEGU-qz5gx Жыл бұрын
Jadhaka llahu kheir huu mti nilikuwa nakula sana matunda yake na kuvyonza asali iliyopo kwenye maua na tulikuwa tukiilima na kung'oa mpaka mizizi tunatupa maana ilikuwa mingi na kazi yake tulikuwa hatuijui hakika nimepata somo leo juu ya huu mti
@rahmaalfan17763 жыл бұрын
Masha allah barrak allahu feek
@user-lg9sx7fk1bАй бұрын
Shukran ❤
@mkenyaralida97263 жыл бұрын
Jazakallah kheir mm ni mwanafunzi wako naomba unialike uko niko Kenya
@rebeccangab93223 жыл бұрын
Asante baba ubarikiwe na mimi nita pima
@fatmaali47943 жыл бұрын
Insha Allah shukran
@leleanle92913 жыл бұрын
Asante kaka, waghana sasa hawana bahati. Good job
@user-ll5nr5od7k8 ай бұрын
Dawa ya muwasho ukeni
@shaadenshaduni77553 жыл бұрын
Mash'Allah shukran sheikh wangu
@mwanaishaidd91503 жыл бұрын
Shkrn sheikh Allah akuzidishie umri mrefu uweze ktufahamisha mengi kwani hii dawa itatusaidia wengi kwa maana maradhi tuko nayo hatujui dawa ya kujitibia.
@alfajrtvtzonline93153 жыл бұрын
Amiiiin inshallah
@allatifsofia16623 жыл бұрын
MASHAALLAH
@osamashakeeb71943 жыл бұрын
SShukraan sheikh
@user-bo9ik8en6b3 ай бұрын
Majani yake ni mazuri kutumia kwa chai yana harufu nzuri sana.sisi tunayaita lantana au maharabia
@barakakhamis2035 Жыл бұрын
Asanten mawalimu nyote
@justinmwangosi1533 жыл бұрын
Asante sana shekhe kwa somo zuri. Je kwa sisi wa kristo tutawezaje kusomewa wakati wa kujitibia hiyo dawa kwenye besen? Naomba unisaidie
@nasibuismail91963 жыл бұрын
MashaAllah tuko pamoja
@abdulbasitfardin27582 жыл бұрын
Shuqran sana doctor mm niko Kenya nitakupataje
@fetychina3969 Жыл бұрын
Asante shekh nitajaribu
@jokhamote99933 жыл бұрын
Waalykum salam warahmatullahi Shukrn sheikh
@lulubintrashid19033 жыл бұрын
MashaAllah,shukran
@safinakambi73336 ай бұрын
mashaalllah
@jamilaratabu1586 Жыл бұрын
Shukran sana shekhe
@DOTTOCHAMBEGA-yy6zy11 ай бұрын
mungu awabaliki sana
@mahmoudmussa28008 ай бұрын
Jamani ndugu zangu hakika miti inanguvu sanaa tena sanna za kupinesha maradhi bila ya athari mwilini Mfano tu kwa miti inayowasha mwili inakuaje
@alirashid17273 жыл бұрын
Jazakallahul khairati
@nshimirimanarehema33943 жыл бұрын
Mashallah
@AbigailKeziah2 жыл бұрын
Asanteni sana
@zainamashina87353 жыл бұрын
Mashalwaa je ofisini kwenu nisehemu ganii
@alfajrtvtzonline93153 жыл бұрын
Kwerekwe zanzibar
@nshimirimanafatuma52743 жыл бұрын
Ma nsha Allah shukran saana shieh wetu
@charlenekavira992 жыл бұрын
Mwalimu kwa wana wake wenye kutafuta mtoto tutatumia kwa muda gani
@MahmuduMtawa5 ай бұрын
Asalam aleykum naitwa mahmudu mtawa nlkua naulza et kama kuna tiba ya asili nataka kuifanya iyo miti sasa katika uwo mti uktaka ukamilshe utaitajika usomee sula fulan jee kama mungu ajanijaalia kuijua quraan ata alhadu siijui kuisoma je utansaidiaje apo au unawwza ukamwambia mtu anaejua kusoma akanisomea na tba ikafanya kama kawaida au itakua akiubaliki
@fatimahasan66892 жыл бұрын
Mashaalla
@kakawamashariki89783 жыл бұрын
Masangu ga bhademi-kule Mwanza ndo jina lake.
@assanisass6641 Жыл бұрын
Allah akulipe
@claudinekigwasa4823 Жыл бұрын
Asante
@jafariimduduu92642 жыл бұрын
Inshallah
@fatmashabani150 Жыл бұрын
Salaam alleikum
@lailati69806 ай бұрын
Shukuran kwa somo
@muhidinali81803 жыл бұрын
Gess pia hutembea mwilimzima lakiniwaganga hatagess wanasema uchawi
@ingabireneema8645 Жыл бұрын
Assalam alaikum, kwenye kuongeza nuru ya maco unakunywa juice yake ao unainyunyizia kwenye maco?
@sulemanjafari31523 жыл бұрын
Sheikh samahani mie nasumbuliwa na hirizi mwilini naomba unisaidie ninateseka sana sheikh
@neymakubi173 Жыл бұрын
Iliingiaje??
@edinabenedictorlukonjebene9335 Жыл бұрын
hbr dr dawa inatumikaje kwenye presha ya kupanda!?
@didamsellem26793 жыл бұрын
Assalam alaykum warahmatullah .Sheikh Yussuf Mimi tatizo langu kila nnapoenda naambiwa nimefungwa kiuchawi.sina maendeleo yoyote.kazini nimetolewa na nahangaika mpk Leo walau nipate rizki ya kazi.naomba.jee kuna mti utaonifungua? 8 years
@hakimhakim96313 жыл бұрын
Pole sana,mola atakupa wepes utapona
@espererancesudi76008 ай бұрын
To be continued
@user-fv2sn7js7g3 жыл бұрын
Ishaalla
@kelvinonyango93793 жыл бұрын
Wengine si waisilamu tutafanyaje hapo kwenye kusoma hayo maneno
@razaqueadamo24362 жыл бұрын
mashallah
@muhidinali81803 жыл бұрын
Huosio haung'ong'wa wala sio mpumbpaka huo ni mfurusadi watumbatu wanaita mfusho tundazake zikiiva nyenkundu wengine wanaita mlakunguru mpumbupaka tundazake ni kubwa kama Gololi mpumbupaka nidawaya kifafa
@barakaally51023 жыл бұрын
Kwa mwenye tatizo la kizazi atumie kwa siku ngapi @sheikh
@user-hw3iz6jl8u2 ай бұрын
Na kuna mwenye hajawai nyesha na anataka mtoto, na je anaeza akaitumia iyo dawa?
@shabamuhidin6343 жыл бұрын
kumbe Mpumbu Paka ni mti mzuri,skua najua
@aishawabwire71823 жыл бұрын
Kama uwasipati siku zangu naweze kunywa tu
@ArabeIbrahim-vq6wu3 ай бұрын
Assalam aleykum
@gaudenceharerimana77433 жыл бұрын
Mtuambie dawa tunaweza kujikinga ili tusishikwe na uchawi wawake zetu wakitafuta upendoooooo
@ingabireneema8645 Жыл бұрын
Na kuhusu sukari unakunywa juice kiasi gan
@evacekasaija39123 жыл бұрын
Akasekera in uganda
@LinetKavaya-x2i7 ай бұрын
Nauliza nakama hujui kusomea?
@egidenkeshimana79053 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@salzkhansalz6347 Жыл бұрын
Mashaa Allah jazakallah kwa kutufunza hizo dawa
@rumaukombo64153 жыл бұрын
جزک الله خپر
@topranking0133 жыл бұрын
Nakumbuka huo mmea ulimsaidia wife adi leo huwa nauaminia huo mmea kwenye uzazi
@estherchanga8040 Жыл бұрын
Ni kweli unatibu huo mti??
@VickKulekana-si1ib11 ай бұрын
Hivyo topranking
@VickKulekana-si1ib11 ай бұрын
Unapatikana wapi huu mti Mimi rafiki yangu na wifi yangu anatatizo hilo
@VickKulekana-si1ib11 ай бұрын
Ata mbaazi unavuta kizazi
@topranking01311 ай бұрын
@@estherchanga8040 mi nlijua tu ni mm ndo nna uhakika nao lakini nimesha sikia wengi tu umewasaidia
@philisntinyari10 ай бұрын
Dawa ya vidodo ya tumbo nini
@stevenobunde93452 ай бұрын
Mbona namba ya Whatsapp hupatikani
@nshimirimanarehema33943 жыл бұрын
Asalam aleiyikum warahmatulahwabarakatu
@fatmaali47943 жыл бұрын
Waleyku msalam warahmatullahi wabarakatu
@mankakimaro19569 ай бұрын
Naomba namba yako tafadhali
@aminimbera63523 жыл бұрын
Jambo mimi natafuta dawa yamwanamimba?
@kanisiamkoko70513 жыл бұрын
Huko wapi?
@clotildashayo43822 жыл бұрын
Wachaga wanasema ni mshomoro
@amininsabimana4103 жыл бұрын
Hilojinaet mpumbupakanihatari
@safinahnakalyoowa20822 жыл бұрын
Jee nkijisomea
@evacekasaija39123 жыл бұрын
Mungu akupe kyocote onataka
@AbdallaJuma-mq3fh4 ай бұрын
Dawa ya kifafa in ipi
@shabanidesire98213 жыл бұрын
Aswww Sheikh nauliza kwa yule hapati ujauzito hata haoni siku zake anawezafanyaje ndio apate siku zake kwa kutumia hizi dawa za asili Aswww
@FreeHorn-iq3fp6 ай бұрын
Naomba namba Yako ya Whatsapp
@maidajafari67533 жыл бұрын
Docter Asalm alykm huu mbona km ni mla kunguru au macho yangu ?