KIPINDI MAALUM CHA MAENDELEO YA UJENZI WA FLY OVER YA TAZARA JIJINI DAR ES SALAAM.

  Рет қаралды 67,489

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

Күн бұрын

KIPINDI MAALUM CHA MAENDELEO YA UJENZI WA FLY OVER YA TAZARA JIJINI DAR ES SALAAM AMBAO UNATARAJIWA KUKAMILIKA MWEZI OKTOBA ,2018

Пікірлер: 91
@geofreymlingwa2914
@geofreymlingwa2914 6 жыл бұрын
Hongera Sana kwa kazi kubwa inayofanywa na serikali ya awamu ya tano "congratulations"
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 6 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 .Mungu mbariki Raiis wetu Magufuli mtetezi wa wanyonge kweli anae ikosoa serikari ya awamu 5 ana matatizo ya Mental illness Yes we 💪🏾can Tanzania 🇹🇿
@amourmtungo623
@amourmtungo623 6 жыл бұрын
Fantastic. This is what we pray for. I am glad at last we are waking up.
@jovnjov7661
@jovnjov7661 6 жыл бұрын
Kweli hakuna penye mafanikio bila maadui Mungu mpe nguvu Rais wetu Magufuri na wape maisha marefu maadui wa nchi ili wapate kujionea
@africandreamstv2599
@africandreamstv2599 6 жыл бұрын
Well done Tanzania we love Tanzania from Ghana keep growing
@nyanda427
@nyanda427 7 жыл бұрын
Kazi nzuri sana viongozi wetu. Long live Mr President Dr John Pombe Magufuli
@charlesenock8586
@charlesenock8586 7 жыл бұрын
Hii serikali naipenda Sana Hata kamshahara kangu kacheleweshwe sina tatizo nitasubiri maake pesa inatumika mpaka sisi Watu wa porini tunajua kila kitu na Pesa inayotumika
@ibraklay9343
@ibraklay9343 7 жыл бұрын
*I love magufuli Tanzanians give us that man to be our president too we need him*
@wcbwanatishakiranikirudiab2349
@wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU tunaona neema zako kwetu sisi watanzania asante mwenyezi MUNGU enderea kuwaongoza viyongozi wetu wote wateuriwa wa raisi wetu na uwaimarishe afya zao na raisi wetu ewe mwenyezi MUNGU mkuu
@t1910j
@t1910j 7 жыл бұрын
I’m proud of my country and proud of my president. Good job 👏👌🏽
@ibnuabbasmustapha6540
@ibnuabbasmustapha6540 6 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania, Ahsante Magufuli
@amanichomola6696
@amanichomola6696 7 жыл бұрын
safi sana tunasubiri nakara kama hii ya ujenzi terminal 3 Julias nyerere
@idrisashelimo307
@idrisashelimo307 7 жыл бұрын
Asante sana rais wetu kwa kazi zuri
@mustaphaamani5165
@mustaphaamani5165 6 жыл бұрын
Dar es salaam itakuwa kama ulaya, mungu ibariki Tanzania , mungu wabariki viongozi wetu, mungu mbariki honourable Mr. president Dr.JPM.
@deyusterscientific4162
@deyusterscientific4162 6 жыл бұрын
nilikuwa sijaelewa ila sasa napiga saluti kwa jpm anaweza na amethubutu, mungu mlinde mwepushe na mabaya ili tujefaidi matunda ya kazi yake amen
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 6 жыл бұрын
mwimbo umenipa ushujaa kuwa yutafika salama.Amiin beat zuri
@salummkunza2285
@salummkunza2285 6 жыл бұрын
Aisee, Kumbe mambo yanawezekana,tupo pamoja na wewe Rais wetu Magufuri,atakaekuangaria kwa jicho la husda ATANGULIE yeye M/Mungu
@geofreymalekana8000
@geofreymalekana8000 6 жыл бұрын
safi kabixa kazi nzuri
@cypriantertullian7495
@cypriantertullian7495 6 жыл бұрын
Great job President Magufuli. You make Africa proud. Keep up the good work, sir.
@joshuapeter312
@joshuapeter312 6 жыл бұрын
Good job keep on Mr president
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
like the reporter's voice..love it! so distinctive and deep
@monrogo3177
@monrogo3177 6 жыл бұрын
maju terus tanzania salam dari Jakarta
@godwinwaitara4524
@godwinwaitara4524 6 жыл бұрын
monro go, wat?
@mugerajakatarama2144
@mugerajakatarama2144 6 жыл бұрын
Tunaomba mungu ayongezee nguvu serikali ya hamu ya tano ikamilishe mpango yote kwa wakati
@nyanda427
@nyanda427 6 жыл бұрын
Asante Mungu kwa zawadi hii ya Rais wetu Dr. John Pombe Magufuli
@moimashole992
@moimashole992 6 жыл бұрын
Sasa twaweza kutoa machozi ya furaha asante sana mwenyezi mungu zidi kumuongiza raisi wetu magufuli
@miraqtv6661
@miraqtv6661 6 жыл бұрын
We are now concurring eat african economy Love tanzania
@kibilawazebanga7455
@kibilawazebanga7455 6 жыл бұрын
Mungu akulinde JPM na waandamizi wako mkamilishe mipango hiyo mizuri hata km ikibidi tutoe jasho la damu, maana hali yetu ilivyo bila kutoa sadaka kubwa hatutaweza kujikomboa
@mariamkhamisi5575
@mariamkhamisi5575 6 жыл бұрын
natamani nirudi Tanzania yaani kweli kumependeza barabara za kisasa juu na chini magufuli we mungu tu akuonheze
@athumanomary1438
@athumanomary1438 6 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU ewe mwenyez MUNGU enderea kumuongoz rais wetu
@isaachelbati2293
@isaachelbati2293 6 жыл бұрын
Obviously magufuli is the hero president in Tanzania
@amanichanga3448
@amanichanga3448 7 жыл бұрын
Keep going Tanzania
@aliaminiasimbafreshmixbaba1704
@aliaminiasimbafreshmixbaba1704 6 жыл бұрын
MZEE magufuli tunakupenda
@abubakarkada3083
@abubakarkada3083 6 жыл бұрын
Kazi nzuri Waungwana
@gilbertwilliam4677
@gilbertwilliam4677 7 жыл бұрын
Safi sana
@mohamedabdallah8321
@mohamedabdallah8321 6 жыл бұрын
Wanaopinga waache waendeleee kupinga tu
@AthumanAthumanTz
@AthumanAthumanTz 7 жыл бұрын
Mungu nimwema
@lelekilele2
@lelekilele2 7 жыл бұрын
HAPA KAZI TU!
@amourmtungo623
@amourmtungo623 6 жыл бұрын
We need to be example. We are bigger than Kenya and Uganda, why can’t we beat them financially and economically? The time is now, we can do it and let us do it.
@venancemgini3536
@venancemgini3536 6 жыл бұрын
Let's do it yeah! go Tanzania my country go my president excellence Dk.john pombe magufuri tupo bega kwa bega na wew
@adyaa8922
@adyaa8922 7 жыл бұрын
Mungu mubariki raisi wetu
@angelusilljujalijuja9852
@angelusilljujalijuja9852 7 жыл бұрын
Mungu ibaliki Tanzania. Ibaliki serikali ya tanzania
@mustaphawaziri5446
@mustaphawaziri5446 4 жыл бұрын
ilkulu ebu tuleteeni maendeleo ya bwawa la Nyerere. mana Hakuna taharifa za uhakika
@jeninunu9177
@jeninunu9177 6 жыл бұрын
THANKS MAGUEULI MUNGU AKULINDE
@amourmtungo623
@amourmtungo623 6 жыл бұрын
We need to maintain what we build by paying the workers well and look after them and their wellbeing and welfare. All the developed countries do this why can’t we?
@wcbwanatishakiranikirudiab2349
@wcbwanatishakiranikirudiab2349 7 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU enderea kuwaongoa viyongozi wetu wateuriwa wa raisi wetu
@renatusmisigaro6332
@renatusmisigaro6332 7 жыл бұрын
Nice move
@stephanokanyika6988
@stephanokanyika6988 7 жыл бұрын
big up
@ahmedthelegentruelegend5523
@ahmedthelegentruelegend5523 7 жыл бұрын
safi sana
@gesusgegangphray7689
@gesusgegangphray7689 6 жыл бұрын
big up kikwete kubuni flye over hii
@venancemgini3536
@venancemgini3536 6 жыл бұрын
Kubuni bila utekelezaji nisawa na kupima afya na kukutwa na ugonjwa alafu unaacha kununua dozi ya kukutibu ugonjwa sako wako big up my president Dk. Magufuri protocol preserved.
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 5 жыл бұрын
@@venancemgini3536 ni kweli kubuni ni kitu kimoja na kutekeleza ni jambo jingine big up kwa Elimu. Ndo wataelewa maana ya hapa kazi tu.
@lifeonearth94
@lifeonearth94 7 жыл бұрын
Hii serikali ata kuikosoa utajishangaa
@shyshayagen2733
@shyshayagen2733 6 жыл бұрын
Beautiful Tanzania
@gooddeeds162
@gooddeeds162 6 жыл бұрын
It’s sad kuona watembea kwa miguu na madereva wote hawajui sheria za barabarani, Zebra crossing mtembeaji anasubiri gari lipite ikiwa yeye ndiye aliyetakiwa kupewa nafasi ya kupita kwanza 🙂
@patrickmbogo7805
@patrickmbogo7805 7 жыл бұрын
alafu jitu linasema serikali haijafanya kitu
@corrolesscps
@corrolesscps 6 жыл бұрын
PHILIPO MBOGO . Ukiona jitu linasema hinyo akili ni ndogo, IQ. Ndogo interigent qurty ni ndogo. Wapo wengi sanaa. Ni kutokana na bara letu la Africa mtoto apewi malezi mazuri. Hali vizuri na muda mwingi anapigwa na kutumwa huku na huko. Wenzetu wanasema ndio hapo watu wanakuwa na matatizo kwenye vichwa vyao, na akili inapungua
@wcbwanatishakiranikirudiab2349
@wcbwanatishakiranikirudiab2349 7 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU enderea kuwa pamoja na raisi wetu
@fafa1219
@fafa1219 7 жыл бұрын
inshaallah rais wetu mungu akujarie mwema
@faustenkafuku541
@faustenkafuku541 6 жыл бұрын
wcb wanatisha kira nikirudia bado daaa Omary
@minjacsd1874
@minjacsd1874 6 жыл бұрын
👍👍👍👍👍👍
@jerrykikuli3700
@jerrykikuli3700 6 жыл бұрын
serikali ya JPM imefanya mambo makubwa jamani. Tuzidi kumpa moyo kiongozi wetu
@alifaki9649
@alifaki9649 7 жыл бұрын
Magufuli send Tz
@edlumala9428
@edlumala9428 6 жыл бұрын
Jamani hii ni flyover au daraja tu? Nnavyojua flyover inakuwa na bypass roads! Mfano ukipita juu, unaendelea na njia hiyo hiyo kukupeleka sehem nyengine, hii ukipita juu baada ya meter kadhaa unashushwa chini uendelee na njia ile ile uliyotoka nayo mwanzo. Jaribuni kutafuta “Thika road- Kenya” at least mtajua tofauti.
@amanijolam4140
@amanijolam4140 7 жыл бұрын
HAPA KAZI TU
@IbrahimMohamed-fk5cc
@IbrahimMohamed-fk5cc 7 жыл бұрын
Best master plan
@michaelsiweya6500
@michaelsiweya6500 6 жыл бұрын
Tunaelekea kuzuri kabisa.. Nchi inafunguka sasa
@muddyurungu7823
@muddyurungu7823 6 жыл бұрын
Huyu ndio rais atufaaye Watanzania.
@wcbwanatishakiranikirudiab2349
@wcbwanatishakiranikirudiab2349 7 жыл бұрын
MUNGU mkuu turindie raisi wetu
@filbetsamson192
@filbetsamson192 6 жыл бұрын
Good
@valentineougo1111
@valentineougo1111 6 жыл бұрын
its happened in Kenya 2yrs ago
@abubakarkada3083
@abubakarkada3083 6 жыл бұрын
Ifanyeni Mapema bila kuchelewa tuko pamoja
@patrickmbogo7805
@patrickmbogo7805 7 жыл бұрын
napata shida pale mtanzania serikali ya Tz hajafanya kitu chochote.
@burtonytenison2560
@burtonytenison2560 7 жыл бұрын
Hapa kazi tuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
@zainamohamed8618
@zainamohamed8618 6 жыл бұрын
Hapa kz tu
@justinecleophas6299
@justinecleophas6299 7 жыл бұрын
ulie weka likidole lako chin mpuz barid ww
@jemakhalifa6807
@jemakhalifa6807 6 жыл бұрын
tutafika taratibu ndio mwendo.mapungufu kawaida tu
@kwisa4899
@kwisa4899 7 жыл бұрын
Jamani hii sio fly over ni inter change mkitaka kujua maana ya fly over nendeni kenya na Ethiopia
@BESMARTTELEVISION
@BESMARTTELEVISION 6 жыл бұрын
James Mwakyusa POINT YAKO YA MSINGI NI IPI ? KIKUBWA SISI TUNAPENDA TUNACHOKIONA.
@nassormohamedmwarizo4433
@nassormohamedmwarizo4433 6 жыл бұрын
James Mwakyusa wazee wa kupinga!! We baki na ya Kenya na Ethiopia, hii yetu Watanzania!!
@venancemgini3536
@venancemgini3536 6 жыл бұрын
Hizo za kenya a.k.a wazee wa nyege nikunyegezana na za ethiopia kaa nazo mwenyewe si hii hii yakwetu ndo fry over
@mussabuma9592
@mussabuma9592 6 жыл бұрын
Poa
@shyshayagen2733
@shyshayagen2733 6 жыл бұрын
Stupid are people who hate maguful
@jembewamajembe5863
@jembewamajembe5863 6 жыл бұрын
Sikubaliani na gharama waliotupiga nayo. Billions 96 ni nyingi mmno. Wametupiga $.
@venancemgini3536
@venancemgini3536 6 жыл бұрын
Jembe Wamajembe kikubwa value for money inaonekana ko mengine mbwembwe tu na maneno ya kanga.
@jembewamajembe5863
@jembewamajembe5863 6 жыл бұрын
Venance Mgini Jeshi letu lifanye hii kazi. Naamini wanaweza ni kukodi vifaa tu.
@venancemgini3536
@venancemgini3536 6 жыл бұрын
sina hakika kama wataweza ndugu siwezi kusemea sana ila ninachojua mim kila sehemu inaufanisi wake na utaharamu wake unaweza ukakodi vifaa ila kama hauna utahatamu wa hilo jambo bado unakuwa hujatibu utaharamu kwanza na mengine yanafuata
Guinea Conakry: Life on the Edge | Deadliest Journeys
47:59
Best Documentary
Рет қаралды 4,3 МЛН
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
Мясо вегана? 🧐 @Whatthefshow
01:01
История одного вокалиста
Рет қаралды 7 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
Caterpillar Manufacturing: Inside the Factories Building Behemoths | FD Engineering
50:38
Free Documentary - Engineering
Рет қаралды 1,8 МЛН
South Africa: History, Geography, Economy & Culture
26:50
Geodiode
Рет қаралды 280 М.
Pre-Algebra Final Exam Review
1:56:08
The Organic Chemistry Tutor
Рет қаралды 339 М.
Jeffrey Sachs | Full Q&A | Oxford Union
52:55
OxfordUnion
Рет қаралды 245 М.
Think Fast, Talk Smart: Communication Techniques
58:20
Stanford Graduate School of Business
Рет қаралды 44 МЛН
Professor Jeffrey Sachs + Q&A | Cambridge Union
1:21:40
Cambridge Union
Рет қаралды 800 М.
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН