HOTUBA YA DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA 11 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA 19 MARCH 2018

  Рет қаралды 23,478

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

6 жыл бұрын

HOTUBA YA DKT.JOHN POMBE MAGUFULI KWENYE MKUTANO WA 11 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA 19 MARCH 2018

Пікірлер: 29
@stevenmjenga1256
@stevenmjenga1256 6 жыл бұрын
Daaaaa wa Tanzania kwa maneno haya asielewa ni mpumbavu respect raisi wangu
@saidalisuleiman3731
@saidalisuleiman3731 6 жыл бұрын
Nakukubali mh rais hongera sana
@mutokatalks...4438
@mutokatalks...4438 6 жыл бұрын
hakika tuna Rais Tz,,, ipo cku watakuelewa.
@t1910j
@t1910j 6 жыл бұрын
I'm proud of you mr president
@nyanda427
@nyanda427 6 жыл бұрын
Good Job Mr. President Dr John Pombe Magufuli
@abelsabibi6192
@abelsabibi6192 6 жыл бұрын
long live Mr.president, JPM,we are proud of you,this country is really in safe hands!!!!
@flavianmwageni5859
@flavianmwageni5859 6 жыл бұрын
hakika mungu akutangulie katika kuyajenga na unasikilza shida zetu
@stephenntinginya1062
@stephenntinginya1062 6 жыл бұрын
Hata wazungu wasemeje sisi ni Magufuli tu,Rais anataka kuwathibitishia wananchi wake kwanini Tanzania ni tajiri mno,Ili tuache kuwa ombaomba na kusaini mikataba mibovu.
@juliuskatemi6816
@juliuskatemi6816 6 жыл бұрын
natamani niwe mfanya biashara mkubwa dunian..GOD GONNA OPEN DOOR am sure the president will provide the best direction in this country
@rehemamponji3364
@rehemamponji3364 6 жыл бұрын
hongera sana .MAGUFULI, Tunakuomnbea sana endelea
@benedictmwakabungu6946
@benedictmwakabungu6946 6 жыл бұрын
Magufuli is full of public inteterest, his speech with TSPF shows light to the industrial prosperity let support him in his dream for our own advantage. God bless our nation and its people
@carlosn_tz
@carlosn_tz 6 жыл бұрын
Komaa baba,tunakuamini sana
@lifeonearth94
@lifeonearth94 6 жыл бұрын
Best president ever
@lifeonearth94
@lifeonearth94 6 жыл бұрын
Hakuna rais alie na akili pamoja na maono kama Magufuli Taifa liko mikono salama
@husseinlutambi9247
@husseinlutambi9247 6 жыл бұрын
lavian wanjara Kabisa umenena na ninaunga mkono
@maligisajames4370
@maligisajames4370 6 жыл бұрын
Mungu akubariki, akulinde na akutunze Mhe. Rais wetu. Changamoto kwenye nchi yetu ni nyingi lakini Mungu yu pamoja nasi atatusaidia kufikia malengo maendeleo yetu kwa manufaa ya watanzania wote. Amina
@amanichomola6696
@amanichomola6696 6 жыл бұрын
Nampongeza Mh. Rais katika hili.
@mayagilajr
@mayagilajr 6 жыл бұрын
Nmpongeza kwa hili aiseeee
@rashidsleman5545
@rashidsleman5545 6 жыл бұрын
Kama wanatakiwa wawekezaji kutoka nje kwanini hawaiti watanzania diaspora waje kusaidia kuleta maendeleo wala msifikiri kama hao mnawaita wanakuja kuchuma tu waondoke lakini diaspora wanachuma nje wanaleta kwao lakini hawatakiwi kwasababu maslahi ya vigogo hawana pacent lakini wakiwaleta wao wanapata pacent mkishtuka wanaondoka na ndio mfumo uliopo waite diaspora uone maendeleo
@melkizedeckkimaro2094
@melkizedeckkimaro2094 6 жыл бұрын
Daaaaa!!
@fafa1219
@fafa1219 6 жыл бұрын
safi sana baba etu
@jamesngundateresia2600
@jamesngundateresia2600 6 жыл бұрын
Kipenzi cha mengi
@lukomyamatalu3425
@lukomyamatalu3425 6 жыл бұрын
Baba ww ni jembeeee le2 la Tz % zote zako mzeèeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤
@athumanomary1438
@athumanomary1438 6 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU enderea kumuongoz kumrinda na kuimarisha afya yeke raisi wetu
@philemon-mz2fv
@philemon-mz2fv 11 ай бұрын
Alikua msomi anayeendana na mazingira na hali za watu pia ameongea kikemia kibiologia kifizikia geographia n.k.
@rashidsleman5545
@rashidsleman5545 6 жыл бұрын
Katika historia watu wanaoishi nje diaspora ndio watasaidia kuleta maendeleo kwasababu tayari wana elimu na uzoefu na vile vile wana uzalendo kwasababu wamefanya kazi Katika mfumo wa kimaendeleo lakini hao mnao waleta ni dili tu la vigogo ambao wana pacent zao wewe uko sawa lakini unao mafisadi huwezi kuwaona bila vyama vya upinzani ndio watangudua madudu ya watendaji wako
@aselmesyauswa7927
@aselmesyauswa7927 Жыл бұрын
kwaheri makufuli
@peterfabian8860
@peterfabian8860 6 жыл бұрын
THIS IS THE BEST PRESIDENT WE EVER HAD
@phizzo8616
@phizzo8616 4 жыл бұрын
MUNGU amtunze
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Azam TV
Рет қаралды 107 М.
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 29 МЛН
HOTUBA YA MAGUFULI: ALIVAA JESHI LA POLISI  "DHAHABU ILIPITAJE?"
46:55
Global TV Online
Рет қаралды 15 М.
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015
1:38:02
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 146 М.
Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli
13:03
Azam TV
Рет қаралды 94 М.
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA KAHAMA - SHINYANGA
22:00
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 45 М.
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 25 МЛН