INATISHA: Jinsi Elon anavyotakiwa kulipwa zaidi ya TZS Trilioni 116, haijawahi kutokea!

  Рет қаралды 25,271

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Ай бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 70
@msafirimahenge729
@msafirimahenge729 22 сағат бұрын
Hongera zake mkaribisheni Tanzania aje kuwekeza kama Aliko dangote
@AbdallahMohamed-en9ko
@AbdallahMohamed-en9ko Ай бұрын
Kama ni haki yake kulipwa ni sawa sawa kbs
@benancejohn1198
@benancejohn1198 Ай бұрын
Unaweza kusema kwamba kuna watu pesa imewachagua 🤔
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ety kama nimezipatia mana mazero nimengi sana😂😂😂😂😂😂
@hazygardmericho9571
@hazygardmericho9571 29 күн бұрын
masubi your the best
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau Ай бұрын
B mkubwa asiione hii anaweza akaenda kukopa
@JundikiFoodproduction
@JundikiFoodproduction Ай бұрын
😅
@luisojr3480
@luisojr3480 27 күн бұрын
Daaaa😂
@awadhally1052
@awadhally1052 27 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@AlenKinyina
@AlenKinyina 27 күн бұрын
Alafu kuna mtu yuko jela kisa anadaiwa 500,000
@Mumewangu
@Mumewangu Ай бұрын
Maskin ya mungu tuliozongwa na madeni tunabakia kuguna TU um! Umasikini mbaya jamani. Usikie TU kwa jirani EE MUNGU TUSAIDIE
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m Ай бұрын
Hapana usilalamike kwa kiasi kikubwa hivo!! Imeandikwa hivi, lakini ole wenu ninyi mlio na mali, kwakuwa faraja yenu mmekwisha kuipata, Luka6:24-25. Mathayo 6:24 inasema hamwezi kumtumikia Mungu na mali, yaani hamwezi kuwatumikia mabwana wawili. Kwahiyo hawa watu wenye fedha mingi ujue hawamhitaji Mungu. Lkn mwisho wao ni kilio kisichokuwa na mwisho. Nakuombea uwe masikini tu lkn usikose kuingia katika ufalme wa Mungu. Haleluyaaaa!!
@fasconeroh8740
@fasconeroh8740 Ай бұрын
Maden mzigo sana
@martinisadru9899
@martinisadru9899 29 күн бұрын
​@@user-cw8zn2dn6m je sulemani hajaiona pepo, usiwafanye wakristo kuupenda umasikini, zaburi 24;1 - sasa kama vitu vyote ni mali ya bwana wetu YESU KRISTO,, inapaswa wakristo wavimiliki kwa nguvu zote.
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 Ай бұрын
HELA ALIZOLIPWA ILIZIISHE KILA CKU ALE BILION 12
@mamilafx1225
@mamilafx1225 28 күн бұрын
Daaaah!!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Ай бұрын
✌️👍👊.
@justin-ds2qp
@justin-ds2qp Ай бұрын
Ansate nasikiliza kutota lusaka
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 Ай бұрын
Hii ndo maana halisi ya alienacho ataongezewa na asienacho atanyanganywa hata icho alicho nacho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 Ай бұрын
Tesla Zinatengeneza na madili kutoka congo 🇨🇩 😢
@universalenergy8060
@universalenergy8060 Ай бұрын
For those trading on tesla stock tomorrow we are flying to the moon making profits.Kushuka its normal there are ups and down on any trading pair in financial markets considering price actions and technical analysis.
@Harexo
@Harexo Ай бұрын
Kapania kuwa number moja.... 😂
@imanuelizeboss4143
@imanuelizeboss4143 15 күн бұрын
utakatishaji wa pesa
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 Ай бұрын
Daaah sio mchezo
@Deadskytz
@Deadskytz 24 күн бұрын
People have money 🙌
@vibetz9991
@vibetz9991 Ай бұрын
Na Mimi napata
@beingothman
@beingothman Ай бұрын
Huyu mchaga bhana
@Emanueli-vz6fd
@Emanueli-vz6fd Ай бұрын
Kuna watu wanaishi asee
@bonifacemeela5247
@bonifacemeela5247 Ай бұрын
Taarifa njema hii Ngoja nimsanue Mama
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 Ай бұрын
😂
@boniphace1
@boniphace1 Ай бұрын
Bajeti ya Nchi ya miaka 5. Kwa lugha nyingine anaweza iongoza Tanzania kwa pesa yake bila mchango wala mkopo wa nchi yeyote kwa miaka 5😅
@boscomakala.3923
@boscomakala.3923 Ай бұрын
Miaka 6 kaka
@BabasahdSahd
@BabasahdSahd Ай бұрын
Ujasoma vizuli hyo pesa ukigawa nkama miaka 87.8😅😅😅cacaculet
@BabasahdSahd
@BabasahdSahd Ай бұрын
Kwamwaka nitilion Moja point tatu gawa malatilioni miamoja kumi na sita😂😂😂ww
@betinvestment3204
@betinvestment3204 Ай бұрын
Alaf uyu jamaa kwenye interview anasema hana nyumba analala kwa marafiki aisee shkamoo Elon musk
@user-pg2tw8yt4l
@user-pg2tw8yt4l Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@kevinbwoyle16
@kevinbwoyle16 Ай бұрын
Wakwanza
@AlenKinyina
@AlenKinyina 27 күн бұрын
Mtuletee habari kama hizi achana na mambo ya Ukraine
@francomwacha2262
@francomwacha2262 Ай бұрын
Khaa!!.. kama cjakosea.. mradi wa umeme wa bwawa la nyerere iligarimu trillions 6.. sasa kwa mradi mkubwa kama ule Ina maana huyu mwamba angeutekeleza na ni kama utoe punje ya Michele kwenye nusukilo😂.. binadam hatuko Sawa aisee
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 Ай бұрын
Hawa wabepar Wana Hela sana ni ngumu sana kushindana nao
@FerdinandCharles-ko7de
@FerdinandCharles-ko7de Ай бұрын
Hapana jamn hi sio haki dunia inapaswa kuangalia hili swala jamaa anacheza faulo
@HamzaMbasha-xs2ky
@HamzaMbasha-xs2ky Ай бұрын
Yaani jamaa kwa hela hiyo kwa hela zetu...ana uwezo wakuja huku akajimilikisha mkoa wowote akaulisha yeye mweyewe.
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Sio mkoa tu ni tanzania nzima bajeti ya mwaka mzima ni tilion 51
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 Ай бұрын
Huyo hadili na mkoa ni East Africa kabsa
@yasnshaban9827
@yasnshaban9827 Ай бұрын
​@@melanialeonard4031na ujue bajet sio ya kula tu ni vitu vyote mf barabara,madawa,shule,vyuo,n.k
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 Ай бұрын
Hivi ni kwanini makampuni makubwa tanzania hayawi "public"
@mcholimkubwa
@mcholimkubwa Ай бұрын
Ya wenyewe
@agreyaloyce432
@agreyaloyce432 Ай бұрын
Mambo ni mengi sana kaka
@JundikiFoodproduction
@JundikiFoodproduction Ай бұрын
Ni public sema hayajiporomot
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Biashara zetu sio stable mkuu, siasa inaathiri sana uwekezaji wa mitaji.Huku kwetu ukigombana au kumkosoa kiongozi mkubwa na kama ww ni mfanyabiashara basi jiandae kuanza kuporomoka na kunyang'anywa mtaji wako na pesa zako kufungiwa, hivo ndo maana wafanyabiashara wengi na hata Hao hao wanasiasa wanawekeza sana nje ya nchi kuliko ndani ya nchi zao sababu umiliki wa mitaji kwa maisha yako ya kesho ni changamoto sana.Makampuni mengi sana bongo yapo Mfumo wa soko la hisa ila wengi watu au wafanyabiashara hawapendi Kununua hisa kwa sababu biashara sio stable kabisaa maana kila uongozi mpya basi una mambo mapya, yaani kiufupi hakuna katiba au Sheria stable za nchi Bali Kuna stable people.
@iSsaNyamaisa
@iSsaNyamaisa Ай бұрын
Kwani ukiwa mkulugenzi unalipwa ama unajilipa ?
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche Ай бұрын
Biashara ya kwako ujipigi isabu.
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Ай бұрын
KIBIASHARA unalipwa
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj Ай бұрын
Mfumo wa Marekani ni mgumu kidogo Kule kila biashara lazima iingie kwenye soko la hisa ili kila mtu anunue, kwahio wanahisa wanateua mkurugenzi na anakuwa na mshahara wake, sema kwa wenzetu mkurugenzi anakuwa na hisa pia kwenye umiliki wa kampuni hivo basi atalipwa mshahara pamoja na hisa zake anazomiliki pia, hivo faida ya kampuni na yeye mkurugenzi atahusika nje ya mshahara kama anamiliki hisa pia.
@rashidmashaka1264
@rashidmashaka1264 Ай бұрын
Sasa si tajili wa dunia au nakosea
@Hassanbaoma
@Hassanbaoma Ай бұрын
Ali masubi unachambua vizuri sana kuliko DJ smaa maana yeye ni kunljisifu kwamba yeye ni mtu wa fact mara sijui fyuzi ambayo Ali masubi haya hayo yeye anapiga kazi tu
@kibwamoko8767
@kibwamoko8767 Ай бұрын
Weee ni Mgeni hapa SNS nini? Hapa kuna misingi imewekwa ya uchambuzi, usiropoke ropoke tu Kila mchambuzi hapa SNS ana haiba yake na Mtindo wake wa kuchambua kwa vile anavyoamini, kwahiyo usitake wafanane. Wakifanana haitaleta Ladha. Ni kama unavyoona CNN na BBC zinavyochambua na kutoa habari kwa Kuegemea au kusifia upande wa Marekani na nchi za Ulaya(NATO). Maana huko utakuta asilimia 90% hadi 95% kusifia Marekani na kumponda PUTIN na Urusi yake. Wakisifia Urusi basi jua ni asilimia 5% tu. Nadhani utakuwa umeelewa kuwa DJ SMA yupo kwa ajili kusawazisha, yani anapopondwa Urusi na Magharibi, yeye anakuja anasawazisha.
@nassirali7499
@nassirali7499 Ай бұрын
Ni bajeti ya serikali ya miaka isiyozidi 4.
@jumashedafa
@jumashedafa Ай бұрын
Kwa tanzania ni bajeti ya miaka miwili..Japo tunapend kujishush san...Tanzania ni tajir mno ni suala la tecknolojoa na uvumbuzi tu
@samirhumud7408
@samirhumud7408 Ай бұрын
Zaidi ya miaka 5 kwa bajet ya Tz
@kakorejrboyz6447
@kakorejrboyz6447 Ай бұрын
SASA #YANGA_FC AKA #MADENI_FC SI WAENDE WAMKOPE WALIPE MADENI 🔊🔊
@nasibugunda7927
@nasibugunda7927 Ай бұрын
😂😂😂
@jamesmmari-st1nt
@jamesmmari-st1nt Ай бұрын
We jamaa bhana elezea vizuri zaidi jamaa amelipwa kwasababu ameiwezesha kampuni ya tesla kutengeneza faida kubwa sana
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Haujasikiliza maelezo vzuri.
@user-nz5me8bk7g
@user-nz5me8bk7g Ай бұрын
Daa iyo serekali ya Tanzania haina ela izo
@Emanueli-vz6fd
@Emanueli-vz6fd Ай бұрын
Kabsa😢😢
@atutweve4160
@atutweve4160 Ай бұрын
Kushabikia Urusi ndo mnajua 😂🤣🤣🤣🤣mnaona mambo hayo
@hamzahuseni2555
@hamzahuseni2555 Ай бұрын
Tupe chanzo cha bilionea wa uchina kufilisiwa chanzo nn?
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 Ай бұрын
Extortion
@ramadhanmkombelwa3065
@ramadhanmkombelwa3065 Ай бұрын
Huyu Mtangazaji Atasababisha Sifuatilii SNS tena maana sauti yk km.yng vil😂
Robert Greene: A Process for Finding & Achieving Your Unique Purpose
3:11:18
Andrew Huberman
Рет қаралды 10 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 6 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 1,7 МЛН
Ijue Vizuri STARLINK ya ELON MUSK  / Inakuja TANZANIA
5:03
Snashtz
Рет қаралды 18 М.
Ahmad Massoud: "Mr. Biden Said We Killed Ayman al-Zawahiri"
13:15
Shawn Ryan Clips
Рет қаралды 51 М.
БМВ i4
0:29
Vladione
Рет қаралды 1,6 МЛН
Подпишись❤️ Давай взрывать🚀
1:01
Рамир Хасанов
Рет қаралды 8 МЛН
tractor rear light project #project
0:40
SB Skill
Рет қаралды 14 МЛН