Hongera zake mkaribisheni Tanzania aje kuwekeza kama Aliko dangote
@AbdallahMohamed-en9koАй бұрын
Kama ni haki yake kulipwa ni sawa sawa kbs
@benancejohn1198Ай бұрын
Unaweza kusema kwamba kuna watu pesa imewachagua 🤔
@shaviercharvinho18Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂ety kama nimezipatia mana mazero nimengi sana😂😂😂😂😂😂
@hazygardmericho957129 күн бұрын
masubi your the best
@BenjaminMetanyauАй бұрын
B mkubwa asiione hii anaweza akaenda kukopa
@JundikiFoodproductionАй бұрын
😅
@luisojr348027 күн бұрын
Daaaa😂
@awadhally105227 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@AlenKinyina27 күн бұрын
Alafu kuna mtu yuko jela kisa anadaiwa 500,000
@MumewanguАй бұрын
Maskin ya mungu tuliozongwa na madeni tunabakia kuguna TU um! Umasikini mbaya jamani. Usikie TU kwa jirani EE MUNGU TUSAIDIE
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Hapana usilalamike kwa kiasi kikubwa hivo!! Imeandikwa hivi, lakini ole wenu ninyi mlio na mali, kwakuwa faraja yenu mmekwisha kuipata, Luka6:24-25. Mathayo 6:24 inasema hamwezi kumtumikia Mungu na mali, yaani hamwezi kuwatumikia mabwana wawili. Kwahiyo hawa watu wenye fedha mingi ujue hawamhitaji Mungu. Lkn mwisho wao ni kilio kisichokuwa na mwisho. Nakuombea uwe masikini tu lkn usikose kuingia katika ufalme wa Mungu. Haleluyaaaa!!
@fasconeroh8740Ай бұрын
Maden mzigo sana
@martinisadru989929 күн бұрын
@@user-cw8zn2dn6m je sulemani hajaiona pepo, usiwafanye wakristo kuupenda umasikini, zaburi 24;1 - sasa kama vitu vyote ni mali ya bwana wetu YESU KRISTO,, inapaswa wakristo wavimiliki kwa nguvu zote.
@hamadsheni8997Ай бұрын
HELA ALIZOLIPWA ILIZIISHE KILA CKU ALE BILION 12
@mamilafx122528 күн бұрын
Daaaah!!!😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
@King_Of_EverythingАй бұрын
✌️👍👊.
@justin-ds2qpАй бұрын
Ansate nasikiliza kutota lusaka
@lisawilliam2491Ай бұрын
Hii ndo maana halisi ya alienacho ataongezewa na asienacho atanyanganywa hata icho alicho nacho 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@evelynemugeni2369Ай бұрын
Tesla Zinatengeneza na madili kutoka congo 🇨🇩 😢
@universalenergy8060Ай бұрын
For those trading on tesla stock tomorrow we are flying to the moon making profits.Kushuka its normal there are ups and down on any trading pair in financial markets considering price actions and technical analysis.
@HarexoАй бұрын
Kapania kuwa number moja.... 😂
@imanuelizeboss414315 күн бұрын
utakatishaji wa pesa
@aboudasilver6541Ай бұрын
Daaah sio mchezo
@Deadskytz24 күн бұрын
People have money 🙌
@vibetz9991Ай бұрын
Na Mimi napata
@beingothmanАй бұрын
Huyu mchaga bhana
@Emanueli-vz6fdАй бұрын
Kuna watu wanaishi asee
@bonifacemeela5247Ай бұрын
Taarifa njema hii Ngoja nimsanue Mama
@emmanuelfari8924Ай бұрын
😂
@boniphace1Ай бұрын
Bajeti ya Nchi ya miaka 5. Kwa lugha nyingine anaweza iongoza Tanzania kwa pesa yake bila mchango wala mkopo wa nchi yeyote kwa miaka 5😅
@boscomakala.3923Ай бұрын
Miaka 6 kaka
@BabasahdSahdАй бұрын
Ujasoma vizuli hyo pesa ukigawa nkama miaka 87.8😅😅😅cacaculet
@BabasahdSahdАй бұрын
Kwamwaka nitilion Moja point tatu gawa malatilioni miamoja kumi na sita😂😂😂ww
@betinvestment3204Ай бұрын
Alaf uyu jamaa kwenye interview anasema hana nyumba analala kwa marafiki aisee shkamoo Elon musk
@user-pg2tw8yt4lАй бұрын
😂😂😂😂😂
@kevinbwoyle16Ай бұрын
Wakwanza
@AlenKinyina27 күн бұрын
Mtuletee habari kama hizi achana na mambo ya Ukraine
@francomwacha2262Ай бұрын
Khaa!!.. kama cjakosea.. mradi wa umeme wa bwawa la nyerere iligarimu trillions 6.. sasa kwa mradi mkubwa kama ule Ina maana huyu mwamba angeutekeleza na ni kama utoe punje ya Michele kwenye nusukilo😂.. binadam hatuko Sawa aisee
@sultanbakary4292Ай бұрын
Hawa wabepar Wana Hela sana ni ngumu sana kushindana nao
@FerdinandCharles-ko7deАй бұрын
Hapana jamn hi sio haki dunia inapaswa kuangalia hili swala jamaa anacheza faulo
@HamzaMbasha-xs2kyАй бұрын
Yaani jamaa kwa hela hiyo kwa hela zetu...ana uwezo wakuja huku akajimilikisha mkoa wowote akaulisha yeye mweyewe.
@melanialeonard4031Ай бұрын
Sio mkoa tu ni tanzania nzima bajeti ya mwaka mzima ni tilion 51
@damsonwilson5202Ай бұрын
Huyo hadili na mkoa ni East Africa kabsa
@yasnshaban9827Ай бұрын
@@melanialeonard4031na ujue bajet sio ya kula tu ni vitu vyote mf barabara,madawa,shule,vyuo,n.k
@mndambokilavo2502Ай бұрын
Hivi ni kwanini makampuni makubwa tanzania hayawi "public"
@mcholimkubwaАй бұрын
Ya wenyewe
@agreyaloyce432Ай бұрын
Mambo ni mengi sana kaka
@JundikiFoodproductionАй бұрын
Ni public sema hayajiporomot
@GeorgeAkasha-zx2rjАй бұрын
Biashara zetu sio stable mkuu, siasa inaathiri sana uwekezaji wa mitaji.Huku kwetu ukigombana au kumkosoa kiongozi mkubwa na kama ww ni mfanyabiashara basi jiandae kuanza kuporomoka na kunyang'anywa mtaji wako na pesa zako kufungiwa, hivo ndo maana wafanyabiashara wengi na hata Hao hao wanasiasa wanawekeza sana nje ya nchi kuliko ndani ya nchi zao sababu umiliki wa mitaji kwa maisha yako ya kesho ni changamoto sana.Makampuni mengi sana bongo yapo Mfumo wa soko la hisa ila wengi watu au wafanyabiashara hawapendi Kununua hisa kwa sababu biashara sio stable kabisaa maana kila uongozi mpya basi una mambo mapya, yaani kiufupi hakuna katiba au Sheria stable za nchi Bali Kuna stable people.
@iSsaNyamaisaАй бұрын
Kwani ukiwa mkulugenzi unalipwa ama unajilipa ?
@jumamussantuicheАй бұрын
Biashara ya kwako ujipigi isabu.
@yordanyona1234Ай бұрын
KIBIASHARA unalipwa
@GeorgeAkasha-zx2rjАй бұрын
Mfumo wa Marekani ni mgumu kidogo Kule kila biashara lazima iingie kwenye soko la hisa ili kila mtu anunue, kwahio wanahisa wanateua mkurugenzi na anakuwa na mshahara wake, sema kwa wenzetu mkurugenzi anakuwa na hisa pia kwenye umiliki wa kampuni hivo basi atalipwa mshahara pamoja na hisa zake anazomiliki pia, hivo faida ya kampuni na yeye mkurugenzi atahusika nje ya mshahara kama anamiliki hisa pia.
@rashidmashaka1264Ай бұрын
Sasa si tajili wa dunia au nakosea
@HassanbaomaАй бұрын
Ali masubi unachambua vizuri sana kuliko DJ smaa maana yeye ni kunljisifu kwamba yeye ni mtu wa fact mara sijui fyuzi ambayo Ali masubi haya hayo yeye anapiga kazi tu
@kibwamoko8767Ай бұрын
Weee ni Mgeni hapa SNS nini? Hapa kuna misingi imewekwa ya uchambuzi, usiropoke ropoke tu Kila mchambuzi hapa SNS ana haiba yake na Mtindo wake wa kuchambua kwa vile anavyoamini, kwahiyo usitake wafanane. Wakifanana haitaleta Ladha. Ni kama unavyoona CNN na BBC zinavyochambua na kutoa habari kwa Kuegemea au kusifia upande wa Marekani na nchi za Ulaya(NATO). Maana huko utakuta asilimia 90% hadi 95% kusifia Marekani na kumponda PUTIN na Urusi yake. Wakisifia Urusi basi jua ni asilimia 5% tu. Nadhani utakuwa umeelewa kuwa DJ SMA yupo kwa ajili kusawazisha, yani anapopondwa Urusi na Magharibi, yeye anakuja anasawazisha.
@nassirali7499Ай бұрын
Ni bajeti ya serikali ya miaka isiyozidi 4.
@jumashedafaАй бұрын
Kwa tanzania ni bajeti ya miaka miwili..Japo tunapend kujishush san...Tanzania ni tajir mno ni suala la tecknolojoa na uvumbuzi tu
@samirhumud7408Ай бұрын
Zaidi ya miaka 5 kwa bajet ya Tz
@kakorejrboyz6447Ай бұрын
SASA #YANGA_FC AKA #MADENI_FC SI WAENDE WAMKOPE WALIPE MADENI 🔊🔊
@nasibugunda7927Ай бұрын
😂😂😂
@jamesmmari-st1ntАй бұрын
We jamaa bhana elezea vizuri zaidi jamaa amelipwa kwasababu ameiwezesha kampuni ya tesla kutengeneza faida kubwa sana
@thefactbook...1607Ай бұрын
Haujasikiliza maelezo vzuri.
@user-nz5me8bk7gАй бұрын
Daa iyo serekali ya Tanzania haina ela izo
@Emanueli-vz6fdАй бұрын
Kabsa😢😢
@atutweve4160Ай бұрын
Kushabikia Urusi ndo mnajua 😂🤣🤣🤣🤣mnaona mambo hayo
@hamzahuseni2555Ай бұрын
Tupe chanzo cha bilionea wa uchina kufilisiwa chanzo nn?
@thefactbook...1607Ай бұрын
Extortion
@ramadhanmkombelwa3065Ай бұрын
Huyu Mtangazaji Atasababisha Sifuatilii SNS tena maana sauti yk km.yng vil😂