INAUMIZA! MABAUNSA 20+ WABOMOA NYUMBA KESI IKIWA MAHAKAMANI - MAMA AMWAGA MACHOZI AKIELEZEA...

  Рет қаралды 20,774

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

INAUMIZA! MABAUNSA 20+ WABOMOA NYUMBA KESI IKIWA MAHAKAMANI - MAMA AMWAGA MACHOZI AKIELEZEA...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 189
@globaltv_online
@globaltv_online 4 күн бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@Shekhahamed-v2f
@Shekhahamed-v2f 4 күн бұрын
Polee dada. Ushauri wangu achana nyumba wakuzulum. / Wageukie watanzania. Wakusaidie naamini kwa umoja watanzania wanaweza. Kukupatia kiwanja na ukajengewa. Utaishi maisha mazuri ukasahauyotee
@Zanzibar0001
@Zanzibar0001 Күн бұрын
Mpumbavu mmoja akubali kudhulumiwa alafu awe omba omba shenzi
@Shekhahamed-v2f
@Shekhahamed-v2f 20 сағат бұрын
@Zanzibar0001 sawa
@lilianfrancis6605
@lilianfrancis6605 5 күн бұрын
Pole Mwanamke Mwenzangu Mwenyezi MUNGU Akufanyie Wepesi,Utashimda tu kwa uwezo wa MUNGU
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 күн бұрын
Amyn😢
@MiriamAbdala-q8f
@MiriamAbdala-q8f 4 күн бұрын
Hawa ndio wenyekiti waliopitashwa na wananchi bila kupigwa🤔
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 5 күн бұрын
Wajumbe watu wabaya wanajua Kila kitu .rushwa tu
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 3 күн бұрын
kabisa,Mtu wa kwanza kutumika ni mjumbe Mungu anawaona kwa jicho lake lisilolala😔😔😔
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 3 күн бұрын
@hadijaismail3619 tatizo njaa
@nourannouuran3514
@nourannouuran3514 4 күн бұрын
Naumia sana naumia mno hii nchi ni kama kuna laana amani amani ndo hii viongozi daily,wanaona haya matukio dhulma tu,mola utusaidie tusidhulumiwe
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 күн бұрын
we acha tu 😭😭😭😭
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 4 күн бұрын
Serikali za mitaa ndio hao hao nani😂 aliyewachaguwa?
@PhilkevinFelix
@PhilkevinFelix 4 күн бұрын
Serikali hiyo ya Mtaa inaonyesha imehusika na hujuma hiyo. Mwenyekiti wa Serikali za Mtaa ameshindwa kumlinda raia yake.
@KhadijamussaMachapat
@KhadijamussaMachapat 4 күн бұрын
Yaani siku izi chako kinakumaliza😢
@MariamAaaa-s4b
@MariamAaaa-s4b 4 күн бұрын
Pole Sana Dada angu Allah akupe subra na wapangaji wako wote
@aishajuma7813
@aishajuma7813 4 күн бұрын
Yaani uyo mwenyekti ingekua nyumba yangu iyo ningeanza na yy alafu aliyo nunua
@JudithAdonis
@JudithAdonis 15 сағат бұрын
Mmh M'kiti 🙌🙌🙌
@jeremiahmbena4644
@jeremiahmbena4644 4 күн бұрын
Jerry silaa,ndie mkombozi wa Masikini hakuna mwingine
@visionstudios6804
@visionstudios6804 4 күн бұрын
Nilisikitika sana alipomuondoa kwenye hii wizara
@MamaHanisa-i8z
@MamaHanisa-i8z 5 күн бұрын
Maskini ukiwa hauna kitu jamani me nikikumbuka umauti nachukia dunia nyumba yangu niliacha mamangu kile aliongea Alhamdulilllah ya Allah mpe mume wangu nguvu ya kuniangalia me mke wake lakini we hii dunia ya sasa bala usiamini mtu yoyote 😢😢😢😢
@SihabaAbdallah-li6dx
@SihabaAbdallah-li6dx 4 күн бұрын
Sasa nyumba Yako ume iwacha kivip
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 күн бұрын
hamna rais kwenye nchi ndio maana majizi yanaumiza watu na kumdhulum watu mchana kweupe kama walivosema nchi haina sheria wallah magu angekuepo wangeijenga hiyo nyumba hao walivunja na walio watuma mwenyezi Mungu 2025 ndio hiyo yatoe mafisad yote tanzania umueke rais anae jali wananchi tunakuomba mwenyezi Mungu tupokelee day zetu in sha allah na ijumaa hi 🤲🤲toka kashika nchi huyu mama watu wanadhulumiwa sana na hakuna msaada kwa sababu wanao dhulumiwa hawana pesa za rushwa tunakuomba Mungu wetu mtukufu safisha mafisad yanayotawala sasahivi tanzania na nchi zingine wanadhulumu wananchi wao in sha allah
@LuckyTemu
@LuckyTemu 3 күн бұрын
Huyu Mama analia kwa uchungu Hadi naogopa 💔 binadamu si waoga uwiiiii
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 3 күн бұрын
Haya yalimkuta mama yangu ctaki hata kusikia ñaumiaga mnoo nikiona hivi😭😭😭😭 nguvu ya pesa ilitumika kuanzia ngazi ya chini mahakamani mpaka juu! Ninachoamini haki yako ukiikosa hapa duniani utaikuta kesho kwa Mungu ,
@WardaSaid-m3c
@WardaSaid-m3c 5 күн бұрын
Subhanallah jamani tumuogopeni Allah
@azariamarembo3653
@azariamarembo3653 4 күн бұрын
Janja janja wamezimaje simu wote . Hapo kuna kitu
@AgathaMaliyatabu
@AgathaMaliyatabu 4 күн бұрын
Dada usilie sana mshitakie mungu huyo mwenye pesa kama pua imeangalia juu basi ameshinda kama imeangalia chini mungu atakujibu
@funliving-so9vz
@funliving-so9vz 4 күн бұрын
Mtanzania mnyonge 😢 Kazi ipo
@ramadhanhassan5285
@ramadhanhassan5285 4 күн бұрын
Hiyo siku ya mwisho ndio itajulikana mbele ya mungu kua kiongozi anatakiwa aweje na watu wakidhulumiwa aliakua viongozi mpo alafu hakuna kauli za kumtetea ane dhulumiwa hongereri viongozi dunia niyenu fanyeni mnavyo weza ila sisi tunangoja malipo siku yamwisho kutoka kwenu na mungu anayaona yote mnayo tufanyia
@funliving-so9vz
@funliving-so9vz 4 күн бұрын
Kwa iyo tusubilie hadi siku ya mwisho?
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 2 күн бұрын
@@funliving-so9vz ndio maana yake mama yangu yamemkuta hayo keshatangulia mbele ya haki,Mungu atamlipia huko,pesa za kuhonga apate haki yake hakua nazo😔😔😔
@joharikasuwi6973
@joharikasuwi6973 2 күн бұрын
Mie kwa mtazamo wangu huyo kiongozi wa mtaa anajua kabisa. Ye mwenyewe muhuni tu na hilo licheni lake
@abdulkareemchacha2625
@abdulkareemchacha2625 4 күн бұрын
Inna lillahi wa inna ilayhi rajuun......pole sana Dada yetu.....hizi mali hizi.....ukiwa nayo shida na ukikosa pia shida!!!! Ni afadhali kuwa nayo au kukosa???
@hadijaismail3619
@hadijaismail3619 3 күн бұрын
Ndugu yangu hata cjui bora nn🤔🤔🤔🤔
@FortunataNguma
@FortunataNguma 18 сағат бұрын
Wanyonge hawana haki
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 4 күн бұрын
Mkti hafai kabisa ,silaha arudi hii Hali ingekoma
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 4 күн бұрын
Wamebeba vitu vyako tena uwende police kutoa maelezo uwiiiii hozo hasiraa kwanini vitu visiwekwe apo nje kila mtu achague chake kwa usitarabu 😭
@fatmamansour2764
@fatmamansour2764 5 күн бұрын
Pole mama maskini
@prettyheart45
@prettyheart45 3 күн бұрын
kma una hatiiii original mama oneshaaaaa
@MakameMufadhil-n8d
@MakameMufadhil-n8d 4 күн бұрын
Yani Mimi naumiyaaa sana ninapoona uonevu
@SuhailaMahamoud
@SuhailaMahamoud Күн бұрын
Poleni
@MiriamAbdala-q8f
@MiriamAbdala-q8f 4 күн бұрын
Mama Samia mitano Tena ccm hoyeee😢😢😢😢😢😢😢😢
@maryamhannif897
@maryamhannif897 5 күн бұрын
Pole da halima
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 4 күн бұрын
Hii ndotanzania yaccm 😂I 😂😂😂 inchi hainashelia mbeleyapesa
@mwanakhamisimwinyimatano1185
@mwanakhamisimwinyimatano1185 3 күн бұрын
Mtihani
@dignakanje4508
@dignakanje4508 4 күн бұрын
Ila unaumiza jmn kwann binadamu mnakuwa hivi kwanini binadamu mnakosa utu,hivi vitawafukisha wapi dhulma hiii jmn.Hivi ndio mwenye pesa apate masikini akose,.Magufuli fufuka jmn.Kwani Kodi zinatolewa nawenye hla tu jmn.Mama Samia uko wapi kuona hya yawananchi wako.Mpka wanaadhirika jmn.
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 күн бұрын
lazma waseme nchi haina sheria maana maviongozi yote yanawaza stareh tu hayajali machafu yanayoendelea miaka 4 hi mwenyezi Mungu awalaani kwanzia viongozi wa awam hi na majambazi yao wanayoyachekea yanaumiza raiya wema in sha allah yarab 🤲🤲
@HabibuHoseni-sv8hd
@HabibuHoseni-sv8hd 4 күн бұрын
Yaaan hii nchi inatia hasira khaaa uongoz unafany nn mamb km haya😢😢😢munga imalize ty hii dunia uonevuu umekua haki roho inaniuma saana saan kuona mtu ananyang'anywa haki yake nataman mungu aisambaratishe tu hii dunia ukija gaza ukija kongo ukija tz yan tafran tyuu khaa😢😢
@prettynayally2177
@prettynayally2177 4 күн бұрын
Walah nikimiliki myumba lazima nimiliki mguu wa kuku
@SalmaOmary-b8v
@SalmaOmary-b8v 4 күн бұрын
Mama samia kumtoa salha wana nchi tunapata tabu sana🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭
@josephineokama2200
@josephineokama2200 4 күн бұрын
sijuh mama anawazaga nini yaani kumtoa silah amekosea sana
@goodluckemmanuel969
@goodluckemmanuel969 4 күн бұрын
Silaa
@Alphonce223
@Alphonce223 4 күн бұрын
Ccm oyeee..mitano tena
@prettyheart45
@prettyheart45 3 күн бұрын
ila uyo kaka doctor 🤣🤣🤣au muhayaaaaaaaaaaa jmn kasemaaa professional zake daaaah
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 2 күн бұрын
😂😂
@rahmahabibu1432
@rahmahabibu1432 2 күн бұрын
😂😂😂
@JudithAdonis
@JudithAdonis 15 сағат бұрын
😂😂😂😂 Na mm sijamuelewa aisee
@JudithAdonis
@JudithAdonis 15 сағат бұрын
Yaan yeye anasema alipotoka nje akaona kuna fujo and then akaenda nje kaacha even laptop ambayo iko kitandan 🙆‍♀️
@rasjamal9854
@rasjamal9854 5 күн бұрын
Taku kururu mpo wapi jamani masikini wana teseka, Mama Samia upo wapi mwanamke mwenzio ana lia, Ehee Allah ebu pokea kilio cha mama huyu
@rayaalaisari4592
@rayaalaisari4592 4 күн бұрын
Mama samia uko wapi Mama watu wana kuitaji mama
@KhabeyaSelemani-t1c
@KhabeyaSelemani-t1c 4 күн бұрын
Inamana mama samia Alioni hili Tatizo Aki Ifanyike 😢
@joharikasuwi6973
@joharikasuwi6973 2 күн бұрын
Mama sisi kwetu tanga huwa tunawaambia wasubiri jua lizame
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc 5 күн бұрын
Hivi kweli nchi haina sheria mbele ya pesa , ila serikali za mitaa ccm wanapokea rushwa kwa kunyanya wananchi
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 күн бұрын
Subuhanallah😭😭😭
@muuibrahim1805
@muuibrahim1805 Күн бұрын
Huyu mjumbe mmemuelewa kweli?!
@Space-f9y
@Space-f9y 4 күн бұрын
Afisa mtendaji ndio huwa anaenda ofisini mara mbili kwa wiki
@hawaally2308
@hawaally2308 4 күн бұрын
Hata kama kuna sababu ya kuvunja, kweli hii ni haki kwa wapangaji? Mali za urithi hazifai kabisa kutumia zilivyo ni kuuza tu ni kuuza tuu.
@MiriamAbdala-q8f
@MiriamAbdala-q8f 4 күн бұрын
Nchi inaongozwa na wahuni, CCM hoyeee 5 tena Samia Hasan suluhuu😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@IbrahimuRamadhani-m5h
@IbrahimuRamadhani-m5h 4 күн бұрын
Haki yamungu mungu mungu anawaona
@fadhilially7357
@fadhilially7357 10 сағат бұрын
Uyo mwenyekiti kumamake piga mapanga hadi afe
@SabihaibrahimRajabu
@SabihaibrahimRajabu 4 күн бұрын
Mjumbe shikamoo
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 4 күн бұрын
Pole sana mama 😢
@RahemaJumany
@RahemaJumany 3 күн бұрын
Mom hati original ndy kila kitu mom kama hiyo huna hapo pole tena Jikatae tu
@Lusajoabel-j1b
@Lusajoabel-j1b 4 күн бұрын
Viongozii wote wapo Dodoma ila hii nchi ngumu sanaaa
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 4 күн бұрын
😢😢😢Kawalog. Wot😢😢
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 4 күн бұрын
Ccm hoyeeeee wenyeviti wa mtaaa oyeeeee.
@halimamsafiri288
@halimamsafiri288 Күн бұрын
Sisi wajumbe na wenyekiti oyeee wala Rushwa oyeee wenyekiti ccm oyeee wajumbe oyeee wezi wakubwa oyeee pumbavu zenu
@RashidSonara
@RashidSonara 4 күн бұрын
Muulize kamanda muriro kama ipo sawa kisheria
@denisJoel-v7i
@denisJoel-v7i 4 күн бұрын
Aise,jamn mbn watu wana roho mbaya ivii !!
@salama1113
@salama1113 4 күн бұрын
Majaji mnasikia kwakuwa wanayaona yanayo endelea hadi watu wanasema nchi haina sheria😢😢😢😢😢 sasa watu wakichukuwa hatuwa mkononi mcwalaumu mana hakuna haki mbele ya pesa😢😢😢😢
@rukiyamohammed2945
@rukiyamohammed2945 4 күн бұрын
Dah! Huyo mwenye pesa zake kama wanavyojisifu kwa kipato alichomjaalia Allah(S.W.T) anawatoa wenzie ndani pasipo kujali mali zao wala uhai wao, huyo ni fir jahannam moja kwa moja. Kwani angewapa muda hadi kesi imalizike wangepungukiwa kitu gani labda! Acheni mabavu sote tutakufa na kila kitu kitabakia. Allah atujaalie tuyatende mema siku zote na tuwe wenye huruma na upendo kwa binadam na wanyama pia.
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft Күн бұрын
Nyumba hadi inauzwa mama ulikuepo wapi !!??
@Zainab_salat
@Zainab_salat 4 күн бұрын
Ninashaka na huyo mjumbe na mwenye kiti wanabomoa nyumba bila kibali 😡😡😡😡😡
@rasjamal9854
@rasjamal9854 5 күн бұрын
Mtihani kweli
@KhadijamussaMachapat
@KhadijamussaMachapat 4 күн бұрын
Unaingia Galama ya kujenga wenye kujua kujenga wanakunja kiubabe na kuvunja hivyo ndo maana Watu wanapanga siyo kwamba hawawezi kujenga lakini Ukatili kama huu Bora kutumia pesa yako mana siku izi wanaoishi kwa Amani ni Makatili💪🤔
@leokamil6284
@leokamil6284 5 күн бұрын
Wenye fedha wote nchi hii ndio wenye kununua nyumba za Kurithiwa kidhulma yaani hayo yapo nchi nzima. Na kesi zikienda Mahakamani kesi zinapigwa danadana.Hata kufoji Hati ni jinai lakini pia likienda Polisi nao ni danadana tupu .Nchi ngumu hii haki kwa mnyonge ni shida tupu
@tinajohn6296
@tinajohn6296 4 күн бұрын
Kwaiyo ndugu ndo wamemuuzia??
@نجمةموبيبي
@نجمةموبيبي 4 күн бұрын
​@@tinajohn6296mama wa kuffikia ndo alofanya.
@salwasalum6758
@salwasalum6758 4 күн бұрын
Very painfull this unfair gvnt😢😢
@theodorythobius3965
@theodorythobius3965 4 күн бұрын
Haya mambo sasa hivi yamezidi sana,wenye viti na mabalozi ni changamoto.
@mwanakombojumaakhalid
@mwanakombojumaakhalid 4 күн бұрын
Huwo ni mtihani mkubwa sana poleni sana
@AzizihFarijala
@AzizihFarijala 2 күн бұрын
Maswali mengine bwana hayafai kama una ya kuuliza kama kimya
@RahemaJumany
@RahemaJumany 3 күн бұрын
Yote tisa pole mom Allah akutie nguvu ila hapo kwa mjumbe sjamuelewa maelezo yake kama mjumbe utasemaje hujui toa maelezo yaeleweke cm unapiga hazipokelewi tinga office hawana serikaki si zipo watingie ofisini sio kila kitu hujui na unatabasam bhana uongozi mnapewaga na nani kwanza kama kazi hamuiwezi
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 4 күн бұрын
Nchi aina haki hii walai😢😢
@funliving-so9vz
@funliving-so9vz 4 күн бұрын
Mitano tena 🤚
@AminaKomba-h8j
@AminaKomba-h8j 5 күн бұрын
Dah 😢😢😢
@OmanOman-fr5hl
@OmanOman-fr5hl 4 күн бұрын
He kesi ssa imitoka kwenye mikono ya majaji imipandishwa kwa mungu ndo mkubwa wa mjaji
@SabihaibrahimRajabu
@SabihaibrahimRajabu 4 күн бұрын
Mambo haya inakuwaje jamanii mtihani mkubwa
@JahidaRashid
@JahidaRashid 4 күн бұрын
Duuu poreni sana 😢😢😢
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 4 күн бұрын
Nchi haifuati sheria watu wanafanya wanavyotaka, Serikzli ooi wapi?
@KassimHanga-xr7rb
@KassimHanga-xr7rb 4 күн бұрын
Hiyo ndio Tanzania yetu tuliyoichagua mabadiliko ni lazima laasiivyo tutazulumiana kama wakubwa wafanyavyo
@mussaelias3535
@mussaelias3535 5 күн бұрын
Wenye mamlaka msikilizeni mwanamke huyu analia kwa kukosa msaada hata wa kisheria haki ipo wapi inaumiza sana
@funliving-so9vz
@funliving-so9vz 4 күн бұрын
Nchi ngumu hii
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb 4 күн бұрын
Kwann ww kama mwenyekiti hukusogea kwenye tukio. Huna ulizi wote.
@sakinamremi
@sakinamremi 4 күн бұрын
Angekuwa magufuli yupo sheria ingekuwepo lakini kwa sasa hakuna sheria wala amani ya nchi 😢😢😢sasa mtu anasema nchi haina sheria kama una hela si anajiamini huzuni sana
@saidsam3053
@saidsam3053 4 күн бұрын
mwenyekiti anajizonga tu anazunguka t haeleweki na mjumbe nae haeleweki mjumbe baharia
@ConsolataMassawe-j6c
@ConsolataMassawe-j6c 2 күн бұрын
Tunaomba wananchi watanzania .pamoja na raisi wetu wa tanzania angalie haki ya huyu mama alie bomolewa nyumba ipatikane jamani.huu ni uonevu kabisa
@Hdhdj-t7j
@Hdhdj-t7j 4 күн бұрын
Tatizo mnachagua wachawi kuwafanya wenyekiti wajumbe ndomaana yanatokea.
@MeryJonh
@MeryJonh 5 күн бұрын
Nchi yangu Tanzania. Wanyonge hatuna haki
@SafiaOmar
@SafiaOmar 4 күн бұрын
Tunapoelekea watu watakuja kuchinjana jamani. Hii ni hatari sasa
@barakaharrison8677
@barakaharrison8677 4 күн бұрын
Huyo doctor uchwara mbona muongo 😅😅😅😅😅😅
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 4 күн бұрын
Itakua na ww ni mmoja wa wabomoaji mbwa ww
@MariamAaaa-s4b
@MariamAaaa-s4b 4 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢
@TheodoraAnatory
@TheodoraAnatory 2 күн бұрын
Hiyo yote ni RUSHWA, aliyesema Rushwa ni adui wa haki, tunajionea wenyewe. Jamani tupege vita RUSHWA.
@Mohammed-v3i1u
@Mohammed-v3i1u 3 күн бұрын
Tumwogope Allah jaman hii zurma ya alzi sinzuri itakuja tokea watu puwani
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 5 күн бұрын
Kipindi cha mzee baba JPM haya mambo yalipungua,lakini sasa hivi yako kwenye Kasi mpya na ari mpya duuuh nchi ngumu sana hii🇹🇿😳🤔
@MiriamAbdala-q8f
@MiriamAbdala-q8f 4 күн бұрын
Tutamkupuka sana
@Hdhdj-t7j
@Hdhdj-t7j 4 күн бұрын
Apo mjumbe buree na anajua yote keshapewa pesa.
@sistustesha4553
@sistustesha4553 4 күн бұрын
Hawa wajumbe wasiojua ata utaratibu ni matatizo
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 4 күн бұрын
Serekali ya Mama hoyee
@ibrahimhodabaksh3939
@ibrahimhodabaksh3939 9 сағат бұрын
JAMANI UKO TUNAPOKWE NI PABAYA NCHIHI MAMA KAUPIGA SANA
@Zainab-k3l6b
@Zainab-k3l6b 3 күн бұрын
Huyumimi sijamuelewa
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 4 күн бұрын
Kwenye Uchaguzi Ccm wanafanya wanavyotaka, na mtaani watu wanafanya wanavyotaka hawafuati sheria wala KATIBA ya nchi.
@RutiMasaryk
@RutiMasaryk 4 күн бұрын
Rest in peace 😢 Magufuli. So sad to see this 😢 ungekuwa wepo
@khadijathani9064
@khadijathani9064 4 күн бұрын
Aya mambo kwa magufuli yalikuwa ayapo wanaogopa saivi imekuaje
@gililwise
@gililwise 4 күн бұрын
Wana kibali cha mahakama na ocd?
Rigathi Gachagua kutoa taarifa kuhusu chama chake cha kisiasa
4:45
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 105 М.
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН