Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba alikutana na Millard Ayo kwenye Exclusive Interview na Mtangazaji Millard Ayo kuzungumzia mafanikio yake kwa mwaka 2015, maneno ya Ben Pol kusema anapewa nafasi asiyostahili na mengine.
Пікірлер: 206
@saidachitechi66778 жыл бұрын
thank sana ali kiba .Nitaendelea kutazama songs zako na video zako.but uko powa sana ali kiba.I wish will make it better .keep it up ali kiba.Your dance will support you to get more comments .but your is anice.I wish all successful to your work so that you can be make better in the world.
@laurentmagazi12048 жыл бұрын
unajua bro millardayo 4 my side bongo ww ni mtangazaji bora sana mungu akupe uhai 2 tufaidi ufanisi wako
@amalelmi99568 жыл бұрын
Hata km asingelikua star sisi tungelimpenda hivohivo cz hanaga mambo mengi kiba muacheni ajipe raha mwenyewe pia kila mtu ako huru kushabikia msanii amtakae.
@yaelyahir36263 жыл бұрын
You prolly dont care but if you're bored like me during the covid times you can stream pretty much all the latest movies on InstaFlixxer. Have been watching with my girlfriend for the last couple of weeks xD
@orionjaxton76383 жыл бұрын
@Yael Yahir definitely, have been watching on InstaFlixxer for since november myself :)
@pollylazmartins96908 жыл бұрын
kiba wangu huyu😘😘😘😘
@abigailkighombe19608 жыл бұрын
ukweli hutiwa pingu ili uongo uzidi kuenea wasanii wengi bongo walitolewa na Alikiba sasa ajab mnapagawa na mfumo wa waabudu sanamu alikiba is for real
@faudhiabilal91548 жыл бұрын
kama anaringa muacheni ndo tunachompendea, there must be a difference between a legend and the others... how cute Alikiba is.....we need to support our own
@halimamwasura34638 жыл бұрын
good kiba💪💪💪😍
@magufulitz68478 жыл бұрын
Big up Alikiba, pasua twende.
@sebajohn71087 жыл бұрын
Wanyooshe king kiba
@omarmwinyi64848 жыл бұрын
open n wise thanks Millard gud job
@juliethmunuo42508 жыл бұрын
ahsante millad kwa kumleta kipenz cha watu
@edwardtrigga57018 жыл бұрын
+Julieth Munuo sema kipenzi chako si chawatu
@frankwarioba78135 жыл бұрын
Alikiba is the King of Bongo music
@manawaaporinary96355 жыл бұрын
Time diamond hapa
@ProchesJulius8 жыл бұрын
Imefikia time our celebs wafundishwe communication skills. Upo kwa Interview regardless ya Radio au TV then unatumia simu sio kitu kizuri kwa hali ya kawaida kwenye conversation. Wanasanii wanapohojiwa I am certain kuwa wanajua kwamba interview itarushwa online. Kwa uwelewa wangu mdogo Naamini Ayo Tv ni itnernational na watu mbali mbali wanaangalia Interview hii hata sasa nje ya Inchi. Imagine wanakuchukuliaje kwenye Interview una-swipe simu yako ya mkononi? Kioo cha jamii ni sifa na heshima kubwa sana kwenye Inchi yoyote duniani. Itendeeni haki.
@saidachitechi66778 жыл бұрын
thank sana Ayo millard kwa habari hiyo.
@alibanks96098 жыл бұрын
cha msingi sio eti ungalie Alikiba kamfollow nani istagram ama ana maringo au flani akipost hichi istagram na yeye anapost kile hilo sio muhimu ktk maisha yko kumchunguza mwengine coz haulipwi na mtu yyte kimbelembele chako...mwisho wakwisha jamaa anapiga hela na kazi yke swali ni je ''wewe unaingiza ngapi kwa siku'' ama utaishi ivo kuchunguza maisha ya wenzako. style up
@hocylaseko78438 жыл бұрын
umeongea yani mijitu mingine haijielewi kwani kakuambia umfollow mfyuuuu yani hawajui kama wengine wanaingiza hela wao wapo bzy wanaangalia Ali kiba kamfollow nani yani muwe mnajielewaaaa
@cintoo25568 жыл бұрын
Good speech
@josephgeorge19035 жыл бұрын
King the one rock star piga kazi mjamaa kila mtu na lifestyle yake mapozi ni style y mtu avyo kuwa
@mamlee81678 жыл бұрын
lol he was so confident ,thats good
@safihabiba62848 жыл бұрын
keep it up king kiba
@alankimaro44644 жыл бұрын
Mwanamuziki mwenye heshima Zake.big up brother
@mezamzambarakafrand6167 жыл бұрын
kila unachofanya kinapenya nakupenda zan kiba
@amosmataiga46038 жыл бұрын
Wow...
@nestonyamwelu64287 жыл бұрын
Nyie wote kuma kumbe alikiba alingi hiyo ndyo ongea yake kuma nyie uyu ndye king mfarume wabongo akuna chadomo walakuma nan
@deboramrema28615 жыл бұрын
Safi sana king usiwe na kiyongo utafika mbali
@saidikobossa74898 жыл бұрын
"Nimekuta missed call yake lakini sikuwa na time ya kumpigia".....whaaaar!
@josephchristian19276 жыл бұрын
Lakini icho nikitu cha kawaida tu mbona?akaendeleya kusema kwamba Aka mpigia ata pokeya.ali ni mtoto muzuri sana,nyinyi ambawo mna utofauti na yeye ,njo hamumu elewe,ila sisi tuna mu elewa tu saana.
@ellyjohn40438 жыл бұрын
Millard ayo nakukubali sana ukiwa unamuhoji msanii huyo ninaempenda sana ukimtoa Ay anafata ally kiba napenda sana ukiwa unadodosa mambo muhimu kutoka kwa ally kiba hongera kaka Millard ayo ally kiba hapa kazi tu na sio majungu
@magdalenemuna6848 жыл бұрын
MWANA NAIPENDA MILELE....BIG UP ALI KIBA AND MILLARD KIP THAT ENERGY GOD BLESS U..
@salmaanfareed28188 жыл бұрын
Gud job
@amanijulius83988 жыл бұрын
Acha ushamba Alikiba.....unaringa sana broo kapate tuition kwa SIMBA#Diamond platnumz
@athumanifundi44888 жыл бұрын
Gud gud #kingkiba
@evarisaernest80486 жыл бұрын
Good king Kiba
@RAVincentOfficial8 жыл бұрын
asante sana ayotv . interview nzuri sana. Wanasema eti ana maringo ahah. kizuri do uaga watu wanakuongelea vibaya tu.
@rezeekybeiby15195 жыл бұрын
Yaaaaaaap apo umesema my watasema mchana ila usiku watalala Tu👏👏👏
@ellyjohn40438 жыл бұрын
yani ally kiba anastahili kufanya mziki wa Africa tz kutamburika duniani kwa7bu anau wezo mkubwa hata marekani anaweza ishi nakufanya mziki wao pia
@bobybreezy27344 жыл бұрын
king lini utatoa ngoma na msanii wa mbele
@curryxoxo83098 жыл бұрын
King kiba
@mussamasunga74596 жыл бұрын
pamoja sana alike
@luckyfatty52808 жыл бұрын
penda sanaa kiba Muaah
@sophyeakee19768 жыл бұрын
❤️
@mwanaz31108 жыл бұрын
Kweli kaka Kiba acha mapozi kidoogo!!!!ila we ni mkali
@marthamusoma10828 жыл бұрын
upuuuzi pyeee mashauzi mengi maswali na majibu tofauti
@yohanamasalia26257 жыл бұрын
dude LA msanini Ali nakuelewa sana
@amininyaungo43288 жыл бұрын
safi alikiba
@deucstin97187 жыл бұрын
gd
@antidiusrwehumbiza39608 жыл бұрын
Millard bring salama jabir one day bhana
@alikiba15278 жыл бұрын
+#millard_Ayo thanks for the good interview between ww na alikiba,, keep working naku support ww pia coz every true stories ni za kwako siziaamini media nyingine ispokua ww tu,, na habari zote ni nzuri kwako ww,, ila umejiahidi sana na una kipaji kubwa,,so swali kwako ni je hizo maswali unayo waauliza wasanii kama vile diamond na alikiba je ni mafans wako ambao ndio ss ndio tunakupa uwaaulize wasanii au ni zako mwenyewe hizo maswali unayo waauliza,,,, please bro millard ayo if u see my comment ni reply coz i wanna know,,,, thanks @millard_ayo
@abbydabby7838 жыл бұрын
millard ayo hawezi ku reply hio comment yako aambayo haina maana, millard yupo bussy hana shidaya kureply wala kusoma hi uchafu wako,,,,TEAM #DIAMOND_PLUTNUM TEAM KIBAKULI MPOOOOOOOOO!!!!!?
@lenaliz80378 жыл бұрын
Great Interview.
@luningazanzibar28868 жыл бұрын
+Abby Dabby Kweli ndio punguani wa akili kabisa yani unafanya vitu kama hauna akili, kwenye hito timu diamond we unacheza namba ngapi?
@machibyasaid13978 жыл бұрын
+Luninga Zanzibar anacheza namba ya mamaako
@sunguriyoallalla67638 жыл бұрын
Luninga Zanzibar
@user-ge4tl8pi3o8 жыл бұрын
Why you wering sunglasses??
@fridakato91838 жыл бұрын
Pride is killing you kijana, that is not you, l mean that is not totally you.
@azizayassin36237 жыл бұрын
frida kato he is
@babycombo26358 жыл бұрын
kiba anavoice nzuriiiiii saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ila maringooo punguzaa mwe unaongea kwa mbwembwe
@cosmasmasawe98758 жыл бұрын
Huna following hata mmoja
@marcosjuma49908 жыл бұрын
it is hot
@khamismusa76266 жыл бұрын
Acheni mambo na miziki sio issue ni umagharibi uwoo
@bilingikajeri62018 жыл бұрын
Usife moyo mtu wangu kaza najua lazima wawepo maadui ndo ufanikiwe ila jazi yako nzuri sana
@ronaldomorata85286 жыл бұрын
Jamaa linajiona hili
@ritamarley19588 жыл бұрын
+Ali Kiba you have to try and drop that word "YAP" it doesn't suit you... you're cool, simple and down to earth guy..... but all in all I've gat much Love and support for you.
@pollylazmartins96908 жыл бұрын
yap is a cool word too
@khalimaissa16028 жыл бұрын
mh
@jacqueli18 Жыл бұрын
Yaani Hadi wanaume wanacoment huyu anajiskia....mmmh Aya bwana jirekebishe
@papafikiri8 жыл бұрын
nifungulie ile interview ya Ben Pol naitamani sana niweze kutoa maoni yangu maana ameharibu sana yule mvuta ndimu
@sambotv87277 жыл бұрын
duuuu sio kwa mashauz ayo
@davidosward14197 жыл бұрын
aliiiiiiiiiiii
@madeeteapain75787 жыл бұрын
😅😅😅huyu jamaa...noma sana..nilimbuken.hajijui
@alankimaro44644 жыл бұрын
Labda ww ni mlimbukeni
@Pembaboytz8 жыл бұрын
dah huyu jamaa ana mapozi sn, au ndo anajiskia
@azizayassin36237 жыл бұрын
Khames Binseif ati n sugar haaahaaa
@Pembaboytz7 жыл бұрын
Ni sugar sio
@tusiipendeduniaduniasikutu48196 жыл бұрын
Leo umeniudhi sana ati sina lafiki may be Abdul kiba
@rezeekybeiby15195 жыл бұрын
Ndio sinikakayake uyoo ndio Rafiki waukweli
@swalloonpoint23068 жыл бұрын
alikiba ni msanii mkubwa na kazi zake nzuri na za kiafrika zaidi ila anazingua sehemu moja tu inshort ana mashauzi mengi sana yani sasa sijui ndo u-staa au nyodo au ulimbukeni.
@asimaismail55598 жыл бұрын
hiyo ndio taabu ya ally kiba
@scottstv23405 жыл бұрын
skuzote mtu wawatu anaejielewa huwa anaishi kwa samani alio pewa nawatu nasi kuwanza kufatiria watu nayeye ata broo miladi ayoo nazani ilo ana lielewa sarut kwako king kiba yooooo yebaba
@mattklaus88078 жыл бұрын
i dont know why some people call you "msanii mkubwa" you sing lika a lito child sing sunday school songz. NO OFFENCE.
@meshackmkaka44566 жыл бұрын
nakkbali sana brother ali kiba
@ladymaureen5088 жыл бұрын
nice interview Millard gud job.
@azizayassin36237 жыл бұрын
kwani ame kuwa mkongo man haaaahaaa kwan tutakuweke kwa chaiiiii
@kombatgamer48238 жыл бұрын
vipi
@Jaggmado2558 жыл бұрын
eh bana eeh ayo mapozi duh
@marciakassimkassim92758 жыл бұрын
Ali napenda sana nyimbo zako...tatizo unaniudhi nakitu kimoja....kila ninapo angalia intervew zako nà za daimond...mi naona we unakuza bifu...au unaubinafsi wa maendelo...coz ulikataa kufanya colabo na Chibu nyimbo yako sa single boy.ulidhan Chibu anatafuta umaruhufu kupitia nyimbo yako...pili juz Chibu alipo eka picha Za tifa....nawe ukamua kueka zako na zawanao...yaan nikama ulikua umkomoa chibu..unaeil we unaaza wakat si tulishaanza mda mrefu...sipoa akii...plz kuwe naushindano kwenye game na simambo ya kijingi...malizene tofaut zenu..nyiiye waislam..kunaleo na kesho....muislam akikasrikuana na mwezake kwamda wasku tatu..jina lake uandkwa kwa mlango wa moto...kaz kwenu....big up kiba....napenda nyimbo zako....
@lindadamiani74368 жыл бұрын
kiba anakukubali but siyo kwakauli ya sina time yakumpigia
@kelvinantonny34768 жыл бұрын
Hv we kiba umeifanyia nn bongo fleva mpaka unate kiasi hiko,, Alafu oohooo Diamond analinga,, huyu sasa Mr mashauzi ndo analinga,, kabisa kwenye media unasema eti nimeona missed call yake lkn sikuwa na muda wa kumpigia kweli afu unajiita msanii mkubwa,,,, you must learn something from others bro you are not big more than music industry Mr kiba,,,, jitahidi na wewe siku moja tukuone bet majungu majungu hayatakufikisha popote
@1salema18 жыл бұрын
jamaa anaringa kichizi.....
@fgjjgbnko43837 жыл бұрын
Kiba anaringa sana
@kinonative17528 жыл бұрын
sijawahi kuona msanii DUNIANI anafanya interview huku yupo busy na simu...
@RAVincentOfficial8 жыл бұрын
mbona milard ayo naye an simu ?
@samsonsesera89668 жыл бұрын
he who praises himself shall be humbled, and he who humbles himself shall be praised. kiba kazingua
@richkainga20046 жыл бұрын
Sana kiba mwanaaaaa
@justinkibonge84265 жыл бұрын
Mnamuonea kiba ndo ongea ake
@fatma24968 жыл бұрын
Mimi nampenda kiba ila ananiuzi maringo mengi. Punguza kunata unaboa
@williamsbonifasi5498 жыл бұрын
No kweli fatma apunguzeeee
@user-qo4st8tj5v7 жыл бұрын
Na mm nimo kwawenye kuku miss
@kadhijafarah24876 жыл бұрын
Fatma haboi anapendeza akiongea hivyo
@bahatimussacharlesmussango56786 жыл бұрын
Fatma WEWE humjui kiba ss Tuna mjua
@alainturatsinze33078 жыл бұрын
hey brother, honestly you are the best between singers that I know in this earth, but you are not strong enough in interviews because you always trying to put some words in English which is not a good place to do that... thanks bro
@agathakatondo46308 жыл бұрын
millard baba kiba ukimwita tena kwenye maojiano mwambie kweli anajiona sana nani anashida yakuona simu yake
@cheupegmailcomHhcheupe8 жыл бұрын
Agatha katondo umeona eeeeh
@mallibajuta54348 жыл бұрын
Nakukubali alikib
@masalaalwahaibi80937 жыл бұрын
John
@florencefredrick70994 жыл бұрын
Mfalme na lundi magoma mpya
@uncleatvonlinenew296 жыл бұрын
nakukubali
@victorjohn69298 жыл бұрын
kiba bisho sana unaleta utozi hadi kwa mashabiki mixer mapozi kibao afu kingine jaribu kutunga nyimbo nyepesi za kuka mdomoni, nyimbo zako zina mashairi magumu dah
@wilhardanthony73188 жыл бұрын
hahaa coment zinachekesha
@tandikafab8058 жыл бұрын
ukipendwa ringa hahahahaah ringa baba
@banzijunior28078 жыл бұрын
kiba unaringa sana kama kidoo mi sio team kiba tena mfyuuuu
@jeftajosiah406 жыл бұрын
Mnaosema kiba analinga kumanna zenu mnataka awake? Nakupenda kibaaaaaaa
@DavisTibbz8 жыл бұрын
mmmmmh.... jamani.
@shadowboy63144 жыл бұрын
Aliokuwa anaimbaa kama ww ni k 2ga
@hawahamisi62378 жыл бұрын
Ally kiba ww unaringa sana jaman daah punguza maringo unakua kama chipukz
@athumanifundi44888 жыл бұрын
Duuuh #Hawa
@hamadombeevents28698 жыл бұрын
kiukwel mtu mwenye hasiri ya roho mbaya awezi kufika mbali`ben pol mtu pouw xana kiba amezingua kashindwa kuukubal ukwel then akaleta chuki za chini chini
@MohamedAhmed-yn1lx8 жыл бұрын
Nishaangalia interview nyingi sana za kiba nimenotice hana people skills hajui kuinteract na watu hajui kujenga hoja na tone yake tuu utajua amekasirika na aweka sana vitu rohoni inshort siomtu poa
@allymwarabu59843 жыл бұрын
Kibawew nimkali
@furahaplatnumz_jr16938 жыл бұрын
kiba acha nyodo mziki wako mzuri nyodo duuuuh kumbuka haya maisha tu kuna leo kuna kesho jiangalie sana
@riscaoscar5217 жыл бұрын
huna
@cosmasmasawe98758 жыл бұрын
Nazani ni muda wa kujielewa kuwa yeye ni mssnii mkubwa Na watu wanashindwa kumuelewa kutokana na nyodo zakeeee Wenzake kama platnumz hana mambo hayooooo na wanampa sapot za kutosha nazani ni muda wa yeye ajirekebishe kwa nn yeye tu pia ajifunze kuongea na waandish waabari naamni #UTAMPENDA