INTERVIEW na Pastor Munishi,alichowalisha watu siku ya harusi yake/Gari alilopewa na Nabii Geordavie

  Рет қаралды 67,126

Pazia Tv

Pazia Tv

Күн бұрын

Live On Live na Mtumishi wa Mungu Muimbaji na Mchungaji Faustin Munishi Kutoka Nyumbani Kwake Kindi Muyuni,Kata Ya weruweru Mkoani Kilimanjaro,amefunguka Mengi kuhusu huduma na Maisha.
#LiveOnLive

Пікірлер: 121
@Steve-qf8he
@Steve-qf8he 6 ай бұрын
Ibarikiwe Kenya na uendelee kuwa kimbilio kwa majirani wetu,mipaka ni wazungu waliweka.Africa ni moja!
@josephonyango6290
@josephonyango6290 Ай бұрын
Munishi your very transparent,
@amukoyawycliffe-u2t
@amukoyawycliffe-u2t 19 күн бұрын
Ushauri wa busara saaaana Hakika vijana mkitoka kule mliko "Mkumbukeni nyumbani" Amen 🙏
@NicholasNgecu07
@NicholasNgecu07 Ай бұрын
Huu muda wote nilikuwa nkifikiri ni mkenya, ha. Nyimbo zako zilivuma tukiwa wana na tunazipenda hadi leo, Mungu akubariki Munishi.
@EdgarKimutai
@EdgarKimutai 7 ай бұрын
he is famous and loved here in kenya
@stanleyguthia7771
@stanleyguthia7771 7 ай бұрын
Munishi is a legendary gospel musician. God bless you munishi
@jeremymakokha4797
@jeremymakokha4797 4 ай бұрын
Napenda urafiki wa munishi na malebo
@crispinbisimwa7397
@crispinbisimwa7397 Жыл бұрын
A very humble man ❤ Stay abundantly blessed Pastor Faustin Munishi 🙏 Much love from USA 🇺🇸
@paulkazibacharles
@paulkazibacharles Жыл бұрын
Barikiwa sana, Mchungaji Munishi. Mimi ni shabiki yako hapa Jinja Uganda.
@West-moran
@West-moran Жыл бұрын
This guy is a legend, humble and on point. We get up listening to his music in kenya.
@totodavis1949
@totodavis1949 7 ай бұрын
My God bless mtimishi umewai numbea ukiwa Nairobi Kenya
@zytunaerude6938
@zytunaerude6938 7 ай бұрын
Mtumishi Munish ulibariki sana miaka mingi ,, pia naomba Mungu azidi kukubariki unapoendelea kutubariki much love 🎉❤❤
@Thevineyard9889
@Thevineyard9889 Жыл бұрын
He's a good man. Ni kweli zinazovuma mitaani ni kuwa Faustine Munishi alikimbilia Kenya kwa sababu ya wimbo wake wa "Mpende Adui yako" wakati wa utawala wa Benjamin Mkapa (1995 - 2005) na kutishiwa kushughulikiwa kwa sababu ya maudhui ya wimbo huo yaliyokuwa kama yanawananga watawala chini ya CCM by then na kuonekana wimbo umebeba dhana ya uchochezi na hivyo kukimbilia huko Kenya kuepuka shari hiyo. Hata hivyo Kila aliyekutwa anasikiliza wimbo huo alipata shida sana. Asante sana Mch Munishi Kwa ufafanuzi wako na kuliweka vizuri hilo
@AbigailGlory-p4k
@AbigailGlory-p4k 7 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi pamoja na wakenya waliokupokea na wakakutunza.
@HAGERIMANALANDRYLAZARE
@HAGERIMANALANDRYLAZARE Жыл бұрын
Big up mtunishi wa Mungu Munishi Faustin. Kipaji cako ca kuimba kilisaidiya ulimwengu kupitiya nyimbo zako nimebarikiwa sana kiroho! Mimi From Burundi
@JoaAndrea
@JoaAndrea 13 күн бұрын
Mungu akuzidishie mtumishi.....
@lucasshirima2880
@lucasshirima2880 7 ай бұрын
Interview nzuri sana... Hongera sana... Asante sana Pastor Munishi.
@joashjumbura9338
@joashjumbura9338 6 ай бұрын
Mch. Bado ungali Kijana, mibaraka ya Mungu izidi Kuwa nawe na familia yako
@chemotokaula-ew1zn
@chemotokaula-ew1zn 6 ай бұрын
Mtumishi Munishi my favourite together with mtumishi kyande.
@rosterfarijala2979
@rosterfarijala2979 Жыл бұрын
Hongera mtumishi MUNGU akubariki Kwa huduma unayoifanya.
@fredricksikukuu2743
@fredricksikukuu2743 6 ай бұрын
Baraka tele mtumishi wa mungu postine munishi ni mfano mema sana Sisi kama waimbaji
@johnnjoroge5511
@johnnjoroge5511 11 ай бұрын
May God bless you Askofu Munishi,,I hope one day I'll see you ...
@SALVATORYMLOKA
@SALVATORYMLOKA 7 ай бұрын
Hongera sana mchungaji Munishi umeifanya kazi kubwa sana ya injili kwa njia ya uimbaji, ombi langu utuwekee wimbo wa Paulo na Sila mtandaoni.
@lambertkasomo5520
@lambertkasomo5520 7 ай бұрын
Safi sana, ni ombi langu kwako Pazia tv, rudi tena kwa Bishop Faustin Munishi umuulize tutarajiye lini atatowa kigongo kipwa cha injili kama Paka akilia usiku wanadhani wamelogwa ao malebo ambayo ni Album ya injili ya 7 yake yeye Bishop F Munishi, tafadhali
@HAGERIMANALANDRYLAZARE
@HAGERIMANALANDRYLAZARE Жыл бұрын
Ombi langu kwa mtangazaji, naomba kesho uandae ingine emission Munishi akiwa pamoja na Malebo watupe ushuhuda wa Malebo
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 7 ай бұрын
Tayri malebo amehojiwa nae
@rutinginyaneysam.5087
@rutinginyaneysam.5087 Жыл бұрын
Jmn Mungu akupe maisha marefuuu, mi niliambiwa ushafark kumbe upo, Mungu akuinue zaid
@NjorogeGATEITEI
@NjorogeGATEITEI 7 ай бұрын
Munishi tumeishi naye sana hapo Nakuru langalanga when he had only 1 guitar, akiishi kwa one roomed house
@alicenizigiyimana-yd1xb
@alicenizigiyimana-yd1xb Жыл бұрын
Kwakweri nimependa sana nyimbo zako nimezisekiya mwaka waefumbiri nirikuwabado mudogo mbakasasa sijazicoka kwakweri nakupendasana
@MaryWuantet
@MaryWuantet Жыл бұрын
God bless you man of God..
@rebeccamukonyi3489
@rebeccamukonyi3489 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 Mungu akulinde sana katika maisha mungu akuinue sana.
@hellenkathambi8694
@hellenkathambi8694 3 ай бұрын
L love this man of God very much
@yeirikitholebonny4322
@yeirikitholebonny4322 7 ай бұрын
Hujamtaja malebo bana.. Nilifurahia sana mahojiano ya Malebo
@barakakusa7606
@barakakusa7606 7 ай бұрын
Amemtaja fuatilia vizuri
@JoaAndrea
@JoaAndrea 13 күн бұрын
Napenda your friendship na Mr malebo.
@shikumwithiga3252
@shikumwithiga3252 6 ай бұрын
Munishi is a kenyan legend we stil love him💝💖
@gadielshedaffa3333
@gadielshedaffa3333 7 ай бұрын
Pazia mdogo wangu uko vizuri sana chapa kazi utafika mbali
@febroniamsoma178
@febroniamsoma178 Жыл бұрын
Home sweet home, Kindi Muyuni nyumbani kwa bibiyangu kipenzi Mkarusa Mucho love
@silashemed4849
@silashemed4849 7 ай бұрын
hii idia ilikuwa vizur,sana, sidhan kwamba kwa sasa sidhan kwa kwa vijana wa sasa wanaweza, Full bigjee
@pastorlazarosamwelkilala5795
@pastorlazarosamwelkilala5795 6 ай бұрын
Ahsante sana kwa mahojiano na Munishi nime barikiwa
@josenawade
@josenawade Жыл бұрын
The legend himself..salute mkuu
@reubesfinest8252
@reubesfinest8252 6 ай бұрын
Munishi is legendary till date
@stellakathure4382
@stellakathure4382 Жыл бұрын
Wonderfull
@davidosaune
@davidosaune 5 ай бұрын
Asante sana ndugu mungu akubariki
@kwayugeneral2192
@kwayugeneral2192 7 ай бұрын
munishi is legand
@danstonecool1734
@danstonecool1734 10 ай бұрын
anapenda kenya
@G.S985
@G.S985 Жыл бұрын
Mchungaji Munishi naomba alie na number yake anipe Mungu awabariki sana,Munishi nampenda tangu mwaka 1992.
@bennagemeestate820
@bennagemeestate820 7 ай бұрын
Nina ya kenya na tz unataka ipi
@G.S985
@G.S985 7 ай бұрын
@@bennagemeestate820 nipe zote asante,anapenda kutumia ipi.
@MpajiAlisoni
@MpajiAlisoni 6 ай бұрын
Mzee munishi na mzee malebo niwa cheshi sana
@BensonMpomo
@BensonMpomo 5 ай бұрын
mungu aendelee kukubaliki
@frozianyamunga
@frozianyamunga 6 ай бұрын
we ❤❤ you munishi
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 7 ай бұрын
Wachaga na Wahaya wako sawa,kuwapelekea injiri ya wokovu kuna kuwa na upinzani sababu ya mapokeo lakini hakuna lisilowezekana kwa Mungu neema yake ina nguvu wanapokea taratihu🙏
@AdrianMallya-l4h
@AdrianMallya-l4h 6 ай бұрын
Kweli kabisa..mimi nimeokoka naonakana kituko sana kwa ndg lkn kusema ukweli nina amani kupita maelezo na ni tofauti na nikiwa sijaokoka
@simonzakaria4770
@simonzakaria4770 8 ай бұрын
Nimeipenda sana hii
@BensonMpomo
@BensonMpomo 5 ай бұрын
apa ndo naona kua ukimkabizi mungu maisha Yako kumbe huzeeki yani usivute sgr Wala bangi usinywe pombe Wala kutumia kileo chochote kile huzeeki
@arnoldvictor8763
@arnoldvictor8763 Жыл бұрын
Rafiki yangu Munishi, hili hapa andiko linalokataza kujichora tatoo: Mambo ya Walawi 19:28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana. Ye shall not make any cuttings in your flesh for the dead, nor print any marks upon you: I am the LORD.
@carolyneogutu6489
@carolyneogutu6489 7 ай бұрын
Ameeen. Even Leviticus 19
@felixmakinda7689
@felixmakinda7689 7 ай бұрын
Siku moja nitambariki mtumishi na vyombo vya kueneza injili. Ametukuza huku kwetu Kenya tangu nikiwa mtoto. Sasa nimefika 30*.
@deogratiusmfoy1989
@deogratiusmfoy1989 6 ай бұрын
Tuungane pamoja ...Mimi nami nipo tayari kumchangia mtumishi. Pia nyumbani ni kindi karibu na kwa pastor
@felixmakinda7689
@felixmakinda7689 6 ай бұрын
@@deogratiusmfoy1989 Baas! Kwanza Mimi hupenda Sana kutembea Arusha na Moshi nikichoka huku Nairobi, naweka gari mafuta, nabeba tarakilishi yangu, nafunga safari.
@ChumanaSusi
@ChumanaSusi 7 ай бұрын
Nilipenda nyimbo za Munishi sana maka za1988 🇰🇪. Lakini Munishi siunajua wewe ni wetu hapa kenya maana tayari tumesha kupatia citizenship ya kuwa mkenya na hapo uko ni territory yetu maana wewe ni wetu.
@mutuastancilous8149
@mutuastancilous8149 6 ай бұрын
Na hazeeki buana
@anthony_genge
@anthony_genge Ай бұрын
nmependa hpo kwenye V.O.K K.B.C RTD TBC
@mwakalukitiro8220
@mwakalukitiro8220 Жыл бұрын
Japo Kenya inamapungufu yake lakini Kenya ni mama wa inchi nyingi sana
@felixmakinda7689
@felixmakinda7689 7 ай бұрын
Nakubaliana Sana na wewe. Kenya humpa fursa kila mtu kujiendeleza. Watanzania, Wanyarwanda, Warundi, Wasudani, Wahabeshi, na Wasomali wamejijenga Sana huku. Sijaona Waganda kwa wingi.
@jesaminzo
@jesaminzo 7 ай бұрын
Nakubaliana nawe. HataTundu Lissu magaidi walipotaka kumuua waKenya ndiyo walikuwa wa kwanza kupigania uhai wake. Mungu awabariki waKenya wote na nchi yà Kenya kwa ujumla
@kevoalwodo5655
@kevoalwodo5655 7 ай бұрын
@JosephKaka-s4k
@JosephKaka-s4k 7 ай бұрын
Me mwenyew naikubali sana by josee from tz arusha
@mosesayiera3049
@mosesayiera3049 7 ай бұрын
Kenya hakuna matata
@faithundisa4268
@faithundisa4268 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂dreams come true big G .. ilikua Raha
@nationstartv1767
@nationstartv1767 8 ай бұрын
😂😂😂😂....Munishi ukalisha watu Big-G jameni
@JacintaMaiyu-ed2mh
@JacintaMaiyu-ed2mh 2 ай бұрын
Pastor Munishi
@mdemualphonce1559
@mdemualphonce1559 Жыл бұрын
Mnishi andiko linasema mungu anaitwa baba pia adamu ni mfano kulikoni unasema Hana mfano
@stellakathure4382
@stellakathure4382 Жыл бұрын
Am sorry plz, to ask
@AgnessSimkoko-ym1xj
@AgnessSimkoko-ym1xj 11 ай бұрын
Jamani mbona Marebo hajasikika hata neno moja
@deogratiusmfoy1989
@deogratiusmfoy1989 6 ай бұрын
Malebo yupo Kuna interview yake
@johnsonngaiza7796
@johnsonngaiza7796 6 ай бұрын
Akili kubwa 😂
@jackyjacky5966
@jackyjacky5966 Жыл бұрын
Hayia Ni my Tanzania nilidhani Ni mkenya
@ChumanaSusi
@ChumanaSusi 7 ай бұрын
Tulimpatia citizenship kenya akakuwa .🇰🇪
@omarmutta4999
@omarmutta4999 5 ай бұрын
Munish Ni Zaidi Mkenya kuliko Mtanzania.
@hassanadam2708
@hassanadam2708 7 ай бұрын
Akili ni nywele
@DavidMalimbegu-dq8tp
@DavidMalimbegu-dq8tp 7 ай бұрын
Mi napenda uimbaji wa mnishi, sikuyajua kama ndivyo yalivyo mpaka roho alivyo nionyesha shetani anavyo jigeuza
@AdrianMallya-l4h
@AdrianMallya-l4h 6 ай бұрын
Munishi aisee tuombe radhi ati "lusamira mali ta wandu ro sheee"😂😂😂
@nicholasnjoroge-gh6ne
@nicholasnjoroge-gh6ne Жыл бұрын
kuna wachaga central ama ni wakikuyu kilimanjaro?
@AdrianMallya-l4h
@AdrianMallya-l4h 6 ай бұрын
Kiukweli wakibosho kwa asili ni wakikuyu na masai
@elijahm.muthini
@elijahm.muthini 7 ай бұрын
Kwanini monish hafanyangi interviews na vile ukuwa na ushuhuda mzuri
@jepibier
@jepibier 2 ай бұрын
Je kuna mwingiliano wowote ule la Wachagga na waNgoni
@Realmakos
@Realmakos 7 ай бұрын
Even in the next life Tanzania tutaishinda kimaendeleo
@Bitlontravels555
@Bitlontravels555 Ай бұрын
Bubblish jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Munishi kiboko
@bernardmbogo2166
@bernardmbogo2166 7 ай бұрын
Makao yake rasmi ni Ngong kajiado County,ya Tanzania ni ziara tu Aiseee....
@emmanuelisanda1449
@emmanuelisanda1449 6 ай бұрын
Matasia 😂
@enoskipkorir4318
@enoskipkorir4318 5 ай бұрын
Kindi muyuni ni jina tamu lakini.
@hellenkathambi8694
@hellenkathambi8694 3 ай бұрын
Huyu ndiye Malebo hahahahhaha
@dnnyChris
@dnnyChris Жыл бұрын
Si tumesikiya kama amefariki miyake kazaa iliyo pita
@StacusMkama-kz1ht
@StacusMkama-kz1ht 7 ай бұрын
Namuona malebo apo 😂😁
@HappynesSimon
@HappynesSimon 6 ай бұрын
Jaman mm nilikua naupenda wimbo wako wa yesu ni mambo yote ndani ya yote ukimpata yeye umepata vyote babaangu alikua akiniwekea nikiwa mdg mpk leo
@murenzijeanbosco3887
@murenzijeanbosco3887 Жыл бұрын
Maneno uliyo yatangaza tafadhali soma mwenyewe kisha uombe msamaha
@ezrawafula9416
@ezrawafula9416 4 ай бұрын
Utakuja Bungoma lini
@delvancejillo2418
@delvancejillo2418 6 ай бұрын
Watanzania mpo kenya ni nchi babu kubwa😂
@musaliaeugene7975
@musaliaeugene7975 Жыл бұрын
Huyu mtumishi hazeeki yupo vile vile
@andreaotaigo40
@andreaotaigo40 Жыл бұрын
Ukiwa ndani ya Yesu kikamilifu kuzeeka utaskilizia kwa jirani yako kwa yesu raha
@johnambrose7223
@johnambrose7223 7 ай бұрын
Hivi munishi ni mtanzania kumbe mi nilijua ni mkenya
@ChumanaSusi
@ChumanaSusi 7 ай бұрын
Tayari ni mkenya maana kapewa citizenship nahapo yuko ni territory ya kenya maana ni wetu
@stanleyguthia7771
@stanleyguthia7771 7 ай бұрын
Ni mkenya aliyezaliwa Tanzania
@elijahnjuguna8634
@elijahnjuguna8634 7 ай бұрын
alikua mchoyo zaidi
@JacklineUronu
@JacklineUronu Жыл бұрын
😂😂😂 wee big G
@MaryCaroly-zl1ei
@MaryCaroly-zl1ei 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🙏✌️👊.
@dyoa6987
@dyoa6987 7 ай бұрын
Umeshasena mwenyewe kuwa wachaga Tayari wanadini zao, na ndio injili yenyewe unatakaje kulazimisha kwamba hizo za kwenu ndio sahihi zaidi, Kwani nyie ni akina nani kwa dini zilizoinjilishwa karne na karne? Mimi nakuelewa sana but Kauli hii sio
@YustoMlay-is8ed
@YustoMlay-is8ed Жыл бұрын
Eti munishi ulikuwa jambazi kabla ya kuokoka?
@thetwonotoriousboys6799
@thetwonotoriousboys6799 9 ай бұрын
Labda wewe
@usrahismail3196
@usrahismail3196 7 ай бұрын
Amekwambia mchaga anachukuwa na kukuwekea vizuri kukihamisha
@judicalosika7642
@judicalosika7642 7 ай бұрын
​@@usrahismail3196🤣🤣🤣🤣
@kadoaugust6497
@kadoaugust6497 6 ай бұрын
Hakuwa jambazi mimi nimesoma shule moja naye Kindi Juu Kibosho
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 Жыл бұрын
Mimi ni shabiki wako sana, Kuna nyumbo zako za nyuma kabisa nazitafuta, Nisaidie majina yake na mahali pakuzipata!
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 4,1 МЛН
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 13 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
Synyptas 4 | Жігіттер сынып қалды| 3 Bolim
19:27
kak budto
Рет қаралды 1,1 МЛН
MCH. HANANJA AMUUMBUA KIBOKO YA WACHAWI NA WACHUNGAJI WA MAFUTA YA UPAKO
24:52
SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Рет қаралды 17 М.
Hasala za moto kichaa
20:21
Mhehe tv
Рет қаралды 30
NINI KINATOKEA MTU ANAPOAMUA KUOKOKA 1 - Pastor Carlos Kirimbai
31:02
Carlos Kirimbai
Рет қаралды 2,8 М.
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 4,1 МЛН