Live On Live na Mtumishi wa Mungu Muimbaji na Mchungaji Faustin Munishi Kutoka Nyumbani Kwake Kindi Muyuni,Kata Ya weruweru Mkoani Kilimanjaro,amefunguka Mengi kuhusu huduma na Maisha. #LiveOnLive
Пікірлер: 121
@Steve-qf8he6 ай бұрын
Ibarikiwe Kenya na uendelee kuwa kimbilio kwa majirani wetu,mipaka ni wazungu waliweka.Africa ni moja!
This guy is a legend, humble and on point. We get up listening to his music in kenya.
@totodavis19497 ай бұрын
My God bless mtimishi umewai numbea ukiwa Nairobi Kenya
@zytunaerude69387 ай бұрын
Mtumishi Munish ulibariki sana miaka mingi ,, pia naomba Mungu azidi kukubariki unapoendelea kutubariki much love 🎉❤❤
@Thevineyard9889 Жыл бұрын
He's a good man. Ni kweli zinazovuma mitaani ni kuwa Faustine Munishi alikimbilia Kenya kwa sababu ya wimbo wake wa "Mpende Adui yako" wakati wa utawala wa Benjamin Mkapa (1995 - 2005) na kutishiwa kushughulikiwa kwa sababu ya maudhui ya wimbo huo yaliyokuwa kama yanawananga watawala chini ya CCM by then na kuonekana wimbo umebeba dhana ya uchochezi na hivyo kukimbilia huko Kenya kuepuka shari hiyo. Hata hivyo Kila aliyekutwa anasikiliza wimbo huo alipata shida sana. Asante sana Mch Munishi Kwa ufafanuzi wako na kuliweka vizuri hilo
@AbigailGlory-p4k7 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi pamoja na wakenya waliokupokea na wakakutunza.
@HAGERIMANALANDRYLAZARE Жыл бұрын
Big up mtunishi wa Mungu Munishi Faustin. Kipaji cako ca kuimba kilisaidiya ulimwengu kupitiya nyimbo zako nimebarikiwa sana kiroho! Mimi From Burundi
@JoaAndrea13 күн бұрын
Mungu akuzidishie mtumishi.....
@lucasshirima28807 ай бұрын
Interview nzuri sana... Hongera sana... Asante sana Pastor Munishi.
@joashjumbura93386 ай бұрын
Mch. Bado ungali Kijana, mibaraka ya Mungu izidi Kuwa nawe na familia yako
@chemotokaula-ew1zn6 ай бұрын
Mtumishi Munishi my favourite together with mtumishi kyande.
@rosterfarijala2979 Жыл бұрын
Hongera mtumishi MUNGU akubariki Kwa huduma unayoifanya.
@fredricksikukuu27436 ай бұрын
Baraka tele mtumishi wa mungu postine munishi ni mfano mema sana Sisi kama waimbaji
@johnnjoroge551111 ай бұрын
May God bless you Askofu Munishi,,I hope one day I'll see you ...
@SALVATORYMLOKA7 ай бұрын
Hongera sana mchungaji Munishi umeifanya kazi kubwa sana ya injili kwa njia ya uimbaji, ombi langu utuwekee wimbo wa Paulo na Sila mtandaoni.
@lambertkasomo55207 ай бұрын
Safi sana, ni ombi langu kwako Pazia tv, rudi tena kwa Bishop Faustin Munishi umuulize tutarajiye lini atatowa kigongo kipwa cha injili kama Paka akilia usiku wanadhani wamelogwa ao malebo ambayo ni Album ya injili ya 7 yake yeye Bishop F Munishi, tafadhali
@HAGERIMANALANDRYLAZARE Жыл бұрын
Ombi langu kwa mtangazaji, naomba kesho uandae ingine emission Munishi akiwa pamoja na Malebo watupe ushuhuda wa Malebo
@hellendaniel38097 ай бұрын
Tayri malebo amehojiwa nae
@rutinginyaneysam.5087 Жыл бұрын
Jmn Mungu akupe maisha marefuuu, mi niliambiwa ushafark kumbe upo, Mungu akuinue zaid
@NjorogeGATEITEI7 ай бұрын
Munishi tumeishi naye sana hapo Nakuru langalanga when he had only 1 guitar, akiishi kwa one roomed house
@alicenizigiyimana-yd1xb Жыл бұрын
Kwakweri nimependa sana nyimbo zako nimezisekiya mwaka waefumbiri nirikuwabado mudogo mbakasasa sijazicoka kwakweri nakupendasana
@MaryWuantet Жыл бұрын
God bless you man of God..
@rebeccamukonyi3489 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 Mungu akulinde sana katika maisha mungu akuinue sana.
@hellenkathambi86943 ай бұрын
L love this man of God very much
@yeirikitholebonny43227 ай бұрын
Hujamtaja malebo bana.. Nilifurahia sana mahojiano ya Malebo
@barakakusa76067 ай бұрын
Amemtaja fuatilia vizuri
@JoaAndrea13 күн бұрын
Napenda your friendship na Mr malebo.
@shikumwithiga32526 ай бұрын
Munishi is a kenyan legend we stil love him💝💖
@gadielshedaffa33337 ай бұрын
Pazia mdogo wangu uko vizuri sana chapa kazi utafika mbali
@febroniamsoma178 Жыл бұрын
Home sweet home, Kindi Muyuni nyumbani kwa bibiyangu kipenzi Mkarusa Mucho love
@silashemed48497 ай бұрын
hii idia ilikuwa vizur,sana, sidhan kwamba kwa sasa sidhan kwa kwa vijana wa sasa wanaweza, Full bigjee
@pastorlazarosamwelkilala57956 ай бұрын
Ahsante sana kwa mahojiano na Munishi nime barikiwa
@josenawade Жыл бұрын
The legend himself..salute mkuu
@reubesfinest82526 ай бұрын
Munishi is legendary till date
@stellakathure4382 Жыл бұрын
Wonderfull
@davidosaune5 ай бұрын
Asante sana ndugu mungu akubariki
@kwayugeneral21927 ай бұрын
munishi is legand
@danstonecool173410 ай бұрын
anapenda kenya
@G.S985 Жыл бұрын
Mchungaji Munishi naomba alie na number yake anipe Mungu awabariki sana,Munishi nampenda tangu mwaka 1992.
@bennagemeestate8207 ай бұрын
Nina ya kenya na tz unataka ipi
@G.S9857 ай бұрын
@@bennagemeestate820 nipe zote asante,anapenda kutumia ipi.
@MpajiAlisoni6 ай бұрын
Mzee munishi na mzee malebo niwa cheshi sana
@BensonMpomo5 ай бұрын
mungu aendelee kukubaliki
@frozianyamunga6 ай бұрын
we ❤❤ you munishi
@jescarwegoshola17547 ай бұрын
Wachaga na Wahaya wako sawa,kuwapelekea injiri ya wokovu kuna kuwa na upinzani sababu ya mapokeo lakini hakuna lisilowezekana kwa Mungu neema yake ina nguvu wanapokea taratihu🙏
@AdrianMallya-l4h6 ай бұрын
Kweli kabisa..mimi nimeokoka naonakana kituko sana kwa ndg lkn kusema ukweli nina amani kupita maelezo na ni tofauti na nikiwa sijaokoka
@simonzakaria47708 ай бұрын
Nimeipenda sana hii
@BensonMpomo5 ай бұрын
apa ndo naona kua ukimkabizi mungu maisha Yako kumbe huzeeki yani usivute sgr Wala bangi usinywe pombe Wala kutumia kileo chochote kile huzeeki
@arnoldvictor8763 Жыл бұрын
Rafiki yangu Munishi, hili hapa andiko linalokataza kujichora tatoo: Mambo ya Walawi 19:28 Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana. Ye shall not make any cuttings in your flesh for the dead, nor print any marks upon you: I am the LORD.
@carolyneogutu64897 ай бұрын
Ameeen. Even Leviticus 19
@felixmakinda76897 ай бұрын
Siku moja nitambariki mtumishi na vyombo vya kueneza injili. Ametukuza huku kwetu Kenya tangu nikiwa mtoto. Sasa nimefika 30*.
@deogratiusmfoy19896 ай бұрын
Tuungane pamoja ...Mimi nami nipo tayari kumchangia mtumishi. Pia nyumbani ni kindi karibu na kwa pastor
@felixmakinda76896 ай бұрын
@@deogratiusmfoy1989 Baas! Kwanza Mimi hupenda Sana kutembea Arusha na Moshi nikichoka huku Nairobi, naweka gari mafuta, nabeba tarakilishi yangu, nafunga safari.
@ChumanaSusi7 ай бұрын
Nilipenda nyimbo za Munishi sana maka za1988 🇰🇪. Lakini Munishi siunajua wewe ni wetu hapa kenya maana tayari tumesha kupatia citizenship ya kuwa mkenya na hapo uko ni territory yetu maana wewe ni wetu.
@mutuastancilous81496 ай бұрын
Na hazeeki buana
@anthony_gengeАй бұрын
nmependa hpo kwenye V.O.K K.B.C RTD TBC
@mwakalukitiro8220 Жыл бұрын
Japo Kenya inamapungufu yake lakini Kenya ni mama wa inchi nyingi sana
@felixmakinda76897 ай бұрын
Nakubaliana Sana na wewe. Kenya humpa fursa kila mtu kujiendeleza. Watanzania, Wanyarwanda, Warundi, Wasudani, Wahabeshi, na Wasomali wamejijenga Sana huku. Sijaona Waganda kwa wingi.
@jesaminzo7 ай бұрын
Nakubaliana nawe. HataTundu Lissu magaidi walipotaka kumuua waKenya ndiyo walikuwa wa kwanza kupigania uhai wake. Mungu awabariki waKenya wote na nchi yà Kenya kwa ujumla
@kevoalwodo56557 ай бұрын
@JosephKaka-s4k7 ай бұрын
Me mwenyew naikubali sana by josee from tz arusha
@mosesayiera30497 ай бұрын
Kenya hakuna matata
@faithundisa4268 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂dreams come true big G .. ilikua Raha
@nationstartv17678 ай бұрын
😂😂😂😂....Munishi ukalisha watu Big-G jameni
@JacintaMaiyu-ed2mh2 ай бұрын
Pastor Munishi
@mdemualphonce1559 Жыл бұрын
Mnishi andiko linasema mungu anaitwa baba pia adamu ni mfano kulikoni unasema Hana mfano
@stellakathure4382 Жыл бұрын
Am sorry plz, to ask
@AgnessSimkoko-ym1xj11 ай бұрын
Jamani mbona Marebo hajasikika hata neno moja
@deogratiusmfoy19896 ай бұрын
Malebo yupo Kuna interview yake
@johnsonngaiza77966 ай бұрын
Akili kubwa 😂
@jackyjacky5966 Жыл бұрын
Hayia Ni my Tanzania nilidhani Ni mkenya
@ChumanaSusi7 ай бұрын
Tulimpatia citizenship kenya akakuwa .🇰🇪
@omarmutta49995 ай бұрын
Munish Ni Zaidi Mkenya kuliko Mtanzania.
@hassanadam27087 ай бұрын
Akili ni nywele
@DavidMalimbegu-dq8tp7 ай бұрын
Mi napenda uimbaji wa mnishi, sikuyajua kama ndivyo yalivyo mpaka roho alivyo nionyesha shetani anavyo jigeuza
@AdrianMallya-l4h6 ай бұрын
Munishi aisee tuombe radhi ati "lusamira mali ta wandu ro sheee"😂😂😂
@nicholasnjoroge-gh6ne Жыл бұрын
kuna wachaga central ama ni wakikuyu kilimanjaro?
@AdrianMallya-l4h6 ай бұрын
Kiukweli wakibosho kwa asili ni wakikuyu na masai
@elijahm.muthini7 ай бұрын
Kwanini monish hafanyangi interviews na vile ukuwa na ushuhuda mzuri
@jepibier2 ай бұрын
Je kuna mwingiliano wowote ule la Wachagga na waNgoni
@Realmakos7 ай бұрын
Even in the next life Tanzania tutaishinda kimaendeleo
@Bitlontravels555Ай бұрын
Bubblish jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Munishi kiboko
@bernardmbogo21667 ай бұрын
Makao yake rasmi ni Ngong kajiado County,ya Tanzania ni ziara tu Aiseee....
@emmanuelisanda14496 ай бұрын
Matasia 😂
@enoskipkorir43185 ай бұрын
Kindi muyuni ni jina tamu lakini.
@hellenkathambi86943 ай бұрын
Huyu ndiye Malebo hahahahhaha
@dnnyChris Жыл бұрын
Si tumesikiya kama amefariki miyake kazaa iliyo pita
@StacusMkama-kz1ht7 ай бұрын
Namuona malebo apo 😂😁
@HappynesSimon6 ай бұрын
Jaman mm nilikua naupenda wimbo wako wa yesu ni mambo yote ndani ya yote ukimpata yeye umepata vyote babaangu alikua akiniwekea nikiwa mdg mpk leo
Ukiwa ndani ya Yesu kikamilifu kuzeeka utaskilizia kwa jirani yako kwa yesu raha
@johnambrose72237 ай бұрын
Hivi munishi ni mtanzania kumbe mi nilijua ni mkenya
@ChumanaSusi7 ай бұрын
Tayari ni mkenya maana kapewa citizenship nahapo yuko ni territory ya kenya maana ni wetu
@stanleyguthia77717 ай бұрын
Ni mkenya aliyezaliwa Tanzania
@elijahnjuguna86347 ай бұрын
alikua mchoyo zaidi
@JacklineUronu Жыл бұрын
😂😂😂 wee big G
@MaryCaroly-zl1ei7 ай бұрын
😂😂😂😂
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🙏✌️👊.
@dyoa69877 ай бұрын
Umeshasena mwenyewe kuwa wachaga Tayari wanadini zao, na ndio injili yenyewe unatakaje kulazimisha kwamba hizo za kwenu ndio sahihi zaidi, Kwani nyie ni akina nani kwa dini zilizoinjilishwa karne na karne? Mimi nakuelewa sana but Kauli hii sio
@YustoMlay-is8ed Жыл бұрын
Eti munishi ulikuwa jambazi kabla ya kuokoka?
@thetwonotoriousboys67999 ай бұрын
Labda wewe
@usrahismail31967 ай бұрын
Amekwambia mchaga anachukuwa na kukuwekea vizuri kukihamisha
@judicalosika76427 ай бұрын
@@usrahismail3196🤣🤣🤣🤣
@kadoaugust64976 ай бұрын
Hakuwa jambazi mimi nimesoma shule moja naye Kindi Juu Kibosho
@danieljoseph1610 Жыл бұрын
Mimi ni shabiki wako sana, Kuna nyumbo zako za nyuma kabisa nazitafuta, Nisaidie majina yake na mahali pakuzipata!