Mama thamani yako naijuwa mimi namuomba Allah hazidi kutuweka salama hapa duniani ili uje uione thamani yangu na mie naandika huu ujumbe kwa hisia Kali moyoni kwakuwa uko mbali na mie nakupenda mama "I will love my mummy than my son"
@halima90615 жыл бұрын
kwakweli inauma
@maryamhamisi42574 жыл бұрын
Wewe naipenda sana ahaha hahaha wape
@sudisudick78864 жыл бұрын
Asante na nimekuelewa musa
@salamamohammed54463 жыл бұрын
Da tuko wengi tuko mbali s na mm zetu
@happinessmwidini89923 жыл бұрын
Best naso
@rahmarogath40672 жыл бұрын
Jamani nikiskiliza wimbo huu machozi yanatoka😭😭😭😭😭
@MudMuho-zo9do9 ай бұрын
Pole sana jamani
@shadyjuma76884 жыл бұрын
Innalillah wainaillah rajuin Allah akulaze pahla pema Pepon na akupe mwanga na nuru akupe mwanga wa milele 😫😫😫😫😫😥😥mbele y2 nyuma yako mama angu daaah dunia hii jmn
@alfredycheyo88476 жыл бұрын
Mama nipe radhi,kuishi na watu ni kazi inahitaji ujuzi !!
@chabbybae92946 жыл бұрын
Nice song
@hajiurassa37906 жыл бұрын
Masungwa Masungwa sister upo vzr xana umeniburudisha xan pia umenikumbuxha mbal xan
@khadijatwahir97435 жыл бұрын
Penda sana mama yangu sema mungu kampenda zaid penda isha
@bintisalumubintisalumu54825 жыл бұрын
Mamanipe
@alfredycheyo88475 жыл бұрын
*Insha Allah, kwake M/Mungu asiyekosa kwake ndio marejeo yeke*
@halimamohammedy92475 жыл бұрын
Napata shida sana natamani kukurudisha mama angu ila mungu kakupenda zaidi yangu pumzika kwa amani tu mama angu
@mohammedkijimbu40515 жыл бұрын
Mungu amlaze mahali pema
@sudisudick78863 жыл бұрын
Pole Sana ndgu yang u🤔🤔🤔
@shukurumavumila16843 жыл бұрын
Pole sana
@salamamohammed54463 жыл бұрын
Pole my
@barakambogera16675 жыл бұрын
Pole Sana na KUFIWA na mama yako mzazi Bi rukia juma hakika apumzike KWA AMANI :"""!:""
@halimakombe47342 жыл бұрын
Ahsante mama kwakunileta duniani mama yangu ndonguzo yangu
@vuzoblog22306 жыл бұрын
Hakuna kama mama, safi sana
@najmamichael22085 жыл бұрын
Nakupenda san mama angu bi khadija mungu akupe maisha marefu ya kuishi hapa duniani kweli kuishi na watu kazi
@babat52723 жыл бұрын
nakupenda sana mama yangu. wee mwenyezi. Mungu nakuomba unitunzie mama yangu. Umzidishie afya njema aishi miaka 1000
@bahatimwasaghwile8336 Жыл бұрын
Nakupenda mama angu
@geonycoutinho50555 жыл бұрын
Hii nyimbo nzuri sana nakupenda sana mama ang kipenz mungu
@aishambise88354 жыл бұрын
R l P mama yangu uliko mungu akuodolee Adhabu ya kaburi
@kokujohn22202 жыл бұрын
No kwer msera wangu
@neemaiddy37505 жыл бұрын
Mama angu popote ulipo nakupenda sana umetulea kwashida mpaka tumekuwa wakubwa Mungu akutunze mama angu,,
@zainabg1309 Жыл бұрын
💥💥💥
@fatmanassib28236 жыл бұрын
Mama nipe radhi.. Love u isha Ramadhan. Mashauzi iko yu
@abbassuleh99205 жыл бұрын
Nakupenda sana mamangu,bila wewe sipati Rana duniani
@mudrickabdallah84964 жыл бұрын
Akuna kama mama nampenda sana mama yangu mungu ampe kauli thabit uko alipo
@allyduwa99144 жыл бұрын
Mbele yako mama yangu mzazi bi fatuma daimu nakukumbuka sana mama yangu umeondoka kwenye uso huu wa dunia mwanao uliniacha bado mdogo cjaanza kujitemea ujawai kula hata mia kma kifuta mgongo chako kwa yale uliyonifundisha jinsi ya kuishi na wanazengo waja wasiokuwa na haya wala vibaya
@mariajoseph53473 жыл бұрын
Wanano itazama 2020 gonga like Kwel kuishi na watu kazi
@fatmachambotanzania93795 жыл бұрын
R.I.P mama Rukia yaan kwa haya nnayopitia haukukosea kuishi na watu kazi sana tena kazi mzito kila ufanyalo kwao ni baya tu
@aishaanthony45083 жыл бұрын
Pole kipezi
@getrudemauya82987 жыл бұрын
Mama umenivumilia mengi nakupenda sana,big up sis Isha utunzi mzuri
@mohammedfundi5456 жыл бұрын
Namkubali mashauzi ,nimekua sasa nimeona kazi ya mamangu alioipitia.ewe mola msamehe madhambi yake aliyoyatanguliza na yajayo amin
@ba32069 жыл бұрын
Unaweza ukadhania wana act kumbe ni kweli ni mama na mwanae...mama anaonekana mdogo sana....I love Isha...hasa mashauzi yako
@abbyk_lymo40536 жыл бұрын
sijajua kama ni mtu na mama ake kabsaa. aisee safi sana hii nyimbo haiish utamu
@pantamagonga91324 жыл бұрын
Penda sana aise inanikumbusha Mbali mno
@leilashaban35195 жыл бұрын
Gonga like kama unamkubali mashauz class
@ashamwandu65723 жыл бұрын
Tuwapende I Mama zetu,haijarishi ,wanepitia nahumu mengi kutukuza , allah awafanyie wepesi inshallah,na waliotangulia basi mwenyezimungu awape kauli thabiti inshallah.kina Mama wate ni masuper woman's
@annamaokola8075 жыл бұрын
Kwa kweli hakuna kama mama!!!mama nipe radhi kuishi na watu kazi,,, song litadumu miaka kama yote!big up ISHA
@ngomangoma8629 Жыл бұрын
Llooop
@biasha5414 Жыл бұрын
Nape da Sana hii taarab
@jumaayubu30486 жыл бұрын
Napenda xna hii Taraabu na ntaipenda daima
@farajisureman99254 жыл бұрын
Hii imetulia kuna mzigo wa Mossi sasa ukikaa na huu
@rosemarybenjamin43336 жыл бұрын
Ujumbe mzur nimeipenda asanten kina Mama
@nusurakaoneka52814 жыл бұрын
Nani Kama mama
@gastonngedenokm84784 жыл бұрын
Kuishi kwingi kuona mengi mungu mjaalie huyu mwana sanaa
@rosemarymathias49383 жыл бұрын
Hakuna kama mama.
@ashiraali39547 жыл бұрын
nice sanaaa hakuna kama mamaaaaaaa
@annasimon1783 жыл бұрын
Waooo dada angu mie msoma hakuna mchovu akiwa mchovu uyo kachanganya Asante sn
@abasisalum96914 жыл бұрын
RIP MAMA 😭😭😭 HII DUNIA TUNAPITA DAH 2019 LIKE APA
@abasomary71224 жыл бұрын
Wimbo huu na maneno yake yatadumu milele hakuna wa kuushusha Mama ni mama tuu hata awe kichaa hakuna kama mama .Kila kitu kwenye wimbo huu kinetulia na umeimbwa kwa ubunifu sana Hongera sana Aisha na Hongereni sana wote mlioitwa MAMA kwani hakuna kopy ya mama .Mama atabakia kuwa mama tuu
@princessfettyrashidi24094 жыл бұрын
MUNGU msamehe MAMA yangu makosa yake😭😭😭😭😭 pumzika MAMA yangu one day tutaonana
@salimasalim7796 Жыл бұрын
Pole my yn m nikion Mt anmama bs naumia lkn ndo ivyo TN y mung meng
@daveme9180 Жыл бұрын
Amina
@wilisonmbwambo71105 жыл бұрын
nimekumbuka mwaka 2010 nilikua naupenda sana mpakaleo 2018
@seifkuku39437 жыл бұрын
pamoja na ujane aliokuwa nao mama yangu wallah hatukuwahi kulala njaa..alikuwa radhi akae na njaa wanawe tule
@mariamually95026 жыл бұрын
Seif Ally mamag.mahabube.nakupenda
@mkaliimkalii60646 жыл бұрын
Big big sana mamaa
@fatumaseleman23735 жыл бұрын
Sefu
@halimahalima73565 жыл бұрын
penda sana umwimbo
@pilishazycounterog82004 жыл бұрын
Alihamdulilah mama ndy kila kitu kwang love mom
@jasintamushi26144 жыл бұрын
Wenye tnaangaliaaa 2020 gonga like
@malken81812 жыл бұрын
Nakuhasa mwanangu hii dunia tunapita kuisha na walimwengu yahitaji uvumilivu wema wako utaukuta kwa mungu ❤2022 nimeelewa sana hicho kipengele
@violetnyandege202910 ай бұрын
Ukweli kabisa
@angelsuleiman46686 жыл бұрын
nakupenda mama mengi umenijalia japo kitu sina utu wangu pokea ,,,hongera ishaa
@aishamohamed44125 жыл бұрын
Wanaoitazama 2019 gonga like
@havijawaabdallah80265 жыл бұрын
September 2018??? 🙌🙌 One of my best song ever kwny taarab😋😋😋. Qan hapa nilipo mashetani apa una mashetani weh..
@florrybenjamin73727 жыл бұрын
kweli katika hii dunia utapambana na mengi cha msingi kuvumilia yarabi nipe uvumilivu
@yngsavage62625 жыл бұрын
Mama mwalimu'docter ;masibu kwa kweli ni kilakitu
@peteriranga55922 жыл бұрын
.... still listening 2021. Mama ndiyo kila kitu; Love you Mama.😘🙏
@tusemezanenamariana59333 жыл бұрын
Wangapi wanatizama 2020 Tujuane hapa..gonga like kaa zote❤️💜💜💜💜
@shabankimbulasantekonde549 Жыл бұрын
Tupo weng pia hii nyimbo inamaadir Sana
@norah20795 жыл бұрын
Tupo wakenya 2019 apa tunaoisikiza hii ya mama???kidole juu tusonge mbele jamani☝❤💕
@sammynganga89987 жыл бұрын
Hongera mama nani kama mama
@mashaallah41864 жыл бұрын
walah niisikiza natokwa na machozi maana siko karibu na mamangu mda sasa
@magrethjumamaundazoloamisi5964 жыл бұрын
Naupenda Sana uwimbo nani kam mama
@khdijaahmed84584 жыл бұрын
Nani kam mama jamani ❤❤
@lightnessmbise14307 жыл бұрын
R. I. P my luvely mumy!!! Ahsantee kwa kunifunza mengi katika hii dunia.
@abbyk_lymo40536 жыл бұрын
R.i p my mom too
@godsonjuma68686 жыл бұрын
Mamauko vizur
@peterelias30936 жыл бұрын
lightness mbise kwer nani kama mm nimekumic mm angu mpendw munguakupe miaka ming rove you my mother
@halimasekky18503 жыл бұрын
Kweli kabisa hakuna kama mama
@AAA-zu1vy Жыл бұрын
Pl
@wilonjahatua20675 жыл бұрын
R.i.p bi rukia juma mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kaburi
@juliusmwinga40515 жыл бұрын
Duniani Tunapita
@wilonjahatua20675 жыл бұрын
@@juliusmwinga4051 kbs
@fatumadaud93025 жыл бұрын
R.I.P mama Rukia Jumaa😭😭😭😭
@rahmatumam3575 жыл бұрын
Innalilahi waina ilahi rajuin hta habari sina kma hatunae tena bi rukia jumaa Allah ampunguzie adhab ya kabri
@sharifhabibukibavu12684 жыл бұрын
Mwanaha ariy
@neemaboniface75574 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Shilwa Magema Mungu akupunguzie adhabu za kabri 2020
@zakiasongoro20044 жыл бұрын
wangapi wanaangalia leo 2020 siku ya mama duniani nani kama mama
@josephclemence44413 жыл бұрын
Wanaotazama ngoma hii 2021 wagonge like💜
@Monaish___mooon3 жыл бұрын
Inanikumbusha mbali
@annakaijage92052 жыл бұрын
Still watching 2022
@husseinmasai713 Жыл бұрын
@@annakaijage9205
@rizikikhamisi8142 Жыл бұрын
Asante xna
@DonyJuma-ct2he7 ай бұрын
Ngoma nzuru sanaaaaaa
@johnpaulluteshi330510 жыл бұрын
hata mimi nina mashetani ahsantha mama umenipunga sio siri one love from Kenya now in saudia
@saidimgoa85936 жыл бұрын
Unaweza bi dada, na wala hubahatishi
@chekanadigookichwechwe87284 жыл бұрын
👍
@ntwangaisaya94244 жыл бұрын
Nimekuta tuh leo napenda kusikiliza nyimbo zako
@jacklineedward90796 жыл бұрын
Memkumbuka mama leo rip ma, ulonifunza nayaona, mpaka leo isha naickiza hii nyimbo
Wimbo mzuri wa muda wote. When taarab was real. Nani kama mama? Wameimba kwa mtindo wa call and responding... Yaani kwa kuitikiana. What a great song!
@mwanaidathuman77274 жыл бұрын
Wanao itazama hii video ya isha hadi sasa tujuane hapa, hii nyimbo imebeba ujumbe mzito sana, uko juu isha ila pole kwa kuondokewa na mama ( Allah ampe amuepushie adhabu ya kabri Inn Shaa Allah )
@zabibuissa71575 жыл бұрын
Nani anaeicheki hii ngoma mpk sasa 2019 gonga like twende sambamba
@ashalazaki28454 жыл бұрын
penda sana ili songi
@ivolevina6604 жыл бұрын
Mimi pia
@swabrakaisary89604 жыл бұрын
Mimi apaaa
@shadiaadam51494 жыл бұрын
Tuko pamoja mama
@safaaabeid81664 жыл бұрын
Hapana chezeyaa ww
@hassanadamali33828 жыл бұрын
kweli wazuri na wabayo wamo duniani waja wana roho mbaya wamesahau hisani penda sana hapo hongera sana na Mungu akujaze na akupe maisha marefu
@sabhaimaro68868 жыл бұрын
Omore
@ashuraalla94546 жыл бұрын
Jamn napend San taarab i jamn sitoichok never inaujumb san
@mansourally91 Жыл бұрын
MY BEST TAARAB EVER IN TANZANIA 🇹🇿. MWENYEZ MUNGU UWAPE MAMA ZE2 MAISHA MAREFU 🥰🤲
@babujay913211 жыл бұрын
aaaah isha hii nyimbo kali sana mno yaan uwifanye tena remix by babu jay (ATHENS)
@agnessdaud62506 жыл бұрын
shukuran sana kwa mama ang mzaz!!
@abdallahnakamo60317 жыл бұрын
Nakumbuka Mama yang anapenda sana huu wimbo..nice
@user-wj6hw7df5r9 ай бұрын
Wanaoitazama 2023 tujuane ❤rathi ya mama mhimu sana🎉🙏
@victorfredrick14236 жыл бұрын
Mama ni mama RIP mom
@mwanamkasisuleiman97076 жыл бұрын
Victor Fredrick pole sana hakuna kama Mama ,mkumbuke Mama kwa Dua njema
@mariamleonard57685 жыл бұрын
Victor Fredrick pole
@simagema57775 жыл бұрын
Nampenda my Mama
@neemaandrew47693 жыл бұрын
Mashaallah sst isha mashauzi nakumbuka mbali sana kila nikiona hii nyimbo nakupenda sana 😍 2021tujuane tulioingaliaa🥰🥰
@geraldmakalala60912 жыл бұрын
Pamoja
@jasmine.mayala75972 жыл бұрын
Yaan hp ndy nimeweka 🤣🤣🤣🤣🤣
@kombakomba79222 жыл бұрын
2022
@hamisimtenje55902 жыл бұрын
@@jasmine.mayala7597 mom9m9
@dadamaisha44703 жыл бұрын
Una sauti mashaAllah dada... Queen of best melodies
@bhindasheshe5894 жыл бұрын
Isha weeeeee...1 of my favorite Taarab Singer's
@mariammaingu62093 жыл бұрын
Big up Isha,very nice song
@wazirbashir76266 жыл бұрын
Asante sana mkurya mwenye mashauzi... Remind me of my teenage days nikikesha kwny vigodoro TANGA RAHA SANA... I really miss my home... 2018 still enjoying each beat of it!
@berthakadaso33892 жыл бұрын
Unfortunately this lady is not originated from tanga,bt mara region.
@abdaziz1876 Жыл бұрын
Tanga hatari sana sasa kuna vijamvi balaa tupu
@ogetoj62452 жыл бұрын
Mawaidha mwafaka. Nani kama Isha jameni?Heri njema kwenu nyote. Ahsante Isha. Dr. Ogeto International
@zaiiomary89705 жыл бұрын
Wangap wanatizam mpak sasa 2019 tujuwane
@zubedayahyamselem36734 жыл бұрын
2020
@davidhamaga74773 жыл бұрын
Wangapi 2020 wanatizama mpaka Sasa hii nyimbo tujuwane
@ashanyoni12103 жыл бұрын
Tupo bb
@zahrahabib31774 жыл бұрын
2020 sichoki kuisikiza hii nyimbo
@mosemose72724 жыл бұрын
Haiishi ladha kamwe
@colethacharles5483 жыл бұрын
Pumzika kwa amani kipenzi Chang u hakika ulikuwa nguzo muhimu sana kwangu na huu wimbo ulikuwaga unaupenda sana kumdedicate Bibi yetu gaani mama yako ambae umetangulia ukamuacha😭😭 mama unaniuma sana bado nilikuwa nakuhitaji mnoooooo ktk maisha yangu😭one year past naona Kama Miaka kumi haupo
@eldachrissy55518 жыл бұрын
Mwimbo unanifariji sana..kweli kuish na watu kazii
@fatmaadam17785 жыл бұрын
Nikweri mm nimtu lkn kwer kuishi nawatu kazi
@ackleymsangi59224 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda ni balaa.....
@shamsazakaria33154 жыл бұрын
Elda Chrissy tn sana jmn
@rehemafrancis54803 жыл бұрын
Kweli hakuna kitu kikubwa Kama mama. Nakupenda Sana mama japo umetutoka tangu 2007 pumzika kwa amani mama yangu.
@deborahjuma68692 жыл бұрын
R,IP mama yangu nilikupenda MUNGU kakupenda zaidi,, Asante kwa kunifuza mengi yenye hekima katika hii dunia,, Mungu akulanze mahalo pema
@gideonlungwa65554 жыл бұрын
Kuishi na walimwengu yahitaj uvumilivu aisee good song my sister from dom tz. 2019
@ZahraZahra-ex8xx8 жыл бұрын
wamesahau hisani kweli mm sema kweli
@zenakaide66044 жыл бұрын
2020 mpo. Pumzka kw amani mama aisha
@elizasule49443 жыл бұрын
Mama yake na isha au isha mwenyewe
@user-cz5ol4kg4tАй бұрын
bila ladhi ya mama peponi uingii ndugu yangu kmukimfulahisha mzazi ndiio umemfurahisha mungu
@faredamobilo36785 күн бұрын
True ma Isha, wacha tusiende ,ni Neema ya .mumgu aliye hai siyo waoh wala shee ya Allah kreem!
@fatmayahya38486 жыл бұрын
I LOVE U MAMA
@allykaseya3885 жыл бұрын
wimbo ukopowa Sana jamani
@nadiafahad79456 жыл бұрын
Waambie lsha ,mama ndio kila kitu dunian. binafsi nampenda sn Mama yangu Allah ampe umri mrefu mamy wa mie
@mohamedchaugwade62344 жыл бұрын
Mohamedi Chaugwade. Tutakukumbuka mama
@suleimanathman290611 жыл бұрын
kama nikupenda taarab basi za aisha mashauzi nimefika
@aishamkadara67526 жыл бұрын
100% isha ramadhan mama n mama allahu arhamha. ...R.I.P mom kwa malezi yko 😂
@JinaMakame-vq8mq26 күн бұрын
Mama ninamba moja nakupenda sana mama yanguu mama umenifunza mengi sana ninakuombea kila heri nikisikiliza ngoma hii nakupenda mama
@fatmarashidi83535 жыл бұрын
Wanao tazama 2019 twende sawa apa
@aishaoman65424 жыл бұрын
Haichuji kwangu hii ngoma tamu sana kweli ukimzarau mzazi utaharibikiwa
@nasirabubakari78454 жыл бұрын
2020 April
@samsonymasanja72355 жыл бұрын
Uliiba ukweri dada yngu
@johnmapunda995 жыл бұрын
Wimbo huu ambao upo katika mtindo wa call and responding...umeimbwa vizuri sana na kwa utulivu.Pia ala zimepigwa vizuri sana.Hongera kwao.
@SayfMziray5 ай бұрын
Wanaotazama ngoma hii 2024 like hapa
@hassanisalimpulo22234 ай бұрын
❤❤😊
@salimasha73463 ай бұрын
Tupo 😂😂😂
@salimasha73463 ай бұрын
I love that
@SamsungA14-mw7wl3 ай бұрын
❤❤❤
@mariamdennis-um9vxАй бұрын
❤❤
@gladymosha31205 жыл бұрын
Tulokuja hapa baada ya kusikia kifo cha mama aisha 💁
@wakatiomar51235 жыл бұрын
Naam mungu amlaze mahali pema peponi😭😭😭
@latifahsalum34795 жыл бұрын
Allah ampe kauli thabit
@salomerenard88305 жыл бұрын
Aise pole sana isha mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu ameen
@jumaismaily16405 жыл бұрын
Polen jaman
@jaggaludegula68265 жыл бұрын
Tupo pamoja nawe
@consolathasaimon25457 жыл бұрын
penda sana mama yng kipenz bi Elizabeth love you my Apple
@tumainikassanga76597 жыл бұрын
mwenyewe penda sana mama yangu, ahsante mama kwakunilea vizuri.
@zaharasaidy913210 жыл бұрын
Aisha upo kuu. Wekali
@officialruutvtzonline32343 жыл бұрын
2020 tupoo iSHA umetisha Sana'a rip bi Rukia Juma Allah akufanyie wepesi na akusamehe,,,ahsant Sana mama Kwa mafunzo yako akuna Kama mamaa,,,
@khadijahomankweliyamjahaya74213 жыл бұрын
Kabisa my
@abdaziz1876 Жыл бұрын
Aaah mwananguuu, hiyo ndio duniyaaa Yaliyo moyoni mwanguu, Leo ninakuhusiaaa Huu ukubwa wanguuu, Mengi nayavumilia... Swadaktah. Allahumaghufirlaha walramhaa waskanhaa filjanat. Ulale palipo pema mama yangu. Nakumisi kila cku