Huyu ndiye alikuwA laisi wetu anauchungu na wananchi wake mungu amuweke mahali pema peponi. Tuseme. Ameni ❤ 9:20 9:20 9:20 9:20 9:20
@yusuphmarcelmasinde72635 ай бұрын
Mungu ilitupa na kisha ukachukua kipenzi chako ,Mtetezi wa Wanyonge. Mungu uona sasa Watanzania tunalia na kuumia sana kwa kukosa haki.
@HalfaSaid-vl6ki Жыл бұрын
Alisema mtanikumbuka😢
@SingoBirnvenu2 ай бұрын
Nakukumbuka sana baba
@KhadijaJuma-zb7or2 ай бұрын
Ee mwenyezi mungu muweke baba magufuri mahari pema kwani arikuwa ni shujaa wa watanzania🎉
@aminasaidi50108 ай бұрын
Hakika ulikua unaona baba mambo yaliokuwayakitendeka kwa siri sasa nani atatuhurumia wamachinga baba kilakitu kimeharibika baada ya wewe kufa tunakuombea ulale mahala pema pepon amminn❤❤❤❤❤
@user-jo5ym6ev7n7 ай бұрын
❤❤❤nalia baba mwema
@kuzenmndele10 ай бұрын
Uncle magu pumzika kwa aman kaka wa mama ata mungu akupokee uendako tutakumiss sana
@jalimpanga9315 Жыл бұрын
Huku tunakutafta jitokeze huko uliko umejificha wapi?
@user-hr7xv1lb6i8 ай бұрын
Uka pumzike kwa Amani baba yetu.tulikupenda lakini yeye Alie hai ndiye amekupenda zaidi.🙏😭😭
Jemedar wetu watanganyika pumuzika Kwa amani uliokuwa ukiakataa Kwa sasa ndo yanafanyika mikataba ya hovyo,Kwa kujali maslahi yao na watoto wao😂
@martinkipenya4592 Жыл бұрын
Ulisema hatukukuelewa inauma sana
@SalmahIddy-oz6wt8 ай бұрын
Mungu mwenyez akulaze mahal pema pepon
@user-cd9re4wt2b Жыл бұрын
Nimeipenda
@user-xv7vd2fq9w Жыл бұрын
Magufuli we ndie unafahamu visuri nakupenda mzee
@user-gj9wk9vt5y8 ай бұрын
Mungu amulaze maali pazuri alikuwa mtetezi wetu
@user-ow6wc1qv2h4 ай бұрын
Da akiyamungu chema akidumu
@user-zw4dx4go8o9 ай бұрын
Jemedali haswa
@user-xn5rb1gc8g Жыл бұрын
Kwa kweli Mungu ungetuachiaga amalize ndoto zake.
@MarcellabernardWella-vk3zh8 ай бұрын
Godbless him forever
@user-lj4te6rh6x9 ай бұрын
Pumzika kwa amani mtetes wa wanyonge dua za watanzania wengi zikufikie Mungu akusamehe dhambi zako
@user-zg6qi7uo8h7 ай бұрын
9:35
@KabadiKiloma8 ай бұрын
Ina uma Sana jaman😢😢😢
@onesmomwakasege52157 ай бұрын
Dah!
@ludotheplanet74758 ай бұрын
Mungu angemchukua hata samia
@Bulayampuya5 ай бұрын
Hon maguful rest in peace 2takumbuka daima
@SiyaweziManchare7 күн бұрын
Vzur havidum ila ipo sku
@MichaelKabume3 күн бұрын
Rip mwamba
@yusuphmarcelmasinde72639 ай бұрын
Kipenzi cha wengi pumzika kwa aman Magufulification. Tunakumbuka na tutamkumbuka daima milele.
@Bulayampuya4 ай бұрын
Baba yetu umekuwa dira ya watanzania fikra zako bado zinazunguka akilin mwa watanzania pumzika kwa amani kama unamakosa Mungu akuhurumie ulijito kafara kwa watanzania mola akupee neema huko ulipo rais wetu hayati
@user-wj4hc6fn2s8 ай бұрын
Daaaah😢!!!
@ATANASSHEMZIGWA-vt5vz Жыл бұрын
Punźika kwa amani baba
@TeddyKisesa-xx3yb8 ай бұрын
Kweli baba makufuri tutakumbuka daima
@marystambuli8045 Жыл бұрын
Huna baya baba ulitufungua macho ukatutoa matongotongo, uliyoyasema leo yanatokea live! Tunakukumbuka sana.
@user-jm9yw5cg9b8 ай бұрын
Mmmmh tutajifunza kwako baba😂😂😂😂😂
@swalead89288 ай бұрын
😱
@mhochibiliclintony86258 ай бұрын
Walaji wote walishakusaliti mzee kuanzia alokua makamo wako waziri mkuu na hata mkuu wa majeshi mana ulivofariki vyote na yote uliyoyafanya yalionekana hayafai
@user-yx5lv4pn4v9 ай бұрын
Urikuwasahihi
@user-do8zw7xs8e8 ай бұрын
Habari ndo
@elishalameck-hj1qo10 ай бұрын
Baba tutakukumbuka sana baba yetu
@YonaKajiba7 ай бұрын
Mungu amkumbuke😢
@anisiamchembe655211 ай бұрын
Tunakuombea kwa mungu
@user-ps1nr6tp9u6 ай бұрын
Mng amlz mahali pema
@mabhoto-dt8zi8 ай бұрын
😂 jamani awe
@EugeniaKimbe-ik1pi8 ай бұрын
Hakika wema hawana maisha malefu
@babudingi-gd7pz Жыл бұрын
Ndicho kinacho enderea mzee uku pumnzika pazuri
@princeimani80782 жыл бұрын
🥺🥺🥺🥺😭😭😭😭😭😭
@user-uj6ym9xy6y8 ай бұрын
😂😂😂 jamani basi tuu
@eliudkimari-wt5cl8 ай бұрын
Ndio hayati utauĺizwa sku ya kiama
@kandecharlessanduku1539 Жыл бұрын
R I P
@zinedinezidane2129 Жыл бұрын
😭😭
@user-bx5jg1rl9i8 ай бұрын
Tutakukumbuka daima
@stevenmbaga72388 ай бұрын
duuu maneno mangum sana yenye maumivu makali
@levinapreus54927 ай бұрын
tutakuku m buka mtetezi wetu L.I.P
@issaissa1361 Жыл бұрын
Kweli ulicho kisema tumesha salitiwa WATANZANIA huku nikiamini sana maneno yako kweli u aweza ukawa kiongozi wa malaika huko waje watusaidie eeee mungu baba mrudishe hata masaa mawili tu ashudie
@RopianMolle-yy6jo8 ай бұрын
Hakika ulikua shujaa ila Pi uliko Mungu akutuxe
@peltrinechebet-xe2wd Жыл бұрын
Aki mung àkuweke mahali pema
@exploremountainkilimanjaro9298 ай бұрын
Daa!!!! Rest in peace daddy
@sr.elizabethmbuligwe5540 Жыл бұрын
Viongozi mliopo madarakani mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio na asikie mjifunze hata Kwa vitendo kutoka Kwa mtangulizi wenu mjiulize Sasa sisi tunaotaka kusaini hiyo mikataba msiisaini bila kujiridhisha
@user-dd7jx3vc7t8 ай бұрын
Kwa mwenye akiliiii
@SuperKibwana Жыл бұрын
Kamwe tutamkumbuka Jembe letu
@MagrethMbwilo-jg5un8 ай бұрын
Tutakukumbua daima
@veronicabundala3273 Жыл бұрын
Wahenga walisema kitu chema hakidumu kweli baba upumzike kwa aman
Walikuwa wanakusubir ufe waendelee kusafirisha makinikia. Najiuliza yale mashimo yanayochimbwa sijui watayafukia na nn, ili hali mchanga wanaupeleka ughaibun😂😂😂allah akuangalie kwa jicho la huruma. AMINA.
@user-wh8qb4ho7p Жыл бұрын
Mwema ufa mapema
@jalimpanga9315 Жыл бұрын
Tutakupatia wapi? Baba
@IsakaMnzajila-lf8fy8 ай бұрын
Baba tangulia na tunafuata Dunia Inamengi
@user-yd6wk2gj8j6 ай бұрын
Baba Pumzka Kwa Aman Wanyonge Tunanyanyaska Sana Nan Atatuokoa Tuonyeshemiujiza Baba Hakika Ww Ulikuwa Raid Kweli
@user-ct5ts1wq9e8 ай бұрын
Huyu jamaa alikua ni kiongozi bora kuliko maraisi walio kutangulia
@neemamichael2534 ай бұрын
tunakumbuka baba
@user-nh6zq5ce9y8 ай бұрын
Kwakweli tunakukumbuka sijui walikuelewa au walikuwa wamewaeka nta masikioni?
@aloycesiaitys6079 ай бұрын
Uwiii kilo mm kuliko mm kuliko mm tunalia Tanzania