No video

TALAKA YA MKE MZINIFU

  Рет қаралды 79,300

Izudin Alwy Ahmed

Izudin Alwy Ahmed

Күн бұрын

Пікірлер: 93
@hadijahalidi1375
@hadijahalidi1375 5 жыл бұрын
Shukrani shekhe ..Allah akupe umri mrefu uzidi tuelimisha
@abdulsaid2014
@abdulsaid2014 5 жыл бұрын
You are the best sh me God bless you you and your family thank you
@khadijahkhdoo6387
@khadijahkhdoo6387 5 жыл бұрын
Shukran ustadh wetu,nakuskilizia nikiwa IRAQ Baghdad,miss ma Homeland Lamu🙏🙏
@user-dg8qe9rf9h
@user-dg8qe9rf9h 5 жыл бұрын
Vita hakuna huko. Napenda nije kuishi huko. Mi nko oman
@khadijahkhdoo6387
@khadijahkhdoo6387 5 жыл бұрын
@@user-dg8qe9rf9h hakuna vita salamaa huku,karibu
@wahidkhalifa2952
@wahidkhalifa2952 4 жыл бұрын
Mh
@stevejumaree3437
@stevejumaree3437 Жыл бұрын
Salamu alikumu khadijah naomba nitafutie kazi uko uliko that's my dreams country
@edwardouma
@edwardouma 3 жыл бұрын
Maashallah Sheikh Jafaar. Mola akupe muda mresh wa kazi yake🙏🙏🙏
@moviesseries9923
@moviesseries9923 5 жыл бұрын
Masha Allah Shekh Allah akupe umri mrefu na mwisho mwema Aamin 🙏
@sherrymkofoye159
@sherrymkofoye159 5 жыл бұрын
Mashaa Allah mwenyezimungu azidi kukuweka
@AishaAli-zv8se
@AishaAli-zv8se 2 жыл бұрын
Jee talaka ya mume mzinifu ni ipi
@husseinzeid6342
@husseinzeid6342 2 жыл бұрын
Asalam aylkm ustadh izuu din mm cjaolewa hyo wakupa khutbaa za kusema wataka kaushaa koo wallah kwanza ww mwalim ulitusomesha mld maqarem akhlaaq turpentine ndugu tustikiane lasaawa ukanifunza kwa hadeth seraa na fiqi mungu akujazi kilaa kher mambo mawili nashikaa mm cwachi inshalah lakusenyaa wallah cjui huchaa kabisa nseme mwenzangu nimpe khr zangu na barka laaah na uwongo nakata kabisa cjui kusema huwaje mm nko ndani mwanamume akanitaka badae ckuenda sawa ckumuona naitwa mzinifu jini lakini hawa wanisemao nawachia kwwa molaa atalipa tayari zibati mungu awanwapa kuchanganyikiwa kwake ankua husema mm mke ati nlikua mrongo nlikua mtumwaa wake wema kasahau ouvu kaka mbele ss cha Maputo yuwaliya akiyaramba niya chumbi ankua hukata zidole kumi hna la kusemaa yyasitaje🙌🙏 hilo neno nawa
@sadamatano3937
@sadamatano3937 5 жыл бұрын
asante sheikh na namwana mume mwenye kueka mwanamke kinyumba na Yule mwanamke awe na watoto je wale watoto wafaa kurith
@husseinzeid6342
@husseinzeid6342 2 жыл бұрын
Nliamua kaa ndani pia akereka akisema ako na wengine wazur wanawake mbona hawakumfaa mm mbya kisha kwann anitaka tatizo mwalim ataka nyotaa hasbunallah wanemal wakil ...wakati umeisha mdaa miakaa bado wasema na chorwaa mm play wa games kwl hyuu anitakata ama anisutaaa mm moyo khalaas umeharibika thuma wallah tamaa yann kwann hawatwai hawo wazur wanawake mbona wamemharibia wallah nia safi hushinda uchawi niya yamnyanyasa kisha ati namroga mm kma naenda Ana nasema nae mola atanilipia nazidi kueka subra moyo wangu lakini mungu hajapenda ntasema na bado nasema alhmdulilah kila cku kilaa saaa bado anipenda Allah mm namm cjakata tamaa kwa Allah lakini kwake ctaki tena bada matuc ctizai kuchekwa kusemwa natoa ahsantu na osha mkono mola cku zote hakupi jambo ila lina khr naww na nakma shari yngu basi nasema nlioyo niepuka mm shari hakuwa khr yngu htaa akirudisha moyo badaa ashaharibu moyo wangu mm wallah cwez tena shukran ustadh boraa umpe jawabu sahihi aelewe kma yy mbya mkosaaa mm ctaki tena masalam shukran 💔🙏🙌😰😥😭miaka mingi tangu 2018 mm natezwaa Shere haishi wallah navyo sema mm haniski na deni yke ntamlipaa uishe udhiyaa tena mwaka hunu hunu naww ustadh niombe kwa mola aniweshe nlipe deni kabla kufaa mm 😪💔🙏🙌😭😥😰😥
@AminaSapar
@AminaSapar 4 ай бұрын
Assalamu Alaykum warahhmatullahi wabarakat naomb kuuliza sheikh ni ipi hukumu ya mwanamke aliyeachika yaani yupo katika eda ya kuachwa akazini
@mdmohammed1593
@mdmohammed1593 3 жыл бұрын
Shukran shekhee kwa darsa nzur
@fatmaali409
@fatmaali409 2 жыл бұрын
Assalam alaykum ust Naomba kuuliza hvi mume atakapomuambia mke wake utakapofanya jambo flani mathalan ukizini au ukitoa chchte bila y ridha yangu basi mimi sio mume wako na mke akaja kufanya je atakuw kashaachikaaa.....?
@ratifahosseni652
@ratifahosseni652 11 ай бұрын
Ndio taraka hiyo
@husseinzeid6342
@husseinzeid6342 2 жыл бұрын
Wallah ustadh nailani ile cku nliomuona yy kamjua kamuamini yy kwann nasema moyo nlimjua kamuamuni kupita kiasi madhara hya yaisha lini jamani najuta kumjua mm umri napoteza bado Ana typ story afunge muambie tafadhali shukran
@vibestudio4707
@vibestudio4707 5 жыл бұрын
jazzaka llhahi kayr shekh izzudi MUNGU akupe ukipendacho
@mwanamisigulu2401
@mwanamisigulu2401 5 жыл бұрын
Allah akuzidishie InshaAllah....
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 5 жыл бұрын
Shukran kwa ukumbusho
@kimmseinvtz
@kimmseinvtz 3 жыл бұрын
Holy Quran 24:4 ------------------ وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.
@user-dg8qe9rf9h
@user-dg8qe9rf9h 5 жыл бұрын
Tumeskia. Natutatwii mafundisho mzuri. سمعنا وأطعنا
@soudalharthy8842
@soudalharthy8842 5 жыл бұрын
Allah atupe elimu na ufahamu
@vibestudio4707
@vibestudio4707 5 жыл бұрын
asante shekh izzudin jazzaka llhahu khayr
@faizkonde
@faizkonde Жыл бұрын
Assalamualaikum warahmatullh wabarakatuh... swali langu ni mke umemshika na message kuwa nalala na mtu mke uyu ni sawa ukimpa talaka na Mali ama arusiwi kupewa mali
@fatmabakari5505
@fatmabakari5505 Жыл бұрын
Nina swali je mume aweza mpa mkewe talaka ndani ya ramadhan
@abdulhafidhi84
@abdulhafidhi84 5 жыл бұрын
Ahasantee shekh
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 2 жыл бұрын
Kuzini ni thambi mbele ya mwenyezimungu kwa mwanamume namwanamke
@aminabukenya231
@aminabukenya231 5 жыл бұрын
Shukran shekhe kwa mafunzo mazuri
@mahmoudrajab4587
@mahmoudrajab4587 5 жыл бұрын
Shukraan maalim
@dorisnasubo8430
@dorisnasubo8430 5 жыл бұрын
Shukran
@hudainamohd4532
@hudainamohd4532 5 жыл бұрын
Asante shekh kwa kutup elmu
@abasimachano2964
@abasimachano2964 3 жыл бұрын
Alhamdulillah naelmka
@abullahkabaka8774
@abullahkabaka8774 4 жыл бұрын
MASHALLAH ALEIK
@udymakame5269
@udymakame5269 4 жыл бұрын
Mashallah
@noluv5332
@noluv5332 3 жыл бұрын
Ikiwa mume hamuangalii mke kwa mwaka mzima talaka imepita
@khadijayusuf3222
@khadijayusuf3222 5 жыл бұрын
Mashaallah Shukran
@mwanahamisially5234
@mwanahamisially5234 5 жыл бұрын
Alhamdulilah
@maliksuleiman1159
@maliksuleiman1159 4 жыл бұрын
بركالله
@bilalbaker9238
@bilalbaker9238 2 жыл бұрын
Kushambulia
@yahayaabdalla3411
@yahayaabdalla3411 3 жыл бұрын
Shekhe Mwana Mke anaposema hakutaki nini hukumu yake. Navilevile mwamke anakuandikia talaka anampa babayake mzazi ndiye akukabidhi hapo panahukumugani.Nimeuliza Mimi Yahaya Abdallah Mohamed. Kigoma Tanzania.
@yahayaabdalla3411
@yahayaabdalla3411 3 жыл бұрын
Shekhe Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuluzuku elimu tunakuombea kwa Mungu azidi kukupaafyanjema kwaniunafundisha mpakakila anaye kusikiliza nakukufuatilia anaelewa vizuri siobora kuelewa.Mungu akulinde Shekhe wetu.
@fafaali1756
@fafaali1756 5 жыл бұрын
Mm naona bora ujibu maswali cz kipindi cha maswali ni hii mwezi wa ramadhani tu ndio wajibu ukiwa live ..bt darsa huwa liko mpk malamtana
@NurdinKishik
@NurdinKishik 4 жыл бұрын
yaallaah
@jokhaali9187
@jokhaali9187 4 жыл бұрын
Naomba namba ya shekhe
@munirahmed7753
@munirahmed7753 3 жыл бұрын
Ingekuwa paka hapo ningekubali maana paka wazini njiani tu kila mmoya aona
@kimmseinvtz
@kimmseinvtz 3 жыл бұрын
Holy Quran 24:4 ------------------ وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.
@munirahmed7753
@munirahmed7753 3 жыл бұрын
Na kama wasubiri mashahidi basi utaziniwa mpaka milele na mashahidi hakuna
@kimmseinvtz
@kimmseinvtz 3 жыл бұрын
Holy Quran 24:4 ------------------ وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.
@ramakibati7415
@ramakibati7415 4 жыл бұрын
mashaallah sheikh swadakta
@bigboss6813
@bigboss6813 2 жыл бұрын
Hukumu ya kulala ngizani nini
@esirmviha583
@esirmviha583 2 жыл бұрын
Habib Assalam aleykum ,naomba kufahamishwa jambo Fulani katika talaka kuna mwanadada mmoja aliolewa sasa na bwana mmoja waliishi na kuna wakati walikuja wakakosana yule bwana akampa yule bibi talaka tatu kwa mpigo Swali 1. Je talaka tatu za mpigo zina EDA kwa mwanamke mjamzito Swali 2. Kama yule mume alimuingilia yule mke kabla ya EDA ya hzo talaka tatu kwa mpigo kuisha ile ndoa bado ipo ama haipo. Swali 3. Ile talaka bdo imepita ama imefutwa na lile jambo la kumuingilia
@omarybenga9860
@omarybenga9860 Жыл бұрын
Talaka 3 ni haina kumrudia na huko kuingiliana ni zinaaa na mwanamke ndy atakaa EDA mpaka ajifungue
@aishaarusha894
@aishaarusha894 3 жыл бұрын
😉
@shanisaidy5033
@shanisaidy5033 5 жыл бұрын
Shukurani shehe
@modinakshy6276
@modinakshy6276 2 жыл бұрын
Shukran
@hamedal-shruiqi2123
@hamedal-shruiqi2123 5 жыл бұрын
Shukran ustadh
@sbk.tvchanel4265
@sbk.tvchanel4265 5 жыл бұрын
Asalam alykum shekh mke kama hataki kurud nyumban kwangu nini kifanyike
@zeddysamo1276
@zeddysamo1276 5 жыл бұрын
😅😅😅
@munirahmed7753
@munirahmed7753 3 жыл бұрын
Kweli watu waweza zini njiani mpaka watu waone ? Mbn vitekesho waleta ustaaz
@kimmseinvtz
@kimmseinvtz 3 жыл бұрын
Holy Quran 24:4 ------------------ وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.
@khamiskhamis5323
@khamiskhamis5323 5 жыл бұрын
A.aleykoom..Ustadh mm nataka kuuliza kitu kimoja lkn nilikua naomba number yk ya whatssp ili nikutumie audio au chukua Yang hii +96897892279 ili uokoe Umma,,Unapo msaidia Muislam mmoja ni sw na kuokoa Waislam 1000
@asyaibrahim1504
@asyaibrahim1504 5 жыл бұрын
Hapo chini AME weka no zake mbili za kumpata shukran
@zakiakhalid212
@zakiakhalid212 5 жыл бұрын
Square
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 5 жыл бұрын
+254772611120
@khamiskhamis5323
@khamiskhamis5323 5 жыл бұрын
Asya Ibrahim Afwan ahsant asya
@munirahmed7753
@munirahmed7753 3 жыл бұрын
Mashahidi 4 wala 6 hakuna hadithi hizo
@kimmseinvtz
@kimmseinvtz 3 жыл бұрын
Holy Quran 24:4 ------------------ وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.
@jibabahbah5188
@jibabahbah5188 4 жыл бұрын
Assalam'alaikum shekh mm mume wangu nipata msg za mapenzi kwa simu yake na msg za hawo wanawake zaidi ya wawili na vile walivyo wakifanya mapenzi na yy mwenyewe pia akaziona kisha akata shekh mm nataka aniache na hataki
@ntopangonyani6964
@ntopangonyani6964 4 жыл бұрын
Kilichokupeleka kwenye simu yake ni nini, epekuzi au sio. Sheria haikuruhusu kufanya unachofanya. Haya tujalie una high blood pressure uchungulie chungulie kwenye simu ya mume wako uanguke kwa kupandwa na BP na stroke juu. Ushindani ushakushinda unabaki handicapped na hasidi wako ndio watamchukua kirahisi zaidi na huto weza kumzuia. Wewe ni mjinga kabisa na unaidhulumu nafsi yako na kuitafutia madhara.
@aishaaisha1495
@aishaaisha1495 4 жыл бұрын
Pole Dada yang wanaume wa cku iz ni mtihan
@ntopangonyani6964
@ntopangonyani6964 4 жыл бұрын
@@aishaaisha1495 kwani wanawake wa siku hizi sio mtihani?
@aishaaisha1495
@aishaaisha1495 4 жыл бұрын
@@ntopangonyani6964 ni kwl unachokisema lakn wanaume ndo anasababisha kuwa mwanamke nae achepuke me naona2 bora kila m2 awe mwaminifu kwa mwenzie ttz la wanaume co wote baadh yao wakioa anaaza kutaman mwanamke wa Nje mkeo unamuona mby jmn tutaishia wap hakuna k2 kinachouma km mweza kumsaliti mweza wake kwa mm bora ukaoa2 nikajua 2po wawili kuliko kunishalit wanaume me siwaamin yalishanitokea ndo mana najua maumivu yake
@ntopangonyani6964
@ntopangonyani6964 4 жыл бұрын
@@aishaaisha1495 acha kuangalia simu ya mume wako, itakufaa sana. Utajiepusha na mengi, Allah akiamua kukuonyesha madudu ya mwenzio atakuonyesha tu ila sio kwa kupekuana ndani ya nyumba. Simu ya mumeo ni kituo cha polisi cha watu wasiojulikana na labda akuruhusu. Ndoa nyingi zinaharibika kwa simu.
@fatmaathumani7569
@fatmaathumani7569 5 жыл бұрын
Assallam aleykum shehe mm Nina swali yangu naomba unisaidie ktk hili no yangu 968 99353340
@munirahmed7753
@munirahmed7753 3 жыл бұрын
Dah shekhe waweza kuona kweli wakizini? Kwani ni paka hao mpk wazini njiani watu waone? Hivo mashahidi 4 hao ni hadithi dhaif hizo wala haiwezekani
@kimmseinvtz
@kimmseinvtz 3 жыл бұрын
Hiyo sio Hadithi ni Qur’an inasema hivyo: Sura ya 24 Aya ya 4
@kimmseinvtz
@kimmseinvtz 3 жыл бұрын
Holy Quran 24:4 ------------------ وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.
@munirahmed7753
@munirahmed7753 3 жыл бұрын
@@kimmseinvtz hapo ujue kuwa m mungu ni mwingi wa hekma anajua kabisa hakuna awezae kuzini njiani mpk watu waone hivyo talaka ameweka pingamizi sana kutolewa
@munirahmed7753
@munirahmed7753 3 жыл бұрын
@@kimmseinvtz hivi ww maishani kwako ulishawahi kuona watu wakizini barabarani mpk ushuhudie??? Quraan inataka upeo sana kuelewa na kutafsiri
@munirahmed7753
@munirahmed7753 3 жыл бұрын
@@kimmseinvtz tafsiri na maana ya quraan sı neno kwa neno kama unavotafsiri ww quraan ni maneno yenye hikma sana na inaona mbali mno
@munirahmed7753
@munirahmed7753 3 жыл бұрын
Binadamu wazinifu watatafuta sehemu faragha tena na mlango watafunga na pazia wafunga ss hao mashahidi unaosubiri ww watawaonea wapi tendo hilo wanalofanya? Hakuna hadithi hiyo
@kimmseinvtz
@kimmseinvtz 3 жыл бұрын
Hayo ni maneno ya Allah Holy Quran 24:4 ------------------ وَالَّذِينَ يَرْمُونَ الْمُحْصَنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَأْتُوا بِأَرْبَعَةِ شُهَدَاءَ فَاجْلِدُوهُمْ ثَمَانِينَ جَلْدَةً وَلَا تَقْبَلُوا لَهُمْ شَهَادَةً أَبَدًا ۚ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْفَاسِقُونَ Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu.
@zeddysamo1276
@zeddysamo1276 5 жыл бұрын
😅😅😅
KUMREGELEA MKE KATIKA EDA
22:42
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 10 М.
VIPI MUME HUMKHINI MKEWAKE
26:34
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 22 М.
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 46 МЛН
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 21 МЛН
Whoa
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 34 МЛН
Underwater Challenge 😱
00:37
Topper Guild
Рет қаралды 34 МЛН
MASWALI NA MAJIBU KATIKA DARSA YA WANAWAKE || SHEIKH IZUDIN ALWY AHMED
26:09
امة واحدة ONE UMMAH
Рет қаралды 23 М.
HATARI YA KUOA AU KUOLEWA NA MKRISTO
11:49
USTADH OMAR
Рет қаралды 7 М.
JE YAFAA KUMROGA ANAE KUHARIBIA NYUMBA YAKO
16:34
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 148 М.
Othman Maalim - Musitoleane Aibu
37:22
Khidhry 29
Рет қаралды 66 М.
KUOA MKE ANA MIMBA YA HARAMU/ZINAA
12:42
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 91 М.
HUKUMU YA UZINIFU KWA WANA NDOA
24:37
ABUU MANAAHIL
Рет қаралды 7 М.
NAMNA YA KUOKOKA NA HASARA
1:30:54
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 8 М.
JE TALAKA YA MESSAGE/KARATASI INASWIHII? /AINA ZA TALAKA
21:30
SHEIKH WALID ALHAD TV
Рет қаралды 13 М.
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 46 МЛН