Pole sana dada yangu halima mdee mm binafsi hua nakuelewa sana ukiwa bungeni pole kwakweli halima hiyo ndio njia yetu sote mamaetu apumzike salama emeni
@suzanestomihikiwelu80432 ай бұрын
Pole sana professor mdee mwl wangu,Mungu wa mbingu na nchi akawe mfariji wako..
@josephmathayo51392 ай бұрын
Pole sana kwa Wafiwa. Mwenyezi Mungu awape NGUVU na Faraja ktk kipindi hiki kigumu.
@MariamWiliam-z8k2 ай бұрын
Pole sana kipenz harima pole jembe mungu akutue nguvu mpendwa
@AsifiweMchome2 ай бұрын
Pole sana halima mdee mungu akutie nguvu
@KiongoziMwandamizi2 ай бұрын
Pole sana Halima Mdee🙏🙏
@NGAMBAKIMTEI2 ай бұрын
Pole sana Dada Halima Ee Mwenye Mungu awapatie baraka, nguvu na faraja kwa family na ndugu na jamaa wako wote.Mwenye Mungu amulaze marehemu mwl Mdee mahali pema na raha ya milele umwangazie ampuzike salama. RIP
@basilisawilbroud2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amjalie pumziko jema mama yetu. Pole kwa familia
@SelemaniFihoma2 ай бұрын
Asante mbowe
@NGOMELE19762 ай бұрын
Poleni kwa msiba mzito. Bwana Awafariji. Lakini kuhusu ZAKA ni lazima kuweka sawa kwamba, hiyo si sadaka ya kusaidia wahitaji; inatakiwa kufika madhabahuni ikiwa kamili. "Leteni zaka kamili" Asema BWANA (Malaki 3:10). Kama mtu ana roho ya ukarimu basi atoe msaada kutokana na pesa zake tofauti na zaka
@festokemibala58322 ай бұрын
Hakukisea. Ni kadiri Roho wa Mungu atakavyokuelekea kuitoa, madhabahuni au kwa wenye kuhitaji wajane, wagane, yatima nk
@gloriamichael79352 ай бұрын
Pole sana halima mdee Mungu akutie nguvu amina
@siamollel97252 ай бұрын
poleni wanafamilia,,Ila chalamila msiwe mnapa nafasi kwenye mazingira magumu kama haya
@EvaKiswaga-j2o2 ай бұрын
Pole Sana halima mdee kuwa na mama. Mungu akutie nguvu
@OmbeniMollel2 ай бұрын
Pole sana kamanda wetu halima mdee
@azizamvungi18712 ай бұрын
Poleni sana
@FrederickThadeo2 ай бұрын
Hatuna chama Tanzania wote chawa wa ccm mumesahau mulema dr.silaa musilete siasa musibani mungu amulehemu mama yetu mwana siasa Gani chawa wa ccm
@BeatusKLeon2 ай бұрын
Pole sana kwa familia kwa msiba huu, roho ya marehemu ipate rehema kwa Mungu, apumzike kwa amani. Pili napenda kusahihisha wanaosema "Baba Padre". Neno "padre" ni la lugha ya kilatini na tafsiri yake ni "baba". Kwahiyo ukisema "Baba Padre" ni sawa na kusema "Baba Baba". Msemo sahihi ni "Mheshimiwa Padre" (kiingereza ni Reverend Father, ambayo ni sawa na kusema Baba Mheshimiwa) na kama ni Paroko anaweza kutajwa kama "Baba Paroko".
@allymohamedclaud76262 ай бұрын
Mbowe ni mkomavu kwenye siasa..kwa kipindi kile cha mwendazake wanaume walikimbia hapa Tanzania.kwahiyo hatuwezi kuwalaumu kabisaa wala kuwakataa kina Mdee na Matiko na Bulaya
@husseinmkanga77942 ай бұрын
Acha unafiki walikimbilia wapi.
@elizabethmassi73272 ай бұрын
walikimbizwa na nini,walitaka umaarufu kutaka kuonekana ni wakimbikizi wa kisiasa yamewashinda wakarudi nyimbo zile za hatuwezi kurudi hadi tuambiwe usalama wetu yako wapi wamerudi wote kimya kimya
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
@@elizabethmassi7327Akili zako Zipo makanyagioni
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
Kumbe halima anafanana na Baba yake?
@yohanachiristopher30872 ай бұрын
Pole dada yetu mdee a super women
@EmanuelIdd2 ай бұрын
Pole sana halima
@mikemwanga28602 ай бұрын
pole sana Halima na familia apunzike kwa Amani
@josephminja79532 ай бұрын
Pole sana wanafamilia wote poleni sana😢
@JackSanga-n6r2 ай бұрын
Pole san halima mdee kwa kuondokewa namama
@erenwesmgeni48372 ай бұрын
Pole sana dada angu halima mdee pole saana
@wegesawaryoba33162 ай бұрын
Pole sana Halima kuondokewa na mama mpendwa.
@GodwinIssack2 ай бұрын
Rest in Paradise Mom 🙌
@samwelnevele77962 ай бұрын
Pole dada angu mdee
@chiizadomician37752 ай бұрын
Pole sana Halima Mdee na Famila yako
@SaigiluSankale2 ай бұрын
Mungu amlaze pahali pemaa
@FedrickwKingo2 ай бұрын
Apunzike kwa amani
@obednyagani5062 ай бұрын
Pole sana dada halima mdee na familia yote
@BahatiMahenge2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu wafiwa wote
@andrewmaiga43312 ай бұрын
Pole sana wanafamilia
@JosephLymo-j8x2 ай бұрын
Nyie waandishi mue makini kwakile mnacho andika mnaandika baba wakati nimama hiyo nitaaluma muwe makini
@tr.husseinkwanama52252 ай бұрын
Soma vizurii..
@wilfredmaimu19582 ай бұрын
Pele sana wana family mungu awatie nguvu.
@EmmanuelyRema2 ай бұрын
Dada halima pole sana
@FikiriniMwaluko2 ай бұрын
Naomba mwenyekit wangu wapokee tu hawajakinenea vibaya chadema binadamu yeyote anakosea.mwekiti nakuaminigi sana.ndo maana maadui wataka uachie kiti ili chama kiwe kama cha caf wabunge 19 ludini kwenye cham nawapenda san
@MWAKIPESA2 ай бұрын
Kifo ni fumbo wakat wote tunasafiri mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi
@MatronaThomas-wz5si2 ай бұрын
Pole sana mtani Mungu akupe wepesi
@PhilipoMwita-b2x2 ай бұрын
Makalio analeta maneno ya siasa
@ErickAlipipi2 ай бұрын
Pumzika kwa Aman mama
@RobertBitambaOfficial2 ай бұрын
Makonda Yuko wapi
@mbwanahasan29712 ай бұрын
Kwa hiyo chalamila umekuj sababu ya utundu wa halima isimgekuwa utundu usingekuja wee jamaa wewe huna ubinadamu kabisa hufai kabisa kuwa kiongozi
@esthergambi80582 ай бұрын
Jaribu kuchukua muda kidogo kutafakari misemo,huyu jamaa ukiwa mkurupukaji huji kumwelewa hata siku moja.
@lusticendokole93852 ай бұрын
@@esthergambi8058 ni sahihi kabisa
@johnmanase28742 ай бұрын
Pole kwa familia ya dada Mh. halima mdee
@prochesytesha80402 ай бұрын
Huyu jamaa wa ilala na temeke anajichanganya halima poleni
@Banzok7002 ай бұрын
Yaani we Mbowe unasikitisha sana , yaani umeshindwa hata kumtaja jina Halima kwenye msiba ? Kwel chuki zako za kisiasa zimepiliza ... Hongera sana Mheshimiwa Chalamila
@happynkya97702 ай бұрын
Mteja ww basi
@yosephatMasanyiwa-oh1rl2 ай бұрын
Nyoko kwani mpaka atajwe. Hilo lichalamila lako ovyo tu
@Juma-e8l2 ай бұрын
Acha unafiki wa uchawa
@romanamassawe8142 ай бұрын
Chalamila umjui Alima mdee vizuri, hizo sifa unazompa mdee Hana hizo sifa
@frankngoloka54162 ай бұрын
Kweli kabisa walimu wa Shule ya msingi waheshimiwe
@ndaroGamba2 ай бұрын
Kwamba umemfuata Halima kwa sababu ya utundu wa siasa alionao😮 Kumbe mlimpa utundu ili aisaliti Chadema na leo mnaneemeka na huo utundu?
@illomowerner76902 ай бұрын
Amenikera sana Chalamila Albert, RC wa Dar, anasema sababu za kwenda msibani kuwa ni sababu tatu za kumpenda Halima Mdee na SIO mama yake(Marehemu), amegeuza msiba kuwa sehemu ya kampeni, imeniuma sana. Eti mwishoni ndio anasema ameenda Kwa dhamana ya uongozi, very stupid.
@ndaroGamba2 ай бұрын
@@illomowerner7690 This is kind of stupid and idiot leaders we have in the country!.Nchi inaongozwa na walevi!
@piusmdoe32002 ай бұрын
@@ndaroGambakwakweli ni shida
@illomowerner76902 ай бұрын
@@ndaroGamba kweli kabisa ndugu yangu
@festokemibala58322 ай бұрын
Mpoki aksema "Wasifu wa marehemu hata uwe mnene kiasi gani, huwa haupigiwi makofi.."😮
@JovinPeter2 ай бұрын
Chamila ni kuku wa kisasa Ana lelewa na mama samia ila hafai kua kiongoz kali zake azina tija kwenye taifà
@ErickAlipipi2 ай бұрын
Mungu akupe nguvu kamanda mh. Mdee
@deborahmgedzi6322 ай бұрын
R.I.P. Mama.
@JovinPeter2 ай бұрын
Hivi huyu chalamila kwanini mama anamlea sana huyu hafai kua hàta balozi wa nyumba kumi
@mkurangacnajemasabatochane46262 ай бұрын
Mawazo ya changizo
@George-jz3jg2 ай бұрын
Yaani hata wewe kimaro unaongelea halima kuchangia gari huo ni ujinga na uache ujinga unapokuwa kwenye mambo mhimu kama hili
@PhilipoMwita-b2x2 ай бұрын
Kwakweli nashindwa kuelewa halima ni ccm au chadema lissu aliwakataa kabisa Hawa COVID 19 ila mwenyekiti anaona hakuna haja ya kuwakazia
@ThobiasMarandu2 ай бұрын
Nyie Ma- Sycophants Wa Lissu Mnakuwa Kama Maga Cult...So Msiba Una Uhusiano Gani Na Siasa.. Walioenda Msiba Wa Lowassa Wote Walikuwa CCM? Kajifunzeni Siasa Kabla Kabla Hamjaanza Makundi Uchwara... Its Ok Kumshabikia Lissu na Kumtaka Yeye Kwa Nafa Yoyote BUT ITS NOT OK KUDHALILISHA WATU NA KUFANYA KILA KITU NI ABOUT LISSU... WOW! Inakera Hasa Mnapowakosea Respect Watu Wengine in The Name of Lissu... IT MAKES ME SICK! Ukizingatia Hao hao Kwa Ground 90% Atawahitaji.
@FikiriniMwaluko2 ай бұрын
Hawa imani yangu naona kama bado wapo chadema na wanakipenda chama sioni wakijiunga na ccm ila ni mazingira tu wasamehew