WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...

  Рет қаралды 117,393

Global TV  Online

Global TV Online

8 ай бұрын

WAKILI PETER MADELEKA ni POLISI! AFUNGUKA KUHOJIWA UTORO KAZINI - ASEMA YEYE ni ZAIDI ya IGP...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 289
@globaltv_online
@globaltv_online 8 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@africanuskimario1409
@africanuskimario1409 7 ай бұрын
Hongerababa
@josephatbwakome5711
@josephatbwakome5711 8 ай бұрын
Ukiwa umesoma na kuelewa vitu unakuwa na full confidence, Lowasa hakukosea kusema elimu elimu elimu.Congratulation wakili msomi Peter Madeleka
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 7 ай бұрын
Uyo bangi zinamzumbua
@fatmakiponda8170
@fatmakiponda8170 6 ай бұрын
Ama kweli ukimuamsha aliyelala utalala wewe...
@leonardkinanda3284
@leonardkinanda3284 7 ай бұрын
Hongera kwa spirit ya kuwapambania watu wengine ! Mungu anawapenda watu kama wewe Doctor peter
@salumntulo1589
@salumntulo1589 7 ай бұрын
Unaweza kuta ni usalama wa taifa
@user-jh4hg2ev9s
@user-jh4hg2ev9s 7 күн бұрын
Tunakuheshimu na tunakupenda kwa kutumia taaluma yako kutetea watu.
@gasperswai6963
@gasperswai6963 8 ай бұрын
Hongera kaka! Hiyo ndiyo raha ya kuelewa mambo!!! Hadi rahaa!! Kaka unajua mambo mkuu!!!
@marianmartin7483
@marianmartin7483 7 ай бұрын
Kichwa kizuri sana hiki. Safi sana. Madeleka akili nyingi.
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 8 ай бұрын
Very inspiration, natamani nikasome sheria, kwa manufaa yangu na jamii yangu. Huyu ndiyo maana halisi ya wakili msomi.
@godsson5954
@godsson5954 8 ай бұрын
nilikua sieleag mtu akiijita wakili msomi sasa huyu ni wakili msomi pasipo kujiita hayo maneno HUYU NDO THE REAL WAKIL MSOMI
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 8 ай бұрын
Dah cc tunatafuta ajira kwa nguvu lakini kumbe kuna watu wameajiriwa na hawataki ajira zao dunia round about bhan tutafute hela vijana
@eddyjabry6939
@eddyjabry6939 6 күн бұрын
I agree with you Peter! They did to me too and they destroyed my identity and my life… I’ve been living overseas since
@felixsamford4168
@felixsamford4168 7 ай бұрын
Huyu br yuko vizuri sana zaidi ya sana tanzania tunahitaji vichwa kama hvi
@musanzowa8988
@musanzowa8988 8 ай бұрын
Wale wote tuliosoma Luka 3:14 mikono juu!
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 8 ай бұрын
INCHI TAMU IKIWA NA WATU KAMA HAWA❤❤❤❤❤❤
@user-hj3ky9zy6y
@user-hj3ky9zy6y 8 ай бұрын
Mh madeleka nakuku bali Sana mungu akubaliki
@noelkipera6581
@noelkipera6581 8 ай бұрын
Jamaaaa linajua hadi raha respect madeleka
@jumamagoma1743
@jumamagoma1743 8 ай бұрын
Akili.kubwa.huyu.sio.bashite.nape.mwigulu..na.vilaza.wegine.big.up
@user-bc8gj8uk3g
@user-bc8gj8uk3g 8 ай бұрын
Huyo mwamba huwa namkubali saaana kwakujiamin kwake kajb kwa jeur saaana kamanda wa police wa mkoa nivitu vidogo saaana salute mwamba madeleka
@user-ol5ih9wh1p
@user-ol5ih9wh1p 7 ай бұрын
Wow so good 💪🏻💪🏻
@EleziaNzowa-el7gi
@EleziaNzowa-el7gi 7 ай бұрын
Yaa inaleta raha sana kuwa na watu waelewa kama hawa katika nchi yetu, safi sana wakili madeleka mungu awe nawe daima
@jacobpatrick7936
@jacobpatrick7936 7 ай бұрын
Nikachukua mkoba wangu nikaondoka zangu,hii kauli imekaa ki mamlaka sana
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 8 ай бұрын
Knowing the law is a part of protection.✌️
@simontamba2189
@simontamba2189 7 ай бұрын
Thats why they don't teach from childhood Coz they will not rule us
@jamesukombozi5216
@jamesukombozi5216 8 ай бұрын
Madereka ni mtu mwenye akili nje na Elimu ya shule
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 7 ай бұрын
Jamaa anajikubali Kwa fact sana, bigup msomi
@LuganoPondo-km8ub
@LuganoPondo-km8ub 8 ай бұрын
Kweli wanaotuongoza Hawana uwezo wa kufikiri,na wenye uwezo wa fikra wako nje ya madaraka
@Asajile490
@Asajile490 6 ай бұрын
Tatizo wananchi Na ccm yao
@makongoronyerere1564
@makongoronyerere1564 4 күн бұрын
Hata mm nakuamin
@godsonkilua7738
@godsonkilua7738 8 ай бұрын
Nakukubali sana wengi wanakosa haki zao kwa kutokujua sheria , Mungu akutangulie ktk huduma yako
@mashannapapaaa9582
@mashannapapaaa9582 7 ай бұрын
Hongela Sana
@emmanuelsitayo1977
@emmanuelsitayo1977 7 ай бұрын
Brilliant discussion learned counsel.
@RajabJuma-pe9ml
@RajabJuma-pe9ml 7 ай бұрын
Yani mkuu ukitaja police dam mpaka inanisisimka mana walisha nipiga bilakosa walidai Mimi nimzururaji nikawaonyesha kilakitu nanilpo Toka lakn nilpgwa huyo askari police mpaka Leo nikimuangalia mh! ila Haina shida
@simontamba2189
@simontamba2189 7 ай бұрын
Pole mzee
@michaelmabula7444
@michaelmabula7444 7 ай бұрын
Yupo na kazi maalumu
@JuliusMtunguja
@JuliusMtunguja 8 ай бұрын
Unafaa hata kuwa mbunge ukatetee wananchi jimboni mwako. Hongera.
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 8 ай бұрын
Huyu kapitiliza vyeo vyote Ana akili ya kizidi cheo cha Rais na sio lazima uwe mbunge kutetea wananchi
@mmewaswida
@mmewaswida 7 ай бұрын
Inachekesha kwa kweli, hasa hizi behavior za polisi wetu
@bonifasimichael1320
@bonifasimichael1320 7 ай бұрын
Upo sahihi wakili.mungu amewaandalia makao mazuri pamoja na mh. Mwabukusi
@damaka_
@damaka_ 6 ай бұрын
education
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 8 ай бұрын
Hao police wa Arusha hawana uwezo wa kumhoji Wakili Msomi madeleka ,sawa na Waziri mkuu amhoji Rais
@user-kw3oc8np6o
@user-kw3oc8np6o 8 ай бұрын
siyo kila kitu lazima ucoment bro
@majidukalokola7253
@majidukalokola7253 8 ай бұрын
Madeleka na Mwabukusi wanafaa wajiunge na Chadema kisha wagombee ubunge, ndipo wapate jukwaa safi la kupambana na wabadhilifu serikalini.
@manilabonalumanula9210
@manilabonalumanula9210 8 ай бұрын
Ni kwl, lkn si hadi wachaguliwe? Ama Chadema ndiyo wameunda/wataunda serekali? 🏃🏃
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 7 ай бұрын
Huyu ni jasusi.Serikali ina siri kubwa sana.
@venancemwarabu7168
@venancemwarabu7168 7 ай бұрын
Upo sahihi
@michaelboniphace3685
@michaelboniphace3685 8 күн бұрын
Hana ujasusi wowote
@omaryngurangwa8241
@omaryngurangwa8241 6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Acha waende kichwakichwa tu😅
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 7 ай бұрын
Wakili mahiri zawadi kutoka kwa Mungu hongera sana mtoto wetu na wakili wetu. Mungu akubariki sana na akuongoze daima maana uko vema kabisa mbele za Mungu na walimwengu. Binadamu hawakuelewi isipokuwa wale Mungu atakaowafunulia. Ni mtu wa pekee mwenye karama ya pekee. Ni mkweli na muwazi ndiyo maana upo shujaa. Mungu azidi kukulinda akupe baraka nyinginyingi sana Madereka unaaminika hata anayekutazama TU anakuamini kabla hujaongea naye. Tuanazidi kukuombea kila la kheri katika maisha Yako.
@user-pj7ng8il4t
@user-pj7ng8il4t 8 ай бұрын
Brilliant man
@user-vy5ei1xl4p
@user-vy5ei1xl4p 7 ай бұрын
Elimu ina mhimu sana katika maisha ya sasa
@geraldmadirisha2100
@geraldmadirisha2100 7 ай бұрын
Nadhani Sheria ina umuhimu sana katika maisha ya sasa kwa kuwa bado watu wengi wenye Elimu wanateseka
@user-le3oc2xz1f
@user-le3oc2xz1f 7 ай бұрын
Uko vizur sana hongera
@bensonlameck6348
@bensonlameck6348 7 ай бұрын
Smart sana
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 8 ай бұрын
Madeleka na Jeshi la polisi hawana tatizo wala ugomvi wowote kati yao, wanaolipamba jambo hili lionekane kama kuuuuubwa ni waandishi wa habari
@starjay3052
@starjay3052 8 күн бұрын
kweli police 👮 sio kabisa kama mimi siwapendi police na naraani ata siku mwangu akiwa police yani mimi sio baba yake police baada ya kusaidia watu wao wanakandamiza watu
@GalusChikawe
@GalusChikawe 8 ай бұрын
I'm on ..
@starjay3052
@starjay3052 8 күн бұрын
😁😁 nimewapiga chini
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 8 ай бұрын
Sasa masaa 24 ndani ya PGO jumlisha miaka sita ya bila maulizo na walimweka ndani kwa sababu ambazo hazikutajwa na mlengwa madeleka hii sikama walimpa go ahead bila kelele wana sababu zao hawa hawapo serius na pia hatakama jeshi ni moja lakini mwenye mamlaka ya kuita huyu jamaa ni mkuu wake kule Zanzibar maana alipotelewa na mtu ambaye naye pengine alijua aliridhia upotevu wake
@NeemaLieda-qz3kd
@NeemaLieda-qz3kd 8 ай бұрын
Huyu jamaa angestahili kuwa mkufunzi mkuu wa chuo cha maofisa wa polisi Tanzania anauwezo mkubwa sizani kama yupo mkubwa wa.polisi a.mbae anaweza kupiga nae michi
@FridayMwassa
@FridayMwassa 7 ай бұрын
Kwa mifumo yetu ya kumsujudia watawala wala msingemjua,kuna wanasheria wengi sana nchi ungejaribu kujiuliza kwanini hawasikiki wala kujulikana
@samwelkessy9129
@samwelkessy9129 8 ай бұрын
Safi sana kaka
@josephgitagano4533
@josephgitagano4533 7 ай бұрын
Excellent Advocate.
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 3 күн бұрын
Ukijua sheria raha sana
@furaha7154
@furaha7154 8 ай бұрын
Ok sawa
@michaelmwalimu6057
@michaelmwalimu6057 8 ай бұрын
Wana sheria bwana
@mdemualphonce1559
@mdemualphonce1559 8 ай бұрын
Madeleka mungu akulinde
@HamisSaid-uc5jm
@HamisSaid-uc5jm 8 ай бұрын
Boss nimekukubali sana natamani niwe karibu nawe nijue mengi
@hamisinamulya8810
@hamisinamulya8810 8 ай бұрын
Bright man,mungu akubaliki
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 8 ай бұрын
Raha ya kujua sheria ndiyo hiyo
@kwasmokweka9598
@kwasmokweka9598 8 ай бұрын
Madeleka oyeeee
@mgegebrand
@mgegebrand 7 ай бұрын
Salute kwako Wakili
@user-ev2sm1rg4t
@user-ev2sm1rg4t 7 ай бұрын
Mungu akulinde peter
@_don777
@_don777 8 ай бұрын
Kama umeona Genius Gonga like
@enockmbise
@enockmbise Ай бұрын
Kweli wangu.
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk 5 күн бұрын
❤❤
@wanatangawaja6397
@wanatangawaja6397 7 ай бұрын
Mwenyezimungu akuzidishie
@DoganJagard-dn2sk
@DoganJagard-dn2sk 8 ай бұрын
Madereka unafaa uwe katibu mkuu chadema
@subetizaid6515
@subetizaid6515 8 ай бұрын
Huyu jamaa kweli msomi
@ThomasKajiru
@ThomasKajiru 7 ай бұрын
Subirini akifa na kuanza kusomwa risala yake ndio mutaijua Tanzania 🇹🇿 vizuri
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 21 сағат бұрын
Hiki kichwa ni muhimu sana kuingia Bungeni kikitokea Jimbo lolote. Wanaokubali hili wekeni like hapa.
@elisaabraham-xr5zj
@elisaabraham-xr5zj 8 ай бұрын
Hongera kaka
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 8 ай бұрын
Kaka nimekukubali sana kwa majibu yako
@elinazijonasi2957
@elinazijonasi2957 8 ай бұрын
SHULE imebakia silaha ambayo wakati Fulani watu wameitumia kwa manufaa mapana binafsi ya jamii na kinyume chake pia
@alexurassa
@alexurassa 7 ай бұрын
Nimekuelewa sana madeleka
@tazamamaajabuyaulimwengu2786
@tazamamaajabuyaulimwengu2786 7 ай бұрын
Jamani mwenye namba ya huyu wakili naomba anipatie
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 8 ай бұрын
Hawa mapolise wamekuwa kanakwamba hawakuzaliwa na wanadam hawana roo ya kibinadam
@YusuphSadallah-um4sp
@YusuphSadallah-um4sp 7 ай бұрын
Fact ✌️
@user-ph2tk3cy9s
@user-ph2tk3cy9s 8 ай бұрын
Kweli kabisa
@johngibson3089
@johngibson3089 8 ай бұрын
Asante Wakili
@meckitilidatushabe
@meckitilidatushabe 7 ай бұрын
Big up bro
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 7 ай бұрын
Wewe mpaka sasa wee ni jasusi ilo halipingiki
@user-le7pv1wo2j
@user-le7pv1wo2j 8 ай бұрын
Mmmh
@edgarmbehikya8150
@edgarmbehikya8150 8 ай бұрын
Congrats
@starjay3052
@starjay3052 8 күн бұрын
😂😂 awezi kua na jeshi makini alafu wasijue platin kamanda yupo wapi apa ndio nimesitisha kua atuna jeshi makini na kila siku nasema sasa mmemsikiliza wakili msomi madeleka nakubali sana mzee
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 8 ай бұрын
Chumaaaa hikoooo
@zakayomasingoti9238
@zakayomasingoti9238 8 ай бұрын
This is fact
@user-fx9wv7wk5b
@user-fx9wv7wk5b 8 ай бұрын
Namimi mdogo wako ezekieli nakupa bigup pambana
@askofkibwe6106
@askofkibwe6106 7 ай бұрын
Sheria ya kweli ni ya Mungu t
@dicksonfrank5098
@dicksonfrank5098 7 ай бұрын
Duuu🙄 ww n kiboko najua uongo uliojificha utaenda kuwekwawaz kupitia ww, Mungu akubarik sanaaaaa kk naumenenavyema sanaaaaa Police 🚓 wamekuwa n wazulumu hakil za watu🤐
@user-ey8cb3wu9h
@user-ey8cb3wu9h 7 ай бұрын
Kama unajua ni raha sana hongera zako
@user-nz9wf4bf2u
@user-nz9wf4bf2u 5 ай бұрын
Nakukubali
@asalitamu5182
@asalitamu5182 7 ай бұрын
Safi
@adilhabib8988
@adilhabib8988 7 ай бұрын
Uliletwa kwa ajili ya mashekhe wetu
@askofkibwe6106
@askofkibwe6106 7 ай бұрын
Nimekuelewa
@josephinarobert3325
@josephinarobert3325 8 ай бұрын
Siyomtoro wanataka kumsumbua
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Kaka nimekupenda mno mno , ila sasa watu wana woga kukuunga mkono kukomesha uovu uliopo, yaani Tz ingekuwa paradiso kama haki ingetendeka kisawasawa
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 8 ай бұрын
He could be a sword
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 8 ай бұрын
Kaka modereka ongera sana na mungu ataenderea kukulinda
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 8 ай бұрын
Na wewe...siyo modereka ni Madereka pia siyo ongera ni hongera....shule mhimu
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 8 ай бұрын
Hii dunia ni ngumu sana
@user-om2uq8vs6o
@user-om2uq8vs6o 8 ай бұрын
Madereka hoyeee
@michaelabrshamsaidimu367
@michaelabrshamsaidimu367 8 ай бұрын
Madeleka huwa hakurupuki,kwakua si mvivu wa kusoma
@fredyfile623
@fredyfile623 8 ай бұрын
Yaani kichwa kimoja cha madeleka nisawa na karibia vichwa vya police wooote yaani kweli police woote hata wameshindwa kupeana ushauri kuhusu hili swala mpaka wanakuwa kama mabata hahahaha
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 8 ай бұрын
Kwahiyo unatuaminisha kwamba madeleka amepata akili akiwa nje ys polisi? Ndani ya jeshi la polisi Kuna vichwa vingi tu bt havijaexpose public bro. Madeleka huyu umemjua baada ya kutoka ndani ya polisi otherwise usingelimjua kama unavyomjua......
@ibrahimutuwaamiri9163
@ibrahimutuwaamiri9163 2 күн бұрын
NAJILAUMU SANA KUTO KUSOMA SHERIA
@user-xy2hf5pl5y
@user-xy2hf5pl5y Күн бұрын
Madeleka uko sawa kabisa ulipwe hali zako zote
@widimaelimushi
@widimaelimushi 7 күн бұрын
Tunakuomba uwezekuwasaidiya wantanzania, kwanjia kujiunga chama kikumwabwa Kama chadema utakua umetusaidi Sana.
@AbdallahDotto-ik4ni
@AbdallahDotto-ik4ni 7 ай бұрын
Yes BIG up madeleka
@johnyusuph3221
@johnyusuph3221 8 ай бұрын
Akili mingi
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 12 МЛН
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 70 МЛН
MTANZANIA ALIYEKUWA WA MWISHO DARASANI ATOA MTAJI WA MILIONI 10
32:25
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 12 МЛН