SC P. Kibatala, hiyo ni kazi ya Mungu unafanya. Kazi ya haki ni kazi ya Mungu ambaye ndiye mwenye haki na mtoa haki. He is the Ultimate Judge!
@Rakim-y2z2 сағат бұрын
Hongera bro mungu akuhifadhi sana akupe umri mrefu una talent kutoka kwa Allah alhamdulillah mtetezi mungu akulinde..
@kalebiestomihi2 сағат бұрын
mungu.akubariki.sana tupo.pamoja.kiongozi
@CharlesMarupa2 сағат бұрын
Hongereni mawakili, Mungu awabariki.
@salomeurio5602 сағат бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa WEMA WAKE, na kwa UTETEZI KWA BONI.. MAOMBI SANA KWA TAIFA LETU PENDWA, ❤❤
@jizzomonster2 сағат бұрын
Hongera sana brother wew ni legend
@OSCARMWAIBAMBEСағат бұрын
Hongera Sana kaka, nawapongeza mawakili wa chadema.... Haki imeshinda hata kabla!
@esthermakelemo28642 сағат бұрын
Hongereni Sana mawakili wa CHADEMA, hongereni Sana Wana CHADEMA
@salomeshongola16972 сағат бұрын
Hongereni mawakili kwa kazi zuri.Mungu azidi kuwalinda kuzibariki kazi zenu.
@JosephineKabuka2 сағат бұрын
Yaaaniiii hakika sijui nisemeje zaidi ya kumshukuru Mungu!❤
@MfunjoWabaBoydaysСағат бұрын
@@JosephineKabuka KWA Kila jambo liwe baya ama zuri nikushukuru Wala tusikufuru ☮️
@BullahSambigaСағат бұрын
Safi kamanda💪
@MIKAMTALUMATV2 сағат бұрын
Mungu akuangazie nyinyi ni watu muhimu sana.
@LoitushulYamatСағат бұрын
Hongereni sana mawakili wa wananchi
@maryfranknamkumba91822 сағат бұрын
I can’t thank God enough for your realise today Bon. We love you sana tu. Congratulations for your double achievement. Hakika Our Daddy God is so loving and faithful ❤️🙏🏾
@MfunjoWabaBoydays2 сағат бұрын
For his release not 'realise' ok boy
@MicahGhloloj-bs4cyСағат бұрын
@@MfunjoWabaBoydaysko we ukaona unajua kumrekebisha ukamwita Mary Boy !!!😂😂😂😂 Pole hakuna mkamilifu duniani hata we mkosoaji umeingia chaka😅😅😅
@SylvesterKameoСағат бұрын
Absolutely correct, God is good!
@neemannko20402 сағат бұрын
Wakili upo vizuri!!! Nakuamini sana,, hongereni sana na MUNGU awe mlinzi wenu. Amen 🙏
@binsherbal60892 сағат бұрын
Alhamdulillah, Alhamdulillah, Alhamdulillah. Hatimàye Haki imeshinda. Pongezi kwetu sote wapenda Haki. Hakika Allah yuko pamoja na wenye Kusubiri. Subra ndo kila kitu.
@MfunjoWabaBoydays2 сағат бұрын
ALLAH AKBAR ALLAH QUAREEM 🎉❤
@walidmgonja3644Сағат бұрын
Toa ujinga wako hapa,hujui hata maana ya Alhamdulillah unajiramkia tu
@SelinaJuma-c7t2 сағат бұрын
Safi sana mkuu
@Fatima-v9k6fСағат бұрын
From 🇧🇮 Alhamdulillah kama umetoka salam
@CatherineJohn-uo1tq2 сағат бұрын
Mungu ni mwema
@RaibebeBebe2 сағат бұрын
i yaani nchi hii wanazidi kuionesha Dunia kua si salama
@FelisterBazil3 сағат бұрын
Mungu akulinde
@MfunjoWabaBoydays2 сағат бұрын
ALUTA CONTINUE CHADEMA PEOPLE'S POWER🎉🎉
@rasnchimbi2 сағат бұрын
Hizo nguo zilochanika zikusanywe zikajumuishwe kwenye jumba la makumbusho,ikiwemo gari la Lisu na nguo zake na vinginevyo💪🏿
@JosephineKabuka2 сағат бұрын
Mungu ni mwema sana mdogo wangu hongera sanaaa hakika tunasomba mbele!!!
@AyubuChacha-u6u2 сағат бұрын
Hongeren sana mungu amesaidia sana na mahakama wamefanya haki kwa hilo mungu awabariki sana na haki iyendelee kupatikana hivyo hivyo imebaki katiba mpya na usimamizi wa kura za serikali za mitaa tunaomba tume huru isimamie uchaguzi wa serikali za mitaa mungu awabariki sana tunawaombea sana mahakimu na mawakili wote wanaoendelea kutetea haki za tanzania amina.
@robertphilip385Сағат бұрын
Amin Amin Tata Chacha
@RamadhaniKitala-gx6wcСағат бұрын
Daah honger kwa ushindi wa uwenyekiti honger sana kwa kutoka
@bernadetamushiСағат бұрын
Hongera ndugu upo vizuri
@ErastoSimba-Tz2 сағат бұрын
Mungu ni mkubwa 🎉🎉🎉🎉🎉
@nmatuja21912 сағат бұрын
Mungu yu pamoja nawe.ubarikiwe sana bon yai
@MagdalenaMagere2 сағат бұрын
Mungu yu mwema.
@saidiotham7508Сағат бұрын
safi sana
@MeryKimaro-s2t14 минут бұрын
Hongera sana na pole sana jamaa yetu
@josephmkinga950919 минут бұрын
oooooooooyooyoyoyoyoyooooooo kutoka bariadi simiyu hongera bon j uuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@sondajohn1371Сағат бұрын
Hongereni
@MeinadKikalugaa-hb6ll3 сағат бұрын
Dah!! MUNGU AKUBARIKI SANA BON YAI
@musa-v3f2 сағат бұрын
Mahakama zetu ni Dhaifu na sio huru Boni alitakiwa kuwa nje kwa dhamana toka siku ya kwanza
@BungeyiSaiboku2 сағат бұрын
Pole sana ndugu yangu
@LoiteyoAmakoMako57 минут бұрын
Mungu ni mwema 🙏
@emmanuelmayunga1518Сағат бұрын
Hongera bro,usichoke kuisaidia jamii
@ArijunKiwango2 сағат бұрын
Hong era kaka mungu katenda
@cylousjeremiah3768Сағат бұрын
Hongera sana kaka
@AlexGarnacho-g4gСағат бұрын
Make sure you are have confident and respect form Mr
@JoyceKabula-in1sh28 секунд бұрын
Mungu akubsriki sana kwenda huko ilikua njia ya mungu uwasaidie wengine barikiwa sana we ni mfano wa kuigwa barikiwa baba asante sana
@mengindegeya27803 сағат бұрын
Kwenye hilo mungu hatakuacha
@saidiotham7508Сағат бұрын
wakati wa mungu ndo wakati sahii
@leokamil62847 минут бұрын
Hongera sana Mawakili, Bonn uwe na ulinzi mkali badilisha mazingira kuepuka watesi wako .Pole sana
@lisawilliam2491Сағат бұрын
go chadema 👋 ! mama must go
@batonbernald9164Сағат бұрын
Umeenda jera kwa kusudi la mwenyezi Mungu. Ili baadhi ya wafungwa wapate dhamana,hata kuachiriwa, Mungu akujarie mafanikio kwa sadaka uliyo itowa.
@hellenngwilla5502 сағат бұрын
Mungu akubariki sana sana
@yaronaWilliam28 секунд бұрын
Mungu awatangulie mawakili, teteene haki za wanyonge Mungu atawabariki!
@AloyceJacob-w7r49 минут бұрын
Mungu mwema siku zote
@YohanaMgungu2 сағат бұрын
fact sanaa mkuu
@iddyekanda64562 сағат бұрын
Hii nchi inaongozwa na viongozi waoga hawajiamini
@NaomiAlex-h6k2 сағат бұрын
Mungunimwema
@alizanzibar15862 сағат бұрын
Bro ALLAH AKUONGOWE
@LemaliMeyasi-r4c2 сағат бұрын
Tupo pamoja kamanda
@FocusmachumuMwizarubiСағат бұрын
Nafurahi sana
@davidsibejo491651 минут бұрын
Wengine tukitoka jela maisha tuna amua kumkabiidhi mungu wew ndio kwanza unataka ukomboe na wafugwa engine wew ######
@rithaurassa2 сағат бұрын
Kwa PAMOJA tumshukuru MUNGU na pia tushukuru MAWAKILI WETU MUNGU awape afya njema.
@danielmwanguku2898Сағат бұрын
ALUTA CONTINUA ✌️
@melichmahingule28962 сағат бұрын
HONGERA SANA MHESHIMIWA KWA KWENDA JELA, BILA WEWE HAO WATU WASINGEPATA MSAADA, KILA JAMBO LINANKUSUDI MAALUM, MUNGU AKULINDE
@wanguwangu3430 минут бұрын
Mimi nashangaa sana wasomi wa tz nafikili Bado hawajui sheria, hivi mtzania ndani ya nchi yake lazima azaminiwe na barua ya SERIKALI za mitaa na lazima wawe watumishi wa umma, je watanzania wanaofanya idara za umma na binafsi siyo watu,tz hakuna sheria Bali tuko CHINI ya ukoloni na anyesema tz ilipata uhuru muongo
@sultanalnaamani215651 минут бұрын
Hongera boni Hongera kibatara
@BossiLaizer45 минут бұрын
Uzalendo wa hali ya juuu, tatizo sio polisi wetu ni ..... Ila Mungu yupo
@Brunotarimo103 сағат бұрын
Maria sarungi amesema kuna mpango wa kuifungia Jambo tv
@JauarySilvesteryМинут бұрын
Wawoooo mungu ni mwema Kila wakati
@MtanganyikaTanganyikaСағат бұрын
Good is good
@DiwaniMwafongoСағат бұрын
Oyooooooo!!!! Ku. Mbafu Sana maCCM!
@akramissa33932 сағат бұрын
✌️
@julianajeremiah43532 сағат бұрын
Ongera
@shabanijimmy36324 минут бұрын
Iyo ndio chadema ninayoijua mimi... Peeooople!!!
@Brunotarimo103 сағат бұрын
Haki imetendeka
@ezekielmadindula2679Сағат бұрын
Hilda nakuona😂😂😂
@TomasiklistophaMwinuka2 сағат бұрын
Hawajui tu Sisi tulio wengi tunaikubar chadema ila wao waupande wapili wanalazimisha wananchi tuwakubali wao kilazima ,nashukuru jopo lamawakili kukulifatilia swala la Boni Jakobu tunakupenda Rudi nyumban tunakuhitaji sana uwepo wako tuko pamoja
@hassanrashid-l3u2 сағат бұрын
Ni kweli kaka mapenzi ndo yalivyo ccm wanalazimisha upendo
@mussakimaro55882 сағат бұрын
kukomoana tu hii nchi
@davidmalogo71002 сағат бұрын
Ila jitaidi kujilinda au ulidwe mana huku kutekwa naiona kama Bado hisia jitaidini mana anaweza kutekwa mungu msaidie boni
@dicksonkilupa225858 минут бұрын
Hivi ni kwa nini Oystabay kila wakati?
@GeophreyMsombaСағат бұрын
❤😂❤
@dicksonkilupa225846 минут бұрын
HONGERA MAWAKILI, HONGERA WOTE WENYE MAPENZI MEMA NA TANZANIA, HONGERA BONFACE YAI. MUNGU NI MWEMA SANA , WATAJULIKANA TU MAANA WANATAPATAPA. UHAI NI MALI YA MUNGU.
@Yussuf-b3b4 минут бұрын
Mapambano yaendelee ,chadema ni chaguo la watanzania, CHADEMA OYEE
@JAPHETJOSEPH-b6e2 сағат бұрын
Tibaijuka see her
@MashaMwakindangiСағат бұрын
Yan kukaa kote ndani hajakonda hii kali😂😂
@MfunjoWabaBoydaysСағат бұрын
@@MashaMwakindangi watu wanapenda wamekonda na wanarudi Wamenene
@MashaMwakindangi13 минут бұрын
@@MfunjoWabaBoydays nimeshangaa lkn haisi alijua atatoka tu Kwa hakuwa na presha
@thadeusmahendeka44662 сағат бұрын
MWAMBA SANA
@SharifWilly-w4s2 сағат бұрын
Boni yai mngu ni mwema na ataendelea kutenda kaza but mkuu
@AngelSamsoni2 сағат бұрын
Juakali
@christosiadanieli65122 сағат бұрын
mbona kazi yake iko hai 3:22
@esromkanubo81549 минут бұрын
Kibatala ni mashine
@musa-v3f2 сағат бұрын
Boni Yai kashachukua ubunge wa Ubungo
@Kachuba-w9pСағат бұрын
Hizi ndio sheria za kipolisi dunia nzima ukishikwa papokwapapo jinsi ulivyo ndio unakamatwa police hawa time yakukusubiri uende kubalidilisha
@KudraWanguvu-em1xw22 минут бұрын
huwa mnajitafutia matatizo kwa faida ya mwenye saccos
@muhsinikoki40609 минут бұрын
wefala nini
@hamidmussa8382 сағат бұрын
Kwnni uwe uchii?
@LoitushulYamatСағат бұрын
Nashauri mawakili watembelee mahabusu wajue mahitaji ya mahabusu ili kuwangalia namna ya kuwasaidia.
@starbusinesslikondo1833Сағат бұрын
Naona Kuna jamaa kamtekenya mama pale nyuma mwenye macho ataona😂😂😂😂😂😂 mama ana maji kibao
@sultanalnaamani215649 минут бұрын
Kibatara mola akulinde
@SundaySteven-bz4yq2 сағат бұрын
Kweli tusikamatwe na kutekwa kama kuku tutembee na filimbi maana Hawa watekaji wanakuja na vifaa watu wanaosema wanarinda raia na mali zao
@BullahSambigaСағат бұрын
Jmn embu wawaache watu wawe huru kuchagua chama ukipendacho kwa nn mnanyima uhuru wa watu maana ya demokrasia ni nini?
@BossiLaizer36 минут бұрын
Mawakili wa upinzani Wana akili nyingi sanaaaaaaaaaaaaa
@calvinsande511628 минут бұрын
Hivi mawakili wa serikali walifundishwa na waalimu waliomfundisha mwamba kibatala au
@Hemedmikole-r9eСағат бұрын
Pipose power
@MohammedAwadh-gq9si2 сағат бұрын
Itabidi urudi tena ukae siku mia ili uokoe watu 10 0 na wengine kama wewewajitokeze waende jela siku kadhaa ili watu wachomoke