Mwalimu wangu ndacha nimekupata vizuri mungu akubariki sana.
@CherieDeDieu Жыл бұрын
Mungu akubariki Ndugu Ndacha kwa kazi yako nzuri. Neno lake Yesu litasimama! Shetani ameshindwa katika jina la Yesu Kristo! Kila goti litapigwa na kila ulimi litakiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa ufukufu wa Mungu Baba. 😊
@louisejeanne17602 жыл бұрын
Kwa kazi hii mwalimu Ndacha ulikuwa mtu wakukaa sehemu ya heshima sana kuliko hawa manabii wasasaivi.Mungu akuinuwe mwalimu na kukulinda
@navokisembo2 жыл бұрын
Huyu mwalimu wa kiislamu yaani anakimbia maswali anajibu vitu hata havihusiki duh hajielewi.
@jobmethusellahke43452 жыл бұрын
Mjadala mboga sana kwa mwalimu wangu Ndacha
@WAISLAMUNIWAPINGAKRISTU-yz7pd6 ай бұрын
Kweli pastor Ndacha anaongozwa na Roho Mtakatifu!!
@moseshandsam18652 жыл бұрын
Thanks ndacha kwa elmu nzuuuri wafunze sir ndacha 🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭 we are watching 👀👀👀👀👀
@KoomeNzima-lp4ql Жыл бұрын
Amen
@ignasmalema83542 жыл бұрын
Wapige kwa maandiko tu mwalimu Ndacha ,wanajifanya hawaelewi, lakini wanaelwa na maneno yako yanawachoma
@realtom61992 жыл бұрын
i don't understand your language oooo but man of God, God richly bless you
@stemlute Жыл бұрын
Islam is a forced religion, the followers are not free to think, tafathali acha kutumia kiarabu wafuasi hawaelewi
@paulduke67122 жыл бұрын
Waisilamu wamepatikana
@stemlute Жыл бұрын
Huyu shekhe haelewi ukristo kweli, ukristo ni baada ya yesu, mifano yote yake ni ya torati, waliomkubali Yesu, wakabatizwa ndio wakristu. majini walikubali Quran sababu ni kitabu Cha Mungu wao ibilisi
@isharabangaya5455 Жыл бұрын
I'm Congolese, I'm watching you son of God, may God keep protect you,u always talk the truth,unajuwa sikuizi watu Wana chukiya ukweli Zaidi ya uongoo,
@RECOLONIZE_RIGHT Жыл бұрын
shehe ameanikwa aka kauka
@justineomweno49172 жыл бұрын
Kila time kuomba watu pesa waa uislam ni tabu tu
@gideonlangat50352 жыл бұрын
Roho mtakatifu ya uslamu -ni majini..
@zamirumbwambo38342 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu mungu akubariki sana
@casaica29932 жыл бұрын
kimeeleweka vizuri waislamu na majini ni brothers
@adlainekamonya-ic2kq Жыл бұрын
waislamu wamehurumisha😅😅😅😂😂😂😂😂
@margaretmargaret57442 жыл бұрын
This world 🌎 is never balance Never trust someone too much by the end you will find a strong 💪abig Earthquake
@ashadiramo Жыл бұрын
Nyny ndio mko dunia ingine mmepofka.😢 Laiti mngelijua mngeslimu nawapia
@FridayMwassaАй бұрын
Wewe unayeabudu jiwe jeusi unalipi la kuwafundisha watu wa kitabu,tusilimu ili tuabudu na majini?
@munyokimakau. Жыл бұрын
Waisilamu wanahubiri badala ya kutoa haya za bibilia ama qoran eti wakristo tunasema shetani toka kila sunday....wapi kwa bibilia inasema ivyo Asante dacha nigepata number yako nigeku m-pesa 200 saa hii
@mepo17952 жыл бұрын
Sidano ya mwalimu ndacha imewaingia waisilam mpaka mwalimu wao ametabataba kweli
@themessage35082 жыл бұрын
Hakika MUNGU YUPO NDANDI YETU
@samuelmweipongwe1402 жыл бұрын
Nimeupenda sana huu mjadala kwa sababu una undugu ndani yake, ucheshi pamoja na mafundisho. Mungu awabariki sana ndugu zangu, katika nyinyi tunajua mbichi na mbivu.
@leydaihal93322 жыл бұрын
Hahaaa nimekwama hapo kwa majini nichotwe eti salamu wanasalimia majini na hawamuoni.
@@user-wf3vy4jt3e leta la kwako kanisani uone kama hayatoki😀😀😀
@user-wf3vy4jt3e2 жыл бұрын
@@davidmnyela2459 tokea yesu alipo paa mbinguni kila jumapili wakristo mwatoa mapepo kanisani hisabu ni mwaka wangapi sai mwayato na hayaishi hili langu ndio utaliweza...langu lasubiri yesu arudi nyinyi wengine ni propaganda tu kanisani
@muhammedsuleiman21372 жыл бұрын
Wako majini waislam na makafiri lakini hakuna jini mkristo maana ukristo cio dini ya Mungu . Majini hawajui ukristo ila wanajuwa uislam na walioukataa uislam wamekuwa makafiri mojakwamoja wala hawafuati dini za kupangwa na wanadamu hahahahahahahaha mit wanyama na ndege na wadudu woote wanamjuwa Allah muumba wao lakini hawamjuwi yesu wala ukristo .paulo ..muanzilishi wa ukristo
@samutykuntathebantu84022 жыл бұрын
We kafiri majini ni wachafu na Hawana husiano na Mungu
@fredrickgitonga19722 жыл бұрын
Majini ni viumbe walio laaniwa na MUNGU
@muhammedsuleiman21372 жыл бұрын
@@fredrickgitonga1972 inawezekana sana lakini c Mungu aliumba mbingu saba ardhi sana na vilivyomo . Yeye anasema ameumba watu na majini ili wamuabudu ukiacha kumuabudu yeye ndio unaingia katika laana . Ukiskia usafi ujuwe kinyume chame ni usafi na ukskia pepo wachafu ujuwe na wasafi wapo ..sasa wewe lete andiko majini wote wamelaaniwa
@navokisembo2 жыл бұрын
@@muhammedsuleiman2137 majini ni malaika wadogo wa Lucifer sasa wanasalije na ninyi? Mungu alishamlaanj Lucifer sasa unadalije nao? Jitafakarj
@muhammedsuleiman21372 жыл бұрын
@@navokisembo kwa imani yako lakini kwa uislam hajalaaniwa kila afuatae amri za Mungu maana Mungu hamzulumu yoyote mpaka ajizulumu mwenyewe so iblis alipewa fursa akaikataa na jini yoyote au binaadamu akimkana Mungu amejipoteza mwenyewe ..amejilaani mwenyewe.kisha Mungu nae ndio anamlaani . Unauliza tunasali vipi na majini , wewe umewahi kumuona jini? Umewahi kumshika jini kwa mkono? Lakini kwa mujibu wa ukristo laana cio kitu kibaya maana yesu alifanywa kuwa laana.