MASHAALLAH, hakuna binadamu asiyekuwa na kasoro lakini ALHAMDULLILAH amejitahidi Allah alivyomuwezesha tumejifunza mengi ALHAMDULLILAH alichokosea Allah amsamehe
@lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын
Allah Amrehem Sheikh Nassor Bachu, Allahumma Amin ya Rabb 🤲
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Amin
@jumakumala1337 Жыл бұрын
ALLAH amtilie nuru kaburini mwake sheikh wetu wa ki sunnah , na amlipe pepo ya juu kabisa amiin
@faisalmohamed7273 жыл бұрын
ALLAH amuhifadhi amrehemu sheikh wetu.
@sabihamakami37203 жыл бұрын
Allah akurehemu shekhe nassor bachu 😪😪😪😪
@omysule7118 Жыл бұрын
Alhamdulillah. Allah akusamehe makosa yako na akulipe kila la kher, sheikh wangu mpendwa namba 1. Tuunashkuru pia kwa kutuachia dhahabu ambae ni mwanao
@chulululicious60612 жыл бұрын
Tulipoteza sheikh mkubwa sanaa ..nmejifunza mingi sheikh wangu ..Allah akurehemu sheikha nassor bachu
@suhel52093 жыл бұрын
Allah akuweke salama ulipo ustadh al marhum Bachu.
@salmaalisalim24622 жыл бұрын
MashaaAllah alikuwa shujaa sheikh nassor Allah amrahamu
@maseledotto84903 жыл бұрын
Allah amjaalie kila la kheir huko akhera alipo
@salimmbwana6926 Жыл бұрын
Allah amrehemu na amsamehe sheikh wetu .
@mhogomchungu71683 жыл бұрын
Yoyote anaemuabudu asiekua Mwenyezi Mungu mmoja Subhanahu Wataala atakua si muislam, na yoyote anaemshirikisha Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala na yoyote katika ibada zake, dua zake na ufalme wake huyo pia atakua sio muislam
@kombomakame7547 Жыл бұрын
Allahumma ghufirlahu warhamhu filnannah
@ramadhanomar80933 жыл бұрын
Sijaona kama sheikh nassor bachu east Africa...eee mola mrahamu sheikh wetu
@tigersterling54173 жыл бұрын
Ya Rabbi murehemu sheikh wetu na wanachooni wetu wote.
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Amin
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Amin
@cath-ef7wd Жыл бұрын
Amin
@abubakarmpole40003 жыл бұрын
Mungu amrehemu Sheikh wetu
@kitosio3 ай бұрын
Mtumaji. ALLAH AKULIPE KILA KHERI
@mahengomwenyewe42043 жыл бұрын
Allah amrehem shekhe wetu kipenz salafi wa Zanzibar
@ramadanismail3052 Жыл бұрын
Ameen Yarab
@hamicpina115111 ай бұрын
Xio xalafi Sunna
@ALIKHAMIS-un4fv3 ай бұрын
@@hamicpina1151ni salafi sheikh nassor
@hamicpina11513 ай бұрын
@@ALIKHAMIS-un4fv sio salafi mjomba maana hakuwa na mambo yakubishana yeye ilikuwa anatowa daawa na sifa ya salafi ni kushindana mambo ya hoja weeee adi kazi ya mtume kzi ya kumtangazia ALLAH kwa wasio mjuwa na kulingania wasiomuabudu ALLAH kwa salafi haipo wao mambo ya hoja tuuu kwa shekh nassoro hakuwa mtu wa ivi yeye ni daawa tuu na kuufundisha umma misingi ya dini bx
@jardiniddy32053 жыл бұрын
Allah amrehemu .Allahuma thabit'hu bi qauli tthabit
@mohammedsalim70513 жыл бұрын
ALLAH AMREHEMU SHEIKH NASOR BUCH
@bjzee19813 жыл бұрын
Hata MI nisha fundishwa na nina hakika wengi tumesha kaa mbele ya ma ustadh wa bid'a. Ila kwa kudra za Allah akatufunulia elimu zaidi yaku tofautisha Kati ya hawa washirikana na watu wa Sunna
@husseinfunga32722 жыл бұрын
Rahmahullah Sheikhe Nasoro Bachu
@jumaomar76022 жыл бұрын
Alla akurehemu akusamehe dhambi zako
@eaduruus88963 жыл бұрын
Assalamu Alaikum. Sheikh Muhammad, tunaomba utuwekee duruus za Tamaamul Minnah zilizofundishwa na Sheikh Bachu Allah amrehemu, ili tuweze kustafidi kielimu, baarakallahu feekum.
@lacroquetalacroqueta68133 жыл бұрын
Allahumma Amin ya Rabb 🤲
@ayubumagumu43863 жыл бұрын
Allah amrehemu sheikh
@zuheorsalim77593 жыл бұрын
Hakuna alieweza kuwazungumza vizuri mashia km shekh qasim allah amuhifadhi
@vitalcool92663 жыл бұрын
Sababu wewe ndivyo ulivyokaririshwa
@zuheorsalim77593 жыл бұрын
@@vitalcool9266 hapna huo ndo ukweli hao wengine wote KAZI Yao ni matusi tu
@habibuchipeka79343 жыл бұрын
We nawe una matatizo
@khalidmussa37693 жыл бұрын
Wewe umeanza kusikika mada za mashia kwa qasimu lkn kuna kina sheikh Saalim barahiyani wamezungumzia sana kuhusu mashia
@zuheorsalim77593 жыл бұрын
@@khalidmussa3769 barahiyan nae ni shekh 🤣
@safinahighschool21793 жыл бұрын
Mungu amrahamu shekhe Nassor na amjaalie kizazi chake kuwa katika kundi la wafuasi (Shia) wa Mtume s.a.w na ahlulbayt na swahaba zao wema. Amin
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Nyinyi mashia ni makafiri
@abdulazizi2475 Жыл бұрын
Kumbe kikundi loh!!!!
@sakinat25273 жыл бұрын
Allah amraham sheikh bachu
@rehemasalim45903 жыл бұрын
Amiin mzee mwenye busara zake ila huyo mtoto kisunzi😄😄
@sakinat25273 жыл бұрын
@@rehemasalim4590 umeonaee yani anabusara japo tulikua wadogo akifariki ila clip zake zipo kwa sasa KZbin tunamfatilia
@sakinat25273 жыл бұрын
@@omaar5693 😀😀😀😀
@abdillahbakar98503 жыл бұрын
Allah amrehemu akhera aliko
@bizuwena6233 жыл бұрын
ALLAH AKULIPE KHERI KILA ULIPOPATIA.NA AKUSAMEHE ULIPOKOSEA KWA JUHDI YAKO.
@husseinfunga32722 жыл бұрын
Aaamin
@wailusebea35112 жыл бұрын
Allh amrehemu shkh nasoro bacho na amsamehe
@husseinfunga32722 жыл бұрын
Aamin
@idrisaaly35573 жыл бұрын
Kaka usichoke kurusha video za sheik wetu marehem Nassor bachu Allah akulipe kila la kheri na nichukue na fursa hii kumuombea dua sheik Nassor bachu Allah amlaze mahali pema peponi (amin)
@iddijumaali71923 жыл бұрын
Shukran
@aliabdallah4523 жыл бұрын
Allah amsamehe na ampe rehma zake , lakini weka mpaka mwisho ili tufaidike
@suleimanjuma44433 жыл бұрын
Assalamu Alaikum. sheikh naomba uiweke yote na sheikh ukipata nafas hebu tuelezee na kusihana madhehebu ya salafii.Allah amrehemu sheikh wetu nassor bachu
@khamismachu96123 жыл бұрын
Mashaallah mungu amrehem
@NoorAli-vj4gn3 жыл бұрын
Ameen
@maseledotto84903 жыл бұрын
Amiin
@adamtawete58652 жыл бұрын
Allahmdullilah ala manhaj Sarafi
@hannanshekale55743 жыл бұрын
Ni babako huyu sheikh muhammad
@abdulmalickupete90153 жыл бұрын
Nani ana mzushia ushia shekhe wetu
@allysalimsalim49653 жыл бұрын
Huyu sheikh Allah angempa pumzi paka SAS hv kwa uwezo wa Allah tungefaidika Sana ila Allah ndo mjuzi zaid ya hilo
@abdallahomarabdallah42443 жыл бұрын
Allah anafanya mambo yake kwa mipango alimuondoa Nassor Bachu akamleta Muhammad Nassor Bachu nae huyo amefuata nyenendo za baba yake Allah amuhifadhi na amueke anapo stahiki sheikh Bachu.
@sultannassor48683 жыл бұрын
Tunahitaji muendelezo
@hassanmsangi41497 ай бұрын
ushia ndio ukweli
@meekman6543 жыл бұрын
Tupeni muendelezo
@bilalihaji84313 жыл бұрын
Hajanikinaisha kabsa yannnnnn
@ishakafaki3501 Жыл бұрын
Kwani nikulize wewe Muhammad bin bachu Una sumbuka naninii? Pia ikiwa ushaudhihirishiaa UMMA kwamba hii ndio batili na ipi ndio HAKKI usibabike na hao wanao watoa watu na kuwakufurisha watu. #Usibabike#
@ayishaayisha80533 жыл бұрын
Shia ni muslamu au ni nani.naomba ijibu?allah atulinde waisalmu wite duniani atupe mwisho mwema.
@rashidyusuphmwatebela88023 жыл бұрын
Shia so muuslamu, Wao hawamuamini ALLAH ambaye tunamuamini sisi, ALLAH ambaye Mtume wake wa mwisho Ni Muhammad na khalifa baada ya Mtume huyu Ni Abubakar. Bali wao wanaamini maimamu wao 12, wanasifa za kiungu, na Kujua ghaibu n.k Hakika kwa hayo na mengi, wao so waislamu. Bali wanadai ya kuwa ni waislamu ...na madai pasina uhakika si lolote so chochote
@mhogomchungu71683 жыл бұрын
Yoyote anaemuabudu asiekua Mwenyezi Mungu mmoja Subhanahu Wataala si muislam, na yoyote anemshirikishwa Mwenyezi Mungu Subhanahu Wataala na yoyote katika ibada zake, dua zake na ufalme wake huyo sio muislam
@khamisissa2523 жыл бұрын
@@rashidyusuphmwatebela8802 sahih.
@sittacharlesmaendeleo778 Жыл бұрын
Shia ni kafiri
@abdillahbakar98503 жыл бұрын
Shekh muhammad bachu nakuuliza nasikia chichi amebadilika amekua shia hivi ni kweli