Shekh kwanz Allah akuhifadhi pili we n mtu mzur na muwaz sana tatu upo kwenye ukwel kwahyo we fanya kazi ya Allah hiyo ni mitihan yakukujenga au kukuimarisha Kwan anaeinusuru dini ya Allah na atakunusuru kwahyo ucjal Allah yupo inshaallah
@ahmadabdallah47582 жыл бұрын
Allah akulipe kheri sheikh muhhammad bachu na akuhifadhi akupe na umri mrefu uzidi kutubainishia hawa watu wallahy wameleta fitna kubwa kila mahali walipo wao
Jamaluddine kutoka mssumbij. Sheikh Muhammad daima nakuombea kwa Allah Akuhifadhi zidi ya mahasid na watu wenye chuki nawe, Wallahi natamani niwe mwanafunzi wako....
@abuuirfan95232 жыл бұрын
Allah akuhifadhi na fitna za makhawarij huko msumbiji
@jamaldineali32282 жыл бұрын
Allahumma amiin
@mgazamhina8402 жыл бұрын
Nakuelewa sana Shekhe wangu Allah akupe umri mrefu wenye faida
@mwaramimwarami14792 жыл бұрын
Baaraka llahu fik,raha kuwa na sheikh kijana
@AbdillahSOthman2 жыл бұрын
Hatari sana.. ukiskiza mizozo hii. Allah atuongoze. Kila mtu anajiona yupo sahihi yeye zaidi kuliko mwenzake. Usije ukazungumza na mtu ambae si ktk wao ni mtihani kweli. Fundisheni dini mizozo haina faida. Semeni ukweli.
@bahashachembea69222 жыл бұрын
Kweli kabisa
@masawangandomondo1852 жыл бұрын
Assalamu Alaykum Ndugu zangu Shida nini Sote ni Waislamu. Tunakokwenda Ni Pagumu kwa Hali Tulizonazo. Maana Chuki Inazidi kutawala juu ya Umma. Tumcheni ALLAH Hii ni Dunia tu Tunapita.
@mwinyimwinyimkadam99482 жыл бұрын
Tatizo lenu mnakurupuka sana na mmejipa mamlaka ya kumuingiza Peponi aw motoni mumpendae sasa mnatafunana wenyewe kwa wenyewe
@abdallahmatimbwa56202 жыл бұрын
Maashallah Allah akuhifadhi
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
Katika uongo na talbisat au?, Huyu humpendi wa Allah, Ungekuwa wampenda ungemuombea Allah amuongoze first make ana Makando kando mengi
@ABC-ls7jg2 жыл бұрын
Ni vizuri video iwe moja kwa moja, mbwembwe za mwanzo nafkiri hazina umuhimu. Ushauri tuu.
@mhusinigau3231 Жыл бұрын
Allah anawalipa hapa hapa duniani kwa ifki zenu na Allah ni mwingi wa rehma mwenye kurehemu. Nyie masalafiya mliwapiga vita Ahlu sunna waljamaa mliowakuta mkawatukana mashehe na kuwapachika majina kuwa ni makhurafi nk Allah anawajibu vizuri tu na bado Allah ataendelea kuwadhalilisha na kuwaumbua hadi Kila mtu apatwe na fitna hii mliyoieneza. Hakika mmekosa misingi Bora waliokuwa nao wanazuoni wabobevu wachamungu walioishika nyinyi mmefanya dini km kigenge chenu na kujifaharisha kwa aswabiya. Allah ni mwingi wa kujibu Dua na mwenye kuongoza njia. Mtaendelea kudhalilika tu kwa sababu ya kuwakejeli na kuwafedhehesha watu waliobambana kuipeleka dini ya Allah mbele
@shafiihabibu82592 жыл бұрын
Asalam aleykhum warahmaturullah wabarakhatuhu. Hivi naomba kuulza enyi maduaty wenye ilimu,wenye madai ya kufata kitabu(quran tukufu) na sunna ya mtume Muhammad Swalallahu Aleyh Wasalama hivi hayo matusi yenu ndivo Kitabu kitufu na mtume wa Allah walivolingania kwa kutoa matusi mbona hatuwaelew .na je mnapotoleana matusi jamii mnaifundisha nini au au watoto wenu ndani wakisikia wazazi wao walinganiaji umma mnalingania kwa kutoleana matusi wao wanajifunza nini kutoka kwenu wazazi?
@abdulhalimahmed20711 ай бұрын
ALLAH AKUHIFADH BARAKALLAHU FIYK
@abrahamansaidi86312 жыл бұрын
MPUUZI WEWE TULIA ACHA UJINGA SIO KILA MTU ANAJIBIWA HUYO ABUU IDD ANAHOJA ZAKE MIAKA MITATU MLISHINDWA KUJIBU
@seifmohd53572 жыл бұрын
Mpuuzi mwenyewe Huyu ni shekhe kuliko hao mashekhe wako wa kijadida baradhuli mkubwa we
@ibrahimjumaa538 Жыл бұрын
Hii ni dini na sio siasa Weka heshima kidogo Na usitumie matusi.
@ibrahimjumaa538 Жыл бұрын
@@seifmohd5357 msimrudishe matusi
@abbaspaziaog218811 ай бұрын
Mwambieni huyo jaahili murakabu salafiya.jadidah
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Awa wanaotukana unakuta wale majadida maamuma hawajui maana ya salafi wasameheni tuu,
@ibrahimomar10732 жыл бұрын
Nakupenda KWA ajili ya Allah sheikh Muhamad Bachu,ila unaniudhi hapo KWA kutaja masheikh KWA majina yao bila kuanza na sheikh,eti kina Nurdin Kishki kina salim barahiyan Bahero na Abu Qatadah,tukiacha mbali ki ilmu ni wakubwa zako ki umri wataje KWA adabu.
@ibrahimjumaa538 Жыл бұрын
Hapa naunga mkono
@amerwelder7786 Жыл бұрын
Uyu jamaa anakibri sana anajiona yeye peke yake ndo mwenyew elmu,
@Alkaburu2 жыл бұрын
Wallah mwenye elimu ni yule anae unganisha watu sio kuwagawanya. Sheikh tunakuheshimu kama tulivyo muheshimu sheikh Nassor.
@muuminiabubakari69852 жыл бұрын
kijana iyo ni tabia ya masufi kumueshim mtu kisa mzazi wake hali yakua mtu mwenyewe anatetea watu wa batili
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
@@muuminiabubakari6985 hujielew wew
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
@@muuminiabubakari6985 wabainushw ao watu wa batili
@Mathsconcepts4952 жыл бұрын
@@mahfoudhcalender2747 Ama ustadh Muhammad bachu anakuwa baadhi ya wakati anatetea watu wa bid'aa na hii SI ktk misnlingi ya elimu.Kama baba yake shk nassor bachu Allah amrehem ALIKUWA kwenye haqqi HAIMAANISHI KWAMBA YEYE POA NI MTU WA HAQQI BALI HAQQI NI KWA DALILI SHEKHE. Na kuwekwa wazi watu wazushi ni katika dini قال الشيخ البربهاري (........رجل زل عن الطريق وهو لا يقصد خيرا فلا يقتدى بزلاته) Amesema imaam Al barbahaari (.....kina wtu wawili mtu aliyepotea njia ya haqqi lakin ALIKUWA hakisudii kher(na hakijamfikia ubainf)basi uyo afatwi Bali yupo mwengine kabainishiwa haqqi na akawa hafati uyo ni mwenye kutahadharizhwa na hafai .Kwa iyo ni ktk dini kubainishwa watu WAPOTOVU na sio kugawa umma mufti Kwan lazma haaqqi iwe wazi na baatwil iwe wazi Nadhan imeeleweka
@husseinabdul79482 жыл бұрын
Tufanye toba saana leo tunaonekana umma lkn mbele ya Allah s.w.t yawezekana vingine leo c kwa sis magomvi umma mkubwa uko nje unaritadi watu wanakufa bila karima c tumegangana na mambo hya hya tu.
@madinamumin66892 жыл бұрын
Allah Kareem, Raheem.
@shekhmansoor54212 жыл бұрын
Maashaallah Allah akuhifadhi shekh wangu. Alafu hili kanzu lako nimelipenda nalipataje?
@@mahfoudhcalender2747 Ahaha nani aumie kisa Sufi kamzungumza?
@NinoNino-fm8dr2 жыл бұрын
M/Mungu azidi kukuthibitisha akhy
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Mashekhe watazania mnatukosha sana mmetuweka katika madhala penye kuwashuku katika dini kwanini kwenye misikitini hakuna darsa inayofundisha dini ila NI kufundishana darsa za wanawake na wanaume badala ya kuelimisha watu dini
@hamadimussa21192 жыл бұрын
Mche Allaah
@jumamahmoud92712 жыл бұрын
Ktk suratul Al Isra m/mungu anasema kua,sema kweli imefika na uongo umetoeka na kwa hakika lazima uongo utoweke.kiufupi kama tutaweka ushabiki pembeni sheikh muhamed bachu yupo ktk haki ana dalili na hoja nzito tena ana jiamini Kwasababu yupo ktk haki kilicho baki labda tuendele na matamanio yetu ya nafsi na kuleta ushabiki.
@mgazamhina8402 жыл бұрын
Uko sahihi na ndio maana hata akiwafuata hawataki kuonana nae,hiv kweli dhama za wema waliotangulia walikuwa hivyo kweli.
@amirzamir4832 жыл бұрын
Unahamu ya raddi sikunyingi hujapata raddi mtoto mdogo kujitia ktk makundi ya watuwazima utaumia ww.
@seifmohd53572 жыл бұрын
Mtoto mdogo ni wewe ulokuwa kidevu laini
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
unawazinu wew
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Jamaa anajazba atakuwa jadida nae
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
Kumuweka Sawa Muhammad Bachu no.1 kzbin.info/www/bejne/p4XTfXWchJd7r68 Mzungumzaji: Al Akhy Fahdi Hanein (Hafidhwahu Allah)
@shafiikimaro94692 жыл бұрын
Allah awaongoze nyote ktk haqq na thabata kisha muipende dawwa ya haqq.
@bahashachembea69222 жыл бұрын
Aamiin yaa Rabbi
@abuuaiman95752 жыл бұрын
huyu mohamed bachu atawachanganya wasio taka kusoma rudi kwa maswahaba alafu tia maneno yake utaona huyu sio salafi kabiiiiisa ila tatizo ujinga watu umewaajaaa
@ausatmwangi646411 ай бұрын
Maskini ya Mungu hawa ndio wema wa siku hizi ama vitimbi tu😢😢
@seifkhalfan31902 жыл бұрын
Sheikh naomba umjibu sheikh Abul Abbas kwanza kisha ndio umfwate sheikh qassim mafuta
@OmarOmar-wx9zg2 жыл бұрын
Amjibu kitu gani tena wewe kipofu wa moyo na kiziwi wa masikio na mfupi wa kufikiri? Haya alio ongea Bin Bachou ume yaskiliza hadi mwisho na kuyafahamu au ndio kina waleeee. Hahahahahaha
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Mafuta na genge lake la kijadida rudi ini katika mstari wa kweli mnaangamiza umma na kupasuwa safu za sunna Awana lolote usalafi upo mbali ni wao kabisa
@eng.saalim86462 жыл бұрын
Sasa cha ajabu hapo nini. Hayo maneno ya 2018 na sasa ni 2022. Watu walikuona ww ni salaf ila sasa umejtoa. Shida ipo wapi?
@adenifuyuush49912 жыл бұрын
HAHAHA KILA UKIONGEA NDIO WAJIWEK WAZI KWAMBA HUNA KITU KWENYE MANHAJI. QASSIM MAFUTA ALLAH AMHIFADH ANAKUUMIZA UKIMYAH WAKE NA WAUMIA SANA.
@sadatlucas40452 жыл бұрын
haha NILTAK KUSEMA PHRASE KAMA HII...
@Mathsconcepts4952 жыл бұрын
Shk hii ni kwel kabisa huyu anadhani Kwamba shk abul fadhwl ana kundi lake wakati SI kweli huyu anadhani Kuna salaf jadiida wakat manhaj ya salaf ni ileile! Ni ajabu Wallahi Tunamnasihi UST Muhammad bachu kwamba shk qaasim sio mtu aliyenae ni salaf Bali anayemfata manhaj ni salaf
@OmarOmar-wx9zg2 жыл бұрын
Nyinyi sijuwi tuwaweke kwenye kundi gani? Wajinga. Wapumbavu. Viziwi. Vipofu. Mamwehu. Madudu. ??????? Inaonesha hata akili za kujiongoza nyinyi wenyewe hamna. Hahahahahahaha
@Mathsconcepts4952 жыл бұрын
@@OmarOmar-wx9zg Sasa mufti Aya mambo yapo kielimu siyo jazba na kutusi Aya mambo yapo kielimu قال الله تعالى (ولا تقف ما ليس لك به علم إن السمع والبصر والفءاد كل اولئك كان عنه مسءولا ) Allah anasema Usisimamie jambo amalo huna elimu hakika usikivu macho nyoyo vitaulizwa. MIMI SINA ELIMU ILA JAMBO KAMA HULIJUI BORA USILIZUNGUMZE Kwan unapata dhambi mufti Allah atuongoze sote Aaamin
@binkhalifa6956 Жыл бұрын
Endeleen kukosowana ili tujue ili tupate elmu zaid mimi sio mshabiki ila naangalia ukweli ni upi kazi kwemu masheikh
@saadibraahim85612 жыл бұрын
Asalamu alaikum acha mizozo
@user-bp6fb6wo5u2 жыл бұрын
Haya ongeza na barahayani pia ni jamaa yako... hhhhhhhhhhhhh
@ahmadsaidi52922 жыл бұрын
Nyinyi wote ni kundi mbovu,vibaraka kwa makafiri,adui wa umma,wapinga jihad ki Aina,,
@mtesigwasemba24562 жыл бұрын
Shekh umesema kwer walikuwa wakiping jihd kwa mashekh Leo wanatafunana wao kwa waooo na tutaona mengiii sanaaa
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Haya
@akhimansuur20042 жыл бұрын
Shehewangu muhamd bachu mim nakupenda Sana ila unanikera kitu 1 kwani hii kuradiana ndio Nini ? Hem mmoja wenu akikosea kaeni mukosowane sio kuradiana Kam hivi a tabiagani hii
@mohdaly77382 жыл бұрын
Kwaio shiekh mselem kachanganikiwa mana kalenda jelaaa hem naombo jibu
@wakanabardazard6572 жыл бұрын
Uki taka kujua kua wewe si salafi rejelea mihadhara ya al akhiy abul abbasi mbona wa nkankana hapo kwa muhaawiyah
@saidihaji37392 жыл бұрын
Mawahabi wameanza kutafunana wao kwa wao . Wamefarakanisha watu saana .. sasa wanaanza wao kufarakana !! Pmj na kuzozana .. Maskin kila mmoja anajiona yeye na kundi lake ndio wa sawa sawa na mwengine yupo makosani .
@abuufawzaan88972 жыл бұрын
Sheikh mche Allah ,wewe ni mtu wa sunna gani ambaye washirikiana na mtu wa democracy katika da'awa yako ,wakati democracy ni haram na hilo amelieleza Sheikh Uthaymeen Je hizo fatwa za uharamu wa democracy huzioni .Mche Allah Sheikh.
@mgazamhina8402 жыл бұрын
Acha ushabiki sikiliza ugomvi ulipoanzia
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Kama democracy ni haram Mbona vijalimu vyenu havikatai mishahara Wanaolipwa na suliman hawai Masjid qubaa bweni Na huu msikiti kaujenga yy Yani nyie visalafi mavi Mijadida KaI yenu kuugawa umma
@mgazamhina8402 жыл бұрын
Kama democracy ni haramu sasa sisi waislam si tutatawalia mpaka na wajumbe wa nyumba 10 watakuwa wakristo hebu liangalie hilo suala vzr
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
Kumuweka Sawa Muhammad Bachu no.2 kzbin.info/www/bejne/aWbZeYmap6atiZY Al Akhy Sheikh Fahdi Hanein Hafidhwahu Allah. Ahahaha wa Allah huyu kijana Bachu bado mchanga sana kielimu na nimweupe, nawaonea huruma wanao mfuata kichwa mcunga.
@kassimajmus20102 жыл бұрын
Wallah sh:kwa uchanga wakielimu kiasi hicho unachokisema hanao tena ni mpevu sana hajazeeka tu na siku jui ndug yangu lkn kwa huyu kijana nilazima uweke heshima kubwa
@@kassimajmus2010 pili nani kasema hamuheshimu?, Twamuheshim kwa kadri ya heshima anayo stahik, na hii ni kwa Kila mtu hata asingekuwa yeye. Hivyo humo amerekebishwa Wala hakutukanwa au kutoheshimiwa, akitaka kujipandisha zaidi ya anapostahik matokeo yake ndo Kama haya, anakosea Kila nukta Hadi muktadha anaubadili nk
@kassimajmus20102 жыл бұрын
@@abuushaymaatz ww jibu swali kwanza
@kassimajmus20102 жыл бұрын
@@abuushaymaatz nibainishie wapi kakosea kwa mfano
@hamadimussa21192 жыл бұрын
Mche Allaah acha taarabu zako naona waimba tu mashair apo, tuendako utaungana na Akina Mzee Yusuph
@abuunufaysah53282 жыл бұрын
Usalafi upi wadai Akhy?lini ulikuwa salafi?Nani katika walimu wako wamekufundisha misingi ya Manhaj ya salafi?
@mgazamhina8402 жыл бұрын
Acha ushabiki wewe sikiliza ujue ugomvi ulipoanzia halafu upime ukweli
@abuunufaysah53282 жыл бұрын
@@mgazamhina840 soma dini yako kijana, acha kufata matamanio ya nafsi
@hassanmohamedlaizer5692 жыл бұрын
@@abuunufaysah5328 matamanio yapi ya nafsi? Haya ni matatizo ya kufunikwa na mapenzi ya masheikh kwakweli....unapo sikiliza au kufuatilia moyo wako usiegemeze kwa mtu Fulani utapotea akhy
@abuunufaysah53282 жыл бұрын
@@hassanmohamedlaizer569 Misingi ya Manhaj ya salafi ndio ambayo inamtoa Muhammad Bachu kwenye usalafi na siyo jambo la chuki binafsi kwamba aonewa wivu laa!, kwahiyo ikiwa misingi inamtoa katika Manhaj ya salafi kisha akaja mtu mmoja mjinga akasema huyu ni salafi hapo ndipo tunamuashiria mtu huyo kwamba hayo ni matamanio ya nafsi yake na sio misingi ya kisheria,soma Akhy utaongoka biidhinillahنسأل الله العافية والسلامة في الدنيا والآخرة
@mgazamhina8402 жыл бұрын
Nataka unifundishe wewe ndugu ili upate kheli kwa Allah
@aminirashid2833 Жыл бұрын
Wee muhamad bachu baleghe inakusumbua hebu tafuta mke uone kwanza,halafu nenda kasome chini ya wanachuoni
@ummaumona65932 жыл бұрын
Shekhe izo mbwembwe za kurembusha macho vipiu
@fadhilimussa50672 жыл бұрын
Kusema usalafy jadida ni kuali ya kihizbiii ..salary ni moja tu .hebu some someni acheniiii kuwekaa ushabiki na Ligi.na kutafutaa umaarufu kupitiaa dini....
@mohdaly77382 жыл бұрын
Kwaio masheikh ni wanawake wee peke yako mwanamme
@ahmadbadawi96642 жыл бұрын
Kwani ukikaa tu ukaeneza dini pasi na kushambuliana,ukaamua kupuuzia tu je utapungukiwa kitu?
@saadibraahim85612 жыл бұрын
Somesha watu dini acha mizozo
@suleimanmasudi38512 жыл бұрын
Kijana bado kiumri ujakua ,kielimu ujakuwa unateseka kweli
@jumamahmoud92712 жыл бұрын
Hao unaowajua wewe kua wanaelimu basi wanamuogopa uyo kijana ni hatari ndio maana anakwambia yuko teyar kwenda kukutana nao lakini wao wenzake hawataki.
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
njoo wew utoe darsa bac
@mzeerajab91542 жыл бұрын
Kwani kuna lazima gani ya wewe kukubaliwa Mafuta.Unafanya kazi ya dini kwa ajili yake au kwa ajili ya Mwenyezi Mungu?Inashangaza sana!!
@bahashachembea69222 жыл бұрын
Swahiih kabisa
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
Nani kasema akubaliwe na Mafuta? Ni yeye tuuh na wasiwasi zake. Sheikh Abul Fadhwil anajibu maswali kulingana na Hali ya huyu kijana bado hajawa Mtu wa Sunnah
@ommarallyhamad7435 Жыл бұрын
Mashekhe wetu wa zama hii ,hawajajuwa matakwa ya Uislaam katika jamii. Huku kutengana kwa sababu yoyote iwayo NI kupingana na Allaah (SW) kwani ametuamrisha kwamba""Wa'itaswimuu bihablil Laahi jami'a walaa tafarraquuw"""!!! Mnatengana kwa manufaa ya nani. Hayo NI matamanio yao na upotovu mkubwa!!! Acheni hizoo
@manhajisalafi83552 жыл бұрын
Hatary hii sanaa ww tatixo lako ni mkusanyaji wa kuni xa usiku unachanganya tuu hujulikani sunna wala hixbii
@rajabmohamed99352 жыл бұрын
Hawa Mafuta Wawili ni Masheytwaan Wamekuja Kuharibu Dini...
Ahahahahahahahahahahahaha Ndugu Bachu Wewe ukijitambua Sio kuwa ni Mtu mbaya, ni kijana mzuri tuuh, ukijirekebisha na ukafuata haqi, tatizo huna msimamo
@Mathsconcepts4952 жыл бұрын
Naam mufti ni kwel watu awajui uhakika wa دعوة السلفية wengi Huwa wanadhani ni kundi kumbe sio kwel alaf wakinasibisha kundi Kwa shk qaasim mafuta Allah amhifadhi
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
@@Mathsconcepts495 Hii ni manhaji salafi, haiwezekani ukawa na wazushi mara ushirikiana na mahizib ktk daawa alafu ukawa ktk Haq, pili Huwezi ukawa uwanusuru wazushi juu ya watu wa haqi
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Usiache shekh wangu shekh muhammad bachu Kutetea huu umma mpaka allah akufishe Kwa sababu ww unawaita watu katika umoja na sio kuwagawa
@abdulrahmanhusseinsalim4404 Жыл бұрын
Hao hawana sababu yoyote ya msingi ya kutengana na wewe. Lengo lao ni kutengeneza kundi kwa malengo wanayoyajua wao
@allyjaffar70722 жыл бұрын
ANATAFUTA KIKI...HUENDA LENGO LAKE NI KUTAKA KUONGELEW KAMA WANAVYOONGELEWA WAZUSHI WENGINE
@omarmohamed3125 ай бұрын
mnatutia aibu. mnatoleana maneno ambayo hayapendezi.
@swalehemusakiluwa94052 жыл бұрын
Wanachuoni wanasemaje kuhusu kumrecod mtu bila yeye kujua au bila ridhaa yako,
@mgazamhina8402 жыл бұрын
Yani simu ya kwako na matumizi upangiwe,kama ndio hivyo hata ukitaka kumpigia mtu simu mpe taarifa kwanza akurusu.
@mgazamhina8402 жыл бұрын
@@abuuammar4924 Ukiuliza swali la dini kwa ajir ya kufahamu uwe na hiyo nia,lakini ukiuliza kiushabiki haitakusaidia kitu,ni hivi simu ni mali yako hupangiwi matumizi unapangiwa na Allah kupitia Quran na Sunnah,sasa jambo la kumrecod mtu unarecod kwa kile ambacho umekizungumza na yeye,kurecod ni moja ya kupata mawaidha kwa maana hiyo sio mpaka upate ruksa kutoka kwake kitenda cha yeye kupokea simu ni ruksa tayari kwakua asipotaka anaweza asipokee.Allah ndio mjuzi
@zaharahassan78732 жыл бұрын
Bado hujawa mwenhu.
@user-qy2sr6uh4u Жыл бұрын
Nyote ni mawahabi😂😂
@user-dj8bs1sm4w11 ай бұрын
Allah awamalizie mbalini mufsdiin nyinyi
@hamzajkagoma93062 жыл бұрын
Allah akuongoze Muhammad macho huwa unajarib kuifanya manhaj ya salafi inachanganya haki na baatwil, Kwan ww huwa unaonekana na vikundi vingi ambayo hata huyo ibn Uthaimiin amekwenda navyo kinyume mf matabligh nk ila ww unawaona ni wazuri NA MASHEKH WAKIKIRUDISHA KATIKA USAWA UNAONA UNAONEWA! MUOGOPE ALLAH NA USOME USIJIONE UMEFIKA
@lunjeramadhani12952 жыл бұрын
Anatuzalilisha sana
@salmaghalib54742 жыл бұрын
We mbona umezidi sana kusema wennzio km charahani
@adenifuyuush49912 жыл бұрын
TUNAOMBA UMPE MIHADHARA ABUU MUAWIYAH KWWNJE MSIKITI BASI AU NDIO WAMTAJ TAJA KISA UMECHARAZWA HIZBI WEW
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
uwo hizb ndio nini?
@ibrahimbenela99512 жыл бұрын
Muhammad bachu watafuta Kiki weyeee
@abrahamansaidi86312 жыл бұрын
Acha kutembelea kiki za mashekh uchwara wewe
@Ethantz2 жыл бұрын
Muombe Allah akusibitish hakh
@sadikisemwali45162 жыл бұрын
Bado hujitambui kijana utayumba sana
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
Acha kuapa ovyo Wewe, una uhakika Gani kuwa huyo Abuu mahawiya anahoja?, Alafu umeyapindisha maneno ya ibun utahaymeen anacho ulizwa vina uhusiano mdogo Sana na na kadhia ya Abuu muhawiya. Kwani Nini maana ya tahadhari?
nyote mko njia ya usawa sababu mmetamka shahada na niwaislaam na ni mashekh wetu ila tu punguzeni kutuchanganya
@saadibraahim85612 жыл бұрын
Makundi ya nini
@manhajisalafi83552 жыл бұрын
Jibuu au jitetee ww jee hushirikiani na watu wabidah acha kujikwexa ww hixiib
@pavillioncry52412 жыл бұрын
Rusha kipande kinacho endeleeeee
@hamadimussa21192 жыл бұрын
Sasa hivi hujagongwa hata na baiskel lakini unaropoka, je ukijangwa hata na Pikipiki si utakuwa mwehu kabisa
@jumamahmoud92712 жыл бұрын
Wale ambao sio waropokaji wanamkimbia sheikh muhamed bachu,wakisikia tuu sheikh muhamed anakuja tanga au anaenda kenya kila moja anakimbia upate wake wanamuogopa ata kuonana nae.
@quranrecitations72672 жыл бұрын
Unajiona habo aaaaaaaa
@zuberibaharia76622 жыл бұрын
Hata mkichukia vp manhaj salaf ni haki. Nawewe ni hzi sio salaf
@hassanmohamedlaizer5692 жыл бұрын
Mtu hawi hzb kwa kwa ku comment youtube
@mgazamhina8402 жыл бұрын
Yeye ni sarafi tena sarafi mwenyewe kabsa,kama hutaki ni wewe,ukiweka ushabiki pembeni utaelewa ukweli
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
acheni ujunga, Tafuta haki na ifuate, usalafi na uathari ni makundi tu yaluozuka.
@ummaumona65932 жыл бұрын
Je? Nikatika Uislam wa2 kurikodiana mazungumzo pasi na yeye kukupa idhni ya jambo hilo
@ahmedrageahmedrage91342 жыл бұрын
Jahilll,,, hujui hata nahwu
@seifmohd53572 жыл бұрын
Babaako mbona hajui nahwu basi yy ndo jahili namba 1
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
manhaj ndio nini?
@twaibumikidadi73772 жыл бұрын
Mm nilmfuata sana huyy Qassim Mafuta na kundi lake baadae nıkagundua kunafitna dhid ya Ahl sunna Allah akupe nguvu Muhammad Bachu maana huongei ila kwa dalili na vielelezo dhaaaabit kabsa. Achana nao hawa jadiida !
@abuunufaysah53282 жыл бұрын
Ulikimbia kusoma dini yako ndio maana bado ujinga wa kutojua haqqi na batili unao, Allāh akuongoze katika sawa.
@sadikisemwali45162 жыл бұрын
Kuwa salaf we kijana la sivyo utapata tabu sana na uhzibiyya wako
@omarmohamed3125 ай бұрын
nyie mnapotosha umma. subhanallah. mnatugawa waislamu. hao wakristo watasilimu kwa haya mnayofanya jamani. muogopeni Allah. kwani kuna ulazima gani wa kumlipa mtu alie kufitini. ina maana Allah hayupo hamumuamini tena. hii mitandao wengi wanaona na wakiona mashekhe wenyew ndio kama wachungaji wataslimu kweli.
HIZBI ZUSHI LA WAZUSHI UNALALAMIKA UNATOLEWA KTK SUNNA SASA HALA HAPOPO HAPO UNATAKA WAKUITE SARAFI HALOO JAMAA KIPOFU WEWE SASA IKIWA JADIDA UNALIA NINI SASA
@jumamahmoud92712 жыл бұрын
Ww umedandia gari kwa mbele.maana hujui chochote
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
hujiekewi ww j4 issa
@yussufhamad37212 жыл бұрын
Mbona kicwangumu huelewi ww bwabwaja ivi iyodini unaifanya kama club ya mpira hivi unaleta mara redi mara yelow sijui ofside ya mchezomchezo kwishakazi ww kiuyako ushajuulikana unahamu ujibiwe na shikh kasim mafuta au humeid ivi wapi na wapi ngamia na mavi ya ngamia
@meekman18052 жыл бұрын
Siri imefichuka.
@mariammohammed8689 Жыл бұрын
Tafuta elimu kwanza
@Mathsconcepts4952 жыл бұрын
Ustadhi hakuna kikundi Cha salafiya jaddida kwani manhaj ya salaf ni ileile na haijabadilika na shk Fawzaan aliulizwa juu ya kundi la salafiya jaddida akajibu kwamba هذا الكلام لا معنى له نعم Haya maneno hayana maana Yan salafiya jaddida.Na salafi SI kikundi maalum قال الشيخ عبد السلام برجس (ومن زعم في ايجاد حزبية السلفية في نمط هذه الجماعات فقد اخطاء ) Kwa iyo salafi SI kikundi labda Cha kina shk qaasim mafuta na wengineo Bali ataemfata manhaj ya watu wema uyo ni salafi. Kwa iyo wakina Abul fadhwl sio kikundi flani Bali yoyote ataemfata manhaj uyo ni salafi shk Nadhan imeeleweka
@hassanmohamedlaizer5692 жыл бұрын
Kuna qauli haija jibiwa mpaka leo nayo no qauli ya uthaimeen ktk شرح الربعين النووي kuhusu umuhimu wa kufuata "njia " ya salafiyyah na sio "kundi" la salafiyyah ( HIVYO BASI ANAYE UNDA KUNDI HUO NDIO UPYA WENYEWE YAANI UJADIDA)
@@abuushaymaatz Soma vizuri nilicho kiandika Kisha ndo ujibu...hayo maneno ya uthaimeen haya jibiki
@Mathsconcepts4952 жыл бұрын
Salafi SI kikundi kama watu wanavodhani ila yeyote anefata manhaj uyo ni salafi كل من اتبع سلف الصالح فهو سلفي ولو كان في عصرنا هذا Ata kama mtu yupo zama zetu uyo ni salafi ukiwa tu unafata manhaj . Kwa kina shk abul fadhwl qaasim mafuta Hawa ni watu waliotangulia kulingania daawa salafiya ila haimaanishi kama WAO NDIO KIKUNDI CHA KISALAFI (Salafiya jaddida) Kwa hiyo icho sio kikundi ila ni watu waliotangulia katika daawa. Na sio Kila kitu anachosema shk abul fadhwl kinafatwa Bali tunaangalia ktk kitabu na Sunnah Hawa sio kikundi Bali waliotangulia tu kwenye daawa na haimaanishi kwamba mtu aliye kinyume na wao katika masaail ni hizbi Nadhan nimeeleweka
@abuushaymaatz2 жыл бұрын
@@hassanmohamedlaizer569 Maneno yake yako wazi, vipi yasijibike na wakati yako wazi. Na Mimi ndo maana nikakuuliza swali Hilo maksudi ili utaje hicho kikundi na utoe dalili. Make Mimi nachokijua ni manhaji salafi Swalekh na ndo Masheikh wanailingania, ukisema hizibu salafiy ni kikundi na Wala hakina sifa za kulingania daawa salafiya Bali wao wajiita tuuh hivyo. Sasa wewe nikakuuliza utaje Hilo, Kama unao wakusudia ni maduat wa kisalafi walioko Tz na Africa mashariki, basi tupe Hilo kwa Dalili kuwa hayo maneno ya ibun utahaymeen yanawalenga wao, ni utoe vielelezo vizr kabisa Lilah
@habibumsasu44812 жыл бұрын
Duuh!, hujielewi mpaka unakera aisee, yaani maana yake hata uhajawira huujui wewe?
@user-qe8xp6ii1u2 жыл бұрын
pitia Hii Hayo unayoyatetea kzbin.info/www/bejne/mGaWgoOrbc-dZ68
@twaibumikidadi73772 жыл бұрын
Hawa wanakuonea wivu ww n kijana mdogo lkn Elimu kubwaa wao bado wanahanya hanya tu hawana lolote papatupapatu
@abrahamansaidi86312 жыл бұрын
Ungekua na akili ungejibu hoja iliyopo mezani sio ooooh dua yafaa ooooh vimepanda vimeshuka jibu swali abu katada ni rafiki yako au laa kisha abu katada ni mtu wa SUNNAH au laa hiyo ndio mada
@mgazamhina8402 жыл бұрын
Mada kashajibu kasema yule ni rafiki yake na hata akifikaga Kenya anapokelewa na yeye,kuhusu SUNNAH kasema yule ni mtu wa sunnah,suala la mtu kushiriki kwenye siasa halimtoi mtu kwenye sunnah,na kama kushiriki kwenye siasa kunamtoa mtu kwenye sunnah basi sisi itakuwa ni waislam wa kutawaliwa ma wakristo maana itakuwa nafasi zote wanatamba wao tu
@mwalimumuhidini15442 жыл бұрын
Mijitu ya batil ndo mlivyo mtakwenda kubishana mpaka mbele ya ALLAH
@mahfoudhcalender27472 жыл бұрын
Batili yaje ipo wap?
@afrahamohamedi6301 Жыл бұрын
Kinachonishangaza kwenu ni kuwafunza maiti(watu wafu) kujibu maswali ya malaika makaburini .