Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani, Amina🙏🙏🌹🌹
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina karibu utazame hazina ya mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika channel yetu.
@sarunioleksaitoty21412 жыл бұрын
I was suuddenly shocked with his death surely I believe that you are rejoicing in heaven! Fr. Mbiku I remember your preaches when I was a student at Mlimani!R.I.P you were a living angel!
@fideliskimati46195 жыл бұрын
Amina
@teddyelieza97804 жыл бұрын
Ubarikiwe baba na asante kwa kutufundisga jinsi ya kuomba
@candidadilemile58824 жыл бұрын
Milele Amina Ahsante sana Mtumishi wa Mungu kwa,mafundisho haya ,hakika nimepata,kitu kizuri namna ya kuomba nitaanza sasa kubadilika wakati wa Kuomba Amina Amina Amina Tumsifu Yesu Kristo
@raphaelkirenga4433 жыл бұрын
TYK. Naomba msaada. Je! Tunamwalikaje Roho Mtakatifu? Na nitajuaje kama amekuja? Naomba msaada huu wa kiimani. Masomo ni mazuri na yanatuimarisha kiimani.c
@homoboniuslongino73685 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri
@magrethaloyce14304 жыл бұрын
Ameen father God bless you
@nattahvanguy3 жыл бұрын
Amen! Sifa zote ziende kwake Mungu mwenyezi. Asante Mungu kwa yote.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@rosemarymwandu64265 жыл бұрын
Asante sana kwa somo hili
@ernestermroso83274 жыл бұрын
Amina
@emmanuelalbano4164 жыл бұрын
Asante kwa fundisho
@aminashaibu77324 жыл бұрын
Asante sana kwa tafakari hii
@maryonchoka1832 Жыл бұрын
Asante kwa kutujuza jinsi ya kusali
@maishayangu92164 жыл бұрын
Shukrani sana Padre mtumishi wa Mungu! Hakika haya ni mafundisho yanayoweza kufaidi wakristu wengi sana. Tumshukuru Mungu kwa fundisho hili na kumwomba pia wengi wapate kulipata hili fundisho. Ninajua mimi limenifaidi kiroho na limeniondolea shaka niliyokuwa nayo kutojua kuomba ifaavyo. Najua litaendelea kunisaidia katika kuimarika kimaombi. Tumshukuru Yesu Kristo
@marygazigile83053 жыл бұрын
Asante baba
@fredlyimo12632 жыл бұрын
Amina sana father mbiku mwenyezi Mungu akupe na kukuzidishia baraka uendelee na utumishi wako sote tunaofatilia vipindi na mafundisho yako mengi tunajifunza aamina...
@alexmfikwa292 жыл бұрын
Amina.... Mtumishi wa Mungu
@josephinengorwe7024 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Father
@angelucyleonard25435 жыл бұрын
Amina sana
@benjaminsospeter71454 жыл бұрын
Fr nashukuru Sana kwa maelezo mazuri ya novena ya siku 54 ubarikiwe Sana baba
@esthermbalale307519 күн бұрын
Milele Amina 🙏🏽 bba upumzike palipo salama
@jmassawe37994 жыл бұрын
Ubarikise sana father
@erastonathan53074 жыл бұрын
Amina father
@theresiathadayo36224 жыл бұрын
Asante sana paroko kwa mafundisho nimeelewa kumbe nilikua namkose mungu wangu
@modestangotezi74824 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu.
@charlottekibacha77253 жыл бұрын
Pumzika kwa amani father Mbiku,kifo chako kimefanyika baraka kwangu,kimenileta hapa,Mungu wetu akupokee kwake,amina.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media.
@christinabageze31884 жыл бұрын
Asante father ubalikiwe kwa mafundisho mazuri
@statisticianwessa39662 жыл бұрын
Milele Amina father🙏🏿🙏🏿
@amenahussien61345 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo Father
@elizabethmwangimaina74185 жыл бұрын
Asatente sana kwa soma fatha☁😘😘☁😘😘☁ 😘😘😘😘😘😘😘 😘😘😘😘😘😘😘 ☁😘😘😘😘😘☁ ☁☁😘😘😘☁☁ ☁☁☁😘☁☁☁ 🇰🇪🇰🇪
@elizabethmwangimaina74185 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@flipaclipanimationz67904 жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@paulosabina10345 жыл бұрын
Asante Sana Father, nimejua mengi kupitia wewe, Mungu Kubariki sana
@paulosabina10345 жыл бұрын
Naomba kuuliza swali father,. Katika Aina zote za Sala ulizotaja(4)zinasaliwa zote kwa wakati mmoja, yaani Kama jioni unafanya zote nne?
@esperancykasogela28924 жыл бұрын
Asante father kwa kutuelimisha
@annaosmond6442 Жыл бұрын
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani.Amina
@josephinedeo64344 жыл бұрын
Amina Baba, hakika napata kujifunza upitia vipindi hivi. Mungu Mwenyezi Akutunze ili tupate zaidi kumjua kupitia wewe🙏🙏🙏
@anyesijacob21533 жыл бұрын
Asante sana kutujuza jinsi ya kusali Mungu akubariki
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@leoniajohn86763 жыл бұрын
Missing you alot dear Fr, Rest In Peace dad
@theservantmedia75663 жыл бұрын
AMEN
@lydianaliaka94794 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@IsakaNyangohe-jl7gj11 ай бұрын
🎉🎉🎉
@augeniamkoko53183 жыл бұрын
Forever in our hearts ♥️
@leoniajohn86763 жыл бұрын
Yes dear
@veronicaalfred57393 жыл бұрын
Ubarikiwe sana BABA angu; Mtumishi wa MUNGU.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@agnessweya45203 жыл бұрын
Asant San mtumish wet mung akutangulie akupe maisha maref ili tizid kujifunz neno la mung kupita wew mtumish wet
@leoniajohn86763 жыл бұрын
@@agnessweya4520 😥😥😥
@zedianagasper94753 жыл бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU aliye hai
@mathildemwangaza1092 жыл бұрын
Tamu
@allanandrea1663 жыл бұрын
amina asante kwa mafundisho mazuri Baba Mungu akubariki sana
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Karibu ufatilie mafundisho yake yaliyopo katika channel yetu
@odettevianney3026 Жыл бұрын
Pumzika Baba. Najua upo Paradiso ukifurahi, tuombee nasi tufike huko!
@ndamomusa35225 ай бұрын
Raha ya milele umpe ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie hakika mafundisho yako yatazidi kuishi nimejifunza jinsi ya kuomba sasa usikute sala zangu zilikuwa hazifiki ila kwa neema to napokea🙏🤲
@happymgasa3876 Жыл бұрын
Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike Kwa aman amina
@mariachannel20473 жыл бұрын
Rest in peace baba yetu
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina
@salometemba52252 жыл бұрын
Mungu akupe raha ya milele na akuangazie mwanga wa milele Kwa maana umetuachia mambo ya kutufikisha ulipo
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Maisha hayaa samajani dada hua nafatilia Dana mafundisho ya huu mtumishi Sasa nastuka wanaposema apumzike Kwa amani Kwa arikwisha fariki? Samajani naomba unifahamishe : naitwa gabriely mdemu nipo zenji asante
@mariamfaicalhassan28903 жыл бұрын
Asante baba
@francinelumuna84702 жыл бұрын
Rest in peace 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️
@maryrehema62283 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa mselezo yako juu ya novena
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
@emanuelalbert32224 жыл бұрын
Asante father,je sisi tunaoishi bila ndoa tunaruhusiwa kufanya novena?na novena ni lazima ufunge?
@catherineluoga62883 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani baba yangu ulinilea vizuri sana kiroho nimeumizwa sana national kifo chako Mwenyezi Mungu akutunze
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina.
@isaacthomas78887 ай бұрын
Pumzika kwa Amani..Baba Mbiku
@humphreylyimo8759 Жыл бұрын
Raha ya milele umpe Baba yetu Monsinyori Deogratias Mbiku Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani.
@marthakilawe92933 жыл бұрын
Tumshukur Mungu kwa ajili yako baba yetu wa kiroho.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@reynaldakizuri44893 жыл бұрын
Rest in peace father Deogratius Mbiku.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina
@maryonchoka1832 Жыл бұрын
Rest in God's hands
@winnermariah3 жыл бұрын
OOOH ASANTE SANA BABA...NIMEJIFUNZA MENGI NTAYAFANYIA KAZI KWANZIA SASA...ASANTE YESU KWAAJILI YAKO
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@mariageoffrey41632 жыл бұрын
Mafundisho yako bado yanaishi mioyoni mwetu. Rest well Baba Mbiku
@anasianamgani67514 жыл бұрын
Jamani Tumsifu Yesu Kristo! Naombeni namba ya simu ya Father Mbiku
@theservantmedia75664 жыл бұрын
0684664446 Fr.Mbiku
@anasianamgani67514 жыл бұрын
@@theservantmedia7566 Asante sana
@nkambapunguja15192 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba yetu❤️❤️💔😭😭
@jacquelinekahamba7872 Жыл бұрын
missing you
@beathalucas11614 жыл бұрын
TYK je ninaweza kusali novena zaidi ya moja ingawa maombi ni tofauti?
@estherdamian60863 жыл бұрын
Habar baba Mbiku naomba namba yako ili tuwasiliane unielekeze vizuri novena ya siku 54 naomba tafadhali
@theservantmedia75663 жыл бұрын
0684664446 Fr. Mbiku
@josephpetermaganga29073 жыл бұрын
@@theservantmedia7566 ok
@charlottekibacha77253 жыл бұрын
Yaan ndio nmeiona hii namba na kwa bahati mbaya hatuko na father tena,nilihitaji pia maelezo ya kina ya novena ya siku 54
Mheshimiwa Msgr Baba padre Mbiku Tumsifu Yesu Kristu. Naomba kuuliza hivi rank ya Abate ni nini katika kanisa? Huteuliwa na nani?
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Asante sana kwa Swali zuri, tutakutafutia ufumbuzi. Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
@lonahsum42494 жыл бұрын
H
@kandidatesha92233 жыл бұрын
Fr naomba niipate hiyo sala ya siku 54 fr
@theservantmedia75663 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/aZKudn-QfM5ra5Y hii hapa novena
@aronmapunda17834 жыл бұрын
Tatizo dini ni sumu Kwa mtu mweusi, dini zimetutenganisha na MUNGU WA KWELI.
@salomecaroly55342 жыл бұрын
Kama dini zimekutenganisha na Mungu wa kweli unatumia njia gani ili upatane na Mungu wa kweli???.neno dini humaanisha njia inayokuunganisha na Mungu ili uurithi ufalme wa Mungu Sasa unataka nn utumikie Mizimu au Shetani bas kuwa wa Muovu Ibilis au Mwana wa Mungu hakunaga option nyingine ni hizo mbili njia ya opotevuni na ya kuelekea uzimani.
@francoisekabanyana4444 жыл бұрын
Natowa jambooo baba tafauti gani kati ya sala na maombi nisaidie sana
@felisterligwa4 жыл бұрын
Françoise Kabanyana Sala inajumlisha Maombi Kusifu Kuabudu Kushukuru
@veronicaalfred57393 жыл бұрын
Francoise kabanyana; sala maana yake ni kusifu kuabudu, kutukuza na kuomba, yaan kw mf; zile sala amazo zmemoeleka tunazisal kila siku; Maombo ni kutoa hoja zako kwa MUNGU, shida yako yoyote ile uliyinayo au inayokusumbua, unaipeleka kwa MUNGU, yapo maombi nyenyekevu,na maombi ya kivita ktka ROHO unapambana nayo kiroho kwa kumshirikisha Yeye aliye JUU.
@veronicaalfred57393 жыл бұрын
Au baada ya sala zako, kama vile kutubu dhambi, kusifu kuabudu kutukuza, unaweka maombi yako sasa unayoyataka wewe il MUNGU akusaidie.
@aronmapunda17834 жыл бұрын
Pamoja MUNGU WA KWELI ametupa uhuru wa kuamua tuwe na mwelekeo gani, sasa nafasi hii mmechukua kwa masilahi, kama Waroma, Wayahudi bandia wale wa Palestina, Waarabu, walituletea miungu ya kwao na mkaipokea nakumainisha ndugu zenu bila uhuru kutunganisha na MUNGU WA KWELI, mnatuabudisha miungu ya wageni. Tukiwaita ni wapinga KRISTO tutawaonea ?
@salomecaroly55342 жыл бұрын
Unamaanisha nini tengeneza wewe na Mungu wako hayo mengine achana nayo kwani siku ukifa utahukumiwa pamoja nao??
@aronmapunda17834 жыл бұрын
NI jibu gani mtatoa kwa MUNGU WA KWELI, kwa kukitangamiza kizazi teule cha MUNGU WA KWELI? hali mnajua ukweli wote, mnaaminisha watu KRISTO WA KWELI ati ni yule aliyeletwa na Wazungu na kumwita KRISTO ni MUNGU, wakati yeye ni mwana wa MUNGU mzaliwa wakwanza kati ya viumbe vyote vionekanavyo na VISIVYOONEKANA
@sambonangamasawe52304 жыл бұрын
Padri, umenifumbulia mambo mengi sikujua hasa kuhusu novena na namna ya kusali. Kweli wewe ni zawadi kubwa kwetu
@patrickpatrick18024 жыл бұрын
Amina Baba Mungu azidi kukupa nguvu na uzidi kutulisha Neno lake. Naomba mawasiliano ya father kwa ushaur zaidi
@veronicaalfred57393 жыл бұрын
Naona we baba upo nje ya maana; na upo upotevun, ila BWANA wa MAJESHI ni mwaminifu atakuokoa, hatakuacha uendelea kuish ktk njia hyo ya upotevu
@veronicaalfred57393 жыл бұрын
Unatakiw kuomba sana il MUNGU akuweke huru; hapo juu unaona FR anatufundisha neno lililo sawa, nawe unaingiza miungu mingne nan alikuambia Wakayorik tnaabudu miungu? Au kazi yako wewe ni kuiharibu kaz ya MUNGU? Maana FR ametumwa na BWANA YESU aje alitangaze neno lake nawe wataka kuharb si Ushetan huo,
@maryrehema62283 жыл бұрын
Asnte Mungu kwa huyu padri
@aronmapunda17834 жыл бұрын
KWELI YAKE itasimama na uongo wenu wote nje ,
@yohanamagele36334 жыл бұрын
Ubarikiwe sana father
@benadethaclement75964 жыл бұрын
Amina
@neemampangala61993 жыл бұрын
Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, Amina
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
@florenciokagaruki53184 жыл бұрын
Amina
@renatusissaya36525 жыл бұрын
Amina
@costantinemwanjicastory77425 жыл бұрын
Nikweli tulio wengi waumini kuzisali sala tunashindwa namna ya kuomba asante kwa somo hilo mansinyoli