Je, Unajua Jinsi ya Kusali??| SIKILIZA HII VIDEO

  Рет қаралды 84,995

The Servant Media

The Servant Media

Күн бұрын

#SUBSCRIBE #SALA

Пікірлер: 123
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 3 жыл бұрын
Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani, Amina🙏🙏🌹🌹
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina karibu utazame hazina ya mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika channel yetu.
@sarunioleksaitoty2141
@sarunioleksaitoty2141 2 жыл бұрын
I was suuddenly shocked with his death surely I believe that you are rejoicing in heaven! Fr. Mbiku I remember your preaches when I was a student at Mlimani!R.I.P you were a living angel!
@fideliskimati4619
@fideliskimati4619 5 жыл бұрын
Amina
@teddyelieza9780
@teddyelieza9780 4 жыл бұрын
Ubarikiwe baba na asante kwa kutufundisga jinsi ya kuomba
@candidadilemile5882
@candidadilemile5882 4 жыл бұрын
Milele Amina Ahsante sana Mtumishi wa Mungu kwa,mafundisho haya ,hakika nimepata,kitu kizuri namna ya kuomba nitaanza sasa kubadilika wakati wa Kuomba Amina Amina Amina Tumsifu Yesu Kristo
@raphaelkirenga443
@raphaelkirenga443 3 жыл бұрын
TYK. Naomba msaada. Je! Tunamwalikaje Roho Mtakatifu? Na nitajuaje kama amekuja? Naomba msaada huu wa kiimani. Masomo ni mazuri na yanatuimarisha kiimani.c
@homoboniuslongino7368
@homoboniuslongino7368 5 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri
@magrethaloyce1430
@magrethaloyce1430 4 жыл бұрын
Ameen father God bless you
@nattahvanguy
@nattahvanguy 3 жыл бұрын
Amen! Sifa zote ziende kwake Mungu mwenyezi. Asante Mungu kwa yote.
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@rosemarymwandu6426
@rosemarymwandu6426 5 жыл бұрын
Asante sana kwa somo hili
@ernestermroso8327
@ernestermroso8327 4 жыл бұрын
Amina
@emmanuelalbano416
@emmanuelalbano416 4 жыл бұрын
Asante kwa fundisho
@aminashaibu7732
@aminashaibu7732 4 жыл бұрын
Asante sana kwa tafakari hii
@maryonchoka1832
@maryonchoka1832 Жыл бұрын
Asante kwa kutujuza jinsi ya kusali
@maishayangu9216
@maishayangu9216 4 жыл бұрын
Shukrani sana Padre mtumishi wa Mungu! Hakika haya ni mafundisho yanayoweza kufaidi wakristu wengi sana. Tumshukuru Mungu kwa fundisho hili na kumwomba pia wengi wapate kulipata hili fundisho. Ninajua mimi limenifaidi kiroho na limeniondolea shaka niliyokuwa nayo kutojua kuomba ifaavyo. Najua litaendelea kunisaidia katika kuimarika kimaombi. Tumshukuru Yesu Kristo
@marygazigile8305
@marygazigile8305 3 жыл бұрын
Asante baba
@fredlyimo1263
@fredlyimo1263 2 жыл бұрын
Amina sana father mbiku mwenyezi Mungu akupe na kukuzidishia baraka uendelee na utumishi wako sote tunaofatilia vipindi na mafundisho yako mengi tunajifunza aamina...
@alexmfikwa29
@alexmfikwa29 2 жыл бұрын
Amina.... Mtumishi wa Mungu
@josephinengorwe702
@josephinengorwe702 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Father
@angelucyleonard2543
@angelucyleonard2543 5 жыл бұрын
Amina sana
@benjaminsospeter7145
@benjaminsospeter7145 4 жыл бұрын
Fr nashukuru Sana kwa maelezo mazuri ya novena ya siku 54 ubarikiwe Sana baba
@esthermbalale3075
@esthermbalale3075 19 күн бұрын
Milele Amina 🙏🏽 bba upumzike palipo salama
@jmassawe3799
@jmassawe3799 4 жыл бұрын
Ubarikise sana father
@erastonathan5307
@erastonathan5307 4 жыл бұрын
Amina father
@theresiathadayo3622
@theresiathadayo3622 4 жыл бұрын
Asante sana paroko kwa mafundisho nimeelewa kumbe nilikua namkose mungu wangu
@modestangotezi7482
@modestangotezi7482 4 жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu.
@charlottekibacha7725
@charlottekibacha7725 3 жыл бұрын
Pumzika kwa amani father Mbiku,kifo chako kimefanyika baraka kwangu,kimenileta hapa,Mungu wetu akupokee kwake,amina.
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media.
@christinabageze3188
@christinabageze3188 4 жыл бұрын
Asante father ubalikiwe kwa mafundisho mazuri
@statisticianwessa3966
@statisticianwessa3966 2 жыл бұрын
Milele Amina father🙏🏿🙏🏿
@amenahussien6134
@amenahussien6134 5 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo Father
@elizabethmwangimaina7418
@elizabethmwangimaina7418 5 жыл бұрын
Asatente sana kwa soma fatha☁😘😘☁😘😘☁ 😘😘😘😘😘😘😘 😘😘😘😘😘😘😘 ☁😘😘😘😘😘☁ ☁☁😘😘😘☁☁ ☁☁☁😘☁☁☁ 🇰🇪🇰🇪
@elizabethmwangimaina7418
@elizabethmwangimaina7418 5 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@flipaclipanimationz6790
@flipaclipanimationz6790 4 жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@paulosabina1034
@paulosabina1034 5 жыл бұрын
Asante Sana Father, nimejua mengi kupitia wewe, Mungu Kubariki sana
@paulosabina1034
@paulosabina1034 5 жыл бұрын
Naomba kuuliza swali father,. Katika Aina zote za Sala ulizotaja(4)zinasaliwa zote kwa wakati mmoja, yaani Kama jioni unafanya zote nne?
@esperancykasogela2892
@esperancykasogela2892 4 жыл бұрын
Asante father kwa kutuelimisha
@annaosmond6442
@annaosmond6442 Жыл бұрын
Raha ya milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani.Amina
@josephinedeo6434
@josephinedeo6434 4 жыл бұрын
Amina Baba, hakika napata kujifunza upitia vipindi hivi. Mungu Mwenyezi Akutunze ili tupate zaidi kumjua kupitia wewe🙏🙏🙏
@anyesijacob2153
@anyesijacob2153 3 жыл бұрын
Asante sana kutujuza jinsi ya kusali Mungu akubariki
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@leoniajohn8676
@leoniajohn8676 3 жыл бұрын
Missing you alot dear Fr, Rest In Peace dad
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
AMEN
@lydianaliaka9479
@lydianaliaka9479 4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@IsakaNyangohe-jl7gj
@IsakaNyangohe-jl7gj 11 ай бұрын
🎉🎉🎉
@augeniamkoko5318
@augeniamkoko5318 3 жыл бұрын
Forever in our hearts ♥️
@leoniajohn8676
@leoniajohn8676 3 жыл бұрын
Yes dear
@veronicaalfred5739
@veronicaalfred5739 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana BABA angu; Mtumishi wa MUNGU.
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@agnessweya4520
@agnessweya4520 3 жыл бұрын
Asant San mtumish wet mung akutangulie akupe maisha maref ili tizid kujifunz neno la mung kupita wew mtumish wet
@leoniajohn8676
@leoniajohn8676 3 жыл бұрын
@@agnessweya4520 😥😥😥
@zedianagasper9475
@zedianagasper9475 3 жыл бұрын
Amina mtumishi wa MUNGU aliye hai
@mathildemwangaza109
@mathildemwangaza109 2 жыл бұрын
Tamu
@allanandrea166
@allanandrea166 3 жыл бұрын
amina asante kwa mafundisho mazuri Baba Mungu akubariki sana
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Karibu ufatilie mafundisho yake yaliyopo katika channel yetu
@odettevianney3026
@odettevianney3026 Жыл бұрын
Pumzika Baba. Najua upo Paradiso ukifurahi, tuombee nasi tufike huko!
@ndamomusa3522
@ndamomusa3522 5 ай бұрын
Raha ya milele umpe ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie hakika mafundisho yako yatazidi kuishi nimejifunza jinsi ya kuomba sasa usikute sala zangu zilikuwa hazifiki ila kwa neema to napokea🙏🤲
@happymgasa3876
@happymgasa3876 Жыл бұрын
Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike Kwa aman amina
@mariachannel2047
@mariachannel2047 3 жыл бұрын
Rest in peace baba yetu
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina
@salometemba5225
@salometemba5225 2 жыл бұрын
Mungu akupe raha ya milele na akuangazie mwanga wa milele Kwa maana umetuachia mambo ya kutufikisha ulipo
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Maisha hayaa samajani dada hua nafatilia Dana mafundisho ya huu mtumishi Sasa nastuka wanaposema apumzike Kwa amani Kwa arikwisha fariki? Samajani naomba unifahamishe : naitwa gabriely mdemu nipo zenji asante
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 3 жыл бұрын
Asante baba
@francinelumuna8470
@francinelumuna8470 2 жыл бұрын
Rest in peace 🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️
@maryrehema6228
@maryrehema6228 3 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kwa mselezo yako juu ya novena
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
@emanuelalbert3222
@emanuelalbert3222 4 жыл бұрын
Asante father,je sisi tunaoishi bila ndoa tunaruhusiwa kufanya novena?na novena ni lazima ufunge?
@catherineluoga6288
@catherineluoga6288 3 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani baba yangu ulinilea vizuri sana kiroho nimeumizwa sana national kifo chako Mwenyezi Mungu akutunze
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina.
@isaacthomas7888
@isaacthomas7888 7 ай бұрын
Pumzika kwa Amani..Baba Mbiku
@humphreylyimo8759
@humphreylyimo8759 Жыл бұрын
Raha ya milele umpe Baba yetu Monsinyori Deogratias Mbiku Ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani.
@marthakilawe9293
@marthakilawe9293 3 жыл бұрын
Tumshukur Mungu kwa ajili yako baba yetu wa kiroho.
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@reynaldakizuri4489
@reynaldakizuri4489 3 жыл бұрын
Rest in peace father Deogratius Mbiku.
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina
@maryonchoka1832
@maryonchoka1832 Жыл бұрын
Rest in God's hands
@winnermariah
@winnermariah 3 жыл бұрын
OOOH ASANTE SANA BABA...NIMEJIFUNZA MENGI NTAYAFANYIA KAZI KWANZIA SASA...ASANTE YESU KWAAJILI YAKO
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@mariageoffrey4163
@mariageoffrey4163 2 жыл бұрын
Mafundisho yako bado yanaishi mioyoni mwetu. Rest well Baba Mbiku
@anasianamgani6751
@anasianamgani6751 4 жыл бұрын
Jamani Tumsifu Yesu Kristo! Naombeni namba ya simu ya Father Mbiku
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 4 жыл бұрын
0684664446 Fr.Mbiku
@anasianamgani6751
@anasianamgani6751 4 жыл бұрын
@@theservantmedia7566 Asante sana
@nkambapunguja1519
@nkambapunguja1519 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba yetu❤️❤️💔😭😭
@jacquelinekahamba7872
@jacquelinekahamba7872 Жыл бұрын
missing you
@beathalucas1161
@beathalucas1161 4 жыл бұрын
TYK je ninaweza kusali novena zaidi ya moja ingawa maombi ni tofauti?
@estherdamian6086
@estherdamian6086 3 жыл бұрын
Habar baba Mbiku naomba namba yako ili tuwasiliane unielekeze vizuri novena ya siku 54 naomba tafadhali
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
0684664446 Fr. Mbiku
@josephpetermaganga2907
@josephpetermaganga2907 3 жыл бұрын
@@theservantmedia7566 ok
@charlottekibacha7725
@charlottekibacha7725 3 жыл бұрын
Yaan ndio nmeiona hii namba na kwa bahati mbaya hatuko na father tena,nilihitaji pia maelezo ya kina ya novena ya siku 54
@leoniajohn8676
@leoniajohn8676 3 жыл бұрын
@@charlottekibacha7725 tafuta humuhumu KZbin nadhani ipo
@gustavkunkuta6733
@gustavkunkuta6733 3 жыл бұрын
Mheshimiwa Msgr Baba padre Mbiku Tumsifu Yesu Kristu. Naomba kuuliza hivi rank ya Abate ni nini katika kanisa? Huteuliwa na nani?
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Asante sana kwa Swali zuri, tutakutafutia ufumbuzi. Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
@lonahsum4249
@lonahsum4249 4 жыл бұрын
H
@kandidatesha9223
@kandidatesha9223 3 жыл бұрын
Fr naomba niipate hiyo sala ya siku 54 fr
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/aZKudn-QfM5ra5Y hii hapa novena
@aronmapunda1783
@aronmapunda1783 4 жыл бұрын
Tatizo dini ni sumu Kwa mtu mweusi, dini zimetutenganisha na MUNGU WA KWELI.
@salomecaroly5534
@salomecaroly5534 2 жыл бұрын
Kama dini zimekutenganisha na Mungu wa kweli unatumia njia gani ili upatane na Mungu wa kweli???.neno dini humaanisha njia inayokuunganisha na Mungu ili uurithi ufalme wa Mungu Sasa unataka nn utumikie Mizimu au Shetani bas kuwa wa Muovu Ibilis au Mwana wa Mungu hakunaga option nyingine ni hizo mbili njia ya opotevuni na ya kuelekea uzimani.
@francoisekabanyana444
@francoisekabanyana444 4 жыл бұрын
Natowa jambooo baba tafauti gani kati ya sala na maombi nisaidie sana
@felisterligwa
@felisterligwa 4 жыл бұрын
Françoise Kabanyana Sala inajumlisha Maombi Kusifu Kuabudu Kushukuru
@veronicaalfred5739
@veronicaalfred5739 3 жыл бұрын
Francoise kabanyana; sala maana yake ni kusifu kuabudu, kutukuza na kuomba, yaan kw mf; zile sala amazo zmemoeleka tunazisal kila siku; Maombo ni kutoa hoja zako kwa MUNGU, shida yako yoyote ile uliyinayo au inayokusumbua, unaipeleka kwa MUNGU, yapo maombi nyenyekevu,na maombi ya kivita ktka ROHO unapambana nayo kiroho kwa kumshirikisha Yeye aliye JUU.
@veronicaalfred5739
@veronicaalfred5739 3 жыл бұрын
Au baada ya sala zako, kama vile kutubu dhambi, kusifu kuabudu kutukuza, unaweka maombi yako sasa unayoyataka wewe il MUNGU akusaidie.
@aronmapunda1783
@aronmapunda1783 4 жыл бұрын
Pamoja MUNGU WA KWELI ametupa uhuru wa kuamua tuwe na mwelekeo gani, sasa nafasi hii mmechukua kwa masilahi, kama Waroma, Wayahudi bandia wale wa Palestina, Waarabu, walituletea miungu ya kwao na mkaipokea nakumainisha ndugu zenu bila uhuru kutunganisha na MUNGU WA KWELI, mnatuabudisha miungu ya wageni. Tukiwaita ni wapinga KRISTO tutawaonea ?
@salomecaroly5534
@salomecaroly5534 2 жыл бұрын
Unamaanisha nini tengeneza wewe na Mungu wako hayo mengine achana nayo kwani siku ukifa utahukumiwa pamoja nao??
@aronmapunda1783
@aronmapunda1783 4 жыл бұрын
NI jibu gani mtatoa kwa MUNGU WA KWELI, kwa kukitangamiza kizazi teule cha MUNGU WA KWELI? hali mnajua ukweli wote, mnaaminisha watu KRISTO WA KWELI ati ni yule aliyeletwa na Wazungu na kumwita KRISTO ni MUNGU, wakati yeye ni mwana wa MUNGU mzaliwa wakwanza kati ya viumbe vyote vionekanavyo na VISIVYOONEKANA
@sambonangamasawe5230
@sambonangamasawe5230 4 жыл бұрын
Padri, umenifumbulia mambo mengi sikujua hasa kuhusu novena na namna ya kusali. Kweli wewe ni zawadi kubwa kwetu
@patrickpatrick1802
@patrickpatrick1802 4 жыл бұрын
Amina Baba Mungu azidi kukupa nguvu na uzidi kutulisha Neno lake. Naomba mawasiliano ya father kwa ushaur zaidi
@veronicaalfred5739
@veronicaalfred5739 3 жыл бұрын
Naona we baba upo nje ya maana; na upo upotevun, ila BWANA wa MAJESHI ni mwaminifu atakuokoa, hatakuacha uendelea kuish ktk njia hyo ya upotevu
@veronicaalfred5739
@veronicaalfred5739 3 жыл бұрын
Unatakiw kuomba sana il MUNGU akuweke huru; hapo juu unaona FR anatufundisha neno lililo sawa, nawe unaingiza miungu mingne nan alikuambia Wakayorik tnaabudu miungu? Au kazi yako wewe ni kuiharibu kaz ya MUNGU? Maana FR ametumwa na BWANA YESU aje alitangaze neno lake nawe wataka kuharb si Ushetan huo,
@maryrehema6228
@maryrehema6228 3 жыл бұрын
Asnte Mungu kwa huyu padri
@aronmapunda1783
@aronmapunda1783 4 жыл бұрын
KWELI YAKE itasimama na uongo wenu wote nje ,
@yohanamagele3633
@yohanamagele3633 4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana father
@benadethaclement7596
@benadethaclement7596 4 жыл бұрын
Amina
@neemampangala6199
@neemampangala6199 3 жыл бұрын
Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani, Amina
@theservantmedia7566
@theservantmedia7566 3 жыл бұрын
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
@florenciokagaruki5318
@florenciokagaruki5318 4 жыл бұрын
Amina
@renatusissaya3652
@renatusissaya3652 5 жыл бұрын
Amina
@costantinemwanjicastory7742
@costantinemwanjicastory7742 5 жыл бұрын
Nikweli tulio wengi waumini kuzisali sala tunashindwa namna ya kuomba asante kwa somo hilo mansinyoli
@patrickmlanda768
@patrickmlanda768 5 жыл бұрын
asante Baba kwa mafundisho mulua
@bedamgonja9484
@bedamgonja9484 5 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri msjr
@peterclavery9989
@peterclavery9989 Жыл бұрын
Amina
NOVENA ISIYO SHINDWA KITU by Msgr Deogratius Mbiku
40:31
The Servant Media
Рет қаралды 145 М.
Padre Dkt Faustin M Kamugisha - Hatupangi Kushindwa, Tunashindwa Kupanga Morning
41:59
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 5 МЛН
POV: Your kids ask to play the claw machine
00:20
Hungry FAM
Рет қаралды 16 МЛН
So Cute 🥰
00:17
dednahype
Рет қаралды 55 МЛН
Magic or …? 😱 reveal video on profile 🫢
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 86 МЛН
MIMINA NEEMA_OFFICIAL VIDEO
5:42
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 27 МЛН
BWANA UNIBADILI_ Kwaya ya Mt.Maria Goreth_Chuo kikuu- Ushirika - Moshi
5:18
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 18 МЛН
Tunatubu Kweli? Na kama Tunatubu, Tunatubu nini??
17:14
The Servant Media
Рет қаралды 9 М.
Holy Trinity Studio - Kristo Atawale ( Official Music Video )
9:42
HOLY TRINITY STUDIOS
Рет қаралды 2,1 МЛН
Niongoze Vyema Maria Mwema
6:15
FLSA_ENTERTAINMENT - Topic
Рет қаралды 35 М.
ZIJUE ISHARA ZA ROHO MTAKATIFU KATIKA NDOTO
20:54
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 870 М.
Как подписать? 😂 #shorts
00:10
Денис Кукояка
Рет қаралды 5 МЛН