No video

Padre Kamugisha: Fanya kitu/ Mwanamke pigania ndoa yako/ Wekeza katika ndoa itakula kwako

  Рет қаралды 113,434

Faustin Kamugisha

Faustin Kamugisha

Күн бұрын

Пікірлер: 93
@mcdericktv7298
@mcdericktv7298 3 жыл бұрын
Ukijaribu kuangalia waumini na kile anacho hubiri...Utaona kabisa Huyu Padre anahubiria Dunia sio waumini hao tu... I'm so grateful to be Catholic
@juliusmollel7849
@juliusmollel7849 3 жыл бұрын
Mim sio muumin wa cathol lakini huyu mtumishi anafundisha aisee ananibariki
@agnesmkanga4617
@agnesmkanga4617 2 жыл бұрын
Na ana hubiri kwa namna ya tofauti sn na Ma Padre wengine,ana namna ya pekee kabisa,ana nifanya nianze kuzoea RC,maana nlianza kupamiss KKT
@ndekezi
@ndekezi 3 жыл бұрын
Hii Channel ni Muhimu sana. Padre asante kwa kuhubiria wengi mtandaon. Mungu akubariki sana. Hao wakristu wako wanabaraka sana.!
@graceharry6511
@graceharry6511 3 жыл бұрын
Ohh asante Padri nakukubali, mnoo nakukumbuka ulifungisha ndoa yangu Songea Bomba mbli, ulinifundisha maneno mazuri, magumu mpka leo ynanisaidia, barikiwa mno mtumishi wa Mungu.
@marymghanga4817
@marymghanga4817 Жыл бұрын
Asante Fr kwa mahubiri yako hatuna shaka tuna chapa kazi Mungu awe nasi Amina
@magrethgeorge6749
@magrethgeorge6749 3 жыл бұрын
Barikiwa baba ,Mungu akutumie zaidi
@restitutamganga4097
@restitutamganga4097 3 жыл бұрын
Ahsante sana father Jana umetujenga sana wana makoka .Mungu akupe afya njema uzidi kutujenga
@imeldamwasenga9892
@imeldamwasenga9892 2 жыл бұрын
Nafuatilia mafundisho yako yote. Mungu aendelee kukubariki
@bazarakimayenga3572
@bazarakimayenga3572 10 ай бұрын
Baba amebarikiwa
@alphoncetemu9859
@alphoncetemu9859 3 жыл бұрын
Hongeraa fr kweli umeendaa shulee
@janeangoche4464
@janeangoche4464 3 жыл бұрын
Barikiwa Padre mafundisho yenye hekima.Asante.
@sophiawambura411
@sophiawambura411 3 жыл бұрын
Asante baba kwa maubiri mazuri
@agnesndevuno6251
@agnesndevuno6251 3 жыл бұрын
Hatuchoki kukusikiliza baba. Mungu akubariki sana
@jellysathanas3741
@jellysathanas3741 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana na nimeenjoy sana siku ya leo
@michaenngooro996
@michaenngooro996 3 жыл бұрын
Powerful service God blesses this father
@wanyamuthimookariuki2012
@wanyamuthimookariuki2012 3 жыл бұрын
Mom yangu without knowing swahili always said usikaee kaa asiyo fikili...alafu,,,"'niwasiikiiaa,,,iiiii mami nindasikia,,,she never allowed laziness so is our God...lets pray for strenght to be bussy with the responisibilities given
@leonardlusogole1419
@leonardlusogole1419 2 жыл бұрын
Nyanyua mikono juu kwa mafundisho haha sema Asante mungu
@kerynabdallah6313
@kerynabdallah6313 3 жыл бұрын
Father unanibariki Sana na kunifundisha.. mung akutunze na neno litawale. Amen
@eliasphilipo9235
@eliasphilipo9235 2 жыл бұрын
Ubarikiwe father
@abajenezasolange6811
@abajenezasolange6811 Жыл бұрын
God is good all the time
@otavinamsigala1794
@otavinamsigala1794 3 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana pandri mungu akutunze injili ifike Kwa watu wote
@marymary8313
@marymary8313 2 жыл бұрын
Amen 🙏🙏barikiwa fr.kwa mafundisho poa
@yamechachale458
@yamechachale458 3 жыл бұрын
Nakupenda sana baba paroko kwa mafundisho yako
@sabasdidas8712
@sabasdidas8712 2 жыл бұрын
Hongera Fr.
@eliasgregory9733
@eliasgregory9733 3 жыл бұрын
Amina
@johnraymond4146
@johnraymond4146 3 жыл бұрын
Nimependa Sana mahubili yako baba
@justermutayoba2521
@justermutayoba2521 3 жыл бұрын
Unahubiri vizuri sana barikiwa father
@albertlasway4863
@albertlasway4863 2 жыл бұрын
Ujumbe mazuri
@merybonifance6291
@merybonifance6291 3 жыл бұрын
Asente Sana baba kwa mafundisho ya hekima kwangu
@ezekielkibona1753
@ezekielkibona1753 Жыл бұрын
Good logos
@dilurai4204
@dilurai4204 3 жыл бұрын
Very true ,,You are wright Padre be blessed ,🙏🙏🙏
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 3 жыл бұрын
Asante sana baba padre mungu aendelee kukulinda.
@Zaburi-
@Zaburi- 3 жыл бұрын
Mungu
@kakulemughanda3938
@kakulemughanda3938 3 жыл бұрын
Amen ni mebarikiwa natoka DRCi kongo
@TEACHER.CLEOPHAS
@TEACHER.CLEOPHAS 3 жыл бұрын
Ahsante sana kwa hii ibada.
@michaelvincentmhagama337
@michaelvincentmhagama337 3 жыл бұрын
Kutofanya lolote ni kosa. Asante na Amina
@restitutakisoli4874
@restitutakisoli4874 3 жыл бұрын
Hiyo ni kweli kabisaaa
@mitaocamilliusthegreatest9068
@mitaocamilliusthegreatest9068 3 жыл бұрын
Barikiwa sana padre Kamughisha
@tinakafugugukafugugu5408
@tinakafugugukafugugu5408 3 жыл бұрын
Baba unanifurahisha Sana,u r very talented thanks to God kwa kipaji hicho....unahubiri kwa mifano inafurahisha sana
@happinesskombe9160
@happinesskombe9160 3 жыл бұрын
Nakuelewa sn padri wangu Mungu akupe maisha marefu uendelee kutuinjilisha Ameen
@anjelinamwajiru6813
@anjelinamwajiru6813 2 жыл бұрын
I like
@odranslayo3298
@odranslayo3298 3 жыл бұрын
Baba paroko umenifungua akili yangu
@HIPPONETV
@HIPPONETV 3 жыл бұрын
Thank you fr
@stanleysamuel906
@stanleysamuel906 3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa mungu
@Zaburi-
@Zaburi- 3 жыл бұрын
Mungu
@rumb5876
@rumb5876 3 жыл бұрын
Asante kwa mahubiri Fr.
@happinessshilie4019
@happinessshilie4019 3 жыл бұрын
Somo zuli kweli asante baba padre
@mathayomathayo7257
@mathayomathayo7257 2 жыл бұрын
Genius
@zedianagasper9475
@zedianagasper9475 3 жыл бұрын
Barikiwa sana fr kamugisha
@mbelembele2875
@mbelembele2875 3 жыл бұрын
Asant baba paroko
@tecklamgomberi4253
@tecklamgomberi4253 3 жыл бұрын
Ni kweli tupu
@Dr.alphonceowayo
@Dr.alphonceowayo 3 жыл бұрын
Just wow. Fr. Kanja brought you once to st. Paul's University of Nairobi Chapel for the student's mass. You are a very good preacher father. Do you remember? You told us that people like roses though they got thorns!
@zedianagasper9475
@zedianagasper9475 3 жыл бұрын
Barikiwa
@zedianagasper9475
@zedianagasper9475 3 жыл бұрын
Nikwel kabisa mm pia muhanga wakusema kesho ipo
@generozakayoza8482
@generozakayoza8482 3 жыл бұрын
Very good
@wanyamuthimookariuki2012
@wanyamuthimookariuki2012 3 жыл бұрын
Good preaching,,good word...
@francisgitau6538
@francisgitau6538 3 жыл бұрын
True padre
@suzannebucyanayandi630
@suzannebucyanayandi630 3 жыл бұрын
Thank you Father 🙏
@GladyskeruboAchochi
@GladyskeruboAchochi 11 ай бұрын
E😅
@katembito3962
@katembito3962 3 жыл бұрын
Asante Fr.
@consalvakileo8205
@consalvakileo8205 3 жыл бұрын
Amen
@ponsiangodson9244
@ponsiangodson9244 3 жыл бұрын
Fr kamugisha nashukuru saaana
@latenswella
@latenswella 3 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri
@joycemagessa350
@joycemagessa350 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@wanyamuthimookariuki2012
@wanyamuthimookariuki2012 3 жыл бұрын
Hasila mbaayaa saana...
@janethjohanes1273
@janethjohanes1273 3 жыл бұрын
Ahsante Fr
@tinakafugugukafugugu5408
@tinakafugugukafugugu5408 3 жыл бұрын
Fr.uko vizur,Kuna kitu umebadilisha ktk akili yangu japo nipo katika wakati mgumu.naomba namba yako,ninyenda kufumola naiwe... barikiwa fr.
@adrophntabalizo8634
@adrophntabalizo8634 3 жыл бұрын
Nimechota hekima ya kutosha kabisa kwa mafundisho haya
@wanyamuthimookariuki2012
@wanyamuthimookariuki2012 3 жыл бұрын
Kukosa!!shughulika,,,wajibiika,,,omission,,,commission....
@dafrosamsonge2007
@dafrosamsonge2007 3 жыл бұрын
ni kweli kutokufanya chochote ni kosa , talanta yako toa na wengine waitumie
@rehemantangeki6677
@rehemantangeki6677 3 жыл бұрын
Kutofanya lolote ni kosa
@aderykabanja
@aderykabanja 3 жыл бұрын
nikosa kutofanya lolote
@filbetkalembe2806
@filbetkalembe2806 3 жыл бұрын
Hivi nyie mapadri mmekuwa vichaa mbona mmepoteza maadili ya dini mnajiweka sana mitandaoni huu upumbavu umetoka wapi acheni kuzalilisha kanisa
@zedianagasper9475
@zedianagasper9475 3 жыл бұрын
Imekuwaje tenaa
@nataliakihio6323
@nataliakihio6323 3 жыл бұрын
Kama ungejua umuhimu wa injili mtandaoni kwa sisi tuishio ughaibuni ambako hakuna kanisa usinge kaa na kulaumu Barikiwa sana fri kamugisha
@zedianagasper9475
@zedianagasper9475 3 жыл бұрын
Namshangaa sana huyu anaye sema kwann wanajiweka mtandaoni sasa haya mafundisho tungeyapata wapi kama siyo mtandaoni
@mitaocamilliusthegreatest9068
@mitaocamilliusthegreatest9068 3 жыл бұрын
Ndugu yangu kanisa unalolijua wewe lawezekana lilishapotea zamani saana
@godwinkidio4676
@godwinkidio4676 3 жыл бұрын
Huku ndio kutakatifuza malimwengu na kutumia teknolojia kuinjilisha baada ya watu kutumia mitandao kupotosha
@merybonifance6291
@merybonifance6291 3 жыл бұрын
Asente Sana baba kwa mafundisho ya hekima kwangu
@anjelinamwajiru6813
@anjelinamwajiru6813 2 жыл бұрын
I like
Magic or …? 😱 reveal video on profile 🫢
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 52 МЛН
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 46 МЛН
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 16 МЛН
Tazama Baba padre akiimba nyimbo tamu wakati wa Misa takatifu Leo
1:11
Padre Dkt Kamugisha: Mafundisho Hija Nyakijooga: Asiyepoteza Haokoti
1:00:15
PADRE MAZIKU NA VIJANA KATIKA KONGAMANO LA METROPOLITANI YA TABORA, KIGOMA UJIJI
31:50
NEEMA YA MUNGU
5:22
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 18 МЛН
BABA ASKOFU NA KARISMATIKI KATOLIKI JIMBO LA NJOMBE
7:43
Mahubiri Karismatiki Katoliki Njombe Tv
Рет қаралды 12 М.
Padre Dkt Faustin M Kamugisha - Hatupangi Kushindwa, Tunashindwa Kupanga Morning
41:59
LO! KUMBE MWANGIKA INA MAPADRE NA WATAWA WENGI MNO!! SHUHUDIA hapa
5:01
Salma MWARABU 1 Mgandu
Рет қаралды 4,7 М.
Magic or …? 😱 reveal video on profile 🫢
00:14
Andrey Grechka
Рет қаралды 52 МЛН