Novena ya siku 54, ni novena isiyo shindwa kitu chochote unapata unachokiomba kwa 100% kwa sababu unamuomba Mungu moja kwa moja.
Пікірлер: 366
@bonifacemusyoki70303 жыл бұрын
I promise to prepare and plan to Pray this novena, so May the Almighty God Guide me and walk with me through out the 54 days without breaking the chain,in Jesus Mighty Name AMEN 🙏🙏 🙏.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Wonderful!
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@estermiho96125 жыл бұрын
Asante sana Baba Mbiku kwa mchanganuo huo wa Hii novena. Mimi niliwahi kuelezwa na Padre mmoja jina nimelihifadhi. Hakuna tofauti na ulichoeleza. Na nilijibiwa ombi langu. Tunakushukuru Ee MUNGU kwa zawadi ya Fr. Mbiku kuwepo pamoja nasi.
@mauramwingira89125 жыл бұрын
Nakushuru sasa Baba Mbiku, mimi nimekuwa nikisali novena hii lakini kwa mafundisho yako sasa nimefahamu kwamba nilikuwa naisali ndivyo sivyo na labda ndiyo maana sikujibiwa maombi yangu. Nimefarijika sana sana kwa tafakari na mwongozo huu. Mungu azidi kukubariki katika uijilishaji wako unatufunulia mengi sana. nasikiliza sana na kujifunza kupitia Believe and Be filled Amen
@richardmmakoi90095 жыл бұрын
Maura Mwingira hii novena naipata wapi
@nelsonvinene81394 жыл бұрын
Samhan hii novena n ipiii naomba kujua tafadhal
@catherinemazengo77762 жыл бұрын
Naiomba hii novena
@catherinemazengo77762 жыл бұрын
Naomba
@mansuethamichael544 Жыл бұрын
Hapo Fr.aliposema utasali misa mbili ni kwa namna gani maana Jumapili nikienda kanisani narudi tena ibada ingine au
@eliasmossae26373 жыл бұрын
Nakushukuru sana Baba mbiku nijiandaa kusali hii novena ee mungu nitangulie nisali na kuifuata sheria zake🙏
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
@MagdalenaJoseph-fm7jv10 ай бұрын
Pumzika kwa amanii Baba naamini nimekuelewa nitaanza novena mda so mrefu 🙏🙏
@bahatikazungu6703 жыл бұрын
Mm imenisaidia tu sana chnye ilikua nahitaji Mungu amenibariki nacho nashkuru sana
@kingdomnjimbi67255 жыл бұрын
Really inspired i once tried this kind of novena but i have found that i skipped some of the principles. I'm thankful for this video
@albinatango73533 жыл бұрын
Mm pia Nina swali mmoj je? Kam nimechagua Sala na takiwa kuacha misa au nitafanyaje?
@mwlsimonitvchannel15773 жыл бұрын
Mwaka 2020 nilifanya nikafanikiwa Asante Sana Mwisinyori Mbiku
@mastabethajohn84903 жыл бұрын
Jamani..hyo novena ipoje au ndo hayo maelezo unafata kwa siku 54
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@rosemarywakolela18623 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristu samahan naomba namba zako
@janethnkwama10963 жыл бұрын
Baba umenibariki na umenifungua.AMINA.
@mr.kibaiskelithedesertroot84193 жыл бұрын
💝💖💗💞
@cellyassenga20203 жыл бұрын
Pumzika kwa amani mbinguni baba capilano. Hakika maneno yako yanaishi. Ulale salama mzee baba
@cellyassenga20203 жыл бұрын
Mungu nisaidie shida yangu
@patrickmukambilwa5844 жыл бұрын
Asante sana baba kwa makumbusho ayo bora ya novena Mungu akubariki pia akulinde na akujalie nguvu zaroho mtakatifu ili upate ku mtumikia sikuzote zamaisha yako amina
@magdalinekomen16313 жыл бұрын
Rest in eternal peace Fr. Thanks for your teaching
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina karibu utazame hazina ya mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika channel yetu.
@annalyimo-py3pt Жыл бұрын
naomba unisaidie😢🙏
@janemlesi59324 жыл бұрын
We Mungu upe afya njema msr mbiku namwombea maisha ya kiroho aendelee kutuimatisha kiroho ubarikiwe baba
@mathaphilipo9257Ай бұрын
Mungu ampe mume wangu kazi nzuri
@gregorymajenga90722 жыл бұрын
Ahsante Mungu kwa kutupa mtumishi wako Mwalimu bora wa imani Mungu abarki kazi zake zote na naomba tuzitumie tupate wokovu.
Nabarikiwa saaaana kupita maelezo, Nina shida inayo nisumbuwa, Mwenyezi MUNGU anisaidiye, niendeye sharti hizo niziweze 😭😭
@fulkomlwale57904 жыл бұрын
Tumsifu yesu kristo.. .. Je Kuna kitabu maalum au io novena. .
@theservantmedia75664 жыл бұрын
Hakuna kitabu cha hii novena
@brhchannel66185 жыл бұрын
Amina Nimekusikiliza kwa Makini Sana Father Mbiku Deogratius H. Inawezekana kusali hii Novena with the Help of God.
@theservantmedia75665 жыл бұрын
Ndo maana unaitaji kutubu ili uwemsafi wa moyo n.a. Mungu atakutangulia
@sibilinamboki6806 Жыл бұрын
Nimebarikiwa na maelezo ya baba Mbiku. Pumzika kwa amani mtumishi mwema
@rosekiwale83024 жыл бұрын
Kweli Leo nimejifunza sana Asante Sana padri kwa ufafanuzi mzuri
@elizagervas57515 жыл бұрын
Asante sana father mbiku nawezaje kuwasiliana na wewe nina matatizo nahitaji msaada wa kiroho na ushauri
@theservantmedia75665 жыл бұрын
Unaweza kuja ukumhona hapa chuo kikuu
@elizagervas57515 жыл бұрын
@@theservantmedia7566 nipo mbali kidogo nipo udom
@adelardiwoisso1354 жыл бұрын
Asante sana baba Askofu , umenijenga kiimani sana, Amina.
@felisterligwa4 жыл бұрын
Asante sana baba Mbiku
@PraxedaMahendeka5 ай бұрын
Upumzike kwa amani baba🙏mafundisho yako yatabaki kizazi hata kizazi
@kabibirwechungura98133 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristu. Naomba Padri unisaidie ku-clarify katika ku-establish nia ya novena. Naomba Mungu nifanikiwe ku-recover malipo katika kesi ya madai pamoja na kupokea uongozi wa Roho Mtakatifu katika restoration ya maisha baada ya kupoteza mali zangu zote. Je hili ni ombi moja au zaidi ya moja katika nia? Asante sana kwa lishe hii bora ya kiroho. Amen.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Hayo Ni maombi 2 changua moja Kati hizo nia
@marthakilawe92933 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na ujumbe wako baba Padre hakika naomba Mungu aniongoze nifanye hii novena kwa uaminifu... Naamin Mungu ataniwezesha
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@petronillajuma32993 жыл бұрын
May you Rest In Peace Padre Mbiku,umetufundisha mengi sana katika maisha yetu
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
@johnpetrosono11893 жыл бұрын
Tumsifu yes kiristo jinalangu John Lucas Petro swali mmi ninauchumba wapata miaka 18 Sasa mchumba wangu nimwisilam tunaishi vizuri tuna watoto 3nilishajalibu kumshawishi lakin sijafanikiwa nae anamsimamo namim sishiliki komniyo nifanye Nini ilinifanikiwe 2kazi yangu ni dereva wamagar makubwa yanayo safir nje ya nnchi ya Tanzania padri nifanye nn iwapo nataka kusali hiyo novena
@irenekongwa1224Ай бұрын
@@johnpetrosono1189 nashauri ukafunge ndoa ya serikali
@thelesiakabadi21553 жыл бұрын
Mungu tuogezee imani
@lisaernest28443 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la amani Baba.AMINA
@theservantmedia75663 жыл бұрын
AMINA
@jamesassey55833 жыл бұрын
Nakushukuru sana Baba nimemueleza vizuri sana Fr
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@neemacharles98482 жыл бұрын
Amina , asante kwa maelekezo mazuri mtumishi wa Mungu ubarikie sana
@pendojuma80753 жыл бұрын
Asantee baba kwa mafunzo
@levismaximillian21765 жыл бұрын
nimejifunza kwa uzuri kabisa Msgr Deogratuius Mbiku, mbarikiwe sana @believe and be filled
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Ok Sasa ire ya mwisho ya sita Kuna misa ya wajibu ok na miss yanovena mfano mie naishi daa kz zangu Zanzibar kanisa ni Moja tu kama hakuna Sara ya novena nitafantaje hapo mnisaidie Kwa bars sawa viwasini Sasa naomba msaada Nina siku mbili tu dareslaam nasafili huko visiwani
@gustavkunkuta67333 жыл бұрын
Ahsante sana Baba Padri kwa mafundisho hayo mazuri yahusuyo hiyo Novena ya siku 54, na kwamba tukumbuke pia kumshukuru Mungu kwa mengi aliyotujalia na si kuomba tuu kama wengi wetu tunavyofanya.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina Karibu Sana
@winnermariah3 жыл бұрын
Nimejifunza Mengi.....Asante Padre 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@emmanuelachengula9978 Жыл бұрын
Ahsante sana. Nimefunguka
@josephinepancrasy3194 Жыл бұрын
MAFUNDISHO mazuri
@theresiakimaryoaugustin28543 жыл бұрын
Asante sana father nimebarikiwa na nimejifunza kitu kikubwa sana maishani mwangu, Mungu akujalie maisha marefu ili uzidi kutoa elimu kwa jamii.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@emmakinyamagoha35773 жыл бұрын
Asante baba kwa maarifa haya, nitaanza novena hii Mungu anisaidie kwenda kitakatifu wakati wote wa Novena
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@victoriamallya91023 жыл бұрын
Mana Mana@@theservantmedia7566 9plllñ
@victoriamallya91023 жыл бұрын
Ni Ni o9oo789
@rodgersakaya71585 жыл бұрын
Asante sana Mosinyori Mbiku.
@theservantmedia75665 жыл бұрын
Karbu unaweza kushare kwa wengine
@goldnandy48045 жыл бұрын
Ni novena ipi hiyo Mimi siijui
@priscapascal97384 жыл бұрын
Kristu. Sara ya Mt inyasi inafaa katika novena hii
@winnermariah3 жыл бұрын
Sala au Tendo lolote, unaweza itumia pia
@haikangowi38285 жыл бұрын
Asante sana sana father....hakika nimebarikiwaaa
@beatricenyamba88204 жыл бұрын
Ikiwa nipo kwenye novena na nimetenda dhambi na wakati huo kumpata padri in vigumu yaan Yuki mbali na ninapoishi nitafanyaje?
@olgachaula93834 жыл бұрын
Hakikisha unaungama kwa padre. Usipoungama na siku ikaisha Novena inayeyuka na itabidi uanze upya.
@floraritha14545 жыл бұрын
Asante sana father kwa kutusaidia kuweza kujua masharti ya novena hii,ila shida yangu kubwa nikutamani kuonana na wewe kwa ushauri zaidi baba
@theservantmedia75665 жыл бұрын
Unaweza kuja chuo kikuu ukaonananae karibu chuo kikuu
@theservantmedia75665 жыл бұрын
Unaweza kuja ukaonana nae chuo kikuu cha Dar es salaam Karbu sana siku za kazi j4 adi ijumaa mda Saa 9:00 asubui adi 1:00 Alafu jion 4:30 adi 6:30 jion
@evamringo23313 жыл бұрын
Mbona anachukua nafasi ya Yesu Kristo .. Yeye ni Bwana na ni Mwokozi wa Maisha ya kila mwanadam
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@evernyongesap7314 Жыл бұрын
Asante Padri kwa kunipa mwelekeo kamili.
@elizabethmapile9795 Жыл бұрын
Asante sana Mungu akubaliki
@eliasmossae26373 жыл бұрын
Tumsifu yesu kristo, ahsante sana kwa maelezo mazuri. Nilikuwa na swali Je kama nimejagua tendo la kusali sala nitayochagua inakuajebhapo? kwenye shariti la sita naona umelezea tendo moja tu la kwenda kanisani kama wajibu wako.
@berthamichael3723 жыл бұрын
Kama huwezi kwenda Misa chagua Sala yoyote ile ndo usali inaweza kuwa rosal takatifi,litania ya Mt yoyote ile
@ANDREACHARO-i3l8 күн бұрын
Upumzike kwa amani baba monsinyori
@ireneassey36854 жыл бұрын
Dah hakik mejifunz meng mm ni m kristo lkn cikua nafaham mambo haya ...
@NdewedoMichael144 жыл бұрын
Father tumsifu yesu Kristu. Hakika nimefurahi sana kupata mafundisho haya. Naomba kama kuna uwezekano wa kuongea na father hata kwa simi mimi nipo Arusha
@esterkihwelo22283 ай бұрын
Alishafariki
@matemangamhema65414 жыл бұрын
Asante kwa elimu kubwa kuhusu NOVENA YA SIKU 54 lakini naomba tupate elimu ya NOVENA YA SIKU 9
@mosescharles54773 жыл бұрын
Mungu aniongoze niweze kusali hii Novena
@theservantmedia75663 жыл бұрын
na ikawe hivyo. "YL
@dionisialazaro23524 жыл бұрын
Tumsifu yesu kristu , Je naweza nikasali tena novena hii kwa ombi jingine baada ya kumaliza novena ya kwanza
@theservantmedia75664 жыл бұрын
Ndio unaweza kuomba ombi jingine baada ya ombi la kwanza
@kattopeter72805 жыл бұрын
ahsante sana Baba yangu uliyebadili sehem ya maisha yangu kwa asilimia kubwa sana.. tunawashukuru pia wote wanaousika na chanel hii, msichoke kufanya hivo
@kelvintech37974 жыл бұрын
Utukufu kwa Mungu juu mbinguni
@jeremiahmassawe90423 жыл бұрын
@@kelvintech3797 Na Amani duniani. 🙏🙏🙏
@jamesassey55833 жыл бұрын
Ubarikiwe sana jamani
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@mariamfaicalhassan28903 жыл бұрын
Mungu tusaidie maana mioyo mh
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@renatuskarushaija84385 жыл бұрын
Asante Padre,Mungu akubariki.
@saumsaum19163 жыл бұрын
Amina baba,mi niko mbali na hakuna kwenda kanisani,je sasa ntaungama wapi,?na nifanyeje
@happyjohn76303 жыл бұрын
Baba angekuja kutujibu hapa
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Kwa kanisa katoliki kama umeshindwa kuonana na Padre kuungama, Unashauriwa kupiga goti na kuomba toba kwa MUNGU Mwenyezi, Nilimuuliza swali enzi za uhai wake kama unaruhusiwa kutoa sakrament ya kitubio kwa njia ya simu alijibu hairusiwi kabisa. Fatilia video ya siku tatu za neema siku ya tatu alijibu hili swali vizuri kabisa
@dingadinga66744 ай бұрын
Amina kubwa
@doreendinamica34734 жыл бұрын
Ameeeeeeen
@petromachanga294 жыл бұрын
Doreen Lyimo,safi,nakupena pia
@Memoj12144 жыл бұрын
Nimekusoma mpendwa doreen
@peterfanyeni31343 жыл бұрын
Novena hii ilinipatia Mume Mwema. nakumbuka nilienda kwa Fr Mbiku ofc kwake ana kwa ana nikaandika. a nikaifanyia nikaaza kusali. na huwa nimewafundisha wengi
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Unapatikana wapi kwa sasa???
@bibianaamede78453 жыл бұрын
Baba umenibariki sana nakushukuru sana
@olivaaloyce72723 жыл бұрын
Naomba kuwasiliana na ww ndgu
@olivaaloyce72723 жыл бұрын
Naomba Namba yako ya Simu
@rosemarywakolela18623 жыл бұрын
Naomba namba yako
@devisshirima67805 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Baba Padre !!
@johnsanga78953 жыл бұрын
Ahsante
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
@catherineluoga62883 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristu swalilsngu ni hiv nimramua kuchagua matendo ya mwanga sasa je naanza kusema nos ndio nasali mate do ama
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Fatilia mafundisho ya Rozari aliyotoa Baba utapata majibu ya swali lako. Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@elizabethmwandu69373 жыл бұрын
Daaaa jamani kifo hiki hakina huruma.R.I.P baba mbele yako nyuma yetu.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina
@theresiathadayo36224 жыл бұрын
Naweza kusali novena Mimi ni zehebu lingine padre naomba kujua
@mjm98064 жыл бұрын
unaweza.
@fideliskimati46195 жыл бұрын
Nilichelewa kupata ichi chakula cha roho hakika ni kitamu sana
@theservantmedia75665 жыл бұрын
Kimati Karbu sana unaweza kushare n.a. kwa wengine utabalikiwa
@hermesrulagirwa51014 жыл бұрын
NAshukuru sana nimeelewa
@RaphaelMachinda-ih5we Жыл бұрын
❤aminaaaa
@mengikiguruwe67504 жыл бұрын
Ahsante sana Baba Paroko kwa somo hili muhimu; Nilipokuwa na miaka 10 baba yangu alipata ajali na kufariki hivyo nikalelewa na mdogo wake ambaye aliasi Ukristo (RC) na kuwa muda mfupi kabla ya ajali; kifupi niliiishi ktk jamii mchanganyiko inayoongozwa na Muislam na hivyo sikuweza kupata Sakramenti mbalimbali japo nimehakikisha wanafamilia wangu ninaowaongoza wapitia ngazi/sakramenti zote; Je kwa mapungufu hayo nitashiriki vipi kusali novena hiyo?
@oliverrwechungura14133 жыл бұрын
Nakushauri utafte padri akuongoze na akuelekeze zaidi..au muone father Mbiku mwenyewe...mtafte ili uweze kupata maelekezo zaidi ...natamani upate maelezo ya kina
@happymariki8242 жыл бұрын
ASANTE
@mamalisa37733 жыл бұрын
Tumsifu Yesu kristu swali langu narusiwa kuomba maombi mengi kabla ya novena
@berthamichael3723 жыл бұрын
Nia ni moja tuuu Kama alivoeleza baba paroko chagua Nia moja tuuu ktk hii novena
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@saraphinemoshi28685 жыл бұрын
Mimi ni mkristo wa KKKT natamani sana nisali hii Novena lakini nitafanyaje kuhisu kuungama kwa padri pamoja na ekaristi jamani naomba mwongozo
@haikangowi38285 жыл бұрын
Saraphine Moshi naamini hata ninyi mnautaratibu wa toba..fanya hivo itafaa
@theservantmedia75665 жыл бұрын
Asante sana kwa swali hii novena kwa wakristo wanao pokea ekaristi n.a. kuhungama kwa padri tu au ubadili zehebu
@safarijuma38114 жыл бұрын
Salafina Mimi nakushauri kapate Ushauli kwa padre yeyote ayapuma ushauli mzuri zaidi
@petromachanga294 жыл бұрын
Saraphine Moshi,heri nyinyi mnaoulizauliza kupata kufaham bila kujali madheheb
@veronicaalfred57393 жыл бұрын
Saraphine Moshi; iman yako ni kubwa maana haujal dhehebu la mwingne; Mwenye imani anatumikia popote, penye kumwabudu MUNGU kwa roho na kwel, UBARIKIWE sana mpendwa wa MUNGU.
@restitutanjau25852 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Baba,
@florachogo55373 жыл бұрын
asante sana baba
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@chrismukaja77716 ай бұрын
@@theservantmedia7566nafanyaje novena hii kama sipokei ekaristi tktf maana nina kizuizi na nataka kuomba ili kizuizi hiki kiondoke maana kinanikera
@barikiwa223 жыл бұрын
Baba ubarikiwe sana, nitaianza mara moja.
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@judamsaki56093 жыл бұрын
mimi dr msaki nimebarikiwa sana
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@issomhagama31274 жыл бұрын
Asante baba nimejifunza kitu kikubwa
@godfreyluoga75044 жыл бұрын
Namba ya Mseja Mbiku nimepoteza naomba mnisaidie kwa sasa maana ningekuwa Mjini DSM ningeenda ofisini kwake. Tafadhali
@esterkihwelo22283 ай бұрын
Alishafariki
@elizabethmapile9795 Жыл бұрын
Baba padri mimi naswali je,mimi nataka kusali lakini nyumbani asubuhi saa Moja na je ikitokea nimesafili au nipo nje na nyumbn napoishi naluhusiwa kuendelea na Novena
@shelindion2612 жыл бұрын
Nimejifunza mengi ashate badri
@felisterligwa4 жыл бұрын
Amina nitaisali hii novena
@celinatairo89663 жыл бұрын
Nami nitasali Baba! Asante ubarikiwe
@salamaseif41832 жыл бұрын
Kweli kabisa
@maryathanas5875 жыл бұрын
Mimi Nina maswali 2.moja.tayari nahudhuria clinic Kwa ajir ya shida niliyonayo muda mrefu,niache clinic pindi ninapoanza novena hii?pili,nina novena nyingine ya cku 144 naendelea nayo,je nifanyeje?
@josephchagula24832 жыл бұрын
Na Je kama palokia ninayo sali ikiewa Kuna ibada moja Tu Je yanipasa kufanyaje
@theservantmedia75662 жыл бұрын
Badili tendo unaweza sali rozari au litaniaaa
@annajoseph7063 жыл бұрын
Naweza kusali zaburi?
@theresiathadayo36223 жыл бұрын
Novena ya siku 9 au siku. 12 inaweza jibu maombi yangu naweza jibiwa najua padre mbiku ametangulia mbele za haki
@nyandabusiga5637 Жыл бұрын
Baba, ninashauku sana kuanza kusali novena hii. Ila sasa nina mwanamke ambaye hatujafunga pingu za maisha, ila mbele yetu tunania yakufunga pingu za maisha. Je, ninaweza kusali novena hii
@theservantmedia7566 Жыл бұрын
Ndio unaweza kusali lkn uitaji kujiusisha na zambi youote kama alivyofafanua kwenye video
@nyandabusiga5637 Жыл бұрын
Ninashukuru sana, kwa kuniondolea mashaka. Kwani ninaamini ninaweza kufika siku hizo zote. Hofu ilikuwa kwenye tendo la ndoa na huyu mwenzangu.
@nyandabusiga5637 Жыл бұрын
Nami nitawafundisha wenzangu namna ya kusali novena hii. Nilinunua kitabu cha novena hii, nilikisoma nikashindwa nianzie wapi. Nilikisoma mara kwa mara. Ninashukuru sana sana kwa maelezo na maelekezo ya Baba.
@theservantmedia7566 Жыл бұрын
Ndo usifanye
@nyandabusiga5637 Жыл бұрын
Ninapenda kufahamu juu ya Baba(Padre), nimeneona ameandukwa HAYATI, wameandika sawa au wamekosea? Na kama ameshafariki, nilini?
@mayungaagnes5660 Жыл бұрын
Asante sana kwa MAFUNDISHO mazuri. Mi nina swali Natamani sana kuifanya hii novena na ninamiezi miwili sjaungama je ninatakiwa Tena kuungama? Na je novena hii ntafunga na chakula au nafunga mfungo wa kawaida tu huku nakiwa napata na chakula sjaelewa vzr hapo
@agneskagombe51234 жыл бұрын
Baba nashukuru kwa somo zuri. Naomba kuuliza kama mtu yuko na kimada anataka asali hii novena atafanyaje kwa kuwa bado yumo ndani ya kimada akiungama dhambi nyingine hiyo ya kimada inakuwaje?
@josephchagula24832 жыл бұрын
Mimi Joseph naomba kuuliza kwenye swala la ibada ya wajibu Na kutimiza ahadi ya novena Je hapo ya nipasa kusali Misa ya Kwanza Na ya pili Na pia swali la pili kama Nina mke naishi naye hatuja funga ndoa napaswa kushiliki naye ki mwili
@Memoj12144 жыл бұрын
Asante Baba
@fransiskamkalawa6745 Жыл бұрын
Monalisa wewe mpumbavu kama huelewi mambo ya novena yanakuhusu nini?
@blezmlundi6823 жыл бұрын
Tumsifu YESU kristo... samahani jamani mimi nimeitafuta hii NOVENA Google hata nisiipate hivyo nawaombeni ndugu zangu yeyote yule ambae anayo hii NOVENA naomba sana anisaidie nitashukuru mbali na kufurahi kama nitaipata NOVENA hii asanteni sana... Tumsifu YESU kristo......🙏🙏🙏
@theservantmedia75663 жыл бұрын
milele amina, ukisikiliza vizuri utagundua novena iko kwenye hayo maelezo anayotoa so sikilia vizuri tena hiyo video asante, ukipata shida tena uliza
@agathaphoteen3504 жыл бұрын
Father Mbiku naomba no yako Nina matatizo ya mengi nahitaji msaada wa kiroho
@simionikengere39303 жыл бұрын
Amina
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Amina, Karibu utazame Hazina ya Mafundisho mazuri aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika Channel yetu ya THE SERVANT MEDIA Kwa ku SUBSCRIBE.
@cristinageminus13493 жыл бұрын
Mimi nimeolewa bila ndoa ila huwa naungama na pia napokea kwani nilifata padre nikaomba niungame nilikubaliwa kwasababu mume nile nae nidini nyingine sasa na weza fanya hii novena maana natamani Maana toka nimeanzaa kungama nimeona mabadiliko sana kwenye maisha je naweza kushiliki
@deogratiusshirima61723 жыл бұрын
Ninauliza mm nifanye nini ili niweze kuiga sifa ZA Mtakatifu Deogratius Wa kathiago
@theservantmedia75663 жыл бұрын
Kwanza tafuta kumjua huyo mt. historia yake vema na usali kwa maombezi ya mt. huyo uweze kuyaishi maisha mfano wake. Karibu sana utazame hazina ya mafundisho aliyotuachia MSGR. MBIKU Katika KZbin Channel yetu ya The Servant Media Kwaku SUBSCRIBE
@valenciamuhumbaqaspuita8103 Жыл бұрын
R.i.p father
@irenebeichumila65552 жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristo.!..Je hamna hardcopy ya maelekezo hayo?
@christopherkajuti30544 жыл бұрын
Krsto bb naomba no yakp ninashida
@theservantmedia75664 жыл бұрын
0684 664 446 Msgr Mbiku
@YasntaGeorgy5 ай бұрын
Tumsifu Yesu Kristo hii novena kwa yule ambaye hajafunga ndoa au kipaimara harusiwi kusali???