Kadada kavuri haka huduma mzuri big up tanzania yangu😂😂😂❤
@yogeshbangur17 күн бұрын
Can you make a video of different classes?
@tomsijohniАй бұрын
Ongereni sana
@percivalmkanyia6494Ай бұрын
Duh ulivyotaja viburudisho utadhani mnagawa bure. Kumbe mnazuia watu kuingia na maji huku mnaenda kuwauzia maji nusu lita kwa 1500. Rekebisheni hapo tu. Otherwise mko vizuri.
@aminashenduli5997Ай бұрын
Tunakataje ticket jaman
@exaverysimon1064Ай бұрын
SAF SANA SAMIA mitano TENA ❤❤❤
@allymansur8155Ай бұрын
Mnafanya booking on line, na kama ipo tupeni namba yenu
@ernestsinje9700Ай бұрын
Kadada Kazuki duh
@husseinally6699Ай бұрын
Hiyo safar ya saa 10 jioni Mnge isogeza iwe saa 11: 30 ama saa moja kamili Sasa saa 10 mapema hiyo jioni gani mtu bado hajamaliza mishemishe treni ishaondoka Ya jioni iwe na uhalisia wa jioni kweli
@beaugosseadam6831Ай бұрын
Ya mchongoko ikianza ndipo nami naanza kupanda Reli
@ommymp9058Ай бұрын
Tren ya SGR tumieni bendera ya tz
@user-lz7sd1vd2eАй бұрын
Online Mnakata tiketi na bei ni shs ngapi?
@dicksonmatulile1523Ай бұрын
Sema kwa jina na sio kwa majina
@vinny.moralesАй бұрын
Haika tutaonana soon, naomba namba yako kabisa
@loner_wolfАй бұрын
Hongereni lkn Dar - Tabora ndio mtaonekana mmefanya jambo kidgo... morogoro hapo miaka yote hiyo eboo
@chumamasunga8855Ай бұрын
Mwanza kabisa Jombaa
@ilakozasembumende1975Ай бұрын
😂😂😂😂 bongo land hatupoa hatuboi kwahiyo hapo hawajafanya kitu
@chumamasunga8855Ай бұрын
@@ilakozasembumende1975 wamefanya kitu but lengo halijafikiwa
@worldtechlabАй бұрын
I am a foreigner I can’t speak Swahili how can I understand what you are saying
@hassanlikwenangu8471Ай бұрын
Ulijuaje kama anaongea Kiswahili? Kwa nn usidhani ni Kipogoro
@EllyjTengenezaАй бұрын
@@hassanlikwenangu8471acha zako ww hii you tube inatumiwa na watu wengi na mataifa mbalimbali wengine wanaweza kuona matangazo ya kiswahili lakini hawaelewi kilichoongelewa
@worldtechlabАй бұрын
@@hassanlikwenangu8471 what’s that rubbish ?
@UnitedAfrica-uw9ctАй бұрын
@@worldtechlab Hahaha ...nadhani umeelewa...
@alphaxad7755Ай бұрын
Bado haujasema...na utasema..yaan mpka useme
@henrynyanswi2132Ай бұрын
Ratiba yenu sio sahihi, huo muda wa kuondoka Dar ingekuwa ni Morogoro ili wafanya biashara wapeleke bidhaa zao na wengine kuchukua mizigo/ bidhaa Dar na jioni isubiri abiria wa kutoka mikoani na Morogoro
@hassshoban8206Ай бұрын
Ilikuwa hata Morogoro ianze wakati mmoja na ya Dar. 😊
@ngoshakulwa8348Ай бұрын
Ni kweli morogoro pia ilitakiwa saa 10 jioni. Tatizo nadhani ni treni hiyo hiyo inatumiks hakuna kulala