Nashauri siti cover ziwe rangi ta bendera ya jamuhuri itapkuwa unyama sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@fidelfidel-jz4iw2 күн бұрын
Kitu muhimu sanaa lazima ziwepo basi za mkoani kutoka Dodoma ziendane na ratiba ya SGR itakuwa babukubwa serikali itaona mabadiliko ya maendeleo makubwa
@kwisa48992 күн бұрын
Umewahi kufanya Biashara yoyote ya kueleweka ?
@HASASON2 күн бұрын
Sasa upeleke basi kutoka dodoma hapo na umesikia tarehe 25 wanafika mpaka dodoma?
@ernestsinje9700Күн бұрын
Moro kuzuri mazingira mazuri
@babajay34452 күн бұрын
Bora turudi tukakae zetu Moro dar nyumba ni gharama sana
@kwisa48992 күн бұрын
Hizi sit bila cover st tutalaumiana
@bonaventuralupogo21492 күн бұрын
kwamba mlikua hamjui kama kunatakiwa kuwe na barabara na hivo vingine
@akidamakida60922 күн бұрын
Just imagine.. I really dont understand!!
@HASASON2 күн бұрын
Hawa watu wanaweza ongea kitu ukashangaa kumbe hata heshima uliokua unawapa uliwapendelea
@charlesmwambinga4355Күн бұрын
Yaaa hakifiki hata 1B na huitaji hata stand hapo nyingine ni kuweka waiting bay na parking kubwa basi...min Buses za kuchukua watu kuwapeleka katikati ya Mji kila siku bajaji na pikipiki...mpaka lini ???😂😂😂
@zobakazizi76372 күн бұрын
Mkuu wa mkoa morogoro hukujua kwamba kunahitajika barabara za kuingia station zinahitajika? Barabara ni mbovu!
@edsonnelson44642 күн бұрын
Chondechonde nawaomba msije mkaibinaifisha yakaja yale ya waliowapa Wahindi hivi serikali zetu zikoje kila kitu kizuri ni uwekezaji. Muone aibu
@babajay34452 күн бұрын
Safi sana
@MarryCharles-rc6ei9 минут бұрын
Soon tutasikia kapewa mwekezaji
@magorymara55152 күн бұрын
Tunachowaomba tu ni kuwa wabunifu na wasafi usafi katika miundombinu yote kuanzia treni zenyewe majengo na kazalika
@amirisaid6341Күн бұрын
Ben mwanantala yupo wapi siku hizi?
@AmbagayeКүн бұрын
Swali zuri sana; hata mimi nam-miss Ben kwenye channel hii
@amirisaid6341Күн бұрын
@@Ambagaye 👍
@musicschool_tz70149 сағат бұрын
ILA VICHWA MCHONGOKO MUVIWEKEE MCHONGOKO WAKE PALE MBELE KUNA KITU HAKIPO
@davidmalogo71002 күн бұрын
Magufuli aliona mbali sana chaajabu ninacho kiona kwenyetaalifa hizi magufuli hatajwi kabisa anatatwa Eva ,Yani watanganyika sio wajinga hata mfiche ya magu magu anaishi ndani ya mioyo ya watu ,Yani hata hamonaizi nimemwona kahojiwa hakutaja jina la mwazilishi ila kamtaja samia mbona mbona kama Kuna kitu kinafichwa kwa magufuli Yani nyie machawa ,,mungu atafanyatu miujiza nakuangamiza huyu utawala wa yezebeli
@NDEWARA2 күн бұрын
Pole 😅
@lifeonearth942 күн бұрын
Magu alikuwa na maono sana
@elinamilyatuu73372 күн бұрын
Ukishampa kiongozi kura anawajibika kukuletea maendeleo...kwahyo labda useme serikali ya awamu ya tano sio kumtaja fulani na uache ujinga
@eddechriss26642 күн бұрын
Tuliongea toka mapema kabisa kuwa mnajenga stations lakini hamjengi miundo mbinu ya feeder mkajifanya hamuoni, ona sasa
@ShabaiSadick2 күн бұрын
Waziri mbarawa twambie vile vichwa viwili vya ujerumani viko wapi?