MBARAWA : ZAIDI YA ABIRIA 40 ELFU HADI SASA WAMETUMIA TRENI YA SGR

  Рет қаралды 10,428

TRC RELI TV

TRC RELI TV

4 күн бұрын

KARIBU TUKUHUDUMIE

Пікірлер: 26
@DeogratiasMadaraka-b9v
@DeogratiasMadaraka-b9v Күн бұрын
Nashauri siti cover ziwe rangi ta bendera ya jamuhuri itapkuwa unyama sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 2 күн бұрын
Kitu muhimu sanaa lazima ziwepo basi za mkoani kutoka Dodoma ziendane na ratiba ya SGR itakuwa babukubwa serikali itaona mabadiliko ya maendeleo makubwa
@kwisa4899
@kwisa4899 2 күн бұрын
Umewahi kufanya Biashara yoyote ya kueleweka ?
@HASASON
@HASASON 2 күн бұрын
Sasa upeleke basi kutoka dodoma hapo na umesikia tarehe 25 wanafika mpaka dodoma?
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 Күн бұрын
Moro kuzuri mazingira mazuri
@babajay3445
@babajay3445 2 күн бұрын
Bora turudi tukakae zetu Moro dar nyumba ni gharama sana
@kwisa4899
@kwisa4899 2 күн бұрын
Hizi sit bila cover st tutalaumiana
@bonaventuralupogo2149
@bonaventuralupogo2149 2 күн бұрын
kwamba mlikua hamjui kama kunatakiwa kuwe na barabara na hivo vingine
@akidamakida6092
@akidamakida6092 2 күн бұрын
Just imagine.. I really dont understand!!
@HASASON
@HASASON 2 күн бұрын
Hawa watu wanaweza ongea kitu ukashangaa kumbe hata heshima uliokua unawapa uliwapendelea
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 Күн бұрын
Yaaa hakifiki hata 1B na huitaji hata stand hapo nyingine ni kuweka waiting bay na parking kubwa basi...min Buses za kuchukua watu kuwapeleka katikati ya Mji kila siku bajaji na pikipiki...mpaka lini ???😂😂😂
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 2 күн бұрын
Mkuu wa mkoa morogoro hukujua kwamba kunahitajika barabara za kuingia station zinahitajika? Barabara ni mbovu!
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 2 күн бұрын
Chondechonde nawaomba msije mkaibinaifisha yakaja yale ya waliowapa Wahindi hivi serikali zetu zikoje kila kitu kizuri ni uwekezaji. Muone aibu
@babajay3445
@babajay3445 2 күн бұрын
Safi sana
@MarryCharles-rc6ei
@MarryCharles-rc6ei 9 минут бұрын
Soon tutasikia kapewa mwekezaji
@magorymara5515
@magorymara5515 2 күн бұрын
Tunachowaomba tu ni kuwa wabunifu na wasafi usafi katika miundombinu yote kuanzia treni zenyewe majengo na kazalika
@amirisaid6341
@amirisaid6341 Күн бұрын
Ben mwanantala yupo wapi siku hizi?
@Ambagaye
@Ambagaye Күн бұрын
Swali zuri sana; hata mimi nam-miss Ben kwenye channel hii
@amirisaid6341
@amirisaid6341 Күн бұрын
@@Ambagaye 👍
@musicschool_tz7014
@musicschool_tz7014 9 сағат бұрын
ILA VICHWA MCHONGOKO MUVIWEKEE MCHONGOKO WAKE PALE MBELE KUNA KITU HAKIPO
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 2 күн бұрын
Magufuli aliona mbali sana chaajabu ninacho kiona kwenyetaalifa hizi magufuli hatajwi kabisa anatatwa Eva ,Yani watanganyika sio wajinga hata mfiche ya magu magu anaishi ndani ya mioyo ya watu ,Yani hata hamonaizi nimemwona kahojiwa hakutaja jina la mwazilishi ila kamtaja samia mbona mbona kama Kuna kitu kinafichwa kwa magufuli Yani nyie machawa ,,mungu atafanyatu miujiza nakuangamiza huyu utawala wa yezebeli
@NDEWARA
@NDEWARA 2 күн бұрын
Pole 😅
@lifeonearth94
@lifeonearth94 2 күн бұрын
Magu alikuwa na maono sana
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 2 күн бұрын
Ukishampa kiongozi kura anawajibika kukuletea maendeleo...kwahyo labda useme serikali ya awamu ya tano sio kumtaja fulani na uache ujinga
@eddechriss2664
@eddechriss2664 2 күн бұрын
Tuliongea toka mapema kabisa kuwa mnajenga stations lakini hamjengi miundo mbinu ya feeder mkajifanya hamuoni, ona sasa
@ShabaiSadick
@ShabaiSadick 2 күн бұрын
Waziri mbarawa twambie vile vichwa viwili vya ujerumani viko wapi?
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 46 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 31 МЛН
ИРИНА КАЙРАТОВНА - АЙДАХАР (БЕКА) [MV]
02:51
ГОСТ ENTERTAINMENT
Рет қаралды 11 МЛН
HIZI HAPA SETI 2 ZA MCHONGOKO, IPO “SAMIA EXPRESS”
3:36
TRC RELI TV
Рет қаралды 23 М.
Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo
10:50
Electric Trains HERE WE GO!!! TANZANIA 🇹🇿
21:12
Malango Travels 🇹🇿
Рет қаралды 12 М.
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 46 МЛН