Asante sana Pastor nakufatiya apa RDC sijuwi tapataje kitabu
@raelsarange638 Жыл бұрын
Great I'm proud of my DADDY in heaven i surrender all to him niko Iraq nimeona mkono wake kwenye maisha yangu through pastor mmbaga teachings,sina hofu kusema I'm delivered by God's grace I av got life testimony at times nalia kilio cha furaha ❤❤
@leahmose180824 күн бұрын
Asante nimebarkiwa❤❤ Mungu azidi kuklinda mchungaji uzudi ktuelimisha amina
@rosekemunto660 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu naomba ,uniombe nipate mchumba mcha mungu na shida na laana za jaamii sikafungwe na kuchomwa kwa nguvu za mungu. Just pray for me. From kenya .
@PaulShunda- Жыл бұрын
Ok you good
@douglasonchari4407 Жыл бұрын
Noonde igaa
@rosekemunto660 Жыл бұрын
@@douglasonchari4407 than you very much for your prayer.
@chalzjuniour3495 Жыл бұрын
Habari za mchana, Naomba nikushauri kitu,maamuzi ya muhimu zaidi kufanya kwenye maisha ya mwanadamu ni kumpokea yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yakoo na maamuzi ya pili ni kumchagua mwenza wa maisha, Kama Maamuzi ya muhimu zaidi kwa mwanadamu kufanya ya wokovu Mungu akuchagulii sembuse ili la pili ndo akuchagulie!! Mungu akuchagulii mchumba tafuta maarifa ya kumjua mtu sahihi kwenye maisha yakoo na muombe Mungu akusaidie upate maarifa sahihi, ubarikiwe sanaa🙏
@NyamariFaith-qu1jm8 ай бұрын
Am so blessed for ur powerful sermon pastor b blessed with ur family $all ur group in Jesus name 🙏
@fedrickyohana74333 ай бұрын
Amen mchungaji umejua kunifundisha kitu kizuri
@tracysally-im7fw Жыл бұрын
Pastor niombee nibarikiwe na mume wangu amkubali YESU na apate kazi ambayo haimsumbui kumlipa,na nirudi kwa wanangu ntashukuru sana
@faithmoraa4542 Жыл бұрын
Pr, am Faith moraa from Kenya, Help me to pray for my girl FABRACIA FATUMA anayeelekekea kufanya mtihani wake wa kidato Cha nne (K.C.S.E) Mungu amfanye mshindi aweze kupata hitaji la moyo wake.(A-) Na MUNGU amshindie kabisa AMEN🙏
@dorisgesare77076 ай бұрын
Exactly like me I talk God as a loving father and He has done much
@elina411311 ай бұрын
Nimekuwa nafuatilia vipindi vysko Pastor Mmbaga, vinanibariki kila siku . Ombi langu Naomba niombee mwanangu wa kwanza ghafla hatakii kuongea nami bila sababu yeyote,nami siko nao kwa muda wa miaka minne niko kazini Nchini Oman,na tulikuwa na mawasiliano mazuri kill mara. Nahisi amejiunga na vikundi vilivyo kinyume na mapenzi ya Mungu.
@TeleziaSimbeye-fm3zw Жыл бұрын
Hata mi nimesoma baadhi ya vitabu vya kisabato vimenisaidia sana na mi ni Mkaatoriki ubariwe sana mchungaji
@user-ou6ls5ws9jАй бұрын
Ubarikiw namug.tuk.tunakusikiriz
@user-xe9yd5pr3k Жыл бұрын
Mchungaji ubarikiwe kwa jina la yesu.,familia yangu naomba maombezi, watoto wangu wawili hawajapata watoto, wengine hawajapata wachumba Mungu wangu aifungue familia yangu.
@PeterCharles-yc7tn18 күн бұрын
Mchungaji nashuhudia ndoa yangu imeimarika kwa.maombi yatv ulifundisha someone lililoponya ndoa yangu iliokua imekufa kabisa namshukuru mungu sana
@RamazaniLumbu10 ай бұрын
Mchungaji mungu asifiwe tena akubariki saaaana nalitowa hoja yangu kuhusu ugonjwa ivi alipita ku opération Na leo eko mzuma mungu asifiwe kwa maombi yenu mutuombee mungu atubariki katika viashara yangu
@slamafamily572010 ай бұрын
Amen pastor mm.naamini mungu atatendà kabisa yani pastor barikiwa sana kwa mafundisho yako
@rogerkambale999811 ай бұрын
Asante Sana mtumishi,ninashida kwenye unyumba wangu,naomba uniombeye,Niko congo
@dorisgesare77076 ай бұрын
I was childless I and my husband prayed by faith and now we have children
@dorisgesare77076 ай бұрын
One day I was bleeding for along time I prayed by faith and God healed me and showed me sadaka ya shukurani ya kupeleka kanisani ambayo ilikuwa maziwa mara na mafuta taa
@maximilianstephano9578 Жыл бұрын
Asante mtumishi wa Mungu, somo linaeleweka barikiwa mtumishi
@user-id6vb9rc8m Жыл бұрын
Mchungaji niombeeee nipate mchumba mwenye hofu ya mungu na mwanaume wa imani s.d.a Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na ndoa takatifu ifungwe kwenye mimbari ya wadventista wasabato ni imani yangu mchungaji nimepata mchumba na tutahama kutoka Sengerema na kurudi geita .
@dorisgesare77076 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu siku moja alinijibu kwa sauti nikiwa ninaomba God is a live and near us
@user-gs1ld5vd6e9 ай бұрын
Shalom pastor, nabarikiwa sana na mafundisho, natamani sana niwe kama unavyofundisha mungu aniwezeshe naomba niombee
@ngenamangala255910 ай бұрын
Amen Amen
@naturelle10979 ай бұрын
Amen
@ericksonsteve4075 Жыл бұрын
Kwa maombi pamoja nawe ipo siku nitakuwa shujaa katika nchi yanguh na Dunia Kwa ujumla Kwa jina la yesu kristo Amina.
@user-id6vb9rc8m Жыл бұрын
Mchungaji tuombeeee familia yangu tuweze kutoka Geita na kurudi Sengerema Amina
Asante kwa somo lako mchungaji naomba utuombee mimi na mke wangu tuweze kupata mtoto. Maana hatujafanikiwa kupata hata mtoto moja.
@upendoloondokalembekela7748 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ameshawapa haja ya mioyo yenu, fanyeni maombi mkisema Asante Bwana yesu kristo kwakuwa umetupa uzao tayari amen.
@lennyfrank8 ай бұрын
Ameen Ameen
@renatuskanuthy5743 Жыл бұрын
Ashukuriwe Mungu alieponya kupitia kwa mtumishi wake mmbaga
@rebeccaonyando7214 Жыл бұрын
Amen and Amen katika jina la Yesu.
@MarekelaMarekela-cg4ch8 ай бұрын
God bless all
@EdinaMbilinyi-hm6no Жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji leo nimeelewa Mungu akubariki sana
@ephrasienasifiwe3393 Жыл бұрын
Amen amen
@elienew378811 ай бұрын
Ameen asante sana
@damaryjohn698511 ай бұрын
Ninabarikiwa jamaniii
@molooanne Жыл бұрын
Amen pasta tunabalikiwa sana
@user-pq8xy3tv7l Жыл бұрын
Ameeene papa pasteur kwa mafundisho
@agiebukutsa8539 Жыл бұрын
Amen Wacha Mungu akutane Na haja ya Moyo wangu
@estherkahindo299411 ай бұрын
Mungu akubariki zaidi mzungaji naendeleye kukupa hekima .mapenzi Ya mungu itimilike kwangu kulingana na maombi yako
@kazidotto8675 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@user-zf1tx7dg2d Жыл бұрын
Mchungaji mungu akubaluki sana uende mbali
@SifaDimatasi-om2rj Жыл бұрын
❤Ameeeeeeen
@rehemanashon3739 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji🙏
@user-id6vb9rc8m Жыл бұрын
Mchungaji Mimi naomba unisaidie kuomba tumetoka Sengerema na Kuja Geita mchungaji naomba unisaidie tuweze kurudi Sengerema kule ndiko mungu alikoweza kutubariki na kutuneemesha mambo yake huku mchungaji Geita sio kuzr afu nyumba inabaki pekee yake mchungaji naomba unisaidie kuomba turudi Sengerema
@omankadara6418 Жыл бұрын
Ameen Mungu akuzuze sana
@SifaelNoah3 ай бұрын
Naomba unisaidie maombi naumwa pumu na presha.
@JeremiahGuragura Жыл бұрын
Mungu akutendee mema
@KASICHANANDARO-ud1eh Жыл бұрын
Mtumishi wa mungu nahitaji maombi Kwa familia yangu tuwe na Amani...
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu atendee muujiza
@ednaaswile6631 Жыл бұрын
Amen mtumishi 🙏
@DONATUSKomba-pu1bk10 ай бұрын
Pastor,MUNGU aendelee kukutumia siku zote.Kwa kweli kupitia kwako, najifunza mengi.Uniombee,nisiendle kuwa nyuma kimawazo
@gracejames2395 Жыл бұрын
Pr BWANA asifiwe naitwa grace nipo katolo geita niombee BWANA anipe mume anaelicha jina lake
@lucynyigana2801 Жыл бұрын
Amina kubwa
@ericksonsteve4075 Жыл бұрын
Amina
@user-zf1tx7dg2d Жыл бұрын
Mchungaji mhombee mama angu apone na aanze kazi tena
@psftv6478 Жыл бұрын
Barikiweni.
@margaretwanjiru9096 Жыл бұрын
Kweli MUNGU anafanya muujiza kukupitia nimeyaona kabisa na ninashukuru sana Mungu
@doricapeter54510 ай бұрын
Mbaga nakosa pakucoment naomba namba nahitaji kuonana na ww mtumishi
@MahubiriPrMmbaga10 ай бұрын
WhatsApp +255 755 932 283
@MarwaTimasi11 ай бұрын
mchungaji naitwa marwa timas wa kitunda dsm naomba yako
@saighilunyangusi4986 Жыл бұрын
Bwana azidi kukulinda na kukuwezesha mchungaji
@eunicewacheke5874 Жыл бұрын
Pastor naomba ukanikumbuke Kwa maombi nipate kujenga nyumba yangu.
@rosejoseph7982 Жыл бұрын
Pr nami niombee familia yangu imeishi na magongwa plz niombee
@molooanne Жыл бұрын
Pasta naomba uniombe nipate muchumba
@kabalizasekanabomarko6063 Жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu. Ningependa kupata namba yako pia. Kuna rafiki yangu hana mtoto kwa myaka 10. Ila nimeongea naye na kumwambia pia utapata mtoto.Mungu halali.
@sarahmosiori9774 Жыл бұрын
Hata nami niombee niwe na Imani.maanake nimeishi na fibroids Kwa miaka ishirini.Baba afungue umbo langu.
@upendoloondokalembekela7748 Жыл бұрын
Waebrania 11:1,uwe na uhakika umepakata tayari ,fanya maombi ya kushukuru maana Mwenyezi Mungu ameshatenda tayari,Bwana amekupa aja ya moyo wako.
@tracysally-im7fw Жыл бұрын
Kuna rafiki yangu anaitwa Judy ametafta mtoto na hapati TAFADHALI muombee
@leticiabaziwani5234 Жыл бұрын
Pastor naitwa Leticia John Baziwani naomba uniombe nipate kuwa na nguvu ya Roho Mtakatifu ili niweze kushinda majaribu ya ndoa yangu mme wa ni mkenya na amezamia huko natamani sana kuongeza mtoto ila yeye hataki kuja Tanzania na yeye hataki kunipeleka anakoishi Nairobi japo kwao ni migori
@jayras5014 ай бұрын
Ata mm nimejua burton ni ngani
@divinahmoraaongaki8666 Жыл бұрын
Je hivyo vitabu tutazipata wapi Kenya?
@user-fx2so9dy5l10 ай бұрын
🎉❤😂
@MarwaTimasi11 ай бұрын
nsmba yako ya simu
@user-fr3of9cq1o7 ай бұрын
Pr changamot yang kun mtt anaaguk mapep mtaan kwet ila anataj mtaa mzim nakunalet kutopatan mtaan tusaidie kuomb mung aingilie kat
@pacshalfrenk8982 Жыл бұрын
Niombee nipate mototo, na ubarikiwe pr.
@GuzuraJonas-ux6yx Жыл бұрын
Chungaji naomba uniombe kuhusu ndoa yangu na uchumi
@claraelengabulunda6750 Жыл бұрын
Na mimi naitaji kitabu, Niko nachinda sana nikiokoka tena najikuta narudi nyuma nimateso kwangu
@user-fr3of9cq1o7 ай бұрын
Pr nafwatilia mahubir yak yana nitia moy na kun shid nawez be kupat namb yk
@user-bv1pf9pe6d8 ай бұрын
Ninaomba unisaidie namba yako
@user-cc3ct9su2n Жыл бұрын
Pasta bwana akubaliki ninabalikiwa sana na vipindi vyako naomba unikumbuke kwa maombi kila nikibeba mimba zinahalibika nasasa ninamimba tena hivyo naomba uniombee sana
@user-uo9lc8dk2q Жыл бұрын
bwana asifiwe mutumishi nimebarikiwa sana naomba uniombe juu ya mama yangu alipotea Sasa ni miaka 13 sijui aliko. kama uko hai
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu atende
@dorisgesare77076 ай бұрын
One day I asked God for lunch while walking on the road then I saw money beside the road and another day I asked for my children mattress while I was walking on the road I saw a matress beside the road but I feared to pick
@deogratiasmazangi-mk4fp10 ай бұрын
Amen
@user-id6vb9rc8m Жыл бұрын
Mchungaji niombeeee nipate mchumba mwenye hofu ya mungu na mwanaume wa imani s.d.a Kwa umri wangu nimepitia changamoto nyingi kwenye uhusiano nahitaji kuwa na ndoa takatifu ifungwe kwenye mimbari ya wadventista wasabato ni imani yangu mchungaji nimepata mchumba na tutahama kutoka Sengerema na kurudi geita
@magigesabai8674 Жыл бұрын
Amina
@user-zf1tx7dg2d Жыл бұрын
Mchungaji mhombee mama angu alikua vizuli tu lakin saivi Yuko kama kachanganikiwa hatujuh chanz nn