Wow jamn. Mungu ni mwaminifu yang nilipata kazi Katika sehemu ambayo niliambiwa kuna uchawi na nguvu za giza na hiyo kazi ikafika hatua mkataba ilikuwa urudishwe. Lakini sasa tupo kazini mwezi wa tatu Mungu ni mwema
@etridaelias853 Жыл бұрын
Niko maeneo ambayo hakuna kusali hakuna makanisa yeyote jaman mnaoishi ktk nchi ambazo kuna Uhuru wa kuabudu, Mshukuruni Mungu Sana kwaajili ya hilo
@mborawakiche756411 ай бұрын
Endelea kusali kupitia online Mahubiri mbalimbali plz usimwache Mungu, hata hivyo ninani ajuae kama hukupelekwa huko kwa makusudi maalum! Bwana akutumie Sawa na Mapenzi yake 🎉
@etridaelias85311 ай бұрын
@@mborawakiche7564 🙏🏽🙏🏽
@user-tx6nz4up5h7 ай бұрын
Kusanyika na familia yako nyumbani chukua vupindi hivi weka kwenye tv inatosha kabisa sadaka tuma
@kissamwamunyange10182 ай бұрын
Kanisa ni kuabudu kwako na Imani na kuwa na Utulivu WA Nafsi na kutenda mema . Hiyo ni ibada Tisha🙏
@mariamwalongoАй бұрын
Polenisana ndugu zanguwote mlioko hukombali uzuli Munguwetu anajua hajazenu namaombienu yakimoyomoyo yeye nimkuu mno kuliko kitu chochote Munguawasaidie
@reallyworshipers1515 Жыл бұрын
Sina cha kusema zaidi ya kumshukuru Mola❤❤ mbarikiwe na Bwana Mch
@user-kx6ss2vc8p Жыл бұрын
Pastor mmbaga nimeanza kukufatilia muda ni mungu amenikutanisha na mahubiri yako hakika nimeokolewa na ninazidi kuwa jasiri siku zote naimalika asnte BWANA kwa mtumishi wako ulompka mafuta mtie nguvu zaidi amina
@bahatijohn195811 ай бұрын
Mpendwa uwe unaandika Mungu Kwa herufii kubwa sio mungu sawa
@user-kx6ss2vc8p11 ай бұрын
@@bahatijohn1958 sawa
@josephinesanita49042 ай бұрын
Mm nashukuru mungu, kwa wema wake, anayo nitendea niyaajabu sana,
@definitelykoechy8726 Жыл бұрын
Ahsante Sana kwa mafundisho mema ❤❤❤❤
@patoostarman Жыл бұрын
Thanks pastor yu changed my life
@junessalama9129 Жыл бұрын
Kpita mahubiri Yako postor najifunza mengi ambayo sikuyajua
@edinahmasea1603 Жыл бұрын
Pastor thank you ❤may God open our eyes in the Name of Jesus Christ. Amen Amen Amen Lord
@maombijofre230211 ай бұрын
God bless you pastor ,Hakika wewe umeteuliwa na 𝗠𝗨𝗡𝗚𝗨 na Barikiwa Sana Nitazamapo na kusikiliza Mahubiri yako
@cyrusmuthee919111 ай бұрын
Pastor nilikuwa Kwa vita kali ya kiroho na umetumiwa na Mungu sana kunisaidia kupigana mpka matokeo nimeyaona Mungu akuzidishie sana Pastor.
@NsajigwaMwakalebela-nl5mn Жыл бұрын
Ubarikiwe sana pr Mmbaga kwa ufundishaji wenye uwezo wa Roho Mtakatifu.
@rehemanashon3739 Жыл бұрын
Asante Bwana wetu Yesu Kristo Kwa kunivuta karibu Yako. Nabarikiwa sana.Mungu akubariki sana Pastor.🙏🙏
@user-fm8tz7or3b8 ай бұрын
Very good preaching
@elienew3788 Жыл бұрын
Natarajia Muujiza wangu pia mimi naamini siku moja itafika Mungu atantendea na mimi
@user-kv4dx1hr7t Жыл бұрын
Mungu ni mwema sana
@vicknessngenzi6146 Жыл бұрын
My pastor of all times Mungu aendelee kukubariki kwa utukufu wake.
@etridaelias853 Жыл бұрын
Asante mahubiri TV, nimefurahi sijawapata hewani muda naomba msiache kirusha mahubiri ya Makambi
@silvesterryaga7365 Жыл бұрын
Amina
@MaryKerubo-xt1ci8 ай бұрын
Palikiwa sana muhubili nami naomba mungu anifungue macho ya ndani
@etridaelias853 Жыл бұрын
Mungu awabariki Sana Mahubiri TV mana mnanifanya nisali nipate neno kila wkt. Mungu ashukuriwe na atukuzwe kwa ajili yenu
@raelsarange638 Жыл бұрын
Mchungaji umefanya mie nikapadirisha mtazamo wangu ahsante kwa mafundisho Yako,be blessed abundantly my spiritual father ❤
@robertkatoto301611 ай бұрын
Barikiwa saana pastor
@josephinesanita49042 ай бұрын
Mm kuna siku nikiwa kazin, wakati watu wameondoka nikapiga magoti, nikaandza kuomba, wakati, kila kitu kimetilia, nikahisi kama mtu ako nyuma yangu, kidogo nikasikia kama mfuko umeshikwa, wakati mfuko wenyewe uko kwa kabati, na niliweka toka juzi na hakuna upepo wowote
@user-np4wv2ss8j11 ай бұрын
Asante SoMo zuri
@mussakolle3952 Жыл бұрын
AMINA
@CatherineLugela9 ай бұрын
Bwana na Atukuzwe sana
@EverineMasoka-ld4du Жыл бұрын
Asante Mungu kwa huwai ulionipa.
@rosemarymwanitega792611 ай бұрын
Amen Pastor Mungu akubariki
@gideonviper7901 Жыл бұрын
Tunabarikiwa sanaaaaa
@judithnjalambaya245011 ай бұрын
Amen 🙏
@janethjoel596511 ай бұрын
Ubarikiwe mtu wa Baba nipo kitandani nimelala nilikuwa siwezi ila kadili ninavyosikiliza mafundisho yako toka kambi la nyakanazi nasikia kuna nguvu inaendelea kunifungua na ninajisikia huru sasa na nguvu nyingi
@josephinesanita49042 ай бұрын
Amina mungu nimuweza wa yote
@etridaelias853 Жыл бұрын
Barikiwa Pr.Mbaga mana unanibariki
@user-lm2cn1ym3r Жыл бұрын
Aminaa
@josephinelusambo4593 Жыл бұрын
Amen umbarikiwe
@kwandundaki856811 ай бұрын
Pastor umenifanya nicheke eti tunategemea kichwa kimoja na kweli ni safari ndefu kweli mpaka unasema eee muda wote huu niko angani
@MARY_COMPASSIONATEHOME11 ай бұрын
Kilioooooooooooo😭😭😭😭😭Tafadhali hili somo fanyeni tulidownload mana halidownlodiki,
@user-tx6nz4up5h7 ай бұрын
Naomba muweke namba tutume sadaka zetu tinao hitaji kufanya hivyo
@gelardjames2595 Жыл бұрын
Amen..
@user-ou6ls5ws9j7 күн бұрын
Harimucungaji mafundisho yako.yamenisaindiya san
@mamalaozphilemonmtawali.8467 Жыл бұрын
Amen.
@toshalulinda1493 Жыл бұрын
Amen
@kabalizasekanabomarko606311 ай бұрын
Muchungaji naomba unijibi, naomba kuongea na wewe.
@messagerkambale583011 ай бұрын
Jambo pasta, hajiri alifukuzwa pamoja na mamaye akiwa na myaka ngapi?
@DanielJames-of7yr Жыл бұрын
Pr mafundisho yako ni mazuri, lakini kuhusu kutumia dawa za asili bila masharti ya kishirikina nadhani hakuna kosa, kilicho safi hata kama taaarifa zinatoka kwa shetani kitaendelea kuwa safi tu, Mungu anasema vitu vyote ni mali ya Bwana, kwahiyo hata kama mti fulani kama dawa atauelekeza shetani kwamba ni dawa mti huo hauto badilika kuwa najisi kwasababu muumbaji wa mti huo ni Mungu na wala si shetani,