Insha allah sheikh wangu mi nimekuelwa Allah akulipe kheri akhera
@muniramohamed88876 жыл бұрын
Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin
@jabilishekusa22025 жыл бұрын
shekhe yuko sahihi kutuelimisha na kwakweli MWANZO wa ushetani ni sisi wanaume wajua KABISA mke wa furan wewe wamfukuzia matokeo YAKE waacha familyako utaenda jibu nini mbele ya Allah wanaume wenzangu tujieshimuni kama wataka mke.mwingine Bora kuoa kuliko kuzini hata kama hajaolewa nizambi kubwa sana
Mashallah wallah mejikuta nakufatiliaa tu we baada ya kuckilizaa mawaidha yako nazidi kuvutiwaa tu
@mwanahawafoum39076 жыл бұрын
Shukran sheikh Allah azidi kukupa uwezo utuelimishe
@abughatimsalim70476 жыл бұрын
In yukhuibuka fillah takbarillah min wa minka inshallah
@fatumahassan13855 жыл бұрын
sheikh mawaidha yako yamenielimisha sana jazakum khair
@saidasaid58554 жыл бұрын
Sheikhe hapo umenena mwanamme hawez kukuvunjia heshima Kama mwanamke or mwanamme ana heshma
@omarmwinyi1254 жыл бұрын
Swadakta sheikh
@nassormuha48326 жыл бұрын
nikwel Shekhe heshima unajiekea mwenyewe lakin wanaume munatabia mbaya yakutongoza tongoza ovyo tena mda mwengine MTU ukimkatalia atakufanyia kilahali alimradi awe na ww karib naroho za wanawake ninyepes sana masuala yakutongozwa
@shakiruabasi14685 жыл бұрын
Naylor Muha
@rahmaoman51224 жыл бұрын
Mashaallah mafundisho mazr sana
@mlawafamily81916 жыл бұрын
Mungu akuzidishie sheikh wetu
@zuhuranahimana71975 жыл бұрын
Ustaz wewe wakati mwengine unatuchesha saana
@suleimanmohamed33975 жыл бұрын
mashaAllah - Allah ukeke, akupe afya na anguvu. kwahakika khutba zako ni za haki na ukweli, jazakaAllah
@brockbeckham70452 жыл бұрын
I guess im asking the wrong place but does any of you know of a method to get back into an Instagram account?? I was stupid lost my account password. I would love any tricks you can offer me.
@jabilishekusa22025 жыл бұрын
Allah akuongoze
@latifahnassoro172 жыл бұрын
Hhhhhh Subhana'Allah nimechka mpk bas shukran habibi sheikh letu Allah akupe umri mrefu
@sufianidaudi19996 жыл бұрын
Mashaallah
@fakhiayoub90625 жыл бұрын
Takbir
@abughatimsalim70476 жыл бұрын
Mashallah tunakupata shekhe
@zuhuranahimana71975 жыл бұрын
Shukran ustaz
@hfhffg78196 жыл бұрын
MashaAllah..hahaaa duuuh kinuka mtho
@fhyubhhh2881 Жыл бұрын
Jazzakallahu khair
@yahayaabdalla34113 жыл бұрын
Shekhe mafundisho tumeyaelewa Barabara
@ramadhanihafidh77325 жыл бұрын
Mashallah Mashallah
@atwfordshabani72773 жыл бұрын
Masha allah she wetu jazaka llahu khaira
@alichabalo86904 жыл бұрын
mashallah mawaidha yako mazuri
@khamisaahsam89223 жыл бұрын
Shekhe nina swali je kama mume ana mwanamke nje alafu yule mwanamke anafanya shiriki ili kuvunja ndoa iyo apate kuolewa yeye inakuwaje hapo
@07851162236 жыл бұрын
Mashallah
@zuhuranahimana71975 жыл бұрын
Hhhhhhh Mme bwege uyo
@abullahkabaka87743 жыл бұрын
MASHA ALLAH ALEIK
@salmakhamis81815 жыл бұрын
Swadaktaa
@mohdyussah8255 жыл бұрын
Sote tunatia mkono kizani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mtoromtoro33385 жыл бұрын
mtihan jaman
@jamilamunisi14805 жыл бұрын
mashallah nikweli kabisa
@umayraseeb33575 жыл бұрын
A.alykum sheikh, jee ikiwa mume ndo aishi na hawara ndani. mkewe wa halali hataki aende pale kwenye nyumba yke. na mume ampa vtisho mke km akimfata, nini afanye mke na hayuko tayar kuikosa ndoa yke
@abdulrahimmurshid63803 жыл бұрын
Shukran
@FREENETNAME5 жыл бұрын
The love of Allah conquers all marriages alhamdulilahi. We are only humans after all...
@firdaus74286 жыл бұрын
Huyo mwanamke hamtaki mumewe mana asingetoka nje ya ndoa lakini ikiwa mume amemsamehe mkewe basi hapo ni uamuzi wake
@amuunyussuof52406 жыл бұрын
😁😁😁😁
@munaseif97696 жыл бұрын
shukran shehe wasamehe wanaokuona wew unaongea uongo allah atakulipa inshaallah
@selemanishabani68434 жыл бұрын
Wewe
@zulekhamohammed76946 жыл бұрын
ahsante shekhe ila wanaume hawaewi ukimwambia Fulani anifatilia atakujibu huyo ni mtu wako Wa mda tuu itakua
@abdulqadirhajj66316 жыл бұрын
Zulekha Mohammed
@abshirmohamed48876 жыл бұрын
Zulekha Mohammed dah
@mohamedmariano56996 жыл бұрын
Zulekha Mohammed .Ukiona mke anakwambia ujue hajampenda huyo au nimtu wake wazamani ilawamegombana.
@ARFIddy7 жыл бұрын
Shkrani jadhila
@saidykipalo91167 жыл бұрын
A.R.F. Iddy hivi wewe mtoto mbona bint Iddy jamani upo wapi lkn niambie baaasi jamani?
@ARFIddy7 жыл бұрын
Saidy Kipalo ntafte Fb kwajina ARAFA iddy
@mohamedmariano56996 жыл бұрын
A.R.F. Iddy .mmh
@bimumaulid11716 жыл бұрын
haha shekhe nimekupata 😁
@nduwiwimanarichard8966 жыл бұрын
±25769610902nmbayangu iyo naomba yakwako
@lipikabelwa57885 жыл бұрын
In shallaah
@wardalward36936 жыл бұрын
WOTE NISAWA MWAN MUME NI SHETANI NA MWANAMKE NISHETANI POLE SHEKHE
@hashimrupia87275 жыл бұрын
Shehkee asalaam aleikum hivi hizi dua za kuwaombea marehemu cku ya eid kubwa yafaa! na kama yafaa ni cku ngapi baada kupita ckuu ya ckukuu!
@alaminalamoudy5 жыл бұрын
😂
@salimsaid72003 жыл бұрын
@@hashimrupia8727 Maduwa Ya Kuwarehemu Wazee Na Waislamu Wote walokufa Na Sisi Tulokuwa Hai Kuombeana Rehma Ni Wajib Ni Siku Zote Na Wakati Wowote Na Mahali Popote.
@zammaulidi75075 жыл бұрын
Na Sisi wanawake je unajuwa anahuyu na Yule je unaweza kuishi maisha hayo ya roho juu juu Tu au mwanamke ukisha ona mume anatabia za kuona hasa je unaweza kisema ndoa hii bas au haifai ukae tu kufa kubona?
@aishaarusha8943 жыл бұрын
🤦♀️
@shukurually20115 жыл бұрын
Naomba mnisaidie jina la huyu shehe ili nikatafute dvd zake kiukweli anazungumza mawaidha ya kutuelimisha nitumie jina lake inbox no +255713 442590 tupendane kwa ajili ya allah
@rebeccamakweta82405 жыл бұрын
Shukuru Ally umefanikiwa kupata na me unitajie
@jumamachano73295 жыл бұрын
Assalamu alaikum naombeni namba za wasap za uyu sh jamani
@fatumayusufu17064 жыл бұрын
Nami pia naziomba jamn
@nassormuha48326 жыл бұрын
ndowa ni mapenz Shekhe siokirahis kuachana kiivo wanaume mtosheke na uke msione hamna makosa kuwabebesha wanawake makosa yote kila mmoja atabeba mzigo wake
@husseinvitabaki67915 жыл бұрын
Hussein A ada M tunduma MashaAllah
@umayraseeb33575 жыл бұрын
A.alykum w.wabarakar, sheikh naomba namba zko za whatsapp nina matatzo kwenye ndoa yng unisaidie lolote
@IzudinAlwyDin5 жыл бұрын
0722611120
@Rashidmhedhery6 жыл бұрын
Hawa Mashaikh ni wakujibandika tu, Hawana elimu, wanapotesha watu
@salmagogo99676 жыл бұрын
R M shekhe ni wewe na babako2
@jahifamau68736 жыл бұрын
R M sasa hapa kuna upotofu gani.hebu tueleze wapi alipopotosha zaidi ya ukweli.
@Rashidmhedhery6 жыл бұрын
Jahi Famau; asiyejua maana haambiwi maana!
@Rashidmhedhery6 жыл бұрын
Salma Gogo. Babako khanithi
@salmasaidi28756 жыл бұрын
R M vipi jamani naona asema haki
@stevewanga9576 жыл бұрын
Udi ukiwa kwa nylon hauskii mpaka utie kwa makaa 😂😂😂
@khadijamohammedsheheasemak13347 жыл бұрын
Mashallah
@taabohosain38496 жыл бұрын
Mashaallah
@husenihasani82696 жыл бұрын
mashaallah
@nouzhatabdullah8494 жыл бұрын
Shehee nmekupendaa buree Allah akupe wepes wa maneno mawaidha yakoo mazurii......