Shukran sheikh Allah akuzidishie elmu na Allah atuzidishie nyoyo za iman Inshaa Allah
@innocentjay58445 жыл бұрын
Sheikh elezea mada zako vizuri minaona wewe wawapunguzia subra wake zetu. Na sisi twasafiri kuwatafutia wao maisha mazuri na hatutaishi Nje daima.mda ukiisha na malengo yakitimia twarudi nyumbani kwa family yetu
@mutomubaya5 жыл бұрын
katika baadhi ya familia huwa kuna shida ya mapato na hasa siku hizi ambapo maisha yasemekana ni magumu. Je ikiwa mna watoto?
Je mume mumeowa lkn hamujawah kuonana YY yupo Oman kikaz na mm tnz je hili mwalizungumziaje
@hassanambarakmbarak87594 жыл бұрын
Hicho hicho kiungo shekhe chawaumiza wengi maisha sasa nimagumu.watuwengi tuko nje tufanye nini.itabidi kila tukirudi tutafute viungo vingine Khatari tupu haya mawaidha leo
@naslamgollo64056 жыл бұрын
Naomba namba Oki nipate ushauri kutoka hii mada tafadhwal
@msangsmsangi65355 жыл бұрын
Mm nawez kukaa hata miaka mitatu sina hizi hisia kalii mpka nishindwe kujizuia je ninatatizo, mm ni mwanamke.
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Wewe ni mgonjwa muone doctor
@shuusalumu86183 жыл бұрын
Kapime u.t.i
@saidmohd50905 жыл бұрын
Asalam alykum warhmtullh wabarqat shekhe Naomba no yako
@jusphermobibo52786 жыл бұрын
wanimaliza kabisa na mawaidha yako
@batiyahmalrashdi22244 жыл бұрын
Nini hukumu ya ndoa za mbali maisha. Mume au mke Uarabuni au Ulaya mke au mume Tanzania. Mmoja tu kuweza kusafiri kwa mwaka mwezi au mara mbili kwa mwaka kukaa week au week mbili na nini HAKI ZAO?
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Haki ni kurudi nyumbani😂
@stevewanga9576 жыл бұрын
Wanaume wa kusafiri wanawapa mitihani wake zao
@rahmafataki25846 жыл бұрын
steve wanga tena utakuta mwanamme anakwambia hawezi kukaa peke yake na wameruhusiwa kuowa lakini chakustaajabisha anaweza kupiga karibu na mwaka au akaja kwa mwaka mwezi moja halafu akataka uwe ok tu with that je hapo mwanamke akitafuta mwanamme nje nayeye anamakosa
@mutomubaya5 жыл бұрын
@@rahmafataki2584 Lakini baadhi ya wanawake wataka watafute mwanamme na bado hawajavunja ndoa, ili waruhusiwe kuingia katika ndoa nyengine. Je ikiwa mna watoto?
@rahmafataki25845 жыл бұрын
@@mutomubaya tatizo wanaume wengine hukufanyia vituko hadi ikafika time roho yako haimkubali tena nambio mbio ataenda kutafta mwanamke mwengine aseme anawake wawili au more halafu na kukuacha hataki vile vile hii ndio problem nawao wakitaka kutafta wanawake wengine hawajali watoto wala kufkiria watoto tena wengine wakishakuowa huwa hawajulii watoto hata hali wala kutaka kujua watoto wanaendeleaje
@mutomubaya5 жыл бұрын
@@rahmafataki2584 Ni kweli lakini Waislamu wakifuata mafundisho ya Qur'an wataona kuna njia za kurekebisha matatizo. Ukimpata mwenza na hatia ya uzinifu hakikisha umepata ushahidi wa watu wasiopungua wanne. Na kabla ya kuingia kwenye ndoa Mtume, swalla Allahu alayhi wa sallam, amefundisha kuhakikisha kwamba mwenza ni MchaMungu.
@rahmafataki25845 жыл бұрын
@@mutomubaya kweli lakini ndoa siku hizi ni mtihani kweli yaani unaowa au kuolewa kwa kubahatisha hata kama umetulia sometimes unapata mtu inakua kama mtihani kwenye maisha yako hadi unaingia uwoga wa kuingia kwenye ndoa nyenginge yaani unajikuta toka wewe umeolewa au umeowa ndo furaha yako yote imeondoka na matatizo hayaishi
Assalam'alaikum warahmatullahi wabarakatuh sheik ss tupo wake wawili saudia mwenzangu yupo anafanya makkah mm niko nae jeddar pomoja yule hupewa ruhusa mara mbili kwa mwezi lakini hulala njee na ni nisimuulize kwa simu yake napata msg za wanawake zaidi ya wawili kisha anakata sheikh nimevumilia mwisho akaenda kwa kampuni ya simu ya zain akapata msg zote zile nilizo kua nazijua sasa eti yuwaomba msamaha yani amenichafulia jina sana kwa hawo hawara zake kila nikiona hizo msg moyi waniuma sana yy si wakumwambia hawara zake mambo yetu yani mpaka yuwaniita mm mkorifi amwambia hawara kisha mm namsamehe nn huyu
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Msamehe mbona wewe allah anakusamehe
@bashirjabiri5036 жыл бұрын
Kwasheriahiyo, nahakihizo ,naamini wengiwetu ,doazilikwishakufasikunyingi, kilichobaki ni tunazißnianabilaya kujua
@halimabindo57565 жыл бұрын
Sheh mada imenigusa tafadhal ifafanue uzur tupate kuelewa.
@ibrahimabdulaziz33306 жыл бұрын
Je yamfaa kumramba mke wako kwa sehemu ya siri?
@makamemufadhil6275 жыл бұрын
Ibrahim Abdulaziz ramba tu
@khalidbinsunkar54095 жыл бұрын
🙈🙈
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Usirambe ujinga rambaramba zote ujaona nunua koni urambe😄
@ibrahimabdulaziz33303 жыл бұрын
@@aishaarusha894 hahahhaha ausioo
@umayraseeb33575 жыл бұрын
A.alykum naomba hii vdeo ntaipataje
@mwambirekwamboka95255 жыл бұрын
Copy hii link kwa youtube kisha toka nenda chrome andika online video downloader then paste ile link kisha download
@hajielmi75185 жыл бұрын
download
@mammykaso41366 жыл бұрын
Jee mume kama hakushuhulikii kwa chochote lakini yachumbani tuu ndoyuwaishuhulikia jee nifanyeje naomba jibu shkhe
@nadhlfasalmazena74445 жыл бұрын
hiyo niyakwangu kabisa ananiikeeeera hadi basi ,we sheikh nishaikua namba take IPO siku nota muuliza maswali sana NaEndelea kuvukilia yakinishinda nakfaata inbox
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Na nyinyi msiwape kama hawawaudimii sasa mkiwapa nguvu mtapata wapi🤣
@abasishaaban66436 жыл бұрын
uko vizur
@yunusmagimba49283 жыл бұрын
Assalam alaykum naombeni jibu kuto mwingilia mkeo kwa muda wa miezi 3 nitalaka?
@IzudinAlwyDin3 жыл бұрын
Laa sio talaka hata ikifika miaka 30 sitalaka
@yunusmagimba49283 жыл бұрын
@@IzudinAlwyDin Shukran
@kulthumsalim70705 жыл бұрын
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh,naomba kuuliza sheikh...na kama mume yuko mbali(ughaibuni)akatuma wazazi wake nyumbani kwa mke atakae muoa...je anaweza kuozeshwa kupitia simu au ndoa itakua haipo?please msaada ustadh bado hatujapata jibu.mke amerudi Kenya mume bado contract yake kuisha akirudi mke waeza kukutana huko huko kazi(ughaibuni)...Shukran
@salumalawi34345 жыл бұрын
Kulthum Salim mwanangu haifai kwasababu 1 ili ndoa ikamilike lazima wapatikane watu watano (5) muoa na shahidi wake mmoja,(1) na sheikh anaefungisha hio ndoa na muolewa (bibi kharusi ) na walii wake na ,sasa km huo shahidi atashuhudia kitu kwakukiskia je itakua anaoushahidi hapa kamili mama kuludhumu SALIM ? kwahio lazima arudi kwanza ughaibuni ndipo afunge ndoa .shukran .
@mhogomchungu71685 жыл бұрын
@@salumalawi3434 kumuolea mtu inaruhusiwa, usitoe hukumu bila ya elimu
@aishaarusha8943 жыл бұрын
@@mhogomchungu7168 ndio
@assleeali23024 жыл бұрын
Je mke akizaa nje ya ndoa wakati mumewe yupo jela je wtt wanahaki ya kurithi?
@hajihassan54334 жыл бұрын
Asslee Ali Mtoto siku zote ni halali kwa baba ILA kama baba atamkataa huyo mtoto ni atomatic na huyo mke amechika. Huwezi kukataa mtoto akachukuwa mke. Uvikibali vyote au uvikatae vyote.
@khadijamuhammed69005 жыл бұрын
Assalam alykum shekh naomba no yako maana mambo mengine niyasir