Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman MKWE 1

  Рет қаралды 254,315

Bongo Cinema

Bongo Cinema

Күн бұрын

Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman
Familia nyingi hukubwa na ugovi baina ya wazazi na wanandoa na watoto wao, ugomvi baina ya wazazi na watoto wao umepelekea kuzuka kwa visa,chuki,na mpasuko mkubwa kuhusishwa na imani potofu na ushirikina.

Пікірлер: 145
@joelimujaro2542
@joelimujaro2542 Ай бұрын
hii 👆 movie ni nzuri lakini haina sauti ya waigizaji bali sauti ya beat tu.kama tuko pamoja gonga like zangu hapa
@shufaambata257
@shufaambata257 Жыл бұрын
Movie ni nzur lakn saut za kuongea aisikik tunasikia kinanda ahsante hemed Suleiman na Jenifer kyaka kwa Kaz nzur
@RehemaCharles-bc6fn
@RehemaCharles-bc6fn Ай бұрын
Asanteni kwa vinanda na vipaza sauti😢
@titusmoses7
@titusmoses7 2 жыл бұрын
Hivi wabongo lini mtakuwa serious kwenye kazi zenu, muvi nzuri sound kelele tupu mara dj mix mara inamute Yan hamkui tu
@msaysha5886
@msaysha5886 2 жыл бұрын
SASA MBONA NI MZIKI TU SAUTI HAMNA
@kabintmpase1544
@kabintmpase1544 2 жыл бұрын
Msomaj comment kwanza hii siangalii nasikia hakuna saut😂😂
@sharonchihunga8008
@sharonchihunga8008 2 жыл бұрын
Hii movie nliichek 4yrs ago na 2021 nkaitafuta sana xkuiona, leo naiona yasema 1month ago mbna🤷‍♀️ na part 2 iko ap🥺🥺
@magdalinekenneth7238
@magdalinekenneth7238 2 жыл бұрын
Hio hii music yao sijapenda tunataka kusikia maneno
@mkazahamisi8508
@mkazahamisi8508 2 жыл бұрын
raha ya kuangalia move usikie wanacho ongea ila tunsikia vinanda tyu
@swaumkatuga7474
@swaumkatuga7474 2 жыл бұрын
Wekeni part2 this is one of the best Bongo movie😊naipenda Sana Ila inanilizaga Sana😫
@sulesuburasubira6503
@sulesuburasubira6503 2 жыл бұрын
Alaf emed anapenda kuakt na uyu tunu mnapendeza ataivyo nawapnda
@maxameddheere1737
@maxameddheere1737 2 жыл бұрын
Movie nzuri sana but mume tu tia aibu upande wa sauti,,, bongo rekebisheni sauti bwana!!!
@user-xc2ne8py8n
@user-xc2ne8py8n 4 ай бұрын
Uyu mama jamani ninamupenda saaaaaaaaana mama mkwe wangu ❤nakupenda muno
@susanchebet3298
@susanchebet3298 2 жыл бұрын
Tunataka sauti ya washiriki sio muziki, imeniboo Ata siangalii tena 😏😏😏😏😏😏
@user-mo6or1wr8t
@user-mo6or1wr8t 3 ай бұрын
Tunataka sauti ya washiriki
@bitishoriziki1113
@bitishoriziki1113 4 ай бұрын
Wow beautiful ❤️❤️
@maikomatei810
@maikomatei810 2 жыл бұрын
Move inafundisho sana hii jamani aya maisha haya yapo kabisa asanteni sana kwakufundisha jamii
@fouzfouzz1137
@fouzfouzz1137 Жыл бұрын
mnafanya nagnga simuu itoe sautii lakin daa enyway iko sawa move
@BrendaWabwoba
@BrendaWabwoba 2 ай бұрын
aki amna sauti😊
@teachaish7143
@teachaish7143 Жыл бұрын
Jamaniiii sautiiiyyy tienii tuleteeniiiiiyyyyy,nyenginee akaaaa,,
@kiya0910
@kiya0910 4 ай бұрын
Wooooh ❤❤❤🎉🎉
@user-oi3of3ti7f
@user-oi3of3ti7f 5 ай бұрын
Mbona hakuna sauti? Lkn movie nzuri i❤ it.
@suleimankatana3909
@suleimankatana3909 2 жыл бұрын
Hemd wap part 2 nice move
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 5 ай бұрын
Tutumieni hemed sul weiter
@fridabondo3171
@fridabondo3171 8 ай бұрын
Nimeipenda hiyo
@kenogola3392
@kenogola3392 Жыл бұрын
Suleiman uwanga unatoa movie tamu lakini hili iliharibiwa na ,,,sauti hamna ni wimbo
@maxameddheere1737
@maxameddheere1737 2 жыл бұрын
Movie tokea mwanzo hadi mwisho ni music only!!
@nakshymrembo2874
@nakshymrembo2874 2 жыл бұрын
Banaeee waboa mpaka basi
@bekamusli85
@bekamusli85 2 жыл бұрын
Dahhhhh nilikuwa naitafuta kwa ham Sana hiii
@tyrt8790
@tyrt8790 4 ай бұрын
Mbona Hamna sauti.mi nko hapa kuskiza manenos Wala sikuangali movements
@Elizaclemess
@Elizaclemess 6 ай бұрын
jaman apo to wamearbu lakn move kali
@aishaomar9621
@aishaomar9621 2 жыл бұрын
Filamu nzuri nltee party 2
@mariamtambwe6823
@mariamtambwe6823 2 жыл бұрын
Jamanii Anna anatumia huawei
@KhadijaKhadija-ee5kr
@KhadijaKhadija-ee5kr 2 жыл бұрын
Kaz nzur ila saut hakuna
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 2 жыл бұрын
Sijatizma na wala sitazmai tena km Hamna sauti
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo 2 жыл бұрын
Sautiiiiii hamuna
@user-xr7zm6hv3e
@user-xr7zm6hv3e 4 ай бұрын
Asanteni
@toshaecha7313
@toshaecha7313 2 жыл бұрын
Nyinyi watuwangu je vous aimes plus forte
@solangerechol6881
@solangerechol6881 2 жыл бұрын
Film nzuri sana kabisa
@RatiffaSeti-oh8hv
@RatiffaSeti-oh8hv Жыл бұрын
Wale tunao soma comments ndo tuangali moves tujuane
@agnessmpogole1434
@agnessmpogole1434 2 жыл бұрын
Hii movie itakuwa waliiandaa kwaajili ya viziwi na mabubu
@user-vq1qx1dr4e
@user-vq1qx1dr4e Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂mungu anakuona
@everlyneiminza5722
@everlyneiminza5722 2 жыл бұрын
Sauti hamuna, utamu wa movie ni kuskia watu wanasemaje😏😏
@lenardshukurujanuary1435
@lenardshukurujanuary1435 2 жыл бұрын
Dj unazingua kinom bna unazidisha
@muyeshishadrack740
@muyeshishadrack740 2 жыл бұрын
Congratulations
@rahabpaul5618
@rahabpaul5618 2 жыл бұрын
Movie nzri bt mume boesha sauti
@swalehabdulkarim4265
@swalehabdulkarim4265 2 жыл бұрын
Ssa hii movie bila sauti ilkwa na maana gani kuiweka huku tafadhalini launch before ikuwe official ndani ya youtube
@clarisgambo7960
@clarisgambo7960 2 жыл бұрын
Bongo rekebishen move nyingi zenu sauti tatizo
@black_queen_vibe
@black_queen_vibe 6 ай бұрын
Alie edit hii movie ananikwaza...watu wa bongo movie mmekariri sound track huko background Yan limuvi linapiga kelele saut znainguliana kwa Haya Huwa hamyaon kabla ya kupost hizi kazi....mnajiharbia wenyew halaf kesho mseme watanzia sio wazalendo hawaangakii movie zenu....mi nmeipenda hii movie ila siangalii nimepoteza mb Zang Bure tu naskia kelele tupu watu wakiongea nyie mnaweka sound track . ....kama hamuez kazi achen kutupistia ujinga ujinga bwana.....
@user-ni9hn1cp4v
@user-ni9hn1cp4v 2 ай бұрын
the movie is good but we dont hear voices
@josepheleteuskumburu6403
@josepheleteuskumburu6403 2 жыл бұрын
Mh mna yumba mtuludishie mb zetu
@zawadijulius8817
@zawadijulius8817 2 жыл бұрын
Mmeferi sauti bhana
@titusmoses7
@titusmoses7 2 жыл бұрын
Bora niangalie Hollywood zangu
@samweltorai5049
@samweltorai5049 Жыл бұрын
Mbona sehemu zingine sauti haipo?
@aishasaid3455
@aishasaid3455 2 жыл бұрын
Saut mmezingua san jmn
@zahranmohd6713
@zahranmohd6713 2 жыл бұрын
Mm sipendi kuangalia sinema bubu nimechoka km hamjarekebisha situpi mb zangu bure
@misscrypto481
@misscrypto481 2 жыл бұрын
na wewe sijui kaka ou binti mwenye hii channel bongo cinema. jirekebishe bana. movie zako nyingi bana zina ubovu wa sound? ao izi views zetu tuzibebe kwenye channel nyingine?😡😡😡😡
@kelvinmatenus380
@kelvinmatenus380 2 жыл бұрын
Mbona sauti mmekata kata Sana
@noushaddammam8805
@noushaddammam8805 2 жыл бұрын
hii part 1 mushafeli na sauti sijuwi iyo part maana ata sikuimalizia imeniboo sehemu nyingine akuna sauti
@sumaiyaali5130
@sumaiyaali5130 2 жыл бұрын
Futeni hii movie coz sisi twataka kusikia maneno si music. Hata ileti shangwe. Nyie actors musirudi kwa hio studio tena
@avituseradius3513
@avituseradius3513 6 ай бұрын
Wasenge nyie mbona amna sauti sasa mnatuekea muziki
@collinsmwanuli5173
@collinsmwanuli5173 Жыл бұрын
Mziiki tu sauti hamna
@thabitiykitwana1271
@thabitiykitwana1271 2 жыл бұрын
Mnaweka movie nzuri lkni sauti mbovu.
@maryamkomba6720
@maryamkomba6720 2 жыл бұрын
Ovooo bila sauti ndio maana hamwendi mbele
@anthonyndegwa997
@anthonyndegwa997 2 жыл бұрын
Kindly guyz simchange hii tabia! !!,,,, movie bila sauti? Hatujasomea sign laguage plz?
@muyeshishadrack740
@muyeshishadrack740 2 жыл бұрын
Filamu iko sawa lakini sauti
@salmasaed4196
@salmasaed4196 2 жыл бұрын
Wbogo mna boo mziki uko juu huskii chochte
@sulesuburasubira6503
@sulesuburasubira6503 2 жыл бұрын
Labda smu zenu znashds mbona saut nikubwa jaman
@lazarusnyabayoobadiah4360
@lazarusnyabayoobadiah4360 2 жыл бұрын
Part 2 pliiiz
@rafeerafeek3549
@rafeerafeek3549 2 жыл бұрын
Sio ukubwa wa sauti kuna sehemu sauti hakuna ni kama mabubu.
@frolandunguru4489
@frolandunguru4489 2 жыл бұрын
Muvi mzuri lakini sauti hainogi
@KhadijaKhadija-ee5kr
@KhadijaKhadija-ee5kr 2 жыл бұрын
Mwendelezo lini
@JanetJannet-gy4ef
@JanetJannet-gy4ef Жыл бұрын
Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn
@dagoberthtairo6357
@dagoberthtairo6357 7 ай бұрын
Movie gani ambay Haina sauti
@janethraphael4893
@janethraphael4893 2 жыл бұрын
Mnaboa sana
@NoIe-zq7jo
@NoIe-zq7jo Ай бұрын
Kama hamupo tayari musiweke
@paskalhugi7888
@paskalhugi7888 2 жыл бұрын
Mnaona sana
@ukhtyaishamapozpba4173
@ukhtyaishamapozpba4173 2 жыл бұрын
Hamna ishu kaz mbovu cc hatuna shida ya mzik tunataka tuskie kaz
@mohammedshunu8014
@mohammedshunu8014 9 ай бұрын
Move nzuri sana
@magdalinemwikwabe8655
@magdalinemwikwabe8655 7 ай бұрын
I hate this muted scenes😢😢😢😢 to make it worst it’s very loud😢😢😢😢😢😢
@aminasaid308
@aminasaid308 2 жыл бұрын
Movie poa but sauti hapo ndio mwatuboesha
@ashaiddi6449
@ashaiddi6449 Жыл бұрын
Sauti sijapenda
@agnesbochaberi5738
@agnesbochaberi5738 Жыл бұрын
Sauti plz
@mwakaathumani4793
@mwakaathumani4793 2 жыл бұрын
Tuleteen part 2 bt volume munatuboo iko vzr sna ❤️❤️
@mauwarashid4823
@mauwarashid4823 2 жыл бұрын
kazi mnzuri_jamani_ongereni_washiriki_wote
@benardmsafiri4648
@benardmsafiri4648 2 жыл бұрын
Sauti kubwa
@bienfaitkamole858
@bienfaitkamole858 2 жыл бұрын
Bien
@irenebaya6296
@irenebaya6296 2 жыл бұрын
jamani movie nzuri sauti hakuna ,part two basi twataka
@JanetJannet-gy4ef
@JanetJannet-gy4ef Жыл бұрын
Kwakwel movie nzr ila sauti hkn shd nn 7:03
@alingoka6274
@alingoka6274 2 жыл бұрын
Kila mmoja analalamikia sauti hivyo bc sioni haja ya kutazama
@fannyniyubahwe8847
@fannyniyubahwe8847 2 жыл бұрын
Mutania film nzuri lakini sauti hakuna
@adijasalumu6452
@adijasalumu6452 2 жыл бұрын
Sauti jamani
@SophiaMrembo-tl5zl
@SophiaMrembo-tl5zl Жыл бұрын
Saf san
@selinakabibikombe2309
@selinakabibikombe2309 2 жыл бұрын
Sauti jaman
@anthonyndegwa997
@anthonyndegwa997 2 жыл бұрын
According 2me u guyz think ur the only producing movies online, , coz this is my third complain on ua movie. Am a kenyan bt complaining frm Somalia Kismayu.
@hildajoshua2906
@hildajoshua2906 2 жыл бұрын
Nampenda huyu dada hatari
@titusmoses7
@titusmoses7 2 жыл бұрын
Yani mnaboa kweli na misauti yenu, hivi mnakuwa na mtu wa sauti na mnamlipa Kwa ujinga huu
@deborahhatungimana4113
@deborahhatungimana4113 Жыл бұрын
Ni hatari
@anthonyndegwa997
@anthonyndegwa997 2 жыл бұрын
By the way mko na shida na voice to your movies, it's almost zote? !!!!
@saudahamad7481
@saudahamad7481 2 жыл бұрын
Siku hizi naona n movie zote hazina sauti
@hamisjumanne3431
@hamisjumanne3431 2 жыл бұрын
Sasa munaweka miziki ya nn badala yakuweka sauti mnakazana na mamiziki tu
@user-od6mu5yr4e
@user-od6mu5yr4e 2 жыл бұрын
Jitaidini sauti
@ashurafundi2873
@ashurafundi2873 2 жыл бұрын
Mbona hamna saut
@flowerskalumbwa668
@flowerskalumbwa668 2 жыл бұрын
part 2 plz
@sakinakhatibu1820
@sakinakhatibu1820 2 жыл бұрын
Movie nzuri lkn miziki mingi hatusikii wanaongea nn
@zahakinchabili5797
@zahakinchabili5797 2 жыл бұрын
Mnaficha nn kwenye saut wakat nyiny ni wasanii wakubwa?
@user-mo6or1wr8t
@user-mo6or1wr8t 3 ай бұрын
Kwa nini hamna saiti
Jenifer Kyaka & Hemed Suleiman  MKWE 2
1:08:36
Bongo Cinema
Рет қаралды 166 М.
Vicent Kigosi | Jacquline Wolper, HARD PRICE 1A
34:19
Bongo Cinema
Рет қаралды 744 М.
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 26 МЛН
مسبح السرير #قصير
00:19
سكتشات وحركات
Рет қаралды 11 МЛН
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 6 МЛН
FAKE LOVE 1 Chande Full Movie
1:11:10
Taswira Media
Рет қаралды 93 М.
IN THE OFFICE 1-JENIFER KYAKA/BEN BRANCO/MASINDE/HALIMA YAHYA
1:14:17
SECOND WIFE  II HEMEDY CHANDE II M2 II Full Movie
1:21:24
Classic films tz
Рет қаралды 479 М.
JESSICA sehemu ya 1 {latest bongo series}
24:19
ABC BONGO MOVIES
Рет қаралды 396 М.
UCHAWI WA KURITHI FULL MOVIE  FILAMU ZA AFRICA
1:37:39
Sanau Swahili Movies
Рет қаралды 1 МЛН
14 DAYS (SIKU 14) Part 1 Official Bongo Movie
1:00:21
Zuuh Ally
Рет қаралды 73 М.
王子原来是假正经#艾莎
00:39
在逃的公主
Рет қаралды 26 МЛН