Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...
Пікірлер: 166
@sadicklugendo2514Күн бұрын
Hii vita si yakufurahisha isipokuwa tunahitaji tufanye maombi vita hivi visite mara moja. Badala yakujenga imani yakuiacha vita hii kuna wanaohisi wanatwaa ushindi kwa upande wao, na upande wapili unageuka kuwa pandikizi lauadui nauhalifu wakudumu zaidi duniani.
@salminisaleh924918 сағат бұрын
Mtu Kafia Uwanja Wa Mapambano Unasema Cyo Kamanda . Ipo Siku Haki Itapatikana Inshallah 🙏
@Bahati4723 сағат бұрын
ALLAH atujalie pope ya daraja ya juu kabisa akujaalie kuwa jirani na kipenzi chetu MUHAMMAD s.a.w. inshaAllah 🤲🏿 umekufa ki shujaa mwenye kupambambania Ardhi yako na hii jihadi kwako
@georgekimasaofficial162922 сағат бұрын
Hivi ni vitu vya ajabu sana mlivyo kalilishwa 😂😂😂 Hivi unafahamu kuwa Washia na Suni wako kwenye Uadui mkubwa sana?
@nassoroshakiru709420 сағат бұрын
@@georgekimasaofficial1629ni sahihi lakin hapa hakuzungumzia issue ya Mashia wala Masunni na ikumbukwe kwamba Gaza asilimia kubwa ni Masunni lakin baado wanaungwa mkono na kusaidiwa kwa asilimia 💯 na Mashia ambao ni Iran, ikumbukwe tu wazi kwamba hawa ni MASHAHID, ambao wanakufa kishahid, nando maana ya shahada huyu anapigana vita na Israel hapa ni mas-ala ya kiimani tofautisha kati ya Iman pamoja na Dhehebu.
@georgekimasaofficial162920 сағат бұрын
@@nassoroshakiru7094 safi 👏😅
@annasolomon985519 сағат бұрын
😂😂😂 huyu Mohamed S. a.w aloozea hapo Madina ndio awe kirani ?? hakiaMungu loo! Hao eafu kama wafu wengine hakuna Cha mtume Mohamed Wala Sinwar Tena huyo ndo chanzo Cha yote hayo et ameagiza ooh watu wapgane jihad mpaka kufa kwa akili ya Allah 😅😅 .. yeye mwenyewe kafiri mkubwa Cha moto anakiona huko kuzimu .. ulionana wapi binadamu anampigania au kumtetea Mungu.. mfunfisho yanasema Mungu ni mtoshelevu.. haitaji msaidizi yoyote 😅😅.. we Leo hii et unashika mapanga kuua watu kwa akili et Mungu kakejeliwa ooh mara unaua kafiri 😅😅 hio sio kazi mwanadamu ni lkazi ya Mungu mwenyewe.. haya ngoja apeweabikra 72 wa utapeli huko wanakopewagwa.. duu Imani zingine mtanosamehe 😅😅
@ZayyanaBamuni17 сағат бұрын
Allahumma amyn
@Brunotarimo1023 сағат бұрын
Media yangu pendwa SNS Baada ya CROWN MEDIA . Big Fredrick Bundala 👏
@nassoroshakiru709420 сағат бұрын
Binafsi huingia katika channel hii kila baada ya dakika 5 kutizama kama kuna jipya hasa kuhusu mambo ya siasa za Magharibi na habari pia zinazohusu mashariki ya kati pamoja na magharibi
@Sidrasidra636Күн бұрын
Allah amrehemu
@EnockMwanyonga22 сағат бұрын
Allah ndiye alimuuua kwani damu za watoto na wanawake wasio na hatia ndiyo hukumu yake imefika. Mungu ibariki Israel na kubariki watu wako, Utukufu na heshima Uwe kwako ewe mwenyezi Mungu mola mtukuka
@JamesJastin-bg1rx22 сағат бұрын
@@EnockMwanyongakumbe nawew pia shoga ndy maana unaipenda Israel
@ephraimwadaudi286721 сағат бұрын
We James shoga ni babaako taira kabisa unamtukanaje mtu bila kosa lolote kapime akili wewe sio mzima na bibilia ilishasema atakae ibariki Israel atabarikiwa kwahyo hata muichukie vipi Israel itabaki pale pale na maadui wa Israel wataangamizwa ni muda tu
@jumakassim871821 сағат бұрын
Ameen yarabil alameen
@JamesJastin-bg1rx20 сағат бұрын
@@ephraimwadaudi2867 kwahiyo nawew ndyo unaendelea kuthibitisha kwamba wew punga
@paschalcharles361722 сағат бұрын
Nilikua namkubali sana huyu jamaa, Yahya al-sinwar 🙌
@humphreymwihambi433022 сағат бұрын
Hivi unawezaje kumkubali mtu anayepanga mauaji?
@JohnCage-we6tp21 сағат бұрын
@@humphreymwihambi4330kwel ameuwa ila ameuwa kw nin ?? Je huo ni chizi au kam akamate t mtu achinje ??
@user-jv6cf6nl5d5 сағат бұрын
@@humphreymwihambi4330hivi utakubali mtu aje akutoe kwa nyumba yako kwanguvu?
@Mubarak55222 сағат бұрын
Amekufa kishahidi, Yahya Sinwar, tutamkumbuka daima, kifo chake kimepindisha nyoyo zetu, ukombozi wa Palestina uko karibu
@ephraimwadaudi286721 сағат бұрын
Hio sahau
@annasolomon985520 сағат бұрын
Watu wengine , hapo unaongea umekaa wenzio wanajiona nginjangija 😅😅 eti tutamkumbuka 😅😅😅
@JacobMakwilo-u6e15 сағат бұрын
Soma bibilia wewe MUNGU alishasema palestina watakutana na adhabu hivyo usitegemee watapata nafuu watapigwa sana soma kitabu cha Amosi 1:6
@martinisadru989915 сағат бұрын
Unajua! Usichukulie poa! Hizi ni nyakati mbaya! Bibilia ilishatabili miaka 3000 ilopita, kua nyakati za mwisho! Taifa dogo Israel,,kulipiga taifa kubwa,,! Parestina,, kumbuka kua Israel na parestina ni wazariwa mapacha. Parestina ni kulwa na Israel ni doto.
@Stillrunlikeaball12 сағат бұрын
@JacobMakwilo-u6e Bibilia Nikitabu Mlicho letewa na Wazungu kutoka kwa shetani ili Muwe wapotevu hapa Duniani 😷
@hilarymtepa981121 сағат бұрын
Mtu mmoja sio ishu,akifa anapewa uongoz mwingine mapambano yanaendelea.
@gayanimwansasu20 сағат бұрын
Asife mana kila mtu anakali zake
@annasolomon985519 сағат бұрын
Na hao wengine wanapewa wanauliwa ndo tunaendelea mpaka lini😊😊?
@woah.africa994 сағат бұрын
Mizionist wao ndio wezi wKipigwa ni.wezi ila sinwar ni shujaa anaipigania ardhi yake wO ndio magaidi wazungu wezi hawatakaa ktk amani wanaua watoto na wagojwa
@AFRICA_D66923 сағат бұрын
Moja wapo wa kibarua tulicho pewa na mwenyezi sisi wanaume ni hali utakayo kuwa nayo ule wakati wakukata roho utakuwa katika hali gani mtu yuko vitani anapigania wajuu zake waje kuishi vyema wengine wakutwa umauti wakiwa wanapakwa mafuta ili kubadilisha jinsia tusaidie puttin haijalishi watakufa kiasi gani kufa katika mapigano yakupinga uasi katika aridhi yako ni ushindi
@salymsuleiman203523 сағат бұрын
Halafu ww sky unazingua huyo sio gaidi
@omondiowino787523 сағат бұрын
Ni gaidi
@salymsuleiman203523 сағат бұрын
@@omondiowino7875 sikulaumu ww mkiristo
@BrunoDerick-y5d23 сағат бұрын
Gaidi kabisa inaeleweka ye mwenyewe alishakuwaua wapalestina wenzie
@salymsuleiman203523 сағат бұрын
@@BrunoDerick-y5d ndio maana nikasema mm siwezi kushindana na wakristo yes bora tu yaishe bro
@salymsuleiman203523 сағат бұрын
@@BrunoDerick-y5d na ukitaka ujue sababu nitafute nikwambie
Brother sky as long as there's oppression RESISTANCE is inevitable mzee labda wauwe kizazi chote kusiwepo na mpalestina hata mmoja
@Muzammil99p23 сағат бұрын
Shujaa wa ukweli ❤❤
@humphreymwihambi433022 сағат бұрын
Aliyepanga mauaji ya watu 1200 ni Shujaa kumbe?
@ephraimwadaudi286721 сағат бұрын
Shujaa wakati yupo jehanam kwa kuuwa watu wa mungu
@abdulhafidhkhalfannassor82720 сағат бұрын
Kwanini asiwe shujaa wakati anapambana na adui yake yoyote atakae mshinda adui huyu ni shujaa
@JohnKaliagi20 сағат бұрын
@@humphreymwihambi4330kafa huyo,mtamsahau mda si mrefu
@annasolomon985520 сағат бұрын
Shijaa mwenye kuicha Gaza kwa Hali Ile .. 😊@@abdulhafidhkhalfannassor827
@mkude21 сағат бұрын
Shujaa anekufa kishujaa kutetea Ardhi Yao na watu wao.
@GeraldBahegwa-rn3vb19 сағат бұрын
Siku 39 baada shambulio la october 7, sinwar alifanya interview na bbc, je bbc walipataje access ya kuongea naye akiwa kwenye mahandaki? Ndugu bundara tusaidie kidogo hapo.
@AFRICA_D66923 сағат бұрын
Mbona historia inainuwa mboni ili kuruhusu machozi, amini waarabu hawapendwi gadafi kauwawa kama hivyo ona na huyu kifo chake vyafanana ,gadafi alisema msiniuwe sina hatia 😭😭,walimuuwa
@gayanimwansasu20 сағат бұрын
Hakika kifo cha gadafi 😢😢
@AFRICA_D66918 сағат бұрын
@@gayanimwansasu 😴😴
@dorcaskarago287621 сағат бұрын
Afadhali amekufa mana ayo maisha ya kuishi chini ya ardhi ni mateso tu
@khalfanothuman998823 сағат бұрын
صبرا صبرا يا آل فلسطين نحن معكم فإن موعدكم الجنة
@bigoraselemani540423 сағат бұрын
habari za commonder wa Israel ku uwawa mbona auzungumzi
@ephraimwadaudi286721 сағат бұрын
Kafieni mbali na hilo gaidi lenu
@mangulimanguli397415 сағат бұрын
Jemedari sinwar mungu ampe pepo fil daus
@igurusitv65537 сағат бұрын
Pepo ya nyoko
@mangulimanguli39746 сағат бұрын
@@igurusitv6553 kafir ww ata pepo unajua maana yake? Yesu mnamwita mungu ,em muulize uyo mungu wenu yesu pepo gn kajenga?kwa cc waislam uyo kafa shahid anaenda pepo fil daus kwa mujibu wa maandiko ,Kafiri Neta Nyau chinja chinja Jahanam na makafil wote Dunian Makaz yao jahanam ukiwemo ww kafir
@OlaisMoses23 сағат бұрын
Unajua shida yetu wa bongo hawa jamaaa wanapigana sisi tunawaoneaa huruma sababu moja ni ya kidini lakini hawa jamaa ni wabagudhi mno kwa ngozi nyeusii sio murabu sio mzungu nyie ambao hamjatembeaa ndio mnawependa hawa jamaa ila sisi tulio Tembeaa wa Jomba sio poa nyie mnaooo bishana hapa hamna kazi za kufanya
@mkude21 сағат бұрын
Ulichoandika kina maana gani kwahiyo mtu kama wewe utawaonea huruma mashoga,kama ulibaguliwa na mzungu ndo unataka kutuambia nini kwenye hoja yako,kama ulibaguliwa wewe sisi inatuhusu nini,nenda kaungane na p Diddy,watu wanakutana wewe unaongea pumba
@ce-0820 сағат бұрын
@@OlaisMoses wachache watakuelewa maana wengi hapo wanasombwa na ushabiki wakidini lakini hao wote hawanamaana
@stephanosospeter170917 сағат бұрын
Sio bahati, ni mpango wa Mungu.
@ThePlants-zc3rp16 сағат бұрын
yupo wapi sj simaa,tumechoka na habari za bbc na cnn
@NuruJuma-zv3yz3 сағат бұрын
❤Coment
@MaurusMpinga20 сағат бұрын
40 ikifika hamna bahati shujaa hafii
@mufydal-harousy59396 сағат бұрын
Amekufa shaheed 😊 amekufa kishujaa
@veeJesus20 сағат бұрын
Huyu ndo alipanga shambulio la october 7. Wahahudi 1200 walikufa na mateka bado wameshikiliwa. Kwendraaaaaaa afe na uko shenzi
@NuruJuma-zv3yz3 сағат бұрын
He, hii taarifa yako si umelipwa pesa ndefu sana si uturushie kidogo jamani😅
@omanmct13523 сағат бұрын
Inalilah wainailah rajiun kafa shahidi
@emmanuelShayo-dk6vf21 сағат бұрын
Kama mbwaa ..kamanda unakufa na fimbo mkononi 😂😂 yani ata Iran walishindwa kumuhifathi..
@Happy-be8hh17 сағат бұрын
Usiite ukatili ni haki yao
@PascalMwita-bv8kr21 сағат бұрын
SNS NUMBER 1 TANZANIA IN KZbin IN GLOAB
@venancemwanya42122 сағат бұрын
Hii sio mambo ya kubahatisha, waliingia kupiga,na wamepiga. Bila kujali unakutana na nani. Nikupigapiga tuu,gaidi atajulikana baadae huko.
@igurusitv65537 сағат бұрын
Tatizo hamuiheshimu Israel
@OnesmoEphrata18 сағат бұрын
IDF 828 DISLAMETCH BRIGADE NDICHO KIKOSI KILICHO MU UWA YAHYA SIN WAR aisee SNS MNA CHAMBUA KWA KINA NINYI NI HATARI MNOH KWA UCHAMBUZI nathubutu kusema hamna kama ninyi 👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪 🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️
@DjMswatiКүн бұрын
israel nataman ingeakua TZ
@chrispincelestin644616 сағат бұрын
Uyu bwana alikuwa katili na mwenye roho mbaya afadhali wamekaauwa bwana 😂😂😂😂
@aminadjuma755516 сағат бұрын
Na nyie mnapenda kurudiarudia
@GeraldBahegwa-rn3vb19 сағат бұрын
Duh
@KhamisMussa-ep1ld4 сағат бұрын
Acha kugeemea upandemmoja
@JohnKaliagi20 сағат бұрын
Sura yake haina nuru
@AFRICA_D66923 сағат бұрын
Kaseem Suleiman, yahaya sinwar,hawa jamaa wananyayo za osama bin raden,. Maana walikuwa na moto wa kuotea mbali
@khamsjabdullah69122 сағат бұрын
Alivokufa utadhani steering wa movie
@samwelkavwanga44917 сағат бұрын
Gaidi lauwawa kikatili
@magrethmagonza18622 сағат бұрын
Kwa bahati kivipi kwenye vitani jamani ni mikakati tu siku ikifika hamna ujanja unakufa.
@BashiruMavusu17 сағат бұрын
SINWAR KAFA KISHUJAA SANA,, NA HII NDYO INSONGEZA NGUVU KWA WAPAMBANAJI
@somymoivanlukumay419822 сағат бұрын
MUNGU ibariki israel❤️🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🙏
@khalfanothuman998823 сағат бұрын
Kiongozi amekufa mateka 100 bado wanao du! ألا إن نصر الله قريب
@johannesssamsonambogo412518 сағат бұрын
WALIKUA WANAMTOROSHA AKAVAE DELA LAKE ILI AENDE IRAN.😂😂
@sampart266923 сағат бұрын
Inavyonesha SKY unapenda kusikia hao viongozi wa HAMAS wanakufa mana kila siku story ni hizo tuu
@emmanuelsunday832523 сағат бұрын
Huyo ni njaa imemkomesha akaamua kutoka mapangoni
@mohamedaley563213 сағат бұрын
Hizo nakala za CNN unatusomea sisi tunaojua ukweli uko Aljazeera tu pekee
@saiddimarley844521 сағат бұрын
Wakina Osama bado wapo hata wakina Sinwar wapo kibao kazi mnayo
@Fardadihd23 сағат бұрын
Ww unazingua huyo sio Gaidi
@kakorejrboyz644722 сағат бұрын
Gaidi hilooooo limekufaa🤣🤣
@ephraimwadaudi286721 сағат бұрын
Unaongea ujinga wakat yeye ndio aliepanga mauwaji ya October 7 wakabaka wakachinja watoto wakateka wamama mpaka maiti zikabakwa kafieni mbali na hilo gaidi lenu
@omanmct13523 сағат бұрын
💔😭🤲🏻☝️
@AbdallahOmary-e9z15 сағат бұрын
Et kama mkimbizi jmn hiz propaganda an kuna kila dalili za kufichwa mambo mengi na kuna kila dalili za uongo ili kudhalilisha watu wa upande mmoja na kuwapamba wa upande mwngine😂😂 mtu kafia kwny uwanja wa mapambo na hatujii ni nn kmewatokea na wao kweny hayo mapambano ya kumuua coz wanaficha mno kuuawa kwao😂😂J
@BashiruMavusu17 сағат бұрын
KATIKA UISLAMU KUFA KWA KIONGOZI SIO SHIDA
@NuruJuma-zv3yz3 сағат бұрын
We fyatuu nini? alimfanyia ghasia babako unaelekea kua shoga hata wewe e,
@omondiowino787523 сағат бұрын
Bendera ya Israel inazidi kupepea 🇮🇱🇮🇱
@FahadAbubakari-y3f22 сағат бұрын
Jaluo kama kawa😂😂 si shangai si mnasemaga majaluo mlitokea huko furahi bwana
@omondiowino787522 сағат бұрын
@@FahadAbubakari-y3f tulitoka huko au hatukutoka huko ...hiyo si sababu ya kuipenda Israel...
@FahadAbubakari-y3f22 сағат бұрын
@@omondiowino7875 Safi jaluo ukienda Israel penda na matendo yao inatakiwa utahiri sasa
@omondiowino787521 сағат бұрын
@@FahadAbubakari-y3f mtoto wa kiume unashida gani na mhogo wa jang'ombe wangu... mtume dadako kwangu atakupa majibu
@SalumSanaa-oc8cw15 сағат бұрын
Na ushoga unazidi kuenea mmefurahi watu wa p diddy
@EriyaRichard23 сағат бұрын
Una zingua sky mbona una mpromot sana huyo jamaa na wala siyo gaidi mm ni mkristo ila napenda uhai wa watu
@somymoivanlukumay419822 сағат бұрын
Uyo ni gaidii tuu haijalishi kama wew ni mkristo wa mchongo😂🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🙏
@aksonmichael6027Күн бұрын
Sio Kwa bahati, hii vitaa watakubali 😂🙌
@bensonphilip9673Күн бұрын
1St
@AnjelMwaluka23 сағат бұрын
Mashoga skuiz wananguvu ivo
@ce-0823 сағат бұрын
😂😂😂
@ephraimwadaudi286721 сағат бұрын
Hakuna taifa lisilo na mashoga pengine hata babaako ni shoga
@TumainiMandalaКүн бұрын
MIMI RAHA YANGU KUONA JAMAA WANVYO BONDANA NA KUONA KUWA WANVYO ONESHANA UWEZO WA KIJESH WENYE TEKNOLOJIA
@sonnyr1899Күн бұрын
Pole sana mwenye kusherehekea vifo vya wenzie usihofu ipo siku na wewe utakufa.
@user-to6up4hg2wКүн бұрын
Tumaini you must be fool you never experience of war. Mugu mumu🤑🤑🤑
@@ce-08 Bila shaka nitakwenda wala hatuwezi kulumbana kwenye hilo ila kufurahia vifo vya watoto, waze, kina mama iwe upande wowote ule hio ni zaidi ya uchawi
@user-to6up4hg2w22 сағат бұрын
@@ce-08 you must be fool
@venancemwanya42122 сағат бұрын
Hii sio mambo ya kubahatisha, waliingia kupiga,na wamepiga. Bila kujali unakutana na nani. Nikupigapiga tuu,gaidi atajulikana baadae huko.
@hilarymtepa981121 сағат бұрын
Mtu mmoja sio ishu,akifa anapewa uongoz mwingine mapambano yanaendelea.