Wooo hoooo ombi langu limekubaliwa asante sana SNS 🎉❤❤
@allahisone638615 сағат бұрын
@SNS🎉
@aminaali79218 сағат бұрын
Makalaya 360 is the best i never missed it big up Bro Sky ❤😍
@lucasalbertomseti157819 сағат бұрын
Moja ya makala niliyo kuwa naisubiri kwa hamu sana asante sana Sky
@emmanuelmwandu.312619 сағат бұрын
Ahsante kwa Makala nzuri. Binadamu akichoshwa na unyonyaji, hofu hutoweka, badala yake huchukua maamuzi ya kujinasua alipo nasa.
@Franklinmushi3 минут бұрын
The man himself Sky asante sana kaka #snsforlife
@MAHAN-SMART23 сағат бұрын
Makala 360 🔥🔥🔥💯💯💯
@abdullahmapesa22 сағат бұрын
Asante kwa story nzito na kutuelewesha nini kilicho tokea
@MathewNathan-yb2bz22 сағат бұрын
Habari nzuri sana
@EustaKimoshi20 сағат бұрын
Walimu wa kirusi waliokuwa wakifundisha baadhi ya sekondari za Tanzania walifunga virago. Walikuwa walimu wazuri sana wa advanced maths na physics
@christinewomanoffaith547919 сағат бұрын
Duh
@allahisone638615 сағат бұрын
WALIFUNGA VIRAGO KISA NIINI?
@AFRICA_D66922 сағат бұрын
Umoja Wa kisoviet ulianguka haikuwa sababu na urusi kuanguka ilibaki imara💪 U soviet ulianguka brics inainukia 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@christinewomanoffaith547919 сағат бұрын
Nayo itaanguka tu
@shabanimaeda500819 сағат бұрын
Hapana itakuwa ngumu maana mataifa yaliyopo BRIC na yanayotaka ingia yapo na umuhimu mkubwa na nguvu kubwa.na unajitegenezea uhitaji wake..sasa hivi dunia ina elekeaa jua linapochomoza"Mugabe"@@christinewomanoffaith5479
@AFRICA_D66918 сағат бұрын
@@christinewomanoffaith5479 we kama nan
@kassimrajabu780517 сағат бұрын
@@christinewomanoffaith5479Chawa wa mashoga ww
@donaldmgunda49708 сағат бұрын
Bricks nayo haitafika mbaliii😂😂😂
@albertmallya419217 сағат бұрын
Imekaa kimkakati zaidi😅
@IceCube-o6s23 сағат бұрын
Baaaaaas hapo nimefurahia ombi langu limekubaliwa😂😂😂❤❤❤
@AFRICA_D66922 сағат бұрын
Hyo hata usipo kula ukisha pata food ya brain huwa na furaha 😊😊all the time
@SomaliWeyn-c1h22 сағат бұрын
makaka nzuri mzee safi
@hajisalimmhina398318 сағат бұрын
Fanya research mwenyewe
@Sidrasidra63622 сағат бұрын
Ahsante
@hajisalimmhina398322 сағат бұрын
Sio kweli ,
@williammbuzimai574420 сағат бұрын
Lete ukweli tuupate
@christinewomanoffaith547919 сағат бұрын
Kupinga bila kutupa huo ukweli Haina maana
@radjabusuleiman648619 сағат бұрын
Unawajuwa taliban wewe?
@themoredwamichano863615 сағат бұрын
@@radjabusuleiman6486😂😂😂
@moricerwakatale32012 сағат бұрын
naungana na ww sio kweli, hizi ni story kutoka katika literature za magaribi
@lusajomwaipopo504214 сағат бұрын
Warus wa buza hawapendi kabisa habari hizi
@raydanfrenk19 сағат бұрын
Kumbe urus ni nchi ya kishetan tangu zaman 😢😢😢
@lusajomwaipopo504214 сағат бұрын
Kwa ukatili ni sehemu ya tabia kuu
@ThePlants-zc3rp5 сағат бұрын
nakala nzri sana
@FredWabwire-w3q4 сағат бұрын
Ndomaana sijawaipenda warusi , sai wanajifanya wazuri kwa wafrika but wakipata uwongozi waduniya ,watatudhulumusana.
@radjamtaki5597Сағат бұрын
Fikiria vizur kabla ya kuongea,kwan sahz udhulumiwi???ni bora warus kuliko hao wanaojifanya wema kumbe nyuma ya pazia ni wabaya vibaya mno
@Timothymchomi15 сағат бұрын
tanzania na ccm
@alikhamis63318 сағат бұрын
Makala 360 iko poa sana
@Timothymchomi15 сағат бұрын
kwa mara nyingine urusi inapigwa na ukraine tena😅😅😅
@hajisalimmhina398318 сағат бұрын
Hizi ni story za magharibi
@raydanfrenk18 сағат бұрын
Tupe zako mkuu itapendeza😅😅😅
@rumdeesonsoa181116 сағат бұрын
Wewe tuambie kilichosababisha kuvunjika kwa umoja wa kisoviet
@KarimShabaniNAHIMANA18 сағат бұрын
Ans mnajuwa kutupatia gabarit nyeti
@AnjelMwaluka23 сағат бұрын
Mnazid kunifurasha
@danieljoseph712016 сағат бұрын
Ccm lini na nyie 😢😢😢
@salminijumasalminijuma621323 сағат бұрын
Bado na dj smaa atuletee ile makala ambayo ametuahidi asijifanye anajisahaulisha
@King_Of_Everything19 сағат бұрын
👍👊✌️.
@RichWise67116 сағат бұрын
Already remade it 🔥👽🪐
@HamzaMbasha-xs2ky23 сағат бұрын
Mwambie Sma hatujasahau
@AnjelMwaluka23 сағат бұрын
Nilkuwa naisubili saana hii pia naomba ufafanuzi kwanini urusi haikuwa na makoroni africa
@ms123ru2 сағат бұрын
Makala nzurii ila 😅😅 izi taarifa sio za ukweli 😅😅😅😅 aya makala niya watu wa magharibu
@NeversMutega22 сағат бұрын
Kama unakubal i SNS gonga like
@anny1998820 сағат бұрын
Na mimi ombi langu fanyeni SNS kuhusu uwepo wa ofisi ya NATO kwenge ofisi za AU Ethiopia.Pleaseeee
@donaldmgunda49708 сағат бұрын
Heee, NATO imewakaa ofc adis Ababa Ethiopia,😢😢😢
@jacksonmsendo347816 сағат бұрын
Ivi czech slovakia Yugoslavia nazo zilikuwepo kwenye umoja huu?
@Pedeshee0115 сағат бұрын
Hapana,Yugoslavia ya Tito ilikua na nchi kama serbia,slovenia,montenegro,croatia,kosovo,bosnia&herzogovina
@nasororashidi705117 сағат бұрын
Makala ya kimagharibi hii, ingawa kunabaadhi ya vitu vinaukweli.
@rumdeesonsoa181116 сағат бұрын
Ambavyo sio vya ukweli ni kama vipi?
@AFRICA_D66922 сағат бұрын
Sky ,kremea ni nchi gani mbona siiyoni hapo?
@lusajomwaipopo504214 сағат бұрын
Cremea ni sehemu ya jimbo ndani ya ukrein
@Stillrunlikeaball12 сағат бұрын
@@lusajomwaipopo5042 Kihistoria walipewa na Urusi Ndiomaana Urusi amelichukua hilo eneo Mwenyewe😷
@AFRICA_D6694 сағат бұрын
@@lusajomwaipopo5042 ooh ok ahsante
@moricerwakatale32012 сағат бұрын
Goberchev alikua kibaraka wa magharibi tu na hizi story zinatoka kwenye literature za magharibi tu
@MohamedRashid-py7ro14 сағат бұрын
Mbona unarusha picha za vita ya piki ya Dunia sio za 1980
@joeboa313921 сағат бұрын
Leta makala ya bomu la tsar
@Brunotarimo1023 сағат бұрын
SNS HAWANA JAMBO DOGO. KAMA UNAIKUBALI SNS USIPITE BILA KULIKE
@raymrash20 сағат бұрын
Dola ya Iran inakwenda kuanguka soon
@christinewomanoffaith547919 сағат бұрын
Yes itaanguka
@AyubuRashid-j7g8 сағат бұрын
Nani anaweza kumuangusha muira n au unaota
@raymrash7 сағат бұрын
@@AyubuRashid-j7g kulikuwa na dola kubwa kabla ya Iran leo hii wako wapi!?
@MsAggie522 сағат бұрын
Ndo tunayopitia Tanzania, maumivu ya ujamaa tunayaona, chama kimoja, ufisadi wa viongozi, hao wasiojulikana wanavyoendelea kutumaliza na hatuna tunachoweza kufanya, viongozi wamekuwa watawala kama ufalme, wakiongoza wao na familia zao. Badala ya kuongoza wao wanatawala
@anny1998820 сағат бұрын
Shida Sio chama Kimoja, shida ni tabia za watu. Mbona China imeendelea kwa huohuo Ujamaa na Chama Kimoja??. Tabia za raia ambao baadae wanakuwa viongozi, watumishi etc Ndio zitaamua nchi iweje. Kama tabia zenu ni mbovu hata muwe na vyama 100 ni Sawa na bure. What matters is PEOPLE .
@MsAggie520 сағат бұрын
@@anny19988 Chama kimoja ni mfumo WA ujamaa na ndiko tulikotoka. China kweli Wana chama kimoja lakini sio wajamaa tena ila wao hawalindani, waziri akifanya ujinga anapelekwa mahakamani na sheria inatendeka na viongozi wanalijua hilo. Ona alivyoanza Magufuli kuwaadhibu viongozi au kuwafukuza kazi walifanya upuuzi ilikuwa Jambo zuli labda nasi tungefika mbali, lakini nae akawa anatawala zaidi ya kuongoza, wasiojulikana kama wote na wananchi tunaogopa hata kujitetea. Ujamaa si Jambo rahisi
@christinewomanoffaith547919 сағат бұрын
@@anny19988well said Tatizo watu ,mfumo unaowaweka shida tupu Halafu tunawalaumu wazungu as if wanatulazimisha wakati Kuna watu wasomi na akili zao wanawaz familia zao na sio nchi zao
@SaneMwezi19 сағат бұрын
Lima mvua zinanyesha
@lusajomwaipopo504219 сағат бұрын
China imebaki na ujamaaa wa kisiasa ktk uchumi ni beberu na bepari mkubwa tuu@@anny19988
@zawadimpayo383922 сағат бұрын
Putin atauludisha akishinda vita ya ukreani
@FrankKashamakula-xb1pc22 сағат бұрын
😂😂😂😂😂
@christinewomanoffaith547919 сағат бұрын
Ndoto hizo ye mwenyewe walewale tu
@emanuelidamiani294317 сағат бұрын
Sasa niwaulize swali wana sns, huwa mnatuambia hawa warusi hawana historia ya kushindwa vita, mbona leo unatuambia afghanistan(taliban) waliwashinda????.
@anny1998815 сағат бұрын
Afghanistan kugumu weweee😂😂😂. Hamna aliepamudu. Ila pia Marekani walisapoti makundi ya waasi ili kuzuia wasovieti. Hayo makundi ndo baadae yaligeuka Taliban na Al Qaeda. Yaani magaidi wote wa dunia unaowajua ni Made by US . Marekani inawatengeneza kwa manufaa yao halafu wakishindwana wanawaumiza wao
@christinewomanoffaith547919 сағат бұрын
Nchi zote zinazoishia na '...stan'😅 Aisee zilikuwa nchi nyingi