Рет қаралды 9,785
Usibonyeze Link hii chini 👇👇👇 kama huna ROHO NGUMU juu ya MAGARI ....👇👇👇
/ @mrsabyy
Ndugu mtazamaji magari yote yanatotumia Mfumo wa push to start yamewekewa namna ya kuizima na kuiwasha Sensor yake (Key FOB) ili kuizuia isitume taarifa lakini watumiaji wengi wamekua hawafahamu njia hiyo na kuona gari iko salama kwasababu milango imefunga na mwisho wengi wamekua wakiibiwa magari yao pasipo kujua wezi wameweza vipi kuiwasha ikiwa Sensor anayo mmiliki.. Jifunze na mwambie mwenzio ajifunze ili darasa huru liwafikie watu wengi. ENJOY
Huduma zangu...
1: Kuagiziwa GARI JAPAN/UK/DUBAI
2: kutolewa Gari yako Bandarini ( Clearing & Forwarding ) kwa wateja waliokwisha nunua Gari
3: Msaada wa kutafutiwa Gari mtandaoni na kupigiwa hesabu ni BURE
4: Msaada wa kuagiziwa bidhaa mbalimbali nje ya nchi
5: Kusafirishiwa Gari yako popote ndani ya Tanzania
Tumia mawasiliano haya chini.
NB: Tunafanya kazi na watu binafsi /Makampuni / Taasisi zote
--------------------------------------
Social media handle
Instagram: / mr_sabyy
Whatsapp link : wa.me/message/...
☎️DM/Piga/Text 0653953900 /
☎️Whatsapp +255 653953900
📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
🏢Company: Mofaz movers Ltd
📍Location: PSSSF HOUSE, Ghorofa ya 9, Wing A-Room 4, Samora Avenue St.
Dar es salaam, Tanzania
*NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE
*NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏
*NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA NI BURE🙏
All copyrights reserved under CAIRO PROMOTIONS © 2022
--------------
#MrSabyy #Clearing_and_Forwarding #WiziWaMAGARI
#Clearing_And_Forwarding
#Clearing_And_Forwarding_Agent